Nasikitika kuwaambia ya kwamba, haya ndio yalikuwa maulid ya mwisho kuonana na Almarhum Ustadh Omar Abdulhud- mtunzi wa qaswida " TWAMPENDA MTUMI WETU MUHAMMAD" miongoni mwa qaswida zengine. Mola amuweke pema palipo na wema, AMEEN!
Негізгі бет Abdisa Mirza akiwa katika maulid ya Madrasatul Fauzil adhwim | 2019
Пікірлер: 8