Mungu akubaliki sana❤❤❤ semaji la kimataifa mmakonde damdamu
@OmarRupia-w6t
2 ай бұрын
Namuombea mungu semaji langu siku ya simba day sauti yake iwe vizuri sana ili shughuli inoge
@AnjelaMatiya
2 ай бұрын
Pole semaji letu mungu akutie nguvu
@EstherDavid-x2f
2 ай бұрын
Nakukubal xanaaa xemaj letu la cuf❤❤
@allysunday8614
2 ай бұрын
Allah SW aendelee kukubariki sana na kukulinda semaji la CAF... linaendeleza vizuri lugha fasaha ya kiswahili....
@MariamJames-qn5gx
2 ай бұрын
Sisi simba tumetoa jezi nzuri sana utopolo wametoa kanga
@AnjelaMatiya
2 ай бұрын
Ahhmed 🎉🎉🎉❤❤❤
@MwajumaadanMngndo
2 ай бұрын
Uyu semaji sijaona wakufanan naye dah una kit chako 🎉🎉
@AnjelaMatiya
2 ай бұрын
Ubaya ubwellaaa
@ShekhMufyd-mn9zn
2 ай бұрын
Ahmed ally usinywe maji baridi sauti itakauka siku ya simba iwe vizuri ikiwezekana kunywa yai bichi la kienyeji tuwakomeshe utopwinyo unavyomtangaza ahuua
@gabrielnybala2165
2 ай бұрын
Nakuongezea akimtangaza pamoja na mpanzu
@CeciliaTimotheo
2 ай бұрын
@@gabrielnybala2165Yeah huku kwetu ni ubayaaa ubwelaaa🦁💪🔥, vitenge fc wakae kwakutulia😅😅
@davismaganga1264
2 ай бұрын
Badala ya ku concentrate kwenye kutengeneza timu ya kupambana na yanga mnaponda jezi subirini muadabishe ndio mtajua hizi jezi ni kijora au dela au kaniki
@DoreenMlay-e8g
2 ай бұрын
marehemuuuuu mko vizuri na sanda zenu
@barakajeston
2 ай бұрын
Ubaya ubwela
@DevothaBruno
2 ай бұрын
Yanga wanakuwaga na Uzi mzuri sana ila manjonjo wanayoweka yanaharibu jezi sana
@Saidaabdu
2 ай бұрын
Wamezindua jezi za vitenge, sare za waimbaji wa kanisani
@IssaBakari-b7w
2 ай бұрын
Mpenja jeni kaenda wapi ahmedi amemsi
@MikidadyAbdu
2 ай бұрын
Furahieni mara ya mwisho mwisho kabla ya kufika tarehe 8
@bahatimshali2731
2 ай бұрын
Semaji linatisha sana kwa vituko. Sio yule aliyefunguliwa yeye ni maneno ambayo huwezi kuyasikiliza ukiwa na watoto
@IsackVedasta
2 ай бұрын
Semaji la CAF
@AsanteHaruna
2 ай бұрын
😂😂😂😂Ila semaji,et mwembe YOUNG
@AbdillahChia
2 ай бұрын
Yanga na hadija kopa hawana tofauti
@magrethyeremia2279
2 ай бұрын
😂😂😂hujitambui wee
@Raphaelyusufu123
2 ай бұрын
Jezi za manyoka nyoka 😂😂😂😂😂 utopolo bhana
@PeterMuhina
2 ай бұрын
Vitenge fc
@ShabiriAdam-f2j
2 ай бұрын
Jezi.yasimba.nikali.sana
@hamissmohamed5097
2 ай бұрын
Kweli tukutano sokoni
@AngelIsack-sd4qy
2 ай бұрын
maua yk kaka
@MuntanziruZamoyoni
2 ай бұрын
Simba nguvu moja
@JamilaMbwana-o3i
2 ай бұрын
Ubay ubwellaaaaaa
@Yuleyule-u6c
2 ай бұрын
YANGA JEZI YAO UKIANGALIA KWA MBALI UTAZANI NI KITENGE KIMESHONWA.
@allyflavour8005
2 ай бұрын
Mwaka huu...wata chuchumaa...na wasanii ambao wapo wajiachie ...simba gari imewaka😊
@EladiusAmans
2 ай бұрын
Ubaya UBWERA
@SiraMinanda-k1n
2 ай бұрын
Unaweza ukapewa ya paka! Aaaaah!!!@
@Fibicant-pu6xg
2 ай бұрын
vitenge bwana utopolo dah😂😂😂😂
@MikidadyAbdu
2 ай бұрын
Kwani tarehe 8 ni mbali au
@SiraMinanda-k1n
2 ай бұрын
Mwembe yaaang! Kumbe hili eneo limetokana na lugha ya kichina
@BoniphaceMhaya
2 ай бұрын
Hahahahah et hal inatia faraja kwel maan mshakata tamaa
@VianeyTawete
2 ай бұрын
Watavaa vitenge mwaka huu
@MsukumaBodaboda
2 ай бұрын
Mbona hakuna alie vaa jezi mpya hapo au ndo sanda
@ausonjustinian4673
2 ай бұрын
Hii jezi ya simba hata ukiirusha mbugani hats simba myama ataiona km nguo ataiona km nyama.
@ZachariaMwita-bu7rw
2 ай бұрын
Semaji la kimataifa 😂
@ShabiriAdam-f2j
2 ай бұрын
Jezi.gani.hizo.zimekaa.kama.leso
@mitinjemaziku
2 ай бұрын
Maisha ni kuchagua uuze mitumba ikuhangaishe kuinadi na kuipromoti. Au Uuze special bila kunadi
@FadhiliMilowe
2 ай бұрын
Let ushaid BOYA WW umeuza wap vitenge vinauzwa 😂😂
@StevenKapugi
2 ай бұрын
Mwembe Yang
@MariamJames-qn5gx
2 ай бұрын
Utopolo wametoa jezi vitenge vina madoadoa da jezi gani hizo utopolo mavi
@JeremiaMathias-im8rp
2 ай бұрын
tukutane sokoni😂😂😂
@ShedraqKijangombe
2 ай бұрын
Msimu huu tumezamilia
@SharifaShabani-n8z
2 ай бұрын
Madera ya yanga
@josiacharles2778
2 ай бұрын
Vile vitenge vinafaa mwanamke kuendea matanga😂
@ZubedaAlly-k9y
2 ай бұрын
Mbona ww unarazimisha ajibu maswari yasiyo faha
@colombanipaulo8953
2 ай бұрын
Sanda
@SalvatoryMtunga
2 ай бұрын
Udugu umala.
@MwambasoniSadiki
2 ай бұрын
Hamuogopi
@geraldndosi2083
2 ай бұрын
Huyu mtangazaji hamna kitu
@ShabiriAdam-f2j
2 ай бұрын
enda.kariakoo.zinauzwa.wacha.ushamba
@gabrielnybala2165
2 ай бұрын
Walicho zindua utopolo ni emoji wala sio jezi wamepigwa za uso halafu wanatulazimisha tukubali kuwa ni nzuri hatuwezi kubali hizo ni vitenge kabiza
@RebeccaAndrew-dd4kj
2 ай бұрын
Sasa utakubali vipi na wewe ni kolo jamani ya yanga hayakuhusu sisi tumezipenda sana 😅
@Latifa-m4u
2 ай бұрын
ata kama ndo mzindue sanda😮😮😮😮
@gabrielnybala2165
2 ай бұрын
@@RebeccaAndrew-dd4kj 🤣🤣sasa nduo mzindue vitenge vya mwamposa aki nyie Mungu anawaona
@PendoMatemba-ql1ng
2 ай бұрын
@@gabrielnybala2165😂😂😂😂😂vitenge vya
@RoyaltyFamily-nk2km
2 ай бұрын
Bola sanda kuliko vitenge 😂😂😂 utopolo bwn alf wako bize wanavaa vitenge😂😂
@TwahirBurhan
2 ай бұрын
NDANI YA SIKU MOJA TU YANGA KAUZA JEZI KULIKO WALIOZINDUA JEZI SIKU NNE ZILIZOPITA
@omarkipotwile9052
2 ай бұрын
ni vyema ukatupea takwimu na channzo cha taarifa
@MgazaMhina
2 ай бұрын
Umejuaje
@colombanipaulo8953
2 ай бұрын
Yanga baba lao
@iptisamismaill-f6h
2 ай бұрын
Jez au vijora vya dida
@ISDORYCOSTANTIN
2 ай бұрын
Ww muongo muongo rekodi umeitoa wapi
@yasinismail-hb4so
2 ай бұрын
Anahangaika kama mtoto wa ndege
@ZachariaMwita-bu7rw
2 ай бұрын
Tulieni msubiri kuvaa vitenge
@LindaMbilinyi-n3n
2 ай бұрын
Ovyooooo
@ZachariaMwita-bu7rw
2 ай бұрын
@@LindaMbilinyi-n3n 😂😂😂 mmeiba na rangi
@SIMANKOMBENkombe
2 ай бұрын
Ubaya ubwela
@MariamJames-qn5gx
2 ай бұрын
Utopolo wametoa jezi vitenge vina madoadoa da jezi gani hizo utopolo mavi
Пікірлер: 97