Baada ya Alice kushinda umiss kwa ngazi ya mkoa huku akiwa na matumaini ya connection aliyonayo ya babaake wa kufikia (JOHN) John anajiingiza kwenye mapenzi na mshiriki mwingine kutokea jijini Mwanza na kumuahidi kumpa ushindi wa Miss Tanzania endapo atamzalia mtoto, Je! John atampa nani ushindi kati ya Alice au Jamila?
Pia baba na mama halisi wa Alice walisamehana na kupata taarifa kuwa Alice yupo kwenye kambi ya waMiss, wanaamua kufata ili arudi nyumbani, je Alice atachukua maamuzi gani?
Ungana nami LUCAS LUMBASI katika simulizi hii ya Alice sehemu ya pili.
SIMULIZI FUPI
KAMA UMEPENDA SIMULIZI ZANGU LIKE, SHARE, COMMENT, SUBSCRIBE NA USISAHAU KUBONYEZA ALAMA YA KENGERE ILI USIPITWE NA SIMULIZI MPYA
Pia Tembelea kurasa zangu za mitandao ya kijamii
TIKTOK: / lucaslumbasi
INSTAGRAM: / lucaslumbasi_tz
FACEBOOK: / mrlumbasi
Негізгі бет ALICE - PART 02
Пікірлер: 116