Mbarikiwe sana nawapenda sana mnafanya kazi nzuri Mungu awaweke katika viwango vya juu muende zaidi ya kawaida.
@MalakiYusuph
6 ай бұрын
Daima nawapenda sana Shinyanga choir🎉🎉be blessed all...ila kuna wimbo nautafuta sana u tube siuoni wa kwenu unaitwa Bwana kaniambia usiogope naombeni muuweke basi nipate kuupata maana huwa unanibariki sana
@giriadbirusha7006
11 ай бұрын
Bonge la ngoma ya kiinjili ! Ninawapenda mno ❤❤❤
@silanzuki8627
Жыл бұрын
Waw so sweet shinyanga aic choir My best ministering choir
@fatumamichael5664
Жыл бұрын
Mungu awabariki Sana watumishi muendelee kumuinua yesu juu ameni🙏🙏🙏🙏
Пікірлер: 10