ALIKIBA: "Nimeacha Harusi, Masogange Kaniumiza, Alikuwa Rafiki Yangu"
Mkali wa Bongo Fleva, AliKiba, amehudhuria kwenye hafla ya kumuaga mwanamitindo maarufu na muuza sura kwenye video za wasanii, Agness Masogange, iliyofanyika katika viwanja vya Leaders uliopo jijini Dar.
Alipopata fursa ya kuzungumza msibani hapo, Ally Kiba, ametoa nasaha juu ya watu kushikamana hususani katika nyakati za shida, huku akijitolea mfano yeye mwenyewe kuwa japo yu harusini lakini ameweza kutoka na kuja kuhudhuria kwenye hafla ya kutoa heshima za mwisho kwa mlibwende huyo.
lnstal GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari Visit MASOGANGE globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Негізгі бет ALIKIBA: "Nimeacha Harusi, Masogange Kaniumiza, Alikuwa Rafiki Yangu"
Пікірлер: 28