Harmonize ndio anaeneza chuki na uchawi....💯😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@ALFAN-m4o
2 ай бұрын
Sikupingi
@LilGida-d3j
Ай бұрын
Wcb life
@EDENILYIMO
2 ай бұрын
Shinda ya konde ni moja tu anaacha kutoa hit song anashindana na makalio atapotea sio mda
@sadibatangalwa5890
Ай бұрын
Simba ni simba
@dullymsafi3149
2 ай бұрын
Fact
@abdulmalikali9063
Ай бұрын
Diamond bado sana kwa davido
@ClassicUsed-jg6ri
2 ай бұрын
Mimi nipo hapa lagos diamond ana miaka 3 hajawah nyimbo yake kusikika hapa nigeria .... Jaivah nyimbo yake imepigwa mara moja tu hapa Lagos
@Peterchila-un2lx
2 ай бұрын
Acha chuki kenge wewe
@YamunguMatamya
2 ай бұрын
😂😂😂😂
@filskischannel9737
2 ай бұрын
🤣🤣uyu naye ametokea kwenye usingizi au vipi...oooh sorry about you😂
@toney..
2 ай бұрын
Lagos ya Katavi au
@mbezzoprince9462
Ай бұрын
😂😂😂😂 Lagos hio Kwio
@saummohamedm435
2 ай бұрын
Wasafi Tatizo ni moja diamond tunajua anawaalipa .sema shidaaa ni mojà simba ni mkubwa itabaki hivyo nyinyi wenyewe mnapendelea Habari ya diamond inapewa uzito sana .ila ikitokea wanamuziki wanao fanya vzr karibia ya diamond .hamsemi lolote . Zaid mnatafuta mabaya ndo mnayo yazungumza .tunajua mnavingereza vingi wana. Ila usawa haupo. Diamond hana shida kwa sababu yy ndio yuko pale juu lazima kila mtu especial hao watoto wake wa compete nae watashindana na jiwe lazima washindane na wakwanza ,wakati mwengine ushindani unaweza ukawa mkubwa mpk figisu zikatokea hiyo ni kawaida.nasio kwa diamond tu .hata nyie mnafanya hivyo. Hamtoi support kubwa kwa washindani .so acheni kujifanya kma kwamba simba anaonewa asingefika hapo.huyo jaiver sijui mmesupport nakusema kwa vile hamfikii boss .angekuwa harmonize marioo rayvnyy Ali. Tusingesikia hizo good comment .
Sasa kiba c ana redio yake nae ataongelewa kwake huko n konde pia akipata redio yk nae ataongelewa kwake uko..yan mm ndo baba mwenye nyumba alaf san aongelewe mchepuko nyumban kwng
@ermatv
Ай бұрын
Kwaiyo Nani apewe uzito😅
@PauloKomba-g3p
Ай бұрын
Cku utakapo jua diamond 💎 sababu ya kufungua radio ndo cku utapata jibu hicho unacho kiona diamond hana radio yyte inayo mzungumzia hana zaidi ya radio yake hao wengine wote wanazungumziwa kila cku kwenye hizo media kam ndo ww utafanyaje
Пікірлер: 27