Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mh.Juma Homera amewataka Madereva kuwa makini pindi wawapo Barabarani na kuachana na tabia ya kukimbizana kwenye magari
Aidha Homera amewataka Polisi Mkoa wa mbeya kukagua vidhibiti mwendo kwenye kila gari ili kupunguza ajari zisizo lazima na kuua watu wasiokua na hatia kwasababu ya uzembe wa wamiliki wa magari
Aidha homera amewataka abiria kutoa taarifa pindi waonapo mwendo mkali kutoka kwa dereva kupitia jeshi la Polisi au LATRA
Негізгі бет AJALI YAUA WATU 12 MBEYA RC AAGIZA UKAGUZI MKALI MAGARI MABOVU YASIRUHUSIWE KUSAFIRISHA ABIRIA.
Пікірлер: 1