Mzee una hekima sana ni hazina ya jamii hongera sana
@KigeNyamhanga
2 ай бұрын
Wazee mmekosea sana mngeacha Iwe fundisho kwa wapumbavu
@JUSTNEMITOMINGI
2 ай бұрын
Ovyo kabisa mwijaku unachezea ndoa ambayo ni maagano kati ya mungu na mwanadamu
@fredrickjohnson2692
2 ай бұрын
si kweli huo ni mtazamo wenu na mapokeo yenu ya akiri zisizo changamka.mwaijaku mgeni kwenu? hili swala yeye ndo kaanza? ok yule shabiki wenu amekatwa viungo vingapi anavyo ahidi serikali isiingilie? alikamwe alikamwe Aache kupenda wake za watu atakunurwa,,,alipewa Binti wa yule shabiki ambaye Binti Hadi analia sana kumpenda alikamwe,je alikamwe amemchukua? 🤣🤣🤣 tamaa na wake za watu wanatunzwa aiseee
@udazakikoti3419
2 ай бұрын
Ongela sana mzee msumi kwa hekima zako, mimi rafikiyako bwana udaza nimekuelewa vizuri sana
@omarussi7316
2 ай бұрын
Muume mwenyewe mwehu na uyo mke pia mwehu vilevile, ujinga umepitiliza kwa wote wawili na kibaya zaidi kuwa walioyafanya haya ni waislamu
@aishaalbalushaishabalush8291
2 ай бұрын
mie naposema sie waislam ndio chanzo cha laana nyingi watu wananitukana kiukweli waislam tumezidi kufanya mambo ya haram yanayo washinda maqaafir
@BIGFAMILY255
2 ай бұрын
@@aishaalbalushaishabalush8291 tabia za mtu binafsi zinahusiana vipi na dini. Mana dini imekataza maovu kwann usitaje makabila au vitu vingine mana hata makafiri wanafanya zaidi ya haya na ww sijui muisilamu gan unawaona makafiri kama rafiki shauri zako. Makafiri ni maadui na hiyo ni dhahiri mungu kashasema nawe endelea kumkaidi mungu mana nawe muisilamu umetudhalilisha kama hao wengine
@uwezontalengwa1827
2 ай бұрын
Hii nchi ujinga mwingi sana
@elibarikilukasimakala5534
2 ай бұрын
Kwani waislam sio watu ni mafisi si ndio 👆😢
@elibarikilukasimakala5534
2 ай бұрын
@@aishaalbalushaishabalush8291Kafiri ni wewe na matako yako meusi 😢
@ashamahadi5281
2 ай бұрын
Kweli Mwijaku muhuni Hana adabu hata kidogo. Anapenda Sana kuwadhalilisha wanawake
@Omary-p3e
2 ай бұрын
😂😂😂 Ally brooo tungechukua mke ili aelewe mipaka ya utani
@jacksonngusi4122
2 ай бұрын
Mwijaku hana adabu kabisa aibu inabakia kwa familia yake
@jaymwinyi6957
2 ай бұрын
Tena kubwa sana waallahi hyu jamaa sijui anatabia gani, amemdhalilisha mkewe na Familia yke
Mzeeee❤❤❤ safisana hekima unayo dua miaka ming uishi
@koroboi
2 ай бұрын
Li Ali kamwe lilikua serius 😂😂😂😂😂😂
@Machela-pj9cv
2 ай бұрын
😂😂😂😂
@julianapatrick7911
2 ай бұрын
Wala hakuwa seripus
@julianapatrick7911
2 ай бұрын
😅
@anethmollel6564
2 ай бұрын
Kwani mke mwenyewe anasemaje !!!!! Isikute alishajiandaa kwa harusi
@korogwegeneral7122
2 ай бұрын
Asante Ally kamwe kwa kujua thamani ya mwanamke
@ShabaniMussa-f3k
2 ай бұрын
Mungu atamuona sana mwinaku
@rehemashabhay8946
2 ай бұрын
Mwijaku umejidhalilisha.umemkosea mkeo pia umemkosea Alikamwe.Kwani Alikamwe hawezi kuoa mke amtakae mwenyewe mpaka umpe huyo wako???Mwijaku nilikuwa nakuheshimu.Kwa hili umejishushia hadhi...
@KideNetworks
2 ай бұрын
Ali and Alice😅😂😂😂😂
@merypeter7467
2 ай бұрын
Na ww uache kufana😢nisha utani wa andazi na kocha wa simba unaichukuliaje Hilo 😊
@Abdykimu
2 ай бұрын
yaaani umekosa mwanamke wa kuoa mpaka utoke kweli ukaoe mke wa mwijaku
@ArRahman-ih1pi
2 ай бұрын
Mambo ya mpira mzivuke mipaka so vizuri iyo na zarauu kubwa mwinyi jaku
@rahmasalim1989
2 ай бұрын
Mwijaku hana adabu, na hana akili kabisa, amemdhalilisha mkewe, na dini hairuhusu hivi.
@jaymwinyi6957
2 ай бұрын
Waallahi sana tena ht cjui jamii yke yamchukulia vp
@beatricemabula4783
2 ай бұрын
Bado.napata tabu kwa hiyo kamwe hivi ulivyokuwa unakazania kwenda kuoa inaonyesha unampenda uyo dada au😂😂😂😂
@EzekiaMichael-jn5np
2 ай бұрын
Ally Kamwe nakupenda sana kaka na uwe na maisha bora
@ZsbAlbarwani
2 ай бұрын
Kwakweli Mwijaku hana heshima kabisa wala hana hekma
@MichaelSambala-l7q
2 ай бұрын
Iyo hekima mwambieni baba rabhiat tutamkata mikono
@khadeejamct2096
2 ай бұрын
Kbs uyomuzeh kaongy ukwel kbs mwijak siyo mzm 😂😂😂
@VictoriaAbdallah-h8h
2 ай бұрын
Mke na Mume wote Akili moja, wanaaibisha Familia zao et wao wanaongeza follows.
@Bintimrembo-y1v
2 ай бұрын
Huyo mke awe mwangalifu sana
@ilynpayne7491
2 ай бұрын
Mwijaku fala sana😢
@KanomaManji-i7j
2 ай бұрын
mm naonahuyomwijaku nirofa2 yanga yasasa hatauweke Mavi 2nabeba je meze chungakaur 😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤
@MaryamAbbas-o1c
2 ай бұрын
Mashekhe hmpitwi na kitu tunawaomba mje hapa mtuambie bado ndoa ipo ama hapo? Maana mwijaku hajielewi kabisa.
@jaymwinyi6957
2 ай бұрын
Kisheria haipo da Maryam, ukitamka ndio imepita, hata kwa mfano talaka c lazima uandike madam mdomo ndio uliotamka basi ndio hvyo, ila hyu jamaa amejishusha thamani kubwa sanaaaaa na aibu ameitia familia yke
@AbuuFawzaani
2 ай бұрын
ndoa ipo ila mwijaku amefanya makosa na dhambi
@AbuuFawzaani
2 ай бұрын
talaka zipo za aina 2 talaka acha na talaka rejea na inatoka katika sehemu kuu 2 kwa kutamka au kuandika ya kutoa kwa mdomo mfano kwanzia hivi sasa si mke wangu kama ulishawahi mpa 1 na uliyotoa ni ya pili na hakumaliza eda ukamrudia basi atakuwa mke wako na kama ulishampa 2 kisha ukamalizia ya tatu huyo sio mkeo na eda anamalizia kwao ama talaka ya maandishi ni ile unayoandika kwanzia leo sio mke wangu basi umeshamuacha na hii itakua kama ya mwanzo ila utofauti ni hii ni maandishi ile ya maneno ama kuhusu mwijaku bado ni mkewe ispokua aandae tu majibu sahihi kwa allah why mambo ya mke ambayo ndio dini uhusishe na mipira allah aalam
@narutonaruto4303
2 ай бұрын
huyu mwijak nilimuona ga wa mana kumbe zezeta namakka alienda kutalii 2 waovyo sana
@Abdykimu
2 ай бұрын
kwa hiyo asingekuwa huyo mzee ungeenda kuoa duuuh 😁😁😁
@jaymwinyi6957
2 ай бұрын
Ndio maaanake
@LameckMakoje
2 ай бұрын
Ww ali kamwe kachukue mkeo mwijaku mweu uyo
@MohamedRoger-h3u
2 ай бұрын
Kwenye dini yenyewe pia msitaniane sana mkachumpaka mipaka ni dhambi, ovyo kbs mwijaku.
@MwanaishaShattry
2 ай бұрын
Huyo Jimy hakuwa muislamu. Uislamu kila kitu kina sheria na taratibu zake upo.
@ClaraDickson-je7mv
2 ай бұрын
Mwijako hampendi mkewe uwezi kumuweka mke Bondi.. angeweka hata Nyumba
@tagomshana4032
2 ай бұрын
Mwinjaku ako na mke wetu wanayanga kunasiku tutamchukuabtyu😅😅😅
@SuleimanSuleiman-l8v
2 ай бұрын
Kislam kwa kwel ameachika kama wataendelea kuishi shirika wakifanya mapenz itakuwa nizinaaa t
@waziriwaziri8271
2 ай бұрын
Kwanza mshaulini kindoki yeye alisema atatupa sisi mashabiki wa simba mkewake kama simba itaifunga yanga simba ikaifunga yanga paka sasahivi hajatupa mke wake yule mke wa mwijaku hatomuwea kashazoweya maisha hali sana
@adammbuba7230
2 ай бұрын
Mwijaku mwehuuuuu
@nasseralmaqbali6317
2 ай бұрын
Mwijaku ni chizi asie jitambua, mbona hajitoi yeye muhanga, mwehu huo sijui ni bangi
Mke wa mwijaku ana UKIMWI unamchukua wa nini! Yule ni mfu! Kwanza mke wake hana uzuri wowote! Ukiona mtu anampa mtu mke wake huyo mke wake hana maana au thamani kwake
@shaibuhassan6925
2 ай бұрын
Kidini sio ,,,,,MKE WAKE TENA,,MKIFOSI NI DHAMBI TU ANAJIPATIA
@mitanakadorho2356
2 ай бұрын
Mwijaku awe makini saana na mambo ya ujinga, siyo kutaniana kwa kila kitu
@omaryhatibu8834
2 ай бұрын
Yaani kumuweka mke wako Bondi ni dharau kubwa sana, yaan unambetia mkeo aisee aliemfunda mwijaku wote ni MISUNGO
@ANTHONYDCOSTA-u5p
2 ай бұрын
Mzee heshima kwako
@LaurentLushingemasanja
2 ай бұрын
Mbuzi alianguka kwa muuza supu😂😂
@jassfinal
2 ай бұрын
Kufanya kazi aaaaaaah
@AihmAli-d8x
2 ай бұрын
Mwijaku kamuoa mke kwa masilahi yake
@mwajuussi9436
Ай бұрын
Mwinjaku hana akili eti
@hajimnubi4581
2 ай бұрын
Utu wa kocha mgunda mliurudishaje
@Dewaoficial09
2 ай бұрын
Kwa ss waislam. Apo mke kashaachika kisheria. Hakuna mapenzi isipokua zinaa
@jaymwinyi6957
2 ай бұрын
Swadakta
@HawaNasibu-e9u
2 ай бұрын
Ally nko mke apa njoo
@MohamedRoger-h3u
2 ай бұрын
Mwehu huyo mwijaku hajui dini wala hajui thamani ya mke,.mngese mkubwa huyo.
@mohamedhaji2200
2 ай бұрын
Acheni kua serious sana. Mwijaku anatia
@uwezontalengwa1827
2 ай бұрын
Niwapuuzi tu hawa wazee,,,wanabwabwaja tu hamna Cha maana ,,, kweli yanga wengi ni sa mbovu wanakusanyika Kwa mambo ya kijinga,,,
@zakariawilliam-3816
2 ай бұрын
Nyinyi wote wa yanga wote ni wanawake tu mngefunja nyumba yake ili asirudi kabsa mjaku ni mke mke kabsa
@adilhabib8988
2 ай бұрын
Hapo kapotea mwijaku
@MkojaniSaid
2 ай бұрын
Ninge kuwa mm ninge muowa kwa wiki moja au mbir kisha nikamrudishia uy mke wake😂
@Masengo-su3mf
2 ай бұрын
Mwijaku kampenda sana mkewake ndomana katoa ahadi
@GEORGEABERY
2 ай бұрын
Naomba nijue kwanza mwijaku ni kabila gani amefikia hatua za mwisho za sasa hivi anaendea kwenye umajinuni
@MsenyeChokera
2 ай бұрын
Kuna siku nilimtumia meseji mwijaku nikamwambia uchawa ukizidi ni ujinga arejee meseji yangu
@hamzamohamedKeslivol
2 ай бұрын
Kimsingi huyo mwanamke ameachika.
@mapoluchalya280
2 ай бұрын
Saf Sana Ali
@missfetty9842
2 ай бұрын
Mwijaku amekosea sana
@AbdullatifMbago-cn3pc
2 ай бұрын
Mimi kama shabiki wa Simba ila sijamuunga mkono mwijaku kama kuna mwana simba anamuunga mkono mwijaku basi huyo ni mwehu kama wehu wengine
@ShabaniMussa-f3k
2 ай бұрын
Utajir unawasumbua mpaka wanamchezea mungu shaur yao.
@ahmadmohd3771
2 ай бұрын
Mbona magari majumba hakuweka bondi😂😂😂
@minnahhers7437
2 ай бұрын
na kweli umemdhalilisha sana mkr wako tatizo hujui thamani ya ndoa....pungunza kusema ovyo
@ArRahman-ih1pi
2 ай бұрын
Ndio ilo fundisho kwa jamii nzima
@dalalizanzibar9583
2 ай бұрын
Tujifunze ndugu zangu, kuna watu hawana dogo...
@michaelndilima6210
2 ай бұрын
Laana anaipata kwa uchawa sababu hupindisha haki ya mtu na kumpa mwingine.
@HassinaAlharthi
2 ай бұрын
Jurekebishe mwijaku unasema saana mpaka unaputiliza punguza maneno yako ya siyo kua ya maana
@zumbeshauri8114
2 ай бұрын
Lakini sijajua ally kamwe ni msemaji au ninani mana juzi hatukumuona? Nimeumia hawakumpa thamani ndugu yetu
@tagomshana4032
2 ай бұрын
Na zote izo nidharau kwamba yanga hawatafunga mara nyingi rinaropoka sana litadharauliwa adi na watoto wake
@zumbeshauri8114
2 ай бұрын
Kwanza kidini sio mkewake mpaka sasa
@fifo262
2 ай бұрын
Kuropoka kubaya sanaa
@JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN
2 ай бұрын
Naomba watanzania wapewe elimu ya Mitandao wanitumia ndivyo sivyo Naninawaombeni Washabiki wa mpila wote Kama kukitokea Tukio la ulawiti majambazi Ema mtu kuzulumiwa Tunaishindoka Tasisi inayohusika itowe Majibu Hivyo yeyote Atakaesema nikifungwa nikatwe mkono Akatwe kweli Washabiki muwazibu ili heshima ya vyombo vya Habali ziendelee
@MukulasiKapela
2 ай бұрын
Uyo mkeo mngechukulia akili ana huyo unaweza ukawa na Mali lakini akili ukawa una
We na chumvi si sawa tu jambo lakuosha pembeni paka mlianike jadharani
@josephkulija293
2 ай бұрын
Kamdhalilisha sana mke wake, anaweza kufanya masihara mengine siyo kumdhalilisha mke. Kwake Simba ina thamani kuliko mke wake.
@jaymwinyi6957
2 ай бұрын
Na ndiocss yule mke ataigawa vzr kama pipi
@Masengo-su3mf
2 ай бұрын
Mzee msumi wazee wayanga ndo ahoh
@hp2623
2 ай бұрын
Kisheria ya dini ya kiislamu tayari mwijaku kashatoa talaka. Alii Ana haki ya kuchukua mkewe kwa asilimia zoye
@uwezontalengwa1827
2 ай бұрын
Hii nchi haiongozwi na dini ,, harafu ni upuuzi tu mbona yule shabiki wa yanga anaahid kukatwa mkono huwa hawamkati kwahyo mwijaku ndo kaonekana utani wake kua seriously,,,,sasa mechi ilkua live wao wanacheka zao ndani mmekazana kusema et amemdharau mkewe wao wako Wana enjoy ndani
@MathewNathan-yb2bz
2 ай бұрын
Wazee tuacheni tukamchukue mke wa Mwijaku.Huyo sasa ni mke wa Ally Kamwe.
@jaymwinyi6957
2 ай бұрын
Akome au azidi mbwa yule
@ALCADOJAMES
2 ай бұрын
Mgongo waz mama ako
@michaelmaziku991
2 ай бұрын
Kwann mamkujitokeza kipindi kile shabiki wa uto alipotoa ahad ya kukatwa makalio ila la mwinjaku ndio mmeliona achen ujinga niny wazee
@eliapendakileo
2 ай бұрын
Mwijaku atamuangusha Ali kiba mambo ya kijinga kweli eti na mfanyakazi wa Ali kiba anaetueshimisha Tanzania kiba mashabiki zako tutkuchoka Kama utafanya kazi na mhuni Kama huyo
@aishaalbalushaishabalush8291
2 ай бұрын
nikweli kabsa kwanza hajielewi mkurupukaji na mropokaji sana sio kiba tu hata serkal wanampenda na kumfanya kama mwema kwa viongozi sababu anawapamba wakat jitu hata akili zakuvalia chupi halina
@MwanaishaShattry
2 ай бұрын
Mwijaku hafai kwaboga wala kurumagia. Mwachilienibali huko akakojoe akalale
@husenimocka3077
2 ай бұрын
We n mweu pamoja nahuyo aliy komwe mbona yule shetani wenu kilasiku akihaidi vitu mbona ss hatuna habali nae
@PaulinaSemindu-ob3de
2 ай бұрын
@@aishaalbalushaishabalush8291😂😂😂
@fettiemaganza1484
2 ай бұрын
@@husenimocka3077hta yule ifike siku apigwe tu ili akili imkae sawa sababu ushabiki ukipitiliza unakuwa chizi
@ntegrity277
2 ай бұрын
Na huyu mzee kwani hajui kuwa huo ni utani tu! Unaongea kama vile hujui kuwa hao ni watani wa jadi!
@MohamedyMsagati
2 ай бұрын
Hata sisi mbona tulishawahi kumsamehe jimmy kindoki
@SalmaSaid-v3d
2 ай бұрын
Mwijaku alikusudia mke mdogo menina mwehu yule
@KassimMuhamed-n5c
2 ай бұрын
Huyu mwijaku shezi sana halina akili. Jamani si ameerudi juzitu kuhiji maka huyu? Hili jitu Halifai hata kidogo
@RehemaRehema-n2s
2 ай бұрын
Mwijaku yupo kikazi zaidi na watakuwa wamepatana na mke wake unajua ukimkimbiza chizi mwisho wa siku utaonekana wewe ndio chizi mwacheni alivyo
@BimkubwaOthman
2 ай бұрын
Kaxi ndio lkn dini muhimu
@tagomshana4032
2 ай бұрын
Uyu mwinjaku hana akili alafu kiukweli hakupendeza ktk redio kwaali kiba maana me namfananisha na chokoraa anakinywa kichafu sanaaa lione vile me ningekuwa mkewe kwakweli ningekubali kwenda kwa Ali kamwe limwanaume linabahati tu ya pesa lakini aliki halina misifa imemzidi uyu jamaa ha😂😂😂😂😂
@gideonmwangaza4807
2 ай бұрын
Chizi kaoa mweu !!
@julianapatrick7911
2 ай бұрын
😂😂😂😂
@ArRahman-ih1pi
2 ай бұрын
Na kwa nn hujenda kuchukua ukamonyesha jeuri mdomo wk ukamwisha
Пікірлер: 245