Inshallah Mwenyezi Mungu akupe wepesi umejipambania pia Mama kakupambania Tanzania bira madawa inawezekana..
@swahiliwithZita
Ай бұрын
Nimependa ujasiri wako babygirl. Mungu akutumie uwe mbaraka kwa wengine. Bravo Joyleen 🎉 keep pushing forward ❤
@treasurerussel3422
Ай бұрын
Eeeeh Mungu baba wa mbinguni 😢😢😢😢😢😢😢😢 pole eeeh Mungu waepushe watoto wetu
@Mirrachy571
Ай бұрын
Joleen, I remember her from Marygorethi , I thought nimemfananisha! Aiseee Mungu anakupenda❤️❤️
@DxbYae
Ай бұрын
Pole sn mdogo wng 😢Alhamdullah umeludi kwenye Hali yk mungu akusimamie usiludiye tena dunia mapito pole
@neemavictor1800
Ай бұрын
Glory to God for healing you.. you are amazing!
@chani_tayra_official1860
Ай бұрын
Pole dada🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺Tanzanian will never understand this😥😥😥😥😥😥mungu akupe nguvu na aazidi kumuwek mama yako
@Jassmin-media-official
Ай бұрын
Hongera sana kutoka kwenye janga,lakini punguza hivyo vipuli you are so beautiful toa midomoni uwe wakawaida
@Irenenkya
Ай бұрын
Nimemuelewa sana your verry beautifully lady you can do so much in your goals face your fear
@ashuraismaily1678
Ай бұрын
Mtu akikusikiliza kwa makini bila kuangalia namna ulivyo kuna kitu ataondoka nacho na kitamsaidia sana kwenye maisha. Stay blessed sis
@keyla3641
Ай бұрын
Huyu dada kaongea vizuri sana ila bado hayuko sawa
@AlaikaHassan
15 күн бұрын
Ni kweli sababu toka ameanza kujitambuA ana kama tu miez 3 hana muda mrefu baada ya kuhangaika kupona kwa takriban miaka 3
@sophiasophia9713
Ай бұрын
Mungu tulindie watoto wetu 😢
@rosehaule6765
6 күн бұрын
❤
@KinanaZagar-pv6qc
Ай бұрын
Pole kipenzi allah akufanyie wepesi uwe mfano kwawengine
@AdellahJonas
Ай бұрын
My deir lm so proud of you ww ni dhahabu na ni wakati wa hiyo dhahabu kungaa sasa
@trizereve3386
Ай бұрын
Ndio manaa nikiwaona wanaotumia madawa nawachukulia kama nduguzangu nawaonea huruma sijawai kuwazarau🥹🥹🥹
@treasurerussel3422
Ай бұрын
Very beautiful lady ❤❤❤❤ and strong
@nicolauselias9084
11 күн бұрын
Mi naona kama hujapona vzr vile
@susankitila2898
22 күн бұрын
hili ni janga haswa. hongera dada. kwa ushuhuda wako. endelea kutoa elimu hii iwasaidie vijana watoke huko au wasijaribu kujihusisha na urahibu huu.
@MpalleyMwaipola
29 күн бұрын
Mungu akusaidie wewe binti Binafsi nimekuelewa sana sana
@zuwenasalim2794
Ай бұрын
Mungu mwema umepona,sasa punguza hizo pini kwenye mashavu na kwengine utakuwa mzuri zaid ,Mungu akutangulie
@iantussa9064
Ай бұрын
Yaan atoe kwakweli
@veronicalufingo3513
17 күн бұрын
Hazitoki😂😂😂😂mpaka operation 😢😢
@epifaniakavishe9282
Күн бұрын
Watoto wa matajiri hua wanasumbua sana wazaz
@trizereve3386
Ай бұрын
Ilikua nimpeleke mtoto wangu ulaya kusoma but simpeleki tena
@BoraChongera
Ай бұрын
Watu tunatakiwa kuacha kua Mungu watu,mwenzenu yuko apo ku eleza naku heal aliyo pitia naku saidia wengine,your busy judging her watanzania ifike hatua tuache aya mambo,,chizi ana chekesha akiwa hatoki kwenu mna kela sana Mungu watu akuna mtu asie kosea duniani
@angelaron8977
Ай бұрын
Ambao hamjamuelewa mnashida
@LatifaHashim-rn1ip
Ай бұрын
Your brave thankyou for sharing your story
@kagoyemwambal9061
Ай бұрын
Pole sana .. mungu akusimamie usilud nyuma tena
@innocentymgongolwa4668
Ай бұрын
Esco unaelewa lakini?
@jennet6484
Ай бұрын
Sijui mnamuelewa??
@bennamush4616
Ай бұрын
Sijui unanyelewa 😂😂😂 huyu bado hayupo sawa
@merinakassembe118
Ай бұрын
Esco nyoa ndevu kaa kama zamani ulipendeza umo
@CATHERINEKANYAGHA
13 күн бұрын
Huyu mtangazaji hajui kuuliza maswali reasoning yake iko slow sana hajui kuuliza maswali maana binti anafunguka sana…tungepata mambo mengi zaid kutoka kwa binti
@BrownHuncho-jt6oi
Ай бұрын
huyu binadamu kweli na je ana hofu ya mwenyezi mungu
@Kristina-fb4jq
Ай бұрын
Nyie washika dini mna roho mbaya mno!!! Kabla hujaanza kumhukumu huyu jiangalie wewe kwanza
@mbaruku5942
Ай бұрын
@@Kristina-fb4jq true true
@SalmaJumanne-sn7tt
Ай бұрын
Mtangazaji cjui unamuelewaaaa.😄
@MonadiNadi-j6s
Ай бұрын
Pole sana😭
@gladnessmkony1304
Ай бұрын
God loves you sooooo much all the best🫡👏🏽
@rayvanlimo4928
Ай бұрын
TUJIFUNZE KITU KWA WALE WASIOIJUA THAMAN YA MAMA HAPA DUNIAN MUNGU AWABARIK AKINA MAMA WOTE DUNIAN NA AMJALIE MAMA YANGU UHAI MREFU NA AFYA NJEMA SIKU ZOTE
@almasbakari5359
Ай бұрын
Ebana Esco umeiva mzee mtoto unafunguka in and out
@rosemajivuno
Ай бұрын
story yako inafanana na ya Elibariki kutoka kwa report ya Leo na Veronica simulizi EFM. Pole sana
@angeldavid4720
Ай бұрын
Yaa Kuna mtu kocomment kuwa ni uwongo kuchanganyiwa kweny kinywaji ikiwa at kwa Elibariki alichanganyiwa kwenye kinywaji ndo akaanza kuharibika😢
@estakikoth3348
Ай бұрын
Kweli aiseeee😢
@rosemajivuno
Ай бұрын
@@angeldavid4720 kunabaadhi ya watu wanaropokaga tu huku mitandaoni bila ya kujali wala kujua kuhusu ukweli wa mambo. Inabidi kuwasamehe and hopefully wasije wakakutana na hivi vitu. Ndo watajua hawajui.
@rosemajivuno
Ай бұрын
@@angeldavid4720 kuna watu wanajua kuropoka sana mitandaoni intead ya kujifunza. Ni kumsamehe tu na hopefully asikutane na haya mambo. Ndo atajua ajui.
@Deedlr4767
Ай бұрын
Nilikua naitafta hii comment kumbe watu weng jmn wanapata izi changamoto jmn😢ad huruma
@NasratMushi
Ай бұрын
Daah
@BIGBOSS-hl3bu
Ай бұрын
Najana wenzangu ,tuepuke MARAFIKI WABAYA ambao watupelekea kuwa watu wasiokuwa na MCHANGO ktk jamii
@AFRICA_D669
Ай бұрын
Sns, kama vipi tusitowe taarifa yoyote mpka juma pili maana ndio siku ya kivumbi huko mashariki ya kati kwa sasa tuko msibani jaman
@zahorsuleyman7617
Ай бұрын
Nikweli jpl,mashariki yakati patachimbika,Ila mungu atunusuru.maana kama itakua hivyo basi hapo ndiorasmin third world war.historoa inajirejea hata vita yapi ilikua imeanza zamani lkn ilikuja kushamir baada ya kiongoz aliekua amepanda Farasi kuawa.
@AFRICA_D669
Ай бұрын
@@zahorsuleyman7617 haswaaaa ndio ukweli hata ikifatilia mashambuliz mengi hufanywa J pilu
@AFRICA_D669
Ай бұрын
@@zahorsuleyman7617 haswaaa maana hata ukifatilia mashambilizi mengi ya mashariki yakati hufanyika juma pili,
@GraceKija
Ай бұрын
Ayo ma pin mengi
@solangekubota9487
Ай бұрын
Mbona kama ajaacha
@zuumlondwa9518
Ай бұрын
Umempima au
@joycekerenge3605
18 күн бұрын
Muamini maana yupo kwny mapambano Mungu aendelee kukufunika
@Sidrasidra636
Ай бұрын
Mmh!🤒
@Mamshika
Ай бұрын
Mbona kujiua ulichukua vitu vyepes😅 sasa unajichoma kwenye mkono si ungechoma tumboni
@annievibes8794
Ай бұрын
Inaelekea wewe mzoefu wa hivyo vitu
@mdbosco1640
Ай бұрын
😄😄😄
@mountaincoffee7
Ай бұрын
Jina la move plz😂
@mountaincoffee7
Ай бұрын
😢 sijui unanielewa iyo kauli kwaaliye tumia
@maryamtanzania9743
Ай бұрын
Sasa kwa nini usivaevizuri
@Mariam-fm8vq
Ай бұрын
Mh jaman mpaka anatisha huyu dada 😮
@keyla3641
Ай бұрын
Sky hawa watt hawawi wakweli vipi wanaingia kwenye madawa. Stori zao sio za kweli upo ukweli sio wote wanaekewa hawajui viko vyazo. Vya biaashara hawanaoenda enda kusoma wanakuwa wakiletewa pesa kila miezi kazaa wanaingia tamaa kuzalisha pesa zao hii ndo sababu wanakutana na makundi yasio sahii na wingi wao najianini hawawezi kutumia
@richardhosea8827
24 күн бұрын
Hajapona huyu bado ana hungover ya kwenda nje
@mariej6962
28 күн бұрын
Muhanga wa madawa tena halafu anataka muziki. Huko si ndo kumrushia fisi mfupa? Run away from enablers girl, hii familia inanichanganya kwakweli wamefight sana amepata ahueni lakini wanataka tena kujiweka kwenye spotlight ambayo siyo sahihi.
@ChadoraMANYENGA
25 күн бұрын
My Friend Kwawao Kujitokeza Wengine Tunajifunza !!! ACHA HAKUNA ANAEPENDA SHIDA
@Entertainmen_tv2024
Ай бұрын
Mh kumechangamka kalewa
@samsunggalax8258
Ай бұрын
That is ur moves pls usidanganye watu pls
@georgelugwisha8798
Ай бұрын
POLE SANA
@zainabwage4658
Ай бұрын
Kumeanza kuchangamka 😂😂😂
@nancyg8664
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@Kibaadvocate
Ай бұрын
Sijui unanielewa@@nancyg8664
@keyla3641
Ай бұрын
Uko alipokuwa ni madawa mengi biashara zinafungwa
@FatumaKhalphan
Ай бұрын
Cjui umenielewa imetajwa kama Mara 10000
@AdellahJonas
Ай бұрын
Kwakua ua nia ya kusaidia vijana wenzako mungu awe pamoja na wewe
@faudhiasalum7279
Ай бұрын
Vuta ayo madude hbn loooooh 🤧🤧🤧
@aishandayishimiye5127
Ай бұрын
Hadi mapenzi ni uraibu kitu kikizidi niuraibu
@lilianwaflotina1288
Ай бұрын
Izo tatuu mmmmm😢
@nancyg8664
Ай бұрын
mbona kama bado mlaibu sijui unanielewa
@BuhetySharia
Ай бұрын
Uyo mbna crazy mnamhoj
@aishakhamis2996
Ай бұрын
Yaan km kichaa ..!!
@BuhetySharia
Ай бұрын
@@aminammbaga7736 ...😆😆😆.we unamuonaje??...tatz ww unahisi km ameshavuka kwnye hayo majanga...kumbe Bado....
@Mirrachy571
Ай бұрын
@@aishakhamis2996 jamani ni mtu amepitia drug addiction kali, sio kichaa!
@mbaruku5942
Ай бұрын
Tuache uoga tunadis wakat hatujatembea ukitembea utakutana na watu kama hawa wanafanya maamuzi makubwa ya maisha yetu
@SajoAbel
Ай бұрын
Kichaa anachekesha kama sio ndugu yako omba yasikukute
@hamidajabu3324
Ай бұрын
Mtihaniii jmn kwan insta anaitwa nani
@Khadija-ne8ul
Ай бұрын
leen misamba kibonge mwepesi
@millymack1370
Ай бұрын
She would be a very beautiful without those excessive piercings.
@munirahassan5969
Ай бұрын
Simwelewi na mywele na tattoo kama chiziii
@sergebaleke695
Ай бұрын
Sasa ivio vimi tattoo midomo too much black utafikiri barabara ya lami, toka apa
@hollymore4904
Ай бұрын
Bado hajapona...alosto hizo
@bennamush4616
Ай бұрын
Bado kabisa
@MpalleyMwaipola
29 күн бұрын
Kwa mtu mwanye akili timamu ukisikiliza hii interview utakaa chini na familia yako na kuwaeleza ubaya wa madawa
@lilianwaflotina1288
Ай бұрын
Ivi ilo shavu Nini umeweka
@subrynerysegerow1323
Ай бұрын
Katoboa kaweka sijuw ndo kipini
@lilianwaflotina1288
Ай бұрын
@@subrynerysegerow1323ee mungu tusaidie urembo huu😢
@samsunggalax8258
Ай бұрын
Lol uku kunavipimo kwenye nywele zako so stopped kudanganya
@boubabizo246
Ай бұрын
Mbana😂 kama mdomo wawo unasema tofauti? Stop vizuri bhana
@FatinaSelestine
Ай бұрын
Mm hata sjasikia alkuwa nchi gn
@mbaruku5942
Ай бұрын
Turkey
@alphamgimba7125
Ай бұрын
Cyprys
@Jackiedaniel75
24 күн бұрын
Cyprus
@kamalbashir5127
Ай бұрын
Hizi tv nyengine bongo hazina faida!
@nancyg8664
Ай бұрын
sio nyengine, nyingine.
@SajoAbel
Ай бұрын
Bado aujakuwa aukiwa utaelewa
@hafidhali3020
Ай бұрын
Malaya wahed,yuko na brainwashed za kijinga
@Stillrunlikeaball
Ай бұрын
Muongo wewe heroin huwezi kuchanganyiwa kwenye kinywaji heroin Ukimtilia mtu kwenye Kinywaji anatoka Mapovu Mdomoni Naanaweza kutoka Mpaka Damu Nakupelekea hata kufa hapohapo sema Ukweli ulikua ukivuta Nausiseme Umetiliwa kwenye kinywaji Ongea Ukweli Nasio kudanganya watu
@BabyCappuccinoBabyCappuccino
Ай бұрын
Sijui kwanin naona anaongopea watu huyu ni kama alianzia kuvuta akiwa bongo wazazi wakaona ataharibika bora akasome nnje ya nchi kufika huko kumbe ndo kaenda jikon kabisaa yanakopikwa madawa but kusema alikuwa anachamganyiwa siamin huyu alikuwa anavuta mwenyewe
@mbaruku5942
Ай бұрын
Unamind muonekano au story yake , heroin na cocain zote unaweza kuchanganyiwa inategemea na kinywaji gani na dosage umeekewa skiza story
@erikamartin2655
Ай бұрын
WEWE NDIO MJINGA, ILA HUJUI KAMA HUJUI
@neemamshote9577
Ай бұрын
Usiseme hivyo ninandugunyangu alichanganyiwa kwenye kinywaji sio kila kitu uamini unavyoo ona ww watu wanaibiwa wanachanganyiwa kwenye vinywaji pole kama hujui haya jakukuta ww
@Stillrunlikeaball
Ай бұрын
@neemamshote9577 huyo Ndugu yako kachanganyiwa vidonge Nasi heroine Nijibu rahisitu jiulize wewe Mwenyeo kwanini watu wanao Beba Madawa ya kulevya tumboni ikitoke imetoboka tumboni pipi moja tu ya Dawa zakulevya basi Mtu hupo teza Maisha Nahata akipona basi Nibahati sana Nahuwa hakui Nauzima tena Najua zaidi kuliko unavyo fikiria wewe
@JanetAhmad-v3h
Ай бұрын
huooo wawapi kama jini ama kuna mtu ukimuona tu sasa huyu
@SajoAbel
Ай бұрын
Omba yasikukute ndugu yangu kichaa anachekesha kama sio ndugu yako
Пікірлер: 131