upo sawa mtumishi wa Mungu huyo jamaa alikutusi sana
@1961nungwi
18 күн бұрын
Amen. Tusamehe 70 mara 70!
@cathelinematondo3992
23 күн бұрын
Amina baba yangu Hakika umenena vyema kabisa.arudi huko huko.😭😭
@bcozhenry2698
23 күн бұрын
Aaah, Mtumishi Mbarikiwa hakika Mungu alimfanyia wiring ya kipekee
@kaaakwakutuliaa5179
18 күн бұрын
HAPA HAKUNA KANISA ,KAMA YESU ANGEKUA HIVI SIJUI WOKOVU UNGEKUA VIPI
@samwelnevele7796
20 күн бұрын
Mzee achana na visasi utazidi kuumia bure
@CHRISTIANMWANAMFIPA
22 күн бұрын
Amen baba aje kwanguvu ileile
@josephamwenda
19 күн бұрын
Jamani Mungu wetu nimkuusa na
@hoseamwambambale3503
23 күн бұрын
Kwa sababu mbeya nipafaam kwa sababu ya mchungaji mbalikiwa najua kilicho niponza ni kusikiliza neno la mwanzo na kukosoa ila nina omba muni sameeni sana tena sana nina sema kwa kumanisha kinywa changu kimeniponza ila nina omba msamaa wako baba ati list nami nije apo nipate moyo kama uo nina omba unisamee sana
@infodigtechforcommunityemp4103
21 күн бұрын
Amina
@simonndunguru1629
21 күн бұрын
Duu Mashimo Sikuhizi haonekani. Alikuwa anajifanya Mtabiri wa Mpira akiaomba Pesa. Yamemkuta
@youngsachafurniture5482
14 күн бұрын
Nenda mbez mwisho yupo kila siku pale anaomba omba sadaka za watu
@daudimichael7338
23 күн бұрын
Kama ndiyo huyo uliyemuweka picha yake hapo, hafai hana huduma ya Mungu, ana njaa tu inamsumbua, ungempokea na kumpa ukweli na kumsamehe. Vinginevyo na wewe una hasira naye basi na husamehi. Siyo sawa.
@isaacmwaseba9972
22 күн бұрын
Wanatafuta kik tu hamna kitu hapo.
@pastor_mashimo
21 күн бұрын
Picha yangu imefuata nini kwenye hiyo clip
@brianshomi722
20 күн бұрын
Hahahaaaaaaaaaaaa😂 Sikia ujumbe kiongozi wangu
@jitabojilala6162
19 күн бұрын
Hukuhusika kwa chochote?
@juliusgitonga363
23 күн бұрын
Kweli aende akatubu kwa hizo media
@user-wf5tx3cw8e
23 күн бұрын
Na hiyo unasema ukweli baba ukiuwa kwa panga tarajia panga alikutusi ukiwa gerezani na yeye yamemkuta
@hoseamwambambale3503
23 күн бұрын
Daaa ila nina juta kua mbali na mtu uyu nami nipp miongoni mwa walio wai kukosoa ila kwa yote mdomo wangu unanifanya nitengane na mtu muim sana na kitu kimoja ambacho nakipenda kutoka kwa uyu mzee ni moyo wa ushujaa na moyo wa kuto kugeuka apo ndipo mwacho wa kunifanya nitamani kua kalibu na mbalikiwa japo najua wazi pengine ato nipokea ila nina teseka sana juu ya kua mbali na mzee nakosa vitu vya maana nimekua mtu wa ovyo kisa kua mbali na mzee kwa yote naomba mnisamee na kama nitalusiwa kuja tena mbeya nitashukulu
@modestapeter2997
23 күн бұрын
Na hujakosea hutopokelewa kiraisi na nilikuambia mapema kua UKIJA UTANIKUTA MIMI MLANGONI NITAKULIPIZIA UJINGA WAKO maana nakumbuka maneno yako moja baada ya jingine na nilipotaka kukutuliza duh? Inauma sana KWASASA SIJA KU BLOCK ndomaana unapata video zetu basi mimi naona ni moja ya hatua kubwa kuonyesha kua tumekupa nafasi Ila anzia FACEBOOK ulikoanzia matusi KUTUBU fanya hivyo mwezi 1 nakadilia siku ulizotukana baada ya hapo tuma ujumbe kwangu najua namba yangu bado unayo nitakujulisha hatua ya 2 ya kufanya ukiweza nitakuruhusu ukanyage hapa Ila ukiona tunajiinua basi baki na mtazamo huo
@modestapeter2997
23 күн бұрын
Na nadhani unanijua vizuri mimi kukujibu tu kwa koment hiyo nimekupendelea sana nina uwezo mzuri wa kunyamaza nakujifanya sikuoni
@mosesg.pendael8381
23 күн бұрын
@@modestapeter2997kwani mnalipiziana?
@hoseamwambambale3503
23 күн бұрын
@@modestapeter2997 naomba unisamee kwa yote
@hoseamwambambale3503
23 күн бұрын
@@modestapeter2997 naomba unisamee na unipe nafas ya kuja tena mbeya
Пікірлер: 29