Aman Thani Fairuz anaelezea yaliompata baada ya kukimbia Abdulaziz Twala na Idris Majura kutoka jela ya Langoni. Aman alijua na yeye atingia matatani kwa sibabu ya urafiki wake nao.
Kachukuliwa kutoka Langoni akapelekwa gereza ya Kiinuamiguu akatiwa condemn cell.
Baada ya masiku akahamishwa akapelekwa kwa Bamkwe (Mandera).
Негізгі бет 14 Kwa BaMkwe Tena
Пікірлер: 43