Bila ya Warda hakuna fumbua macho. Leo kakunja uso Warda kazidi kuwa mzuri. Maashallwah. Naomba likes za Warda hapa.
@MrMona_TZ
11 ай бұрын
Broo naungana n wew mtoto mashallah.. wapemba atuna baya wallah.... ❤🕊️
@JUMAABDALLA-uj9wq
11 ай бұрын
Hhhhhhh uhakika
@mayaashassan3918
11 ай бұрын
Wa sita naombeni like zangu kwa Kufumbua macho🎉🎉🎉
@Rizikialiamechannel763
11 ай бұрын
Jaman kujeni huku mmbo tayari wakwanza jaman from Oman 🇴🇲🇴🇲🇴🇲😂😂 bado hamjasema yaani mpka mseme😂
@DhulkifliAbdallah-z9f
11 ай бұрын
Wakwanza ni mimi weeee😊
@Rizikialiamechannel763
11 ай бұрын
@@DhulkifliAbdallah-z9f weee niangalie vzur
@ArafaOmar-md8hc
11 ай бұрын
Aaah wapi ww Leo tumekupiku😂
@bentybenty2343
11 ай бұрын
Sie wengine vigoli😂😂watu mwajua kurauka Masha ALLAH..Wa 334 lol 🤔🤔😊😊
@Rizikialiamechannel763
11 ай бұрын
@@ArafaOmar-md8hc muongo hebu niangalie😆 naa bado
@ahmadyahya9961
11 ай бұрын
Maulidi wataka mkenzua mwenzio guu kunampiga mtama mmoja tuu😂😂😂
@abdulmohd6880
11 ай бұрын
Jamani hizi vdeo tuziangalie kw burudani lkn pia kw mafunzo na ujumbe, yan haya mmb yapo kwl mtu anakuletea tu wageni ata hujajipanga maisha haya😢alafu ndio kabisaaaa ukimleta mgeni wa kiume ambae c maharimu na mke, weeeee apo tunakosa amani kabisa yan hata kwenda kazini n shida😂
@allymbarouk5362
11 ай бұрын
😂😂
@thuwaybah5679
11 ай бұрын
😂😂😂
@omarabdallah4207
11 ай бұрын
Mau hii umeua ..😂
@hamidyakoub6865
11 ай бұрын
Hujawa kibla ww ukiniongoza nkisali😂😂😂😂
@DhulkifliAbdallah-z9f
11 ай бұрын
Aaaa bado kidogo niwe wakwanza lakini wapili pia sio mbaya
@sabihahamadi2287
11 ай бұрын
Ivi mauu ayo macho hayakuumizi ivo ukiyatoa ivooo
@akidahamad142
11 ай бұрын
Daaah ww fala unajua mpaka unakera
@saidmwinyi7062
11 ай бұрын
Tunamtaka NAOMBAAAAAA JAMANI 😭😭😭😭
@NaimaHamad-n7d
11 ай бұрын
Dah ni hatariiiii😂😂😂😂😂
@user-sw5ul2jb2h
11 ай бұрын
Mbavu zangu jamani mau😂😂😂
@saidmwinyi7062
11 ай бұрын
Machooooo ya mau kama ngumi ya teja 😂😂😂😂😂😂
@abdiabrahmani7823
11 ай бұрын
Hatupow
@KhadijaAkida-h2x
11 ай бұрын
Eeeeh mau umezid😂😂😂😂😂
@mohamedali-xc9ul
10 ай бұрын
**Mashaallah**
@SubiraSalum-pq9vo
11 ай бұрын
Udugu wa koron'gonjo😂😂😂
@ArafaOmar-md8hc
11 ай бұрын
😂
@ArafaAmirAmir-ci7ld
11 ай бұрын
😂😂😂😂
@AliOchu
11 ай бұрын
Unaijuwa korong'onjoo wew
@SubiraSalum-pq9vo
11 ай бұрын
@@AliOchu ndio ila nliumwa tumbo sana baada ya kula
@SubiraSalum-pq9vo
11 ай бұрын
@@AliOchu ndio ila nliumwa tumbo sana baada ya kula
@fatmasaid9765
11 ай бұрын
Kajitia kuchagawa kumbe muongo
@ArafaOmar-md8hc
11 ай бұрын
Hongeran
@aaaggdhbdgxhhdb2471
11 ай бұрын
😂😂😂😂😂 sema hutaki wangeni je wali na maharangwe wapi
@salimasalim405
11 ай бұрын
❤❤❤❤
@user-hy9pp5rp9i
11 ай бұрын
Wali na haragwe washaukosa😂😂😂
@user-cy2hc2og6l
11 ай бұрын
Mau sikuiz watoa vidio za mdoa tu kwema lakn nyumban😂😂😂
@zulfahussein6784
11 ай бұрын
Majini hayataki watu 😂😂😂😂😂
@abuumo9637
4 ай бұрын
Fumbua macho
@wazirikipanga325
11 ай бұрын
Number 2
@allymbarouk5362
11 ай бұрын
Mgeni akija bila taarifa mpikie muhogo mchungu tu siku tatu na dagaa kavu😂
@zainabuali9915
18 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@allymbarouk5362
11 ай бұрын
Jinga sana Mau hahahahah
@NoufalSalim-yb4ob
11 ай бұрын
Hahahah yaani jamani Leo nimecheka mpk bc
@labunaabouna6122
11 ай бұрын
Nice
@abdulazizitwalib5859
11 ай бұрын
Wa 44 leo 😂😂😂😂
@sabihahamadi2287
11 ай бұрын
Haaaaaa duniya yaleyo watu waofopa wageni mau kimemramba
@AnwarAli-vs9mp
11 ай бұрын
Weee mijitoh acha roho mbaya .....WAPI GWIJI SUPA STAR MZEE KACHARA 😅😅😅
@DhulkifliAbdallah-z9f
11 ай бұрын
Hodi hoooodii
@RashidAli-rn3ro
11 ай бұрын
Jaman huyu wa kwnza cku nyngine atuachie na cc
@SubiraSalum-pq9vo
11 ай бұрын
😀😀
@ArafaOmar-md8hc
11 ай бұрын
Jmn eh tuombe namba ya group vidio zingie kwenye group jmn wapemba wezang 🙏❤️❤️
@bentybenty2343
11 ай бұрын
😂😂😂😅
@ArafaOmar-md8hc
11 ай бұрын
Tujujane jmn wa ole 😂🙏
@SubiraSalum-pq9vo
11 ай бұрын
@@ArafaOmar-md8hc ni wazo zuri Hilo
@binmasoud4150
11 ай бұрын
Mzee baba umecheza ndio hasa Uyo ndo Mau mpemba😂 jamaa wameseam ata sku nyengine hawaji tena. Ila message nzuri sna, ujumbe umefika.👍
@fatmasaid9765
11 ай бұрын
He jamani wapemba wapenda wageni vo lakini mau hataki wageni
@abdulmohd6880
11 ай бұрын
C kw maisha haya ya leo CCM walipotufikisha, saizi ukipata mgeni una gamu saizi mtu aomba ao wake yy alau wadai kwenda kutembea kdg mmb saizi n magumu😢 mm nipo UK ila naiona hali ya wazazi home yan😓 we acha tu😢
@omarbosiomar8608
11 ай бұрын
shukran wadau
@ArafaOmar-md8hc
11 ай бұрын
Afwan
@zahramussa6674
11 ай бұрын
Mau ninawaiswasi huo ni wivu tu😂😅 si kwa kuchagawa huko!!😂😂
@RidiwanKhator
11 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@salma-c5k5j
11 ай бұрын
Jamani yuleteeni naomba
@ArafaOmar-md8hc
11 ай бұрын
❤️😂
@abdullahhassan.6368
11 ай бұрын
Wallah uyu mwanamk nimzr MÅÅSHÅÅLLÅh Ila cjui keshaolw kwek ama vp .?
@HassaniHamiss-k5x
11 ай бұрын
Halafu ilo jicho
@SalehAbdulrahman-rh5pt
11 ай бұрын
M napendekeza mwanmke angezeke so Kila sehemu ni huyo huyo mmoja anazoeleka sana
@mwinyisarbok2261
11 ай бұрын
Hatupoi
@salma-c5k5j
11 ай бұрын
Mau Leo umenichekesha ukovizuri
@britayoo6908
11 ай бұрын
Aanh Fabby😅
@shmsazahir4021
11 ай бұрын
HATAR 😂😂😂😂
@nurdinmatula8020
10 ай бұрын
😄
@asmarajabu5786
11 ай бұрын
😂😂😂😂
@abdullaabdullahmpakanjia2336
11 ай бұрын
Fundi wazidi chafukwa lete vituu
@MkasyswallehsaidSwalleh
10 ай бұрын
Hyo macho sasa kaa gundi😂😂😂😂
@user-zf7ft8eg1x
11 ай бұрын
Hahahah 😂 wageni bila taarifa
@HalimaSalym-jl2ui
11 ай бұрын
Warda badilisha kanga
@munamkasihassn9215
11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@selemohd9060
11 ай бұрын
Wa 381
@user-ue9yr7oe1p
11 ай бұрын
Mau lahaja ya wapi hiyo?
@engineerkhamis9275
11 ай бұрын
😂
@munamkasihassn9215
11 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@DhulkifliAbdallah-z9f
11 ай бұрын
Hodi hoooodii
@suleimankassim2400
11 ай бұрын
Jamani mchukueni na naomba izo video zizidi kunoga
Пікірлер: 99