anko afande shukrani kwa track kali binadamu sio mkalifu plz endelea kutupa kazi
@mabenzimabenzi4348
3 жыл бұрын
Huyu ndio yule afande sele wa kioo cha jamii naemjua mimi
@suleimanjuma8256
2 жыл бұрын
Kuna nyimbo zako nyengn hatuzion mtandaoni na tunazihitaj kama moja inasema mwenzenu nalia tuma mtandaon baba (we still love your old song)
@erickmwangonda7814
3 жыл бұрын
Mfalme wa sele kiukweli nimefurahi sana kurudi na ii ngoma sasa naomba uje na ngoma juu ya ngoma kipaji uwa akifi wewe ni mkali tuuuuuuuuuuu
@revokachira119
3 жыл бұрын
Kunawakati nilitamani kukushitaki Kwa kosa la kuacha mziki, lkn nilikua bado kadogo. Sasa ivi nakuhakikishia nakupeleka mahakamani Kwa kosa la kuacha mziki. Uje uujibu umma ea watz kwann umeacha kuwaelimisha. Sikutanii bro, hicho kipaji Mungu alikupa ili uokoe kizazi, sasa umekua mbinafsi na umekikali. Rudi studio broo Rudi studio utupe hata album moja tuu maana yapo mengi yamejili na hujaikanya Jamii toka uache mziki. Kama hutaki basi nakusanya wanasheria tukufunge, naamini ukiwa huko utapata muda wa kuandika zile Ngoma zako za darubini Kali, mkuki moyoni na mtazamo
@danielmyovela205
3 жыл бұрын
Jaman tuliosikiliza nyimbo hii zaidi yamara moja tujuane kwaku like, bonge la ngoma, big up brother.
@kingpusitv7921
3 жыл бұрын
🤝🤝
@eventelias3566
3 жыл бұрын
ngoma kali sana
@faridawinkler6834
3 жыл бұрын
Ngoma imetulia sana 🙏
@johnnchimbi3716
3 жыл бұрын
Big up big up big up broo, una madini sana usikae kimya tena, tunamisi madini hayo
@hamisdefestor9964
2 жыл бұрын
Kwa u legend wako nicngetegemea et uimbe ujinga ningeshangaaaa.Afu ukizingatia.mimi ndo mshabiki wako No1.yaani tangu mayoweeeee.hii ni bonge la ngoma asotaka kimpango wake kaka🎶🎵🎤
@jumaaramadhani7819
3 жыл бұрын
Huna hatia mzee sema ulipo chana hapo ndo nmekuelewa zaidi aisee
@musakhamisi1692
3 жыл бұрын
Simba mwenyewe
@jumadaima1833
2 жыл бұрын
Juma Daima, wo mziki jaribu kuimba vilevile kwa kiingereza, una ujumbe mzito, mpaka Moçambicano wameumisi mziki wako.
@sadickmdogo4181
3 жыл бұрын
Nimegundua kuwa heshima ipo ipo tu nimekubali mzee wa kaz nimeipenda sana ngoma hii
@williamkabaisa
Жыл бұрын
Afande Sele, hana hatia ujumbe wako umenigusa ❤️❤️
Sele anafikiri sana ili umuelewe mpaka nawewe uwaze kwa kina. Hata wanaombeza hawajui tu wanajihami tu lakin ukweli unabaki kuwa hawana uwezo wa kufikiri kama sele na huo ndo ukweli wanaoufahamu hata wao. Zaidi sele ni mtu analiishi jina lake la selemani. Ni mtu mwenye hekima na busara sana
@manchalijob9600
3 жыл бұрын
Hahaha mi niriwaambia waafrika kwamba afande sele hana hatia kwamba mungu hana dini na kingine waafrika din tumeretewa na siku zote kitu ambacho sio asili yako razimA kitakupa shida mungu akubariki afande sele tupo pamoja
@user-pk1vz8il2h
Жыл бұрын
Wimbo mzuri sana hongera @Afande Sele
@sebastianungimba4676
2 жыл бұрын
Umefufuka wewe,bado huyo aliekupigia salute,ungekua mbunge kama jamaa yako angekua hai mpaka leo,ndio maana ulimtukana mungu kisa tumaini limepotea,piga mziki utatoka
@Waya_tz
3 жыл бұрын
Ng'ombe hazeeki maini brother ✊ njoo mjini matusi yamezidi💪💪
@halingtonnyezekiel3593
3 жыл бұрын
Kwel kaka tumechoka kusikilizishwa matusi na hawa wanaojiita kizaz kipya this man deserves 1M viewers in 24 hrs and not baikoko
@samsonmwangalika3718
3 жыл бұрын
Mziki mzuri sana hizi radha ya mziki wa aina hii siku hiz atusikriZ aminia
@kasongomakaya9478
2 жыл бұрын
Ulionewa kweli king afande sele kila binadamu ana mapungufu yake kweli
@kelvindastan7682
3 жыл бұрын
Kaka mkubwa ninaomba utoe ngoma kali ya regger mkuu
@lusekeloswilla6247
3 жыл бұрын
Afande sele ni mkali wa vina anaweza kutembea na kina ni au na mwanzo mpaka mwisho beti zote ni balaa
@sagataps9477
3 жыл бұрын
Kweli aumedhihirisha ukomavu baba Tunda kazi nzuri sanaaa
@giliadypalangyo132
3 жыл бұрын
Ngoma kali sana hakika uyo nimsanii wa jamii sio hawa watoto wa juz
@imanibensoni8274
3 жыл бұрын
Ambaye ameulewa huu wimbo gonga like twende sawa
@YvesNdayishimiye-qp6lc
5 ай бұрын
Eki
@rajabukandiranimekubaliupo9725
3 жыл бұрын
Moro kwanza home. King wetu
@lusanamaliwa8749
3 жыл бұрын
Sauti kutoka Shamba imenifika Afande.ahsante Sana'a👮🏽👮🏽👮🏽👮🏽👑👑👑👑
@hadijamagufuli2661
2 жыл бұрын
Afande sele kweli huna hatia na mungu akutangulie akupe afya njema na nguvu pia na akupe uhai mrefu ili upate kulea wanao emeni emeni 😍
@johnsonjacob6105
3 жыл бұрын
Kazi nzur kama hizi ndio tunapenda kusikiliza wenye akili zetu,bonge ngoma sele
Ni kwel kaka maneno mazito xna maana akuna binadamu asie nawasi wa zambi katka nafsi yake ndio maana tunaabudu nakuomba 🙏tukiamini atuna hatia safeee my brother umeonexha ukubwa wako nainjoy 😭kusikia king selle katka mkoa wetu bless zitaendea💯🙏
@senibuzuka6557
5 ай бұрын
Afande Sele ni Ni Afande Sele tu kichwa kimejaa mashairi ya Hekima
@sirijoseph5889
3 жыл бұрын
Hujawahi niangusha kwa mziki mzuri ambao unaelimisha,na mziki wako hauchoshi kuusikiliza
@s.ridhwali1569
3 жыл бұрын
Mrudie Mungu,ulikufuru sana kipindi alichokufa Magufuli
@robertkahewanga652
3 жыл бұрын
Broo nakubal San bd upo kwnyw kiwango kuzur sn kwenyw kuelmisha jamii Kwa umr wng mdg toka nakusikia na kukufahamu umekuwa Bola zaid One Love Morogoro Is Sweat Home like nying kwako
@donprinceabselhalims7421
3 жыл бұрын
Watu Wa Morogoro hatuna hatia
@kivurichumamwerumungwi8789
3 жыл бұрын
Saluty kwako kazi nzuri kaka
@samwelmbeye3390
3 жыл бұрын
Achana na wale wanaojipachika uking, huyu Ndo king tunamjua
@patrickmalis2776
2 жыл бұрын
Afande amesema wotekimia 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@eliatoshamapande8377
3 жыл бұрын
Nyimbo bdo inafanya vzr pamoja na ukimya wa kireefu sanaa
@einastykasola5120
3 жыл бұрын
From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ngoma safi sana. Big up Afande selle ❤️❤️❤️
@king-size8114
3 жыл бұрын
Dah umenifurahixha leo kumbe wamwamini Mungu tena
@swahilulaya9500
3 жыл бұрын
Ngoma kaliii
@chimalitv727
3 жыл бұрын
Hongera sana bro
@katusijusitusi3603
3 жыл бұрын
Upo vzr afande wa maafande endeleza kusambaza ujumbe asali na shubiri ipo kwenye mapnzi
@salumnambwilikiti4434
3 жыл бұрын
Maji ndani ya nazi sukari kwenye ndizi
@chomafamily
3 жыл бұрын
Morogoro ndio kwetu nawe ndio mfalme wetu big up my brother Afande Selle
@bonifasimwimbe6405
3 жыл бұрын
Welcome back to the game lilikuwa linakusubiri #morogoro# talented region
@Ceramicmedia
3 жыл бұрын
Jenafa Media TZ , we appreciate super talent from Legendary Afande Sele Bravo and Congrats
@jutoomaachurauklourownandy9175
3 жыл бұрын
Afande uaK Kaka Amin mwana damu ambae hakosei Wala kusahau basi niwa mitoni uyo
@jutoomaachurauklourownandy9175
3 жыл бұрын
Kikubwa nikujitambua kua ww ninani na unapaswa kufanya nn
@bishinzeyohana4741
3 жыл бұрын
Afande kwenye swala la muzik wenye ujumbe mzuri hujawahi niangusha bro 🤜🤛
@sebaskibiki4836
3 жыл бұрын
Hakika
@maji_media
2 жыл бұрын
Daaah, bonge moja la song, congratulations legend,
@rashidyhassan4679
3 жыл бұрын
Legend back Vina na mizani Ndio mahali pake
@alainluya3951
3 жыл бұрын
Wapendwa ndo nyimbo hizi sasa zinazo elimisha. Mungu azidi kukupa more inspirations Sir
@tozzowilliams308
2 жыл бұрын
Daaah,,,heshima kwako afande unaimba maisha
@johnmgalla7377
3 жыл бұрын
🔥🔥bonge moja la ngoma
@maulidhamdani6052
3 жыл бұрын
Baba yake TUNDA Jema kutoka darubini kali karata dume mpaka leo sina hatia.👊🏾👊👊👊💪💪👍👍
@paulomaona2811
3 жыл бұрын
hapa ndipo vina vilipo zaliwa
@zulfikakalumba1977
3 жыл бұрын
Mungu amekuskia Miungu imekuskia kiimani hapo amani imerudi mjomba'angu. Tunakupenda mno wewe tu unasizi sana sikuhizi. Jihusishe na mziki kwa namna yoyote usitukache Mzee
@brayanfredrick6783
3 жыл бұрын
Yuko good hakuna ambaye anaenda tofaut na mungu mwenye hatia
@kamaratsalimsafari8838
3 жыл бұрын
Chana baba kazi iendelee hauna atia Big support Afande frm Mombasa 🇰🇪
@harodkanyau8305
3 жыл бұрын
Bonge la nyimbo lenye heshima kwake king sele I salute u
@sahalexcha3036
3 жыл бұрын
Ngomaaaaaaa kaliiiiiiiiiiiiiiiii
@saxannjo6173
3 жыл бұрын
KING OF RHYMES,,,,,, tunakumic LEGEND
@emmanuelmasabo8194
3 жыл бұрын
Shikilia hapohapo mzee baba🙏🙏
@TamuzaKale
3 жыл бұрын
Ni wimbo mzuri sana, Mfalme Sele! Hongera!
@deogratiusdominick8882
3 жыл бұрын
Hiii ngoma SELE kaimba kwa hisia mpaka nmejisikia tofaut
@juliusmnkondo5574
Жыл бұрын
Yaan uyu mwamba namkubali Sana Mungu akulinde kamanda
@asaa3219
3 жыл бұрын
Apo Kwa mkono kwenda kinywani nikweli kabisa umtumikie shetani ndio upate watu wanauana machomacho 🥰🥰🥰🥰🥰
@directorcheedfaraway8982
3 жыл бұрын
Kazi kubwa sana kaka mkuu Simba mwenyew halisi #afandesele
@rashidibamangwe7022
3 жыл бұрын
Nimependa sana uyu jamaa wamwisho alivyokua ana walusha watu moro mabegani💪💪💪
@gadaffituva8037
3 жыл бұрын
Waaah....AFANDE SELE...
@josewillson1813
3 жыл бұрын
Nakubal kaka muombe mungu akusamehe Yale matus uliyomtukana
@zakariamwalupaso1559
2 жыл бұрын
Fund wa muda wote baba tunda nakukubari sana sele
@Manjalino
3 жыл бұрын
Kazi kali sanaa
@pilatoonlinetv9660
3 жыл бұрын
Huna hatia Mzee Baba Kama unatoka Moro kilakala piga keleleeeeee✌️
@isayagangster1048
3 жыл бұрын
Bigwa moja iyoo mwamba
@rishkhkhan3546
3 жыл бұрын
Yeyooooh
@gustiwambali8327
3 жыл бұрын
Naombeni npeni like hata kama mnamkubali 100
@mgosindima5758
3 жыл бұрын
Vichwa kama hivii hata darasani vimesumbua sanaa yani akili Sanaa// Horeza zakee
@jacquelinesangu1521
3 жыл бұрын
👏💪💪💪💪mungu ni mwema kweli hauna hatia
@MrCLove-tt2qd
3 жыл бұрын
Nakubali kaka sana wote tunalijuwa ilo piga kazi
@hermanndongolo1550
3 жыл бұрын
Bonge la wimbo
@sahalexcha3036
3 жыл бұрын
ngomaaaaaaa kaliiiiiiiiiiiiiiiii
@andrewanset4126
3 жыл бұрын
Raisi wa Morro u come back 🔥🔥🔥
@Tonnie_Dee
3 жыл бұрын
Nakubali rastaa
@barakamwamanda4771
2 жыл бұрын
Tunataka nyimbo nyingi zaidi king tumechoka kusikiliza makelele ya watu,mara amaboko,kamserereko sijui maujinga tuu ya kishenzi
@ismailmfaume7984
3 жыл бұрын
Safi dingi wa mziki wa moro sema bado hujakata kiu yetu tumemisi sana rymes zako asee keep it up mungu akueke sanah asee
@allysaid5503
3 жыл бұрын
Nakubr 😍 sana towa na nyingine
@timothyngumbau7575
3 жыл бұрын
Mistari kali Afande Sele, support from Kenya. One love
@darprprime3492
3 жыл бұрын
Tukirudia kuangalia zaid ya Mara tano kwa kuvutiwa na mashairi na ujumbe nzur Basi mungu atujalie afya njema tuendeleeee kupata mafunzo kupitia sanaa🙏🙏🙏🙏
@mubarakamtambo6783
3 жыл бұрын
Afande was here 🙌🙌
@shafiirajabu5207
3 жыл бұрын
Noma iyooooh
@mcdanta6919
3 жыл бұрын
Afande ngoma Kali 🔥 sanaaise saf
@omaryphua191
3 жыл бұрын
Vina havijapoteza mzee kweli wewe ni dhahabu
@sayukimethod3375
3 жыл бұрын
I have prayed this song ten times and I have never tired of it.
@kingveveadmire8412
3 жыл бұрын
Good sana my brother hujawahi kuimba upumbavu
@sebaskibiki4836
3 жыл бұрын
💯
@malcomx4067
2 жыл бұрын
I have played it over and over again, Afande Sele is an icon of the Tanzania’s music 🎵
@davyadamsontz
Жыл бұрын
You've prayed???? tumia tu kiswahili
@chrisjacob4057
3 жыл бұрын
Mwalimu Rasi simba,kingereza kingii
@ibrahimjoseph9417
3 жыл бұрын
Mfalme umeonyesha ukongwe mule mule
@godfreymlay2016
2 жыл бұрын
Salute kwako bro uwa nakuelewa sana goma zako zote ni zakufikirika bro
@frankwaziri9215
3 жыл бұрын
Huwa nakukubali sana, maana unajua kupangilia vina
@klcmedia2503
3 жыл бұрын
Ngoma kali sana Brother,tumemiss sana burudani zenye ujumbe kama hivi
@sebaskibiki4836
3 жыл бұрын
Sure
@videozaaj1069
3 жыл бұрын
THE KING IS ALWAYS A KING🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏🏽🔥SALOUT SANA AFANDE
Пікірлер: 769