Eti wanamfananisha na Diarra "" Angalia Diarra alivyo toa mpira clean kabisa miguuni mwa ATEBA,, Hao ndo makipa Wanaoshinda mechi
@MariamKilimba
Сағат бұрын
lakn ulisema ataba hata piga on taget
@aginsagins-jf4vz
2 сағат бұрын
Jezi nyekundu amevua kijana mnafiki huyu
@JujuPaje
2 сағат бұрын
We mzee wa2 wa2 SI chama nakipa ama angeuwacha kipa
@damianmcba9525
26 минут бұрын
Kwa hiyo kipa wenu bado mnamfananisha na Diarra? Si mnamuhita Spiderman? 😂😂😂 ghafla lawama anabeba yeye 😂😂Sisi ayatuhusu point 3 muhimu tunaangalia mbele
@damianmcba9525
31 минут бұрын
Sasa mbona kashaivua jezi ya Simba sasa hivi kavaa ya Taifa stars
@KimangaCare-i9z
2 сағат бұрын
Kila kitu na faida yake na hasara yake tumehuzunika kupoteza faida yake kuna mtoto anaitwa fei pale azam mnamjua lazima aje
@ObedMichael-i4i
2 сағат бұрын
😂😂😂
@OMARIHEMEDI-qb1zy
2 сағат бұрын
Unaipaka mafuta unaigeuzageuza
@kiwakhalid4981
2 сағат бұрын
Mnafiki mkubwa wewe mchome,mchana umesema simba itashinda sasa hivi unabadilika
@lenziangowoko9325
2 сағат бұрын
Mchome huoni kama unajipendekeza!, Tuachie wenye Simba yetu, Simba yetu sio mbovu, ila inakandamizwa tu na kuhujumiwa, tunawapongeza wachezaji wetu tumeridhika ni kiwango walichoonyesga, we endelea na upumbavu wako kutafuta umaarufu kwa njia za kijinga, interview zako zinaleta kichefuchefu, achana Simba
Пікірлер: 24