Ngoma kali sana bana kama na wewe ulimmsi 20 per cent gonga like
@kingdonald3312
2 жыл бұрын
tunaousikiliza huu wimbo tukiwa SOUTH AFRICA JOBURG embu gonga like hapa 20% DRUCULA MR BLUE well done guys
@dynuru7129
2 жыл бұрын
Oyaaa bango land tumewasoma
@oasechurchtz70
2 жыл бұрын
Safi sana monger katika game
@oasechurchtz70
2 жыл бұрын
Ivyo ivyo bro
@oasechurchtz70
2 жыл бұрын
Mkongwe katika game
@athumanikibamandu7863
2 жыл бұрын
Mbona vesi yako ujaimba vp 20
@norbeekentertaiment
2 жыл бұрын
Hujawahi kutuangusha watanzania 20 percent My role model
@micochazi9153
2 жыл бұрын
Kazi njema saana kaka twenty unajua mpaka basi
@rumdeesonsoa1811
2 жыл бұрын
Nataman angeimba pia kwenye verse, this guy is something else
@degwaboy8128
2 жыл бұрын
Maile mbish drucula na blue mmeua kaz nzur sana
@jowzeychejjo5394
2 жыл бұрын
Ngoma kali sana mzee msanii wangu bora miaka yote🔥🔥🔥🔥
@josephgitau169
2 жыл бұрын
We need people like you, mko real saaana, tumechoka na kelele za WASAFI NA KONDE .🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@urielaquilas4562
2 жыл бұрын
Uko sahihi kabsa Mara utaskia kajala kafanya hiki,zuchu naye kadate na Simba. I like it coz kila mmoja ataskia huu wimbo kwa stahili anayoishi
@hezzietv
Жыл бұрын
Haha. Konde yupo fitii pia
@allykeita704
2 жыл бұрын
Badooo uko ujuuu asante 20power
@mkaidjoseph4324
2 жыл бұрын
Good xn mkali wa bongo fleva heshima yako
@emmanuelluhozya3909
Жыл бұрын
mwana muziki mzuri 20%nakupenda saaaaaana kwasababu unaimba bila matusi ,kwako nimashauritu🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🙏🙏🙏🙏🙏👏👏👏👍💪
@alphonselwito8570
2 жыл бұрын
Nakubali kabisa drc🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@kuzimaster3399
2 жыл бұрын
Uhu ndio mziki alisii wa2 makin sana awaaa
@alexboy5403
2 жыл бұрын
Melody kari sana one love
@ramadhaniamiri8003
2 жыл бұрын
Twent power Kwa back 2 back iz god is bless mmetisha wanamuziki nyie sio wasanii wanamuziki salut
@ibufireclassic
2 жыл бұрын
Kaka ngoma kali san nyie wote mmeua kabisaa yaani hakuna alie vulunda..kabisa By #Ibufire_Classic
@gsptv3795
2 жыл бұрын
Mashabiki wa 20% gonga like twende
@randynebo6286
2 жыл бұрын
Mkenya wa kwanza hapa...hivi niko pekeyangu jamani😆😆😆🇰🇪🇰🇪❤️❤️❤️
@almasibaniyani3151
2 жыл бұрын
Tuko wengi
@eliasjillanga3158
2 жыл бұрын
Nipo hapaaaa
@gabrielgetari5541
2 жыл бұрын
Nko brother 🎶❤️❤️❤️❤️
@burtonsatshop2061
2 жыл бұрын
Mwenye mziki karudi😍😍😍🥰🥰🥰
@churchillochieng439
2 жыл бұрын
20 percent hiyo chorus umeuwa ukazika bro kali saaana
@njoroboihustla125
2 жыл бұрын
✍️UHALISIA:mrblue ndie msanii ambae hakatai colabo namsanii yeyote yule mkubw au mdogo yeye ana support co bigup kwa biziii✌✌✌
@zedzoomextra
2 жыл бұрын
Uwakika Blue Uyuko peace Sana Kwa wote anacho angalia Kazi itoke Vizur mahan Alisha Sema kua sifany mziki wa pesa
@clemenceurasa6023
2 жыл бұрын
Namkubali sanaa..baisa
@Kimweri_tz
Жыл бұрын
Babylon
@scratcharico6223
Жыл бұрын
kwan 20% ni msani mdogo?
@njoroboihustla125
Жыл бұрын
@@scratcharico6223 elewa mkubw au mdogo sawa
@shedrackathanasio8001
2 жыл бұрын
Watanzania eeeh mwamba kacharuka keshawachekea San madog karud sas heshma ifate mkondo wake
@goodmusic7430
2 жыл бұрын
Ngoma Kali mnooop
@user-xc6bb9nn6d
9 ай бұрын
Kweli mungu anajua kila kitu leo nimepata Raha sana kumuona Tena 20% daaa aisee mungu amerudisha musc upendwao
@azizailala8885
2 жыл бұрын
Wacha me huy 20 tu napendaga kaz zake sana kaz nzuriiiii hatareee
@frankblessy2482
2 жыл бұрын
Asilimia ishirini🔥🔥🇬🇧🇰🇪welcome back Legend
@Papagordy254
2 жыл бұрын
Nakukubali mzee Baba Noma sna
@eduwadylelya
2 жыл бұрын
Nakubali sana mkali MR BLUE 🔥🔥🔥
@kewjr6834
2 жыл бұрын
Nakubali fund wang
@suleimanlimbe5171
2 жыл бұрын
20 P 💯 Kaz nzuri
@maelezomaelezo9057
2 жыл бұрын
Aise upendo sana huu
@manyweledigitaltv4777
2 жыл бұрын
Ukimya mwingi kumbe ulikuwa unajipanga na kivingine.hongera Sana Kaka.kiukweli nakukubali sana.kiukweli umetukonga nyoya zetu mashabiki wako wa damu.
@derickfrancis5855
2 жыл бұрын
Usafi sana kaka umepotea tulikuwa tumekumis
@thomastinega271
2 жыл бұрын
,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪20%% nafrahia ujio wako huu...ngoma ya kijanja nimeikubali na nafrahia kuona umerud kwenye gem
@OmanCom-ky8tn
2 жыл бұрын
Nimekukubali sana 20% nyimbo nzr
@Nyanda506
2 жыл бұрын
Bongo flavor is back na tumechoshwa na makelele
@frankblessy2482
2 жыл бұрын
True
@johnlufyagila2848
2 жыл бұрын
Hongereni wanyamaaaaa goma tamu.20% is back
@engeliberthcelemens3824
2 жыл бұрын
Mziki mzuli Sana kweli 20 uko poa kaka nakukubali na mnya bluu alivo pita ni nomaaaaa
@nessmwambogolo2545
2 жыл бұрын
Jamani sauti ya 20%mm hoi❤️❤️❤️❤️
@lewismpangala927
2 жыл бұрын
Dlakula kabebwa Hana sumu
@FourzeeDsm
2 жыл бұрын
Tanzania one 🇹🇿
@elibarikinelsonnsenga3949
2 жыл бұрын
20 kipaji chako ni level nyingne coraus imeimbka vema Mr blue umebaaaaamba penyewe kiujumla hamjatwangusha.
@hamadiabinlahi7326
2 жыл бұрын
20 nakukubali sana broo
@nouwasike7712
2 жыл бұрын
Mwalimu Wa mzikiii 20 paccenty karibu Tena.nakukubali mno 100%
@Keymambo_
2 жыл бұрын
Dawa kweli 20 mziki ni kipaji chako kukaa miaka yote iyo ila bado unatoa hit song❤️❤️
@josejosepg6601
2 жыл бұрын
Twenty pa salute
@johnkatyega2221
2 жыл бұрын
Twenty nguli wa muziki wa Aina yoyote tanzania kwetu bigup bro popote ulipo mm nipo nice song, nilikuwa nasubili vina vyako tu kumbe umeimba kolasi. Good am here Germany 🇩🇪🇩🇪🇩🇪🇩🇪🇩🇪
@ramadhankijana9442
2 жыл бұрын
Kazi safi bro
@felixjune6524
2 жыл бұрын
kazia hapo hapo broo kazi kal
@faizaahamd2052
2 жыл бұрын
CONGRATULATIONS MY BROTHER raha sana Najisikia Nyimbo nzur sana♥♥♥♥♥♥
@isayalaurent2574
2 жыл бұрын
Nawakubali mkiwa na mwanangu blue pamoja song lipo powa
@hiyarysouthernboy4152
2 жыл бұрын
nataman hii ngoma ingekuwa ya mr blue ft 20 alafu ikapigwa promo za kutosha.. n nzur sana .. ila ingekuwa nzur zaid kama ingekuwa ha watu wawili tu 20 na blue
@dynuru7129
2 жыл бұрын
Mkali wa hizi kazi
@ibraah_leotz730
2 жыл бұрын
Ngoma kali Sanaa haichosi 🎶🎶
@konya_boy7196
2 жыл бұрын
Umeua kaka
@officialpangaboymtotowamam8014
2 жыл бұрын
,😜😜🤗napata ngoma hii nipo Gest nikaliii🤫🤫
@josefomoisestadeu106
2 жыл бұрын
Mi pekeyangu ni wako twenty songa mbele na mungu akulinde,,, nakupata kutoka msumbiji wilaya mueda, machaili mazuri ngali si mwenhezi wa kiswail, APA sana ni kireno,,,
@bakarimpame3824
2 жыл бұрын
Mmeua kichupa kimesimama dede
@babuchaya1410
2 жыл бұрын
Sana
@josephkapinga652
2 жыл бұрын
Kazi nzuriii
@barakasanga895
2 жыл бұрын
Nakubl 20 pawer
@salminmshindo4344
2 жыл бұрын
Huu ndo mziki tunaoutak sio mziki kiki na kusemana
@achawanunetv1167
2 жыл бұрын
KONDEBOY JESHI NDIE MSANII MKUBWA IN TANZANIA KWA SASA KWASABABU YEYE NDIE ANAITANGAZA NCHI YETU KIMATAIFA KUPITIA MZIKI MZURI ANAOUFANYA
@mcdericktv7298
2 жыл бұрын
20 Power umeumizaaa saaana,
@vicentaivan9523
2 жыл бұрын
Saf sana mzki mzuri
@lakaticlever2832
2 жыл бұрын
#blue msenge wewe dah binge la vers yaani dunia yako
@Aiuoex
2 жыл бұрын
20% Mutu wangu nakupenda
@rashidihossein6375
2 жыл бұрын
Kazi nzuri aseeh
@eliyamwambeje8961
2 жыл бұрын
E bwana wamechana bysar na mwenzie lakini 20 hiyo chorrus amemaliza....welcome back brother ...tulikumiss sana be blessed
@godfreymsemwa3137
2 жыл бұрын
Makini sana bro
@mayanzkijanjile5239
2 жыл бұрын
Tisha Sana mwamba hua hubahatish💪
@josefomoisestadeu106
2 жыл бұрын
Uko good twenty tunkupata kutoka msumbiji
@manyotaboymusic5795
2 жыл бұрын
Nakukubali Sanaa 20
@omarysombi2256
2 жыл бұрын
Huyo ndomnyama wao 20% nakubali mkumbwa💪kaziiendelee
@costerdmwanyula1706
2 жыл бұрын
Broo 100% hujawahi tuangusha
@sembasitianayinzaki1253
2 жыл бұрын
20 per umerudi au umekuja kutubipu tu shabiki zako? Ngoma Kali mno.
@bensonboka6016
2 жыл бұрын
Kazi safi mabrow from +254 Kenya
@famuelymtockoma6670
2 жыл бұрын
Saluty kwako twenty par
@djjacksonsmok5996
2 жыл бұрын
Nice song I say, but selekali naomba iwasaadie awa wa sani walikuwa walipotea,, na pia na mshukulu Mr blue kwa wa support,, thanks my bro kwa kuturudisha msani wetu 20 %.
@josephjulius3327
2 жыл бұрын
Salute nying kwa blue
@jamaicanboeitz
2 жыл бұрын
Hatreee bro naomba ukaze tunarudi
@bwashejoram2810
2 жыл бұрын
What kind of Melody,,,This is what I know about bongo flavor.... welcome back king of really life music 🎵🎵
@gentiljabpretty
6 күн бұрын
Wewe mkali sani❤❤❤❤ your blaza from Goma DRC 🇨🇩❣️
@happinessalfred1343
2 жыл бұрын
Mi twenty tu nyimbo Kali🔥🔥🔥
@evansshayo3851
2 жыл бұрын
Asilimia 20.kazi nzur my brother 🔥 🔥
@josephamosi5298
2 жыл бұрын
Kazi nzur Sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@storyboymusic5572
2 жыл бұрын
Nakukubali sana 20per nice song brothers
@theamazingmedia2545
2 жыл бұрын
Amsheni bongo tutoke kwenye kiki na bifu isee. Hili ni jiwe baa mkubwa
@davido-scooper9471
2 жыл бұрын
Blue kaibadili San hii ngoma 💪
@samwelmwasamajengo
2 жыл бұрын
Nasikiliza huu wimbo nikiwa 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸 Bongo flava is back 🙏🙏🙏🙏😃😃
@einastykasola5120
2 жыл бұрын
Salute kwenu.one love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@ismailothman8063
2 жыл бұрын
Aliyemuona 20 pacent mkali Daymond anasubili songe like hapa
@arizonamandapascal
2 жыл бұрын
Mko vizuri saana big up
@abuumwichumu5520
2 жыл бұрын
Anaejua anajua tuuuu bg up 👍👍👍👍👍👍👍
@princesadon5017
2 жыл бұрын
Wazi 20%...love UA songs bro,,,napenda blue anavyo chana,,,yaaan ananibamba hii style yake ya kurap kalii..uko fire broo...iwish one dei nije niimbe nae blue... Hongera sana
@wizzymillyofficial8881
2 жыл бұрын
Bonge langoma
@lighter_music
2 жыл бұрын
Chorus ni fireeee kabaisa ndo kachinja kabisa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Пікірлер: 642