UNBELIEVABLE!! MASTER JESUS INTERVENES MORE THAN 9 YEARS OF NO FRUIT OF THE WOMB WITH A BOUNCING BABY!
Mrs. Albertina John from Kimara, Dar Es Salaam, joyfully testified that for over 9 years, she sought the fruit of the womb from various churches and witch doctors without success. One day, she met her destiny helper who invited her to Christ Mandate Church. With little faith, she lost hope that her prayers would be answered but she attended services, including the Fruitfulness Service, where she ate an anointed apple and shared some with her husband. Glory be to God, she miraculously conceived and is now testifying with her bouncing baby.
Receive what you have been believing God for by faith, in Jesus' name! Amen!
//////
YASHANGAZA!! BWANA YESU AINGILIA KATI KWA KUMPA MTOTO BAADA YA TATIZO LA KUKOSA UZAO KWA ZAIDI YA MIAKA 9!!
Bi. Albertina John kutoka Kimara, Dar Es Salaam, alishuhudia kwa furaha kwamba kwa zaidi ya miaka 9, alitafuta tumbo la uzao kutoka kwenye makanisa mbalimbali na waganga wa kienyeji bila mafanikio. Siku moja, alikutana na msaidizi wa hatima yake ambaye alimwalika Kanisa la Christ Mandate. Akiwa na imani kidogo, alikata tamaa kwamba siku maombi yake yangejibiwa, lakini alihudhuria ibada zote ikiwa na pamoja na Ibada ya Uzao, ambapo alikula tofaa lililoombewa na kutiwa mafuta na pia kumpa na mumewe alile. Utukufu uwe kwa Mungu, alishika mimba bila kujua na sasa anashuhudia akiwa na mtoto wake mzuri.
Pokea kile unachomuaminia Mungu kwa imani, kwa jina la Yesu! Amina!
Негізгі бет After more than 9 Years of no Fruit of the Womb, now she is with a Baby! WATCH!!
Пікірлер