Mungu tujalie ushindi mkubwa hakuna kinachoshindikana kwako amen
@WileyKasekwa
2 сағат бұрын
💚💚💚💚yanga mungu atujalie tufike mbali wanayanga
@johnvedastus3079
Сағат бұрын
Ikiwa timu zote hizo zimepa nafasi kwenye group stage maana yake ni nzuri lakini kuna bora zaidi ya zote ni bora hapo ni Young Africans timu ya wananchi. Tuweke mikakati ya uhakika na huku tukiomba Mungu awatunze wachezaji wetu na uongozi mzima. Hongera sana wananchi wote sasa tujiandee kuisupport timu mali itakapokuwa🎉🎉🎉
@fatmaomar8335
2 сағат бұрын
Kila la kheri inshaallah yanga bingwa 💚💚💛💛
@geraldlaurent6750
2 сағат бұрын
Kila anaeipenda yanga yetu ifike finally klb bigw piga five 💛💚💚💚💛💚💪
@FrankKafene
7 минут бұрын
❤
@MonalisaAmosi
39 минут бұрын
Amini sisi ni mabigwa kushinda ni lazima mungu tupo pamoja na sisi lazima tushinde kama unaamina live 💚💚💛💛
@BullahSambiga
2 сағат бұрын
Mw /mngu atajaalia na Imani na timu yangu
@LaurentMatigili
Сағат бұрын
Kwenye hili group letu lazima timu moja ikutwe na kipigo cha mkono wa nyani.,uku washindi w group tukienda robo final💚💚💚💛💛
@yousifyousif-p7f
2 сағат бұрын
Mungu ibariki yanga yetu ishinde ktk michezo yetu🙏
@athumanishabani1143
Сағат бұрын
Inshaallah
@karenlema4317
Сағат бұрын
Mungu atusimamie tukashinde mechi zetu zote tusonge mbele zaidi Katika Jina la YESU KRISTO AMINA
@petermanala6138
Сағат бұрын
Amina
@user-MIO5pu1iv7o
Сағат бұрын
Amina
@josephgerald5540
52 минут бұрын
Ameen
@beatusmtui507
43 минут бұрын
Amen
@beatusmajumbi7125
42 минут бұрын
Hakika
@YohanaMichael-sw8vj
Сағат бұрын
Kama unaamini maajabu yatatokea kwa yanga tujuwane kwa like 👉👍
@ZeyanaAbdi-m3g
2 сағат бұрын
Eeh mwenyezi mungu tunakuomba ijalie yanga yetu ifike fainali
@MatildaNgoti
Сағат бұрын
Mungu ibariki yanga katika hatua hii
@FitusMzigabha
2 сағат бұрын
Young africans oyeeeee!
@mk_materials
Сағат бұрын
Mungu atabariki Hao tunachapa wote
@ElizabethNavuri
2 сағат бұрын
Hongerni lakini ongeni na wafunguji wanashindwa wapi kumalizia tuwaombee Sana Mungu afungue miguu yao amina
@AbdallahMikongo
2 сағат бұрын
Tunaanza kucheza na Nan na je tarehe ngap 💛💚💛💚💛
@khalfanissa4319
Сағат бұрын
26 au 27 nov,, al hilal
@YTXPHILIP
Сағат бұрын
Bado hawajapangga
@MalifezaMajidi
2 сағат бұрын
Mungu tusimamie yanga tufike fainari.
@NamisanaBiseko
2 сағат бұрын
Mungu tujarie kundi gumu sana
@ViolethMangoda
2 сағат бұрын
Tunawaamini sana na hatukondi tunanenepa tuu,ameen
@SimbaVsYangaTz
2 сағат бұрын
@@ViolethMangoda 🔥
@reginaldmapunda6702
Сағат бұрын
Mungu wetu tunakushukuru sana kwa kufikia hatua hii na tunajua kuwa wewe ndiye uliyetufikisha hapo na tunaamini utatufikisha pale tunapokuomba tukafike. Amina.
@petermanala6138
Сағат бұрын
Amina
@AMOSILUKALI-dt3yx
Сағат бұрын
Imani ipo ushindi niwetu mungu yupo upande wetu
@mwajumampokileomckapela7541
23 минут бұрын
Tutashinda insha'Allah mechi zote daima mbele nyuma mwiko button 💛💛💛🖤🖤🖤💚💚💚💚
@gladnesszunda
2 сағат бұрын
All the best my team 💚
@SimbaVsYangaTz
2 сағат бұрын
Glad nifuatilie na mim🔥
@RosemaryMasunga
Сағат бұрын
Mungu utusimamie usituache baba yetu wa mbinguni tupate ushindi
@JosephJohn-o8c
2 сағат бұрын
Nyuma mwiko kazi imeamia makundi 🙏
@SimbaVsYangaTz
2 сағат бұрын
@@JosephJohn-o8c Hahaha wew vp death group
@NuruSeif-uf2ge
2 сағат бұрын
Mungu aijalie yanga yetu tuvuke atua Ii ya makundi
@PrinceMbwana-i5o
2 сағат бұрын
ameni ameni ameni
@suleimansuleiman1127
Сағат бұрын
MC ALGER ni kisanga aisee 🔥🔥🔥🔥
@sirielsamweli
Сағат бұрын
Mungu tupe kibali cha Yanga kuweza kushinda kote kote
@GervasLyimo-f7p
Сағат бұрын
Kumbuka na timu nyingine zinamuomba Mungu huyohuyo azipe Kibali. Hapo sasa🤔
@petermanala6138
Сағат бұрын
Kwahyo wewe humuombi Mungu kwakuwa wengine wanamuomba
@PaulCharles-sh2nc
2 сағат бұрын
YANGA SC TO THE WORLD WIDE tutafika mbali
@MarcoSamile
2 сағат бұрын
Wananchiiii eeee tukaijaze mkapa mapema
@fatmaally7252
2 сағат бұрын
MUNGU IBARIKI YANGA MUNGU IBARIKI TANZANIA AMIIN INSHALLAH
@engselemanimalambo6866
Сағат бұрын
Nakutakia mafanikio mema ya ubingwa Young African daima mbele nyuma mwiko
@floriantarimo1389
Сағат бұрын
Yanga bingwa💚💚💚💚💚
@AhmadiLiwawa
Сағат бұрын
Kikubwa ni iman tu tunamuombe M,mungu hakika tutafanikiwa inshaallah
@DominicMakamba
34 минут бұрын
Mungu ni mwema, Hakika Akatusimamie Tuvuke Hadi Hatua ya Fainali
@imamhussein2370
Сағат бұрын
Inshaallah tutavuka na kuendelea na mashindano kwa Robo final
@AbduliNuru-k8f
2 сағат бұрын
Ili kundi tumuombe mungu 2:24
@leemabibaphotography8053
2 сағат бұрын
Kundi letu ni gumu baraa
@jactonmoris3034
38 минут бұрын
Mwaka huo kwel una team nzuri toboaaaaa tuone utoooooooooo
@DavisSongolo
2 сағат бұрын
Mc Alger kuna Kiper Jr,Issa Mohammed Zougrana midle ya ball hawa watu natamani sana kuwaona kwa mara nyingine Tz , All in all Yanga ndo mjadala mkubwa saiv,East,south and central Africa 🔥🔥💪👏💯
@mwinyimwaga540
53 минут бұрын
Team yetu tunaiamini mungu awape nguvu wachezaji wetu pia wastuangushe .
@ElizabethNavuri
43 минут бұрын
@@mwinyimwaga540 yah hapo wachezaji has wamaliziaji kwenye nyavu wapambane kweli wabe Mungu awasaidie maana Sisi tunawaombea sana
@HellenLauwo-u6f
Сағат бұрын
Mungu tusaidie yanga bingwa
@DISMASMASHAURI
Сағат бұрын
Mapema tu
@TumainiMussa-s4v
2 сағат бұрын
Mungu naomba uipe yanga kibali chakupita salama njiyan hiii💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💛💛
@MohanAnzigari
2 сағат бұрын
Amiin💚💚💚
@MariaMnthax
2 сағат бұрын
Amina
@fatmakhalid1399
2 сағат бұрын
Ameen 🤲🙏 Mungu ni mwema tutavuka inshaAllah
@GeradinaJohn-xh8pw
2 сағат бұрын
Amina🙏🙏
@yousifyousif-p7f
2 сағат бұрын
🙏
@KamugishaLushakuzi
2 сағат бұрын
Kweli mungu atatenda
@EzekielAlfan
16 минут бұрын
Mungu ibariki yanga
@nynyarugusumatukio255
51 минут бұрын
Mpende BWANA MUNGU wako Kwa moyo wako wote, na umche yeye ukajiepushe na uovu
@andersonshimbi1378
2 сағат бұрын
Yanga imepangiwa kundi gunu kishenzi
@HabibuMwongerezi
Сағат бұрын
Naomba kujua nauli ya kongo mapema ili tujiandae maana mm uwa nasafiri nafamiria rwanda tulienda Ila tulikuwa atukujiandaa vzr
@hekimasanga1676
Сағат бұрын
Mungu atusaidie
@WillyMorris-hk9nr
Сағат бұрын
Naamini tukijituma vizur na tukaisapoti timu yetu kwa nguvu zote tanaenda mpaka nusu fainal mwaka huu daima mbele nyuma mwiko!
@LucyDaniel-s3k
Сағат бұрын
❤❤❤❤ yanga mungu tufikishe
@Justinsospeter-k6j
24 минут бұрын
Naomba mungu atusaidie tufuvu atua ya makundi
@Hassani-e7p
2 сағат бұрын
Amin
@Nelyjr-fb5pp
Сағат бұрын
Inshaalla tutaenda robo fainali
@fadhilimkanimkole272
2 сағат бұрын
Like za Wananchi tuweke hapa
@Amosmpaji
Сағат бұрын
Ninaimani na timu yangu young African tutafuzu kufika robo fainal bila shaka.
@AndreaPaul-gx2br
41 минут бұрын
Duuh Mungu yu mwema ishanlaah
@athumanishabani1143
Сағат бұрын
Inshaallah tutashinda
@amaniomar1755
Сағат бұрын
Mwenyekiti 🎉🎉🎉
@Yassirjuma-i1c
17 минут бұрын
Mwalimu usjali Allah atatujaalia na tutashinda nipo ktk visiwa vya ngazija
@asajilemwamundela1220
35 минут бұрын
Hongera yanga
@radhiamussa1629
Сағат бұрын
Group tata msijemkalidharau mkarnda kwa kujiamini sana so muwe makini mno
@JoshuaRafael-r2h
39 минут бұрын
Yesu tusaidie tuchukue ubingwa
@Masengo-su3mf
2 сағат бұрын
Tusife moyo tuhende kazini mzigoni
@AlikhamisAli-t8v
Сағат бұрын
Yanga haitoboi Kwa wazeeee wale
@chidyblake1017
48 минут бұрын
Yanga anapita....Mark my Words
@ZaydShafii-v2n
2 сағат бұрын
Kazi kwetu dua wana yanga
@OfficialCleazant
2 сағат бұрын
Kundi letu yanga ni wababe tujitaidi tufike robo
@TheopistaEustace
Сағат бұрын
Hapo mtata naona Tp Mazembe atakuja na upinzan mkubwa.
@SimbaVsYangaTz
2 сағат бұрын
Tukutane Robo
@JumaSaidi-zk4ps
43 минут бұрын
mungu atuongoze tupate ushindi
@DavidChaula-g4w
Сағат бұрын
tukutane robo fainali
@colonelmustafa7213
2 сағат бұрын
Haya sasa Wacha tumuone prince dube mkosa magoli na baleke
@zubedamusa1630
Сағат бұрын
Yanga bingwa
@SaruvinusChrizestom
2 сағат бұрын
2jalie yang ye2
@asajilemwamundela1220
34 минут бұрын
Shabiki mkuu wa yanga Mary Erasmus Seme hoyeeee
@MoiseMishenyimateranya
3 минут бұрын
😂😂,ule haendi Rwanda iko moritania mutakoma sisi siyo milima tutakutanana mazembe tuna nacunga kwahamu Congo 🇨🇩🇨🇩
Пікірлер: 143