We Mungu wangu kupitia ushudà huu na maombi ya Mtumishi wako niponye na Mimi miguu, kiuno, mgongo, mishipa ya dam, weka Ute kwenye mifupa yangu, niponye
@barakawilliams5386
2 ай бұрын
Mungu nakuomba kupitia ushuhuda huu, na maombi ya Mtumishi, nifungue na Mimi na uzao wangu na familia yangu vifungo vya ibilisi vituachie, tukutumikie wewe peke yako Mungu
@HadijaYahaya-hu9ze
3 ай бұрын
Eeh mwenyz mungu kupitia ushuhuda huu nifungue na mi.
@ProphetMasunga
3 ай бұрын
Niguse nami bwana Yesu niko hapa mombasa nifungue.
@Dieudonnemasango
2 ай бұрын
Akufungue Kwa lipi, kwanza tupu zambi zako alafu umwabudu mungu katika roho na kweli ndo kufunguliwa: hiyo ndo ufunguo wa maisha yetu
@HildaBernard-t3n
2 ай бұрын
Mungu anisaidie mm nipat mume mwema
@FurahaAmani-v8g
2 ай бұрын
Pia mke wangu afungulie ktk jina la yesu
@josinteromondi
Ай бұрын
Nami pia naomba nifunguliwe kupitia haya madhabahu nipone chronic infections na ndoto mbaya yaishe kwangu in Jesus name
@Eddylast
Жыл бұрын
Eee mungu baba naomba nami nifunguriwe nitenganiswe na ndoto mbaya
@maggiemuturi5010
Жыл бұрын
Mungu nikubuki ewe Elshaddai
@HappynesMusa
2 ай бұрын
Amina
@ChanceKahambu-c3q
6 ай бұрын
Mungu nikumbuke nami nifunguliwe mbona shida zinanisonga,
@RehemaElias-el3jg
3 ай бұрын
Eee mungu nifungue na mm sijaolewa na mda uumeenda nataman ndoa kupitia dada wa uganda alivyo funguliwa na mm yesu anitendee
@apiutsimiyu2354
2 ай бұрын
Niko kenya
@JosephSiparo
Ай бұрын
Utaolewa tu dada yangu ingia Kwa maombi
@AlfonceGwambiyeBilantanye
2 ай бұрын
Mungu akubariki pastor, nimebarikiwa na ushuhuda huo nguvu ya ufunuo izidi hakika.
@ruzindazajonas8506
Жыл бұрын
Ahwiiii !! Rose! Rose!!! Kweli !! Mbona hivyoo? Mungu wee!! Sijui niseme je!! Hio ni message tosha!! Mungu weee! Wasaidie walio wa kwako !! Yesu ni njia na uzima na ukweli !! Msema kweli ni mpenzi wa Mungu na hufanikiwa ktk yote.
@LeahChiro
2 ай бұрын
Amen ,pia mm nifunguliwe na hio roho ya ndoa za kiroho ,mungu anibariki na ndoa yangu
@rukiafredy8161
3 ай бұрын
Mungu naomb nifungue kupitia huu ushuhudu
@RehemaMwaikenda
2 ай бұрын
Ameeeen tenda miuniza
@ReineDorDiamant
6 ай бұрын
Mungu naomba na mimi unifunguwe ukifunguwa wangine na mimi niko na mtu ananigusa usiku nanamusikiya naamuka naomba naomba Mungu anifunguwe sana🙏
@Dieudonnemasango
2 ай бұрын
Ufunguo wetu ni yesu kristo , kumwabudu katika roho na kweli ndo ufunguo wetu
@CheerfulCamping-nc3vt
9 күн бұрын
Mungu naomba kupitia ushuhuda huu nifunguliwe nipate mume sahihi maana naishi na mganga wa kienyeji yesu nisaidie
@AmissaNduwimana-wt6ud
6 ай бұрын
Asante Mungu Naomba namimi unifunguwe unapo gusa wengine Nami niguse usinipite😢
@lilianowti5477
Жыл бұрын
I tap the deliverance in Jesus Christ,amen
@esnathshop7780
3 ай бұрын
Asante nimebarikiwa sana nitafunguliwa kupitia ushuhuda wa huyu dada.
@jennynico303
2 ай бұрын
🙏
@franswazNyiramuhiza
6 ай бұрын
Nami naomba unifungue katika jina la yesu usinisahau mungu
@salomeelias4748
Жыл бұрын
Nami naomba unifungue katika jina la yesu.
@dinacarlospaulo1722
Ай бұрын
Amém 🙏
@esnathshop7780
3 ай бұрын
Amen barikiwa sana mtumishi 🎉🎉🎉
@florajohn-z8g
2 ай бұрын
AMINA anavyofunguliwa mama huyu katika ndoa yangu nami nafunguliwa.
@esnartkayuni558
Жыл бұрын
Mungu funguwa watoto wangu namimi puyaa
@sifabeatricekelly9495
Жыл бұрын
Amen bishop, naamini na Mimi nimepona kupitiya iyi Maombi naufungulivu.
@monicaisuja8917
Жыл бұрын
Bishop sumbe niombee nipone magonjwa yote na nifunguliwe kiroho Roho ya kuomba imeondoka mwezi wa tatu sasa naumia sana
@KastuliJohn-p1p
11 ай бұрын
Bishop nakufuatilia vizuri, Nina shida ya kukataliwa, Kila nikipanga haitimii.😊
@BEATRICEKEMUMA-r4l
2 ай бұрын
Pastor niombee msichana wangu apate KAZI tumetexeka sana
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Dunia ina mengi kumbe watu wametekewa Hasa Mungu fungua Watu wako Wanaoteseka
@naimarishedy1523
8 ай бұрын
Eee mungu naomba nami nifunguliwe🤲
@purymumykarisa8863
4 ай бұрын
Amen and amen in the might name of Jesus christ
@naimarishedy1523
8 ай бұрын
Barikiwa sanaaa 🙏 mchungaji
@bahatikaaya388
2 ай бұрын
Mungu anitendee na mimi jamani, nimeipata misscarage 6, na hapa nilipo nina ujauzito na doctor kaniambia hakuna mapigo ya moyo ya mtoto, mungu anitendee na mimi.
@adventurio-co4ro
7 ай бұрын
EeeMungu tunususuru na hizi roho Kwa jina la yesu
@بدرعبدالرحمن-ل5خ
6 ай бұрын
MUNGU akubariki sana
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Asante Mungu kwa Wema wako
@elizabethchiwamba8372
3 ай бұрын
Naomba unifungue na mimi Mungu
@lameckmbise4834
Жыл бұрын
Mungu mkuu ninakushukuru kwa uponyaji
@JoshuaUlomi-h4o
2 ай бұрын
Nisaidie yesu mwema
@emanuelshila9343
Жыл бұрын
Yesu ni Bwana
@Monicamallange
Жыл бұрын
Eee mungu naomba na mim nitenganishwe na ndoto mbay za kutisha
@pricillaakoth417
Жыл бұрын
Mungu nami nfunguwe ukaniondele hayo mateso
@Eben-ezerNtumba
9 ай бұрын
Sifa zi murudi mwenyezi Mungu
@NGUVUYAMUNGUTV
Жыл бұрын
May the Lord Jesus Christ deliverer you
@lilianowti5477
Жыл бұрын
Hata mimi nafunguliwa in Jesus name.
@philistersbibi180
Жыл бұрын
Mwenyezi MUNGU ni mwaminifu, naomba mimi pia mwenyezi MUNGU anifungua katika jina la YESU christo
@anjelamalaas8054
Жыл бұрын
Amina namimi ninaamini nafunguliwa kwa jina la yesu
@annalivini3940
Жыл бұрын
Yesu kwa kupitia mama huyu napokea uponyaji kwa jina la Yesu, Yesu niondolee na nguvu za giza zinasonitesa miaka mingi,Ee Yesu nisaidie.
@annalivini3940
Жыл бұрын
Mchungaji ndoto za huyo mama zinafanana za kwangu, Yesu nisaidie nipone.
@elishaathumanathuman16
8 ай бұрын
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏🙏
@jeriahonkoba
2 ай бұрын
Baba naomba kufunguliwa nipate ndoa yangu na nipate mtoto ee mungu niulumie
@mikasangida1080
3 ай бұрын
Niguse na mm mungu
@RachelTulia
2 ай бұрын
Eeee Mungu nikumbuke na mimi
@MamaroziNestory
2 ай бұрын
Naomba mungu anifungue na mimi
@millicentrabera
Жыл бұрын
Pia mimi nasumburiwa namajini kaba niombeeni n jesus name
@millicentrabera
Жыл бұрын
Wonderful from God
@Mary-hx9yn
Жыл бұрын
Hio ni roho imenikalia kwa muda mrefu lakini kupitia kwa huyo dada nitafunguliwa kwa jina la yesu
@vestinedusabe4285
Жыл бұрын
Mimi pia dada angu kama hivo namimi ninaimani itafunguka🙏🙏🙏🙏
@KhadijaJacob
2 ай бұрын
Amina
@JosephSiparo
Ай бұрын
Amina
@ScolasticaJoseph-r8y
2 ай бұрын
Niombeee naumwa mgongo na kiuno
@lovelynermbuche1635
Жыл бұрын
Glory be to God🙏
@annaemidi8049
Жыл бұрын
Powerful 🔥🔥🔥🙏
@lilliannamusoosa5012
Жыл бұрын
Amen
@elizammary7186
7 ай бұрын
Kweli Mungu yupo🙏
@felixbenos6365
Жыл бұрын
God is everything
@elishaathumanathuman16
8 ай бұрын
Amen Amen papa
@NancyWamaitha-ex4xu
2 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏
@julietrehema9845
Жыл бұрын
Imeshindwa kuzimu kwa jina la yesu
@jeriahonkoba
2 ай бұрын
Ameeeeen 🙏🙏🙏🙏🙏
@DevotaLedawi
3 ай бұрын
Devota ezekieli kutoka keñya watoto Wangu wamekuwa vituko sijui ñini nisaidie mtumishi
@CheerfulCamping-nc3vt
9 күн бұрын
Ee mingu naomba maombi nami naota nazaa watoto kwenye ndoto
@Eddylast
Жыл бұрын
Nami pia namini nitafunguliwa kupitia huyu dada
@julietrehema9845
Жыл бұрын
Hiyo iliisha sasa
@agnesspaul1866
2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@enockmumbere84
Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ amenn
@olaissmollel8mollel8-ou6dm
Жыл бұрын
Ameen baba
@NancyKilei
2 ай бұрын
Nimeachika 10 yeas paster niombee plz
@UpendoMfimwa
6 ай бұрын
Njoo na iringa mtumishi
@lilianowti5477
Жыл бұрын
Ameeeeeen
@ConsolataFabian
2 ай бұрын
Naomba pasta niponye nyonga inauma na pia nimeshuka kiuchumi nisaidie baba
@Dieudonnemasango
2 ай бұрын
Huyu mchungaji awezo kuwa ufunguo wa maisha yako wewe
@ruthsagome6220
Жыл бұрын
Nifunguliwe kutoka kwa maroho ya ndoto mbaya na watoto wangu wafunguliwe kimasomo walirudishwa nyuma na watu najua
@nikolaus-ez7lu
Жыл бұрын
Nami naamini yesu ananifungua sasa hii.amina.
@RachelKingu-x6g
Ай бұрын
Ee mungu naomba nifunguliwe na mm kupitia madhabahu hii
@immahkisuke1564
Жыл бұрын
Amen hakika ww ni MUNGU TU
@lilliannamusoosa5012
Жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏
@rerisamba
2 ай бұрын
Watu wanajua kutesa wenzao
@lilianowti5477
Жыл бұрын
Niko Kenya,nawapata vipi watumishi,nataka kuja kanisani.
@ReginaGhati
6 ай бұрын
Ikawe kwangu kupitia ushuuda huu
@ElinaBernard-ih7xp
3 ай бұрын
Unapogusa wengine baba naomba niguse na mm
@mmas3978
Жыл бұрын
Emungu na omba na mimi nifunguriwe
@AnitaJohn-o4r
26 күн бұрын
Samahan asikofu mbona huyu mwanamke alikuwa ni mwana maombi lakini imekuwaj haya mambo kwamba alikuwa hajasimama vizuri kiroho au shida ilikuwa nini?
@ljaymasaai7038
Жыл бұрын
Abariko mutumishi wamungu naitwa saitoti laizer naomba uniombee maana Niko kazi nafanya lakini sioni mavanikio nalipwa kbisa lakini sinyanjii kitu maisha yangu inayumba yumbatu nataka kuja kwako baba uko wapi
@TatuRashid-d6t
3 ай бұрын
Uko mtaa gani mwanza pia dar?
@lucychamwi3903
Жыл бұрын
Kila ufanyacho fanya kwa upendo
@franckkalao7891
7 ай бұрын
Kufunguliwa, Sawa. Kwa Nini ameachana n'a même wake wa kwanza? Atengeneze n'a mumewe wa kwanza
@بدرعبدالرحمن-ل5خ
6 ай бұрын
MUNGU ndio aichunguzae mioyo yetu..
@eptz2020
2 ай бұрын
Kuachana kwake kulisababishwa na hayo majini mahaba na yakitoka yawezekana mume wake akarudi kumtafuta.HAYO NI MABAYA SANA NA YANAVURUGA KILA KITU
@RehemaElias-el3jg
3 ай бұрын
Mch,naomba maombi yako natamani ndoa na walionizalisha wamenikimbia nimebaki na watto wang wachumba wanakuja ila hawarudi kutoa mahari ila kupitia ndoto naona yupo mmewang ila bado kumuona naomba yesu anikumbuke na nivuke mlima
@jacklinemfangavo8464
2 ай бұрын
Yesu nikumbuke na mimi
@ObadiahMutambo
3 ай бұрын
𝑀𝑢𝑛𝑔𝑢 𝑛𝑖𝑘𝑢𝑚𝑏𝑢𝑘𝑒 𝑛𝑎𝑚𝑖
@josinteromondi
Ай бұрын
Nami pia naomba nifunguliwe kupitia haya madhabahu nipone chronic infections na ndoto mbaya yaishe kwangu in Jesus name
Пікірлер: 129