Kuna watu wakosa kitu cha kufanya hivi unalazimishwa kumpenda mtu? Wanakwenda kumuuliza nani alikutuma kuchoma picha. Kweli wafanyakazi wa tz mna kazi mungu awatese na wao wanaotesa watu.
@DiwaniMwafongo
Ай бұрын
Tuombe Mungu arudi salama, nasema Mungu tumuombe abaki salama!!🙏🙏 Serikali ambayo imekataliwa na Mungu yawezaje kukataa Hilo?
@MussaSuleiman-ui9fy
Ай бұрын
Hakuna yeyote mwenye kupambana na serikali yoyote duniani akashinda
@RosemaryLema-qp2df
Ай бұрын
Sasa wanampeleka wap jmn 😢
@HiteshkumarDhirajlal-nh3ly
Ай бұрын
Uonevu umezidi jamani,Mungu atusaidie sana.🙏🏻
@tusanemheta8638
Ай бұрын
CCM OYEEEEEEEEEE CCM MBELE KWA MBELEEEEEEE
@user-yt8db6et9q
Ай бұрын
HAWA WASIOJULIKANA NI KWELI HAWAJULIKANI JAMANI
@stevenkatani3047
Ай бұрын
Hii nchi ni ngumu so Kama unavofikilia heshimu huongozi na viongozi wak
@sarahminja7255
Ай бұрын
Wasiojulikana watakuwa ni wale wanajeshi waliombaka yule binti mdogo
@user-xh3qf9xv9v
Ай бұрын
Kwa kweli kama atauwawa amani ya nchi yetú itakuwa imekwisha.Mungu bariki Tanzania
@devissyprian1526
Ай бұрын
Usalama on work
@ajaymkali4842
Ай бұрын
Yes....usalama kazini
@sktanzania-u1r
Ай бұрын
hivi kama watu wanaoteka watu hawajulikani tunausalama gani kwenye nchi yetu
Haki aiwez kupotezwa ck moja mtalipa mara saba na familia zenu
@AzizaMohhamed
Ай бұрын
Hiiyoo ndio tanzaniaa yetu,,ila nishujaaaa
@alfredbee7967
Ай бұрын
Serikali haiwajibiki kwa watu wake hata kdog ndo ttzo la kuwa na watawala wanaojiita miungu watu afu kundi la wtu flani waliolipwa wanashangilia matendo maovu ya serikal pumbavu zao serikali gani isiyokosolewa na isiyosikiliz maoni ya wananchi wake
@Hapomwanzo
Ай бұрын
Hivi watanzania tukisema raisi amewatuma watu wamteke huyo kijana tutakuwa tunakosea? Kwa sababu ni juzi juzi tu! Katolewa jela tena kwa jambo linalomhusu raisi mwenyewe, watanzania kuieleweje serikali.
@clevermgedzi4708
Ай бұрын
Ccm ndo inayoteka watu?? Au kuna kitu nyuma ya panzia?
@faidamuhamed3011
Ай бұрын
Huyo ndio bas tena wanaokamatwaga hivo huwa hawarudi Allahu aalam
@MirandoHaji
Ай бұрын
Tunapenda amani itawale sio kusababisha vurugu atakae chezea amani iyo ndo haki yake hana adabu
@GodfreyZacharia-mc7sy
29 күн бұрын
Huna akilo wewe
@emmanuelmnga
Ай бұрын
Duuu ahaaaaaaaa!!
@user-to7bs5pl4n
Ай бұрын
Ni kweli POLISI wanafanya mambo magum HATA mimi nimeshuhudia kijana wangu alikamatwa na POLISI lakini tulikuta ammeshajifa BILA kipelekwa mahakamani Mimi ni mnyonge me wangu alishakufa hatakuhoji nilishindwa nikachukua mwili wa mwanangu nikamzika hii ni mwezi wanne mwaka huu Mimi ninamiaka. 60 HATA wakiniteka poa ila mtoto wangu aliuawa BILA kipelekwa mahakamani😊
@salmyhussein6255
Ай бұрын
Tanzania imefikia pabaya, watu wanatekwa wengine wanabakwa, na hakuna hatua yoyote inayo chukuliwa,
@michuuzjocker5411
Ай бұрын
Yaani mpumbavu mmoja ana kurupuka kutaka kushindana na serikali!...... Yaani tulitaka raisi atukanwe!.... Alafu watu daaah!...kuna muda wana jitoa ufahamu!
@nabii-zc1hm
Ай бұрын
WASIOJULIKANA NI MAFALA TU
@SmilingCityMap-xb9md
Ай бұрын
Hao watekaji wanamchonganisha samia na wananchi wake lmaana hakuna anaeweza kuvumilia utekaji huu maana vyombo vya dola vipo mahakama zipo sasa kwa nini mtu asihukumiwe sawa na shelia zilizopo ?
@MussaSuleiman-ui9fy
Ай бұрын
Hayo ndiyo mavuno yake amevuna alichopanda
@bcozhenry2698
Ай бұрын
Ni upumbavu tu kulazimisha Kila mtu akupende au ampende fulani
@nurumwita9034
Ай бұрын
@@bcozhenry2698kabisa
@jenyyusuph4973
Ай бұрын
Kwani lazima kupendwa hiyo SI picture TU PC tu mtekeni ongezeni kufulu wanao hamasisha zinaa wanavaa nusu uuchi kwenye majukwaa yenu mnawabia ccm oyeee zinaa ushetani usiokua na maana mashoga wanajitangaza hamba habari mnafikili Mungu atawaachieni endeleeni kujibdanganya
@SteveNyagawa
Ай бұрын
TUSEME UKWELI WA MUNGU,KAMA KUNA ALIYE MSHAURI HUYU KIJANA,ALIKOSEA SANA.MKUU WA NCHI LAZIMA AHESHIMIWE KAMA MZAZI WAKO.
@nurumwita9034
Ай бұрын
@@SteveNyagawa ndo maana tunasema huwezi kupendwa na watu wote na huo ndo ukweli ata vitabu vya dini vinasema heshimu mamlaka iliyopo alichokifanya yule kijana Sio kitu kizuri especially kwa nchi ya Tanzania kwa sababu ya katiba yetu lakini angefanya nchi ya Kenya ni sawa kwasababu katiba yao inawaruhusu kumkosoa raisi na uongozi wake.
@efraimjohn4956
Ай бұрын
Mh, kweli ?
@ajaymkali4842
Ай бұрын
Baada ya kutafuta pesa....kuwa bize na maisha anafanya vitu vya kipumbavu....alichokua anakitafuta sasa amekipata....sina msaada naye
@maryestomini5168
Ай бұрын
Ww unaeongea huu ujinga hujitambui"kaa kimya kama huna la kujibu,hv kama babu zako walioutafuta uhuru kwa wakoloni wangekuwa wajinga kama ww"ingekuwa je?ndio maana uhuru Kenyatta alisema watanzania ni sawa na maiti hawajitambui,ni kwasababu tuna majitu ambayo hayajitambui kama ww"acha kufundisha wengine woga,nchi haiendeshwi na utashi wa mtu,bali inaendeshwa kwa mujibu wa katiba kanuni na sheria.sheria zinapokiukwa ndipo wananchi wanapohitaji kuiwajibisha serikali,mweelewa anaipigania nchi yake, ww badala umuunge mkono,unajitokeza umekula Makande yako na kuongea utumbo wako"hii nchi niya wananchi ciyo ya kiongozi wa chama cha siasa.halafu usifurahie mwenzako kutekwa,kumbuka hata ww wanaweza kukuteka pia"usifikiri upo salama.
@mudiskaina2342
Ай бұрын
kila siku tunajir police ila ukiona
@AllyMohamed-w5x
Ай бұрын
Apoteee kabisaaa
@user-wi8og3sv4j
Ай бұрын
Umelaaniwa wewe na uzao wako unaeombea watu wapotee
@sarahkaminyoghe6115
Ай бұрын
Ukimwangalia vizuri nikama mgonjwa.wa akili
@user-wi8og3sv4j
Ай бұрын
Wahuni wanataka kuharibia mama kazi mama ni menyehuruma anawatoto kama yeye na amewalea anajua vija tunakosea kwabahat mbaya alishasamehe
@AllyMohamed-w5x
Ай бұрын
Angechoma picha ya baba yke na mama
@angelsulle7177
Ай бұрын
Hivi huko huo ni ushujaa au ni bangi???? Unapambanaje na nguvu ambazo zitakutesa kinyama na Wala hakuna wa kukusaidia .wazazi na jamaa zk wakaombe msama kwa Rais au basi tuendelee tu kulalamika lalamika
Пікірлер: 66