Kama mmoja Wana familia ya fans of SIMBA SC. Nakuamini na nakuelewa Sana Mkuu! Na Asante Sana MUNGU akubariki Zaidi! SIMBA NGUVU MOKO!!
@youtubesuccessshorts7389
3 жыл бұрын
@Youth Insider KUWA NA MAWAZO YA USHINDI🔥 KWA WIKI YAKO HII🔥 👉 kzitem.info/news/bejne/0omhv5qJsayFho4 🇹🇿 (tafadhali tizama Hadi Mwisho!)
@ngagidaudi5958
4 жыл бұрын
Mwenyekiti usibabaike na hao wee fanya mambo yako kwa mipango yako inaendaje
@geraldsemindu870
4 жыл бұрын
You were right for what you told the mwana sport
@SubiragaKabango
Ай бұрын
Hongera sana Rais waheshima team ya SsC, tatizo Limbukeni hajikisi, hao watani wetu wanjadi wameona tumewanyanyua kiwango cha CAF wameanza majigambo! Eti wao ndo wenye wananchi! Kumbe SsC ndo wenye Nchi! Achana nao One day yes! Mungu yu pamoja nasi MO( Biblia,Kitabu cha Isaya 41:10)
@callme-mary3peter96
2 жыл бұрын
Kabisa baba yanguuuuu .umeongea ukweliiii
@hassanabubakar1564
2 жыл бұрын
Asante mo mwambie mtoto huyo
@sadizedekia5061
3 жыл бұрын
The big boss
@Valdo.Suleiman
4 жыл бұрын
Ni vyema.umempaa za fact haha watu wengine ni ngumu kuelewa,i like your response.
@bensonhharygabriel8651
3 жыл бұрын
Saf
@frankmnazareti5461
4 жыл бұрын
Ustaarabu acha watu waseme sio ujisemee alone Mr MO Sema yako achana na YoungAfrican yetu team ya wananchii
@edwardtungu8710
4 жыл бұрын
Wacha uongo wewe. Kumbe nawaw
@edwardtungu8710
4 жыл бұрын
Muongo wewe acha mbwembwe
@innocentbugomola549
4 жыл бұрын
Nkwel mkuu atakuwa amekuelewa Mr mo
@depaolo3461
4 жыл бұрын
😂😂😂 inaumaga hiyo
@eliewahabaraka4371
3 жыл бұрын
mtu anajitengeneza mwizi anajijua , kibaka anajijua na hat mstaarabu anajijua kwa 7bu kila ki2 ni maamuzi jua hlo kwanz
@Kukuvillagepoultrysolutions
4 жыл бұрын
Yani mbongo hamuamini tajiri walitaka uwaoneshe cash sijui wakati billion 20 ni unajaza carry moja inajaa noti za sh 10000 ziwe note 2000000
@venstonvedasto
4 жыл бұрын
Tipa mzee @saidi mpondi sio lorry 😂😂😂😂😂
@youtubesuccessshorts7389
3 жыл бұрын
@@venstonvedasto KUWA NA MAWAZO YA USHINDI🔥 KWA WIKI YAKO HII🔥 👉 kzitem.info/news/bejne/0omhv5qJsayFho4 🇹🇿 (tafadhali tizama Hadi Mwisho!)
@omarnyau330
4 жыл бұрын
Kaka mo dewji pole.... kuifadhiri simba na yanga ni sawa na kujaza maji ktk kichuguu piliii hizo pesa ni zako au za club ? Swali la tatu litafata baadae
@abdallahjuma5475
3 жыл бұрын
Muheshimiwa Kama Kama utapitia hizi koment mi naomba ajira mungu akuongoze njia iliyonyooka!
Yani ata kidogo ukimchokonoa basi hakavii kutotangaza mchango wake.... haha Mwanahabari: "Bwana Mo, ati kwanini........" Mo: (ata kabla Mwanahabari hajamaliza swali) "Unajua nimetoa pesa ngapi mpaka sasa hivi?" HAHAHAHAHAH
@abdallahahmadluoga4752
3 жыл бұрын
Weka hizo hela kila kwenye watoto 10 9 Simba inahusu nn wadanganye haohao
@aybkham5795
4 жыл бұрын
Safi
@mussachuo3910
3 жыл бұрын
Toa pesa hyo ukiulizwa simba guvu moja
@minzagabriel6150
3 жыл бұрын
Simba❤
@hijangwele3107
3 жыл бұрын
Toa ela ww
@frankmnazareti5461
4 жыл бұрын
Risi D. Trump wa Marekani anasemwa na anajibu iweje wewe na simba yenu msisemwe Kama champions singer mbele nyie ni mabingea lazima msemwe Mr Mo... Hongera kwa kazi nzuri unayofanya huko simba japo mimi ni YOUNG AFRICANs damu
@fikirinimedard2018
Ай бұрын
Hongera mo,
@EmanueliTemba
Ай бұрын
Mungu atakuongoza tajiri wetu sisi wana simba tupo pamoja nawewe
@bakarimpame3824
4 жыл бұрын
Big Up MO
@kelvinmgaya3406
2 жыл бұрын
Huyu albno anatafuta kula njaa mbaya Sanaa mamae sanaa
Longolongo nyingi, hizo pesa anazoziingiza ni mkopo au nini? Na kwenye vitabu zinarekodiwa vipi? Mkopo kwa club? Maana share capital bado hajaingiza, transformation ni 90% kwanini aingizi CAPITAL? AKILI KUMKICHWA😁
@kelvinlyimo3039
3 жыл бұрын
Unazo ww
@kingcopper_tz
4 жыл бұрын
Haji anaweza kuropoka vitu 😂
@rajabukimosa3377
3 жыл бұрын
Kumbe hata bwanake Haji anajua kuwa ni Mropokaji daah
@abrahambalamba6679
4 жыл бұрын
Hongera Mr. Tupatupa, wewe kweli mpenzi wa Simba. Tuone utashikilia Bomba mpaka lini!?
@tanialucas4579
4 жыл бұрын
Me nasoma to comment kwanza 😂😂😂😁
@subiradalabu6616
4 жыл бұрын
Tupo wengi
@charliechaplin3359
4 жыл бұрын
Nakubari mo dewji
@abdulzackawami7780
3 жыл бұрын
Ombi langu naomba jina la uwanja wa Simba kule Bunju libadilishwe usiitwe Mo Arena bora hata tungeuuita Aden Rage Arena maana yule ndyo aliyeupigania ule uwanja mapaka ukapatikana..mbona bakhresa ana uwanja lakin hajauita Bakharesa Arena ameuuita Machinga coplex..
@jayjay8845
3 жыл бұрын
Afadhali umewachana...mwanaspoti hata ukipititia online headlines zao ni kuponda Simba always without back facts. For past 3 years, kipindi cha usajili wao ni kusifia utopolo tu..but matokeo ya uwanjani wote tunayafahamu. Go mnyama...go Mo
@johnkashuma4005
2 жыл бұрын
Big up Mo
@rufijichannel9820
3 жыл бұрын
Unawaongopea Simba sio zaidi kuliko Yanga hivi ww ni zaidi kuliko Baba yako wema pesa hizo acha ubabaishaji
@babayao3791
4 жыл бұрын
umepotea 😂
@ramadhanmasolwa4869
3 жыл бұрын
Simbaaaaaaaaaaaa mnyama
@twahirburhan3726
8 ай бұрын
Hahahahaha! Muhindi muongo sana,anatoa data kwa kupimia macho tu
@erickchitumbi1308
4 жыл бұрын
Mbona kama unamtisha mwandishi tena Mo,kama lisemwalo lipo prove kwa matokeo chanya.na siyo ukakasi.
@adrianokafise7149
4 жыл бұрын
Mungu anakuona
@mussachuo3910
3 жыл бұрын
Acha kuongelea mambo ya Yanga fala wewe kama mpo wengi mbna mmeshindwa kujaza uwanja siku ya Mitimba day?
@jenifersamwel8990
3 жыл бұрын
😀😀😀
@augustno3984
3 жыл бұрын
Mshamba wew utapolo hawana lolote
@mubarakahamis2259
3 жыл бұрын
Mtumwenyew hujuiatakuandika mitimba day ndonin sas
@mussachuo3910
3 жыл бұрын
@@mubarakahamis2259 nenda chooni chungulia utaona au kanye mzigo harafu angalia mzigo wako shusha kwa wingi harafu uchk utajua hiki nn
@janethgood9213
3 жыл бұрын
Acha matusi wewe Kwan ukiongea bila kutukana unakosa nn?
@lucamatiku1532
2 жыл бұрын
Mo uko sahihi ,,shida inakuja wnaohoji maswli ykujirudia ni wale wenye mapemzi na uto
@simonidibili555
3 жыл бұрын
Siku zotee mtuu akisemaa ukwelii anaoonekanaa mnafikii achaa zako kawekee pesaa porojoo za nnn mooo
@SaidySaidysalum
27 күн бұрын
Kweli kbs kiongozi
@saliminyusuph6122
4 ай бұрын
Wahindi tunaangaliaga filam zao zina komedian nyingi sana na uwongo kibwilo. Hishu uza hisa wapo wawekezaji wengi wanapenda kuwekeza simba spot club ushirikiane nao.
@rinovarthiliwi1314
3 жыл бұрын
Kigwangala kashindwa Wizara yake ya MALI ASILI NA UTALII ameanza chokochoko Simba. Uliona wapi gari inatozwa dola 300 kuingia mahali kwa masaa 4 tu. Mimi ni Yanga lakini kiukweli Dewji ameiweka Simba pazuri sana watu kama Kigwangala wakae mbali na Simba.
@siskimkimu2298
3 жыл бұрын
Very right
@jimmyerick4021
4 жыл бұрын
Eti haji analopoka vitu 😂😂😂😂😂
@felisianmdalime2485
3 жыл бұрын
Tumekueleewa mo
@theresiachigali9482
2 жыл бұрын
Simbaaaaa juuuuu mungu akubariki na akurinde mo
@jilalalunilija8137
4 жыл бұрын
Simba ya mo
@estherdavic8521
4 жыл бұрын
Wasitudanganye😂SIMBA Oyeeeeeeeee
@ntegrity277
3 ай бұрын
Kweli simba ni team ya watoto Mo hapo umesema ukweli
@robertmapunda8482
3 жыл бұрын
mo hizo pesa usiweke na hatutaki kuziona , ili mradi tunashinda makombe hayo mengine hatutaki MUNGU AKUBARIKI ACHANA NA WAPUUZI WALIOKOSA SHULE
@user-dh3jm4xn2p
5 ай бұрын
Mo kiukwer huwez kumfikia mumwekezaji wa yanga uongoz wa yanga uko Makin Sana kwenye usajili Simba bado Sana uongoz wako wanaokota wachezaji mitaan jifunze kutoka kwa yanga hawalet wachezaji kuja kufanya majalibio wanakuja kushindana broo
@jacquesjoseph3884
4 жыл бұрын
Acha majitapo wewe ni kiongozi Yanga ni brand yenye historia kubwa. Unapo ongea ongelea timu yako Simba sio Yanga we as Young African we believe action not talking on media.
@johnmlay4759
4 жыл бұрын
Action ipi tena zaidi ya 4G??
@moshiparesso8122
3 жыл бұрын
Mimi binafsi nakuamini asilimia zote
@ramashekiao2717
4 жыл бұрын
Nimeamini yanga ni timu kubwa hata MO hawezi kuongea yake mpaka aitaje yanga
@subiradalabu6616
4 жыл бұрын
Utajua t..
@ramadhanmoshi1038
3 жыл бұрын
Yes
@matridachatila6839
3 жыл бұрын
Sasa wandishi msicheke mnamkatisha tamaa aliye uliza swali
@jashakishabany6436
3 жыл бұрын
Lakini hizi hela si aliahidi mwenyewe huko kujitetea gni kusema eti amejnga uwnja ooh anatoa ruzku sasa kwni yeye angekuwepo simba kma hapti faida ase aache janja janja bhna ye atuambie hzo b 20 anatoa au hatoi😏😏😎
@mahoojozee2109
4 жыл бұрын
Really
@cleophacemasole
Ай бұрын
Weledi unapungua sna kwa baadhi ya Mashabiki na kuanzia kuongea vitu bila data wala evidence
@renatuswilson1577
3 жыл бұрын
Swali kwa watani (Simba) kwa mwenye akili kichwani tu ndo anisaidie jibu. Kwa speech Kama hii je, nikiomba jibu utasema Timu ya Simba niyanani???? Dhahili kabisa nitimu ya mtu binafsi. Kwa uelewa wa kinachozungumzwa hapojuu.
@ibrahimkadibo810
3 жыл бұрын
Sasa ww uliitaka iwe tim ya chama tawala au,
@renatuswilson1577
3 жыл бұрын
@@ibrahimkadibo810 @ hahaaa umepanik mtani?
@shabaazbikorwa2580
3 жыл бұрын
Acha majigambo Mungu asije kukushusha
@nawihadj6674
4 жыл бұрын
Mtu una box la big g so utashindwaje kutoa big g mja jmn # mo ypo juu ww
@mackpinno10
3 жыл бұрын
Weka huo mkeka acha maneno mengi kama mwanasiasa toa hizo hela kama zipo tatizo nini!?,toa hela Usilete habari za uwanja haziusiani na hizo hela,epusha maneno toa hela uwazibe mdomo.
@jumasaidi8157
3 жыл бұрын
Mbona unatafuta kubebwa na magazeti?
@emmanuelmrema9266
4 жыл бұрын
Simba iko vizuri, tunakutakia kila la heri
@tizokarim1490
3 жыл бұрын
Safi sana mo
@andulilemwakihabha2048
4 жыл бұрын
Simba nguvu moja
@brownenas603
3 жыл бұрын
Moo dewj umekuwa unalewa now dayz,coz hata cmba day ulikuwa tilalila sana asee had wachezaji walishika vichwa,mkude
@christinatuyangale3577
3 жыл бұрын
Kibwangala atuache na mo wetu simba oyeeee
@lameckmbelwamrbrand6553
3 жыл бұрын
Waambie Boss
@i.gconnectiontztv8972
3 жыл бұрын
JINSI YA KUANGALIA MOVIE ZA DJ AFRO KWAKUTUMIA APPLICATION kzitem.info/news/bejne/rp931YBvh4x2g44 WE NEED YOU SUPPORT
@tiffatzhemedy9485
2 жыл бұрын
Boss tunakupenda sanaaa
@costantinestephen2594
3 жыл бұрын
Sio kweli,
@daudkhatib5090
3 жыл бұрын
Kumbe hata uyoo MO anajuwa Kama lile zeruzeru lake linaropoka no ropokaji
@mohammedkijuso6895
3 жыл бұрын
Transfomeshen mwaka mzma😁😁😁
@mudysingo3698
2 жыл бұрын
𝑊𝑤𝑒 𝑚𝑢𝑖𝑛𝑑𝑖 𝑚𝑢𝑜𝑛𝑔𝑜𝑜
@hawamohammed6939
10 ай бұрын
Wewe Mfanya Biashara Unafanya Kuboresha Biashara Yk Wacha Kudanganya Pesa Hizo Kajenge Msikiti Upate Thawabu Wacha Upumbau
@masanjamasunga6667
4 жыл бұрын
Ok
@suleimanjokoro
4 жыл бұрын
Kwa hiyo unataka habari zinazokufurahisha tu?,Lia basi tujue umechukia!
@deodatusrweyongeza2880
3 жыл бұрын
Kakaaa billion 20 zipo piaaa NA kifo kipo tumeelewana
@yusuphhussen2581
3 жыл бұрын
simba 💪
@hadijamgamba4397
2 жыл бұрын
Tuko pamoja boss mlopokaji alopoke tuuu ss hatujalii
@frenkfrancis4151
4 жыл бұрын
Baba sema moo tajili
@lainoshababi7500
4 жыл бұрын
ivi ni elfu ishilini au bilioni ishilini maana daah🤣🤣🤣🤣🤣
@subiradalabu6616
4 жыл бұрын
Bilioni hy
@aggreyenock1221
3 жыл бұрын
😂😂😂
@lumax_tz
3 жыл бұрын
Ni hela ndogo sana kwake, kutokana na utajiri wake
@lumax_tz
3 жыл бұрын
Utajiri wake ni billion 1.9 US dollar. So ukibadili kwa pesa ya kibongo ni kama trilioni 3.4... sasa billion 20 hapo ni ktu gani mzee
Пікірлер: 401