Acha akatafte Maisha bhana. Tatzo la simba yetu maneno mengi Bila vitendo
@user-mc2zl1gj6u
Ай бұрын
Ppt ni siku 7 tu unapata nyingine hapo naongelea kwa watu wasiokuwa na majina makubwa kibu ni mtu maalufu ni siku 2 tu MPYA semeni Saba u nyingine
@mswakisaid2320
Ай бұрын
Akatwe mshahara wake kwa muda wote atakao chelewa asituletee umama wakati haki zake zote kesha pewa
@ClaudeMichaely
Ай бұрын
Mlipeni hela yake oya kibu usiludi mbaka wakulipe pumbavu zao
@wazirimagayuka9681
Ай бұрын
Viongozi kuweni wakweli juu ya malipo ya Kibu, tusije kumpoteza
@zakaria924
Ай бұрын
Hii ndiyo staili ya wachezaji wa bongo plus waandishi wa bongo aka bahasha
@charleskuyeko4400
Ай бұрын
Sasa hapa mzembe ni CEO ambaye ameshindwa kumsaidia mchezaji kupata pasport na viza ya kwenda Misri. La pili nadhani kuna communication problems ndani ya timu. Kwanini Msemaji Ahmed ameshindwa kutoa maelezo yaliyonyooka kama hayo wakati mchezaji yuko nchini. Akiulizwa na Mashabiki anababaisha tu kama hajui kinachoendelea kwa Kibu. Huyu CEO anazingu kwa juwa anataka kuondoka? Yafaa afukuzwe basi kwani kazi hiyo imemshinda.
@anithawidambe7543
Ай бұрын
KIBU USISIKILIZE MANENO YA UPANDE WA PILI UTAPOTEA KIJANA. MENEJA UPO SAHIHI SANA TUNAKUAMINI
@yunusimchala6569
Ай бұрын
Passport kujaaa amesafiri mara ngapi jamani
@user-dj8ik2he5y
Ай бұрын
Passport kama imejaa amekwendaje marekani je marekani akupewa viza
@fettiemaganza1484
Ай бұрын
😂😂Wanatufanya sisi maboya hatujui lolote
@badendavid8456
Ай бұрын
Huyo Kashiba, hafai Tena Simba kwa sasa
@SamwelMwaineto
Ай бұрын
Huyo bondia kama anazinguwe acheni aend
@maryjkiosa3380
Ай бұрын
Hivi uyo kibu anajikuta Nani Kwan hovyoo
@jonasnzemya7700
Ай бұрын
Kama anazingua mwacheni huyo atawasumbua,mbona kuna wachezaji wazuri kwa sasa
@badendavid8456
Ай бұрын
Simba imekufikisha hapo,unadai peke yako wewe ?
@theonasmkoba6121
Ай бұрын
Mwandishi jiongeze mbona unarudia maswali ambayo umeshajibiwa.
@user-mg1yl2rl8s
Ай бұрын
Yuko Marekani anafatilia Passport....kwani alipataje visa na kwani ni raia wa Marekani? mmh haya!
@pontianjohnkahwa
Ай бұрын
Kibu bado ni Mrundi kiuraia
@user-kq8fp2ex2i
Ай бұрын
Huna lingine la uongo umebakia km paka mwizi kakosa mchuzi
Kibu endelea kula Bata madunduka wako bize na propaganda za kuichafua yanga wanasahau Yao kama Siri kumbe wanayanga walishahama kwenye mpira wafiti za wazee njaa wapo kwenye mpira wa kisasa mpaka kapeleka familia marekani mtapa shida kweli
@makamelila
Ай бұрын
Mjinga wewe ukisikiliza sikikiza vizuri usiwe unatukana tu ndunduja mwenyewe mjinga ww Simba siowajinga kama wewe
@user-uu8zi1dd2o
Ай бұрын
Mbona mnampa milage huyo mrundi??? Tatizo kashajiona cake mwache aende yanga huyo kaiga tabia za chamba huyo. Kwanza anacheza kwakutumia nguvu bila Akili. Nikama litembo
@fettiemaganza1484
Ай бұрын
Yanga aje kufanya nn msimu mzima goli moja😂😂😂tumewaingiza chaka kwa kibu huku lengo lilikuwa chama
@athmanimkangara9290
Ай бұрын
@fettiemagan@ Mzee chama
@user-mg1yl2rl8s
Ай бұрын
Yaani leo ndo mnajua kama kibu hana akili ila anatumiaga tu nguvu😅😅😅😅
@idrisa598
Ай бұрын
Kibu ana mpira wa kutulingia ngoja uone vipaji vipya utajua km kibu mchezaj wa kawaida sana Tena anauchiz Fran
Пікірлер: 35