Unajua kujieleza bro Abbah..nmekuelewa sana Brother 🔥🔥
@Mbeyaconscious
5 жыл бұрын
Duh ss wasaanii wachanga ni shida Sana brother
@isacklaurent6815
5 жыл бұрын
yan wew mtangazaj nmependa maswal yko, upo vizur na una comfdnc brooh
@lucasshayo9705
5 жыл бұрын
I really want to hear on the other side of the story#hanstone
@thadeusmassoy7891
5 жыл бұрын
Oh, very nice bro. Huyo dogo Hana shukrani aisee. Anadhani amefika wakati dunia mapito🤣🤣
@juliusrogasian8645
5 жыл бұрын
Dah hanstone kazingua
@blacksingapore
5 жыл бұрын
Watu wanalalamika tu ila hawajui ttz ni nn, hv kwa akili zenu mnadhani Hanston hakutaka kushoot? Dogo yupo Wasafi saiv so wanampika
@ronnykicks6543
5 жыл бұрын
Sawa ushasema brathe
@kilazajr3720
5 жыл бұрын
mtafuteni na yeye aseme neno hatutaki maneno ya upande mmoja...
@jumaislah1392
5 жыл бұрын
Una akili mno
@mwajamii
2 жыл бұрын
Umeskiza alichomjibu OP Boy baada ya kumuibia nyimbo yke ya Boya Toto Jinga na Jeuri ni la kuliacha tu lingie kwenye Tanuri
@jumamkali375
5 жыл бұрын
Kale kaverse kake kalikuwa katamu sana
@elirehemaismael6133
5 жыл бұрын
Hata Janjaro alikuwa hivi hivi kama Hanstone So mueleweni hivohivo akikua ataacha
@felisterjames1127
5 жыл бұрын
Nilijua rich
@qassim1465
5 жыл бұрын
Sio kweli... mlitaka mumnyonye angekua hayuko sawa msingemuweka kwenye iokote ya maua. Ila nyie mlikua mnataka kumnyonyaaaa hata mario atasepa apo mnazingua 🖐
@denisrenatus4935
5 жыл бұрын
Kazaliwa pekee kwenye familia yake unazan atajishusha piga chin huyo dogo wapo wengi sana wanajua zaid yake km Diamond mpaka leo anajishusha ije iwe Hanston
@michaelramadhan9466
5 жыл бұрын
*Najua unapenda kuwa na afya njema.* *++Je unafahamu maradhi mengi 90% husababishwa na utumbo wako kuwa mchafu?* *++Je! Unafahamu kama unavyo peleka service gari lako na mwili wako unahitaji pia unahitaji service?* *++Umewahi kufikiria njia za kusafisha utumbo wako?* *kutoa sumu za chemicals,* #soda, #sigara, #madhara ya madawa, # Air condition(A/C), #Juice za box(artificial juice), #pombe (alcohol) na mengineyo? *Jaribu kufikiria je unapata choo kilaini?* *Je kinaelea juu? Na je unapata kila siku?* Kutokupata choo huweza kusababisha maradhi kama # kuumwa kichwa muda mrefu, #gesi tumboni , #kansa ya utumbo na mara nyingine uti wa mgongo unaweza kuoza. Jipatie *#Juices** za Aloe vera gel ni juice ambayo inatoa sumu mwilini(cleansing),inaongeza kinga ya mwili, inasaidia mfumo wa mmeng'enyo wa chakula ili kusaidia kwa wale wasiopata choo(constipation).* *Pia husaidia kwa maradhi kama, presha, kisukari, vidonda vya tumbo na aleji lakini pia Inapunguza kasi ya Uzee kwa kuondoa ngozi iliyochoka.* Jali afya yako kwa kutumia virutubisho halisi na Bora na punguza kutumia madawa yenye chemichal. Kwa maelezo zaidi tuwasiliane kwa namba Whatsapp 0628942717
@kanboi5
5 жыл бұрын
Ndomana video haijabamba tulikuwa tuna subir kipande cha HANSTON
@nas153
5 жыл бұрын
Inaonyesha hakuwa akilipwa inavyo stahill huyu bwa mdogo
@sizzasizza3731
5 жыл бұрын
Kumbe HansTone Hana Hadabu
@breymbasa3451
5 жыл бұрын
Hadabu 😀😀
@lovelyheaven2027
5 жыл бұрын
Dogo inanonekana alikuwa hapati helaaa maneno ya jamaaa yanathibitisha
@cbhsmith3149
5 жыл бұрын
Safi Sana abba
@shillahapple5276
5 жыл бұрын
Nakubl pacha Abbah process
@jumannemfaume
5 жыл бұрын
Dogo ananukia kutua jiji la wcb sooon
@lifestarkoech759
5 жыл бұрын
G nako ata ako sawa Aston kundanganywa hadi akawa na kiburi
@ezekielmanyesela3846
5 жыл бұрын
Kwenye maslahi Hakuna cha ukubwa mm nakudai tu bro Kama mbwai mbwai
@ndunguyealex2771
5 жыл бұрын
Anaendaaa wcb kasha signiwa 🤣 kwa 🦁
@happywinn5077
5 жыл бұрын
maskin akipata matako ulia mbwata uyo hanstone jeur tu
@denisimaliyaweni9183
3 жыл бұрын
Kiukweli hanstone aliuwa kwenye chibonge
@zenahnyale3551
5 жыл бұрын
Nidhamu muhimu
@mwajamii
2 жыл бұрын
Kabisa
@kaulimbiu181
5 жыл бұрын
ABBAH Ni Version sio Vision
@yazidiselemani924
5 жыл бұрын
Dogo anavimba xnaa xema kwa hili game bila Akili anajua ila ataxhuka janja
@jurmainezaidi739
5 жыл бұрын
Inaonyesha dhahir kabsa alikua anafanya kazi buree...... Sasa msanii ata mkataba hana alaf unasema et ww ni zao lako.....kivp yaaan Na ndio maana hata kuondoka kaondoka na haki hamkua nayo Nyie wanyonyaji aiseeee......ngoja tupaze saut
@mwajamii
2 жыл бұрын
Utamsaini vpi Mtu ambaye ukishamthathmini unagundua Toto Jinga lisilo na nidham hta WCB mbaka usugue Benchi utengenezwe ili usiwaaibishe na kwa miondoko yke huenda WCB akaionea paa.Rayvanny tu ndo akusugua Benchi hta Natafta Kiki ikitoka bdo alikuwa TipTop ndo Mondi akaongea na Tale ili atoke ka WCB kwani TipTop walikuwawengi na alikuwa bdo kupata mwanya
@sundanger1666
4 жыл бұрын
Hanston Naeaseme Tujue kasimama Wap?
@ujasusinaupeleleziduniani7252
5 жыл бұрын
Ukiwa na uelewa mpana utaelewa hawa ndo wanaomzngua dogo kma hamuamini mtafuten mumhoji na yy
@mwajamii
2 жыл бұрын
Wacha ushamba wwe Umeskiliza Interview alichojibu baada ya kuulizwa rafiki yke(Op Boy) mbona umeiba Mashairi yangu Ya Boya
@mfaumeramadhani8740
5 жыл бұрын
Kabbah kizaz sana ,wengi siku zote hawakumbukagi walipotoka
@Mariaclala536
5 жыл бұрын
Maji hufuata mkondo babaake huyo dogo marehemu banza stone pia alikuwa hvyo mpk madawa ya kulevya alikuwa anatumia
@abdulrazakgwotta5561
5 жыл бұрын
Aaaaah kumbe Hanstone baba yake Banza stone. 🤔🤔✌🙏
@mwajamii
2 жыл бұрын
@@abdulrazakgwotta5561Baba mlezi au wa kambo
@mwajamii
2 жыл бұрын
Ndio Mana Baba Levo kaliongelea "Nahisi kuna kitu dogo anavuta ka post Ep Bila taarifa"
@deusdeodavid5360
5 жыл бұрын
Kishapata upenyo huyo dogo nyinyi mtamchelewesha
@mr_ogc6233
5 жыл бұрын
Dogo kazingua kweli hila sija sikia kwa hupande wake
@mwajamii
2 жыл бұрын
Tayari kazingua unataka ajibu nin unataka azingue pia kwenye kujib Umeskia alichomjibu(Op Boy)baada ya kumuuliza mbona umeiba mashairi yangu ya(Boya)
Пікірлер: 47