Daahhh yani mm tokea nimeamka np na cm nachunguliaa Ila team data on mmenishinda tabia ayaa team Wi-Fi tujuaneee
@roseuwambe8089
4 жыл бұрын
Tupo
@nurafedrick378
4 жыл бұрын
✋✋✋✋✋ yanyarafu yabure🤣🤣🤣🤣🤣
@roseuwambe8089
4 жыл бұрын
@@nurafedrick378 Mtelemko kama domo denda🤣🤣🤣🤣🤣
@goldshukri86
4 жыл бұрын
@@roseuwambe8089 😂😂😂domo denda
@abdulhalimhumud1917
4 жыл бұрын
Dah Mr Fats elimu kubwa sana Hii Ya Leo Yaani mtu humalizi asante kk from 🇸🇪 Shukran
@inspirationmessages8420
4 жыл бұрын
Km umeskia EM KATA 😆 gonga like
@africandarling6925
4 жыл бұрын
Yani uyuu kaka anavyonge lazima umuelewe anaongea kwa hatua zuri sana
@benahdesigner
4 жыл бұрын
Kabsa
@Rose-pz8es
4 жыл бұрын
What used to have many spirits and no money! I dont want any spirit in my life i want to live free and happy....
@titodaudi8949
4 жыл бұрын
Sure!
@elizabethmabula101
4 жыл бұрын
Is nothing. spirits without money lol.
@lucygeorgina8656
4 жыл бұрын
Dah wadau team data on mwenzenu naumwa ndo mana nakua slow ila tuko pamoja
@mrgodfreyg2501
4 жыл бұрын
Duh! kuna rafiki yangu ilikuwa ni mwaka 2011 tulikuwa tukiuza nae barafu bunda mwaloni siku iyo mvua ilikuwa inakuja tukakimbia kwenda tunapo ishi yeye alinyonga baisikeli kwa uwoga alikimbia akaniacha alipofika nikamuuliza mbona ulikimbiza baisikeli kasi akaniambia amemuona mtu mrefu sanaaa akiwa kavalia kanzu na uso wake ukimuangalia akiwa kakasirika huku mikononi mwake huyo mtu akiwa kashika kitu kama nyavu ndiomaana akakimbia akaniacha nilitaka kujua huyo jini anapatikana hadi ziwani maji baridi au ni baharini tu kwa jinsi huyo mtalamu anavyosimulia huyo kiumbe alivyo ndivyo hivyo rafiki yangu alinisimulia alivyomuona
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
Nitamuuliza
@mariamfritsi9761
4 жыл бұрын
Suleiman Bin Daud alikuwa mtume wa Mungu,na alipewa mamlaka ya kutawala majini wote.sasa sijui ni Suleiman yupi hapo unaemaanisha.tufafanunulie Tafadhali.asante
@jamilaally3172
4 жыл бұрын
Jaman Suleiman si ni jina tu kama majina mengine
@kautharsalat6449
4 жыл бұрын
@@jamilaally3172 ciyo jina majinn ni waongo, nabii sulemam bin daud ni mtume na baba yake ni mtume wangu wa mungu, Jamila ndugu yangu huyu mzee ni shiriki maana Allah amekata kushirikishwa yeye
@euniceeunice7680
4 жыл бұрын
@@kautharsalat6449 lkn si umeona kasema majini wanasoma Qran sasa apo imekaaje?
@jamilaally3172
4 жыл бұрын
Nikwer kidin huyo mzee ni mushirqi billahi hilo harina shaka lkn sidhani kama huyo Suleiman anaye mzungumzia yeye Mtu alayhi salaam.
@gablielsamwely1081
4 жыл бұрын
Nampenda sana uyo mtaruma natamani undelete kutuletea story zake
@jhayparism1152
4 жыл бұрын
Huyu jamaa ana Story tamu sana huwa sichoki kumsikiliza 😁
@seifmketo6817
4 жыл бұрын
Sio wale wengine
@abdallagakweli6366
4 жыл бұрын
Seif kina nani ama wataka kumtaja kichaa wngu Domo Denda 😂 😂 😂 😂
@deusdeodavid5360
4 жыл бұрын
Domo kaya vp anachosha
@jhayparism1152
4 жыл бұрын
Huy jamaa mpaka nimeshawishika kumpigia na kupiga nae story 🤣🤣🤣
@roseuwambe8089
4 жыл бұрын
Muulize kwanin?waganga wengi ni waisilam???
@hamisihassan2620
4 жыл бұрын
Kwann manabii wengi wa uongo ni wakristo ??
@jamilaally3172
4 жыл бұрын
Ahahaaah😂😂
@rosecruiz4348
4 жыл бұрын
Sim ya whatsap imo awe nayo plz
@khadijajuma7142
4 жыл бұрын
Daaahh we baba kama nikutafute hivi,kuna ndugu yangu mwaka wa 7 kapotea hatujui alipo.Ningekua Dar ningeshafika kwako unisaidie.
@nusaebahkeis6774
4 жыл бұрын
Kapotea wapi jamani
@momymood4341
4 жыл бұрын
hatar nikienda hko ujinini c ndo kitoweo tena
@AREI12
Жыл бұрын
Dav uwe unawauliza je Kuna majini wakristo au wote ni waislamu.
@joycetimothy2956
4 жыл бұрын
Yan dav tunajifunza meng had raha tank Youuuuuu 😘🙏
@ibrahimaziz7158
4 жыл бұрын
Naona dm bado upo na mwanga wako hongera sana
@msemakweli243
4 ай бұрын
Hakuna jini mzuri wala mbaya isipokuwa ni jini ni malaika walio mhasi mungu kwahyo huyu mzee anafanya kazi ya shetani
@nyamogafamily4262
4 жыл бұрын
Mzee unajua mengi mno kuhusu majini,,sasa mbona upo lafu hivyo au hayana faida?Okoka unawili mzee achana na kazi za majini...
@fatmakiruwasha2378
4 жыл бұрын
Unavyo sema ache kwani yeye anapenda
@Rolemodel_wa_taifa
2 жыл бұрын
Kwani kuvaa nguo nzuri sana ndio kuweza kujitegemea
@manbanshaban9253
4 жыл бұрын
Huyu mjomba story zake haziboeshi💪
@aliykibabe9033
4 жыл бұрын
Hatr xna hii duuuh
@hassankombo5660
4 жыл бұрын
ha ha ha sasa kwa mfano akaenda uko ujinini arafu akashindwa kurudi itakuaje?
@abubakarmzee3374
4 жыл бұрын
Uyo ni mshirikina kama washikina wengine pumbavu tu mche Mungu
@ngwenjumedia8537
4 жыл бұрын
Aya mambo hayaitaj hasira kama wewe mchawi pita kuleeeee
@juliusphabian6336
4 жыл бұрын
Muunganishe domo kwa huyu jamaa 😂😂😂
@nurafedrick378
4 жыл бұрын
Haha kweli kaka hujakosea hapo kila mtu anajini wake sio uongoo yani tangia unabebwaa tumboni kunaanae kulinda hapo umesema kweli nakila jini lina jina lake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣ila mtangazaji usiniulixe wangu anaitwa nani hapo sinajibu siri moyoni🤣🤣🤣
@ameame1990
4 жыл бұрын
Habaari
@lanezboy7016
4 жыл бұрын
Wajuba nimewahi gonga like mazee kama unamfatilia davista
@danielchege2879
4 жыл бұрын
Following from Kenya 🇰🇪
@stephenkariuki8974
3 жыл бұрын
Twende huko bro from Kenya too
@edwardngugi3537
Жыл бұрын
Mnaenda kufanya nn uko ?? 😂😂 Tigai wanaa
@hamisihamso3699
4 жыл бұрын
sasa mata huyu mzee itabidi umuandike kazi kama body guard wako ili akulinde usiku hahahaha!!
@demitrahawkins5457
4 жыл бұрын
Hamisi Hamso 🤣🤣🤣🤣
@suleimanjuma1255
4 жыл бұрын
Kweli kuna majin waloho sana Nisha amini wife yangu aliingiliwa Na jin mahaba ila naye Wa kike so anapenda sana mi nikifanya tendo la ndoa na wife ndo furaha yake so kuna siku nili mjibu mbovu Akawa ana munyima wife kula na kukojoa so ana hisi mkojo ila huyo jini ana mkataza ana njaa ya hatari ila huyo jini ana mkataza kula Nilipakuwa wali nyama aise kitendo cha sekunde wali usha isha anakula haongei kumbe jini ndo anakula Kidogo wife ana rudi kwenye hali yake ya kwawa ida na kusema ameninyang'a nya chakula nilishangaa sana aise Na kutahamaki sana sio utani ni tu story
@rosecruiz4348
4 жыл бұрын
Aah dv kumbe huyo ni yule mzee wetu kumbe bado ana mambo
@lucygeorgina8656
4 жыл бұрын
Mzee davistar mata umeichomeka hebu kata ya mbaaali mate yalikukwama pale tuko pamoja kaka
@gablielsamwely1081
4 жыл бұрын
Davistar ntakutafuta unipeleke mana wachawi wana nitesa sana
@wafiq4
4 жыл бұрын
Naomba unirogee!!!
@bakarikayugwa3295
4 жыл бұрын
Kwani hii stoli si ulisha ihadisia
@leonardmrope9528
4 жыл бұрын
Stor Kali afu imeisha kiaina aina tu,,mmefelisha kishenz aisee
Kwan haujasikia story za wanao tajirika kwa uchawi wanayoyafanya uko acha mawazo finyu nyau we
@Rolemodel_wa_taifa
2 жыл бұрын
Wewe una utajiri gani mpaka leo hii
@khaleedmuch118
4 жыл бұрын
Gud
@edwinipila2930
4 жыл бұрын
Tunaomba namba za huyo mzee
@maxjofrey70
4 жыл бұрын
Uyu bwana anajipigia promotion tu mi ata sikuelewi kabisa uyu.
@allyawadh8492
4 жыл бұрын
Na kwamfano wale wachungaji wachawi wana Kama kina gwajima,lusekelo, mwakatale,na wachungaji wengi wanao watumia majini au swali jepesi hawa freemason wanatumia majini gani mbona majini yao yanaonekana yananguvu na mvuto mkubwa.
@kautharsalat6449
4 жыл бұрын
yule iblis ndiyo Lucifer mkubwa ana majina mengi Sana mtume Mohammed swa amesema anapembe mbili pia naishi baharini huyu iblis amechukua ahadi kwa Allah atupoteza sisi binadamu sasa na sasa hadi yake inaanza kutima nenda angalia sheakh walivozunguzia Freemason ni kwa ndani, wew andika mawaidha kuhusu freemason inshallah utajifunza mengi inshallah, asc
@lastgospel706
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣waislamu bhana
@samsonkibona7376
4 жыл бұрын
Respect kwako davista
@norbertmafioso3213
4 жыл бұрын
🙌🙌🙌
@abdallagakweli6366
4 жыл бұрын
Nauliza huyu mzee yko na mafanikio yyote kimaisha ama yko tu na mafanikio ya bodyguard tu lkn hela hamna?????
@juliusphabian6336
4 жыл бұрын
Iv ile ya mchungaj iliisha dav naomba unibij mdogo wang tafadhari
@raymondbashaka5948
4 жыл бұрын
Safi sana, nimeipenda hii.
@samwelalphonc8808
4 жыл бұрын
huyu mzee kiboko aiseeee
@sadiaabed6687
4 жыл бұрын
😆😆😆😆chipsi
@bahatikatembo1258
4 жыл бұрын
Ndanii tena mimi nataka kutolewa spiritual husband
@starluzenja9861
4 жыл бұрын
Huyu yuatangaza bishara yake tu...pia hajibu kama anavyouulizwa. Mbona nayo majini yasimtajirishe . Yani acha tu...njia tu ni M.Mwenyezi Mungu tu.Majini apana
@Rolemodel_wa_taifa
2 жыл бұрын
Unajua anapo lala anacho kula acha kudhania dhania tu
@SamsungA-su2qj
4 жыл бұрын
Mwambie babu mm nataka kuwaona
@saidjuma25
4 жыл бұрын
Tuko pamoja story Safi
@faidhirashidi1354
4 жыл бұрын
❤️
@mlasiferuzisuma9450
4 жыл бұрын
Kwani kabla ya uyo jini kuweka ulinzi alikuta umeisha kufa wewe mlinzi wako ni mungu jini atakulinda nini
@euniceeunice7680
4 жыл бұрын
Mimi nachoka apo tuu unapo sema jini mwema au jini wa kukusaidia au jini mcha Mungu apo ndo siwaelewi waislam maana majini wanaswali wanasoma Qran apo nipo njia panda maana majini wamelaaniwa awana mawasiliano na Mungu sasa wezetu uyo Allah wao ndo naona ndo Mungu wao maana sio Mungu wa kina Musa
@starluzenja9861
4 жыл бұрын
Kweli huyu haeleweki...eti majini wa Mungu...hamna jamani Yuaniudhi kweli
@allykutenga2862
4 жыл бұрын
Muendeleze huyo muda wa mwezi mzima mpk ramadhani ziisheee..
@awadhiabood5388
3 жыл бұрын
Mie uwa naoneshwa misikiti kila mwaka kwenye ndoto inafika sasa miaka 7
@abigaellcharess6370
4 жыл бұрын
Dvs hivi huwa hugopi🤣
@bingwa4039
4 жыл бұрын
Majin wengn ni wa loho wanakula had chips .ahaha😁😁😁😁😁😁
@demitrahawkins5457
4 жыл бұрын
Cloud Tweve dah 😂
@africanstears7755
4 жыл бұрын
tupe nafasi ya kumuuliza maswali.
@bahatikatembo1258
4 жыл бұрын
Watching from Japan siku moja nita saidika but am from Kenya
@abdulrahmanhassan9254
4 жыл бұрын
Leo wa kwanza, kama umesikia kuwa kila mtu anajini basi huyo jini anaitwa KARIR , wanajimu ndio huwita NYOTA yako ukisikia nyota yako au ya mtu fulani ndio huyo jini KARIR
@princesssway1396
4 жыл бұрын
Mbona huna what's Aap
@Rashid-sg2mw
4 жыл бұрын
Davista imeishia pazuri,, nasubilia kesho
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
Sawa
@benomwazembe4765
4 жыл бұрын
Namba zake za simu maana kuna watu wanajifanya wajanja
@najmommy7726
4 жыл бұрын
NAOMBA NAMBA YA MZEE DAVISTA
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
0788830236
@edwinalali8662
4 жыл бұрын
Vipi Davista.tushapiga hii number lakini hamna mtu.anayo number ya whatsaap.mimi Niko Qatar Nataka Sana kuzungumza nae pls
@cynthianawambugha7663
4 жыл бұрын
@davistar nione kando😉 tusort hii story ya mic🎤🎤
@salehkhalfan1473
4 жыл бұрын
Mm na mkosowa kitukimoja huyojini anaesema haitwi hivo hilojina alilolisema nijina lamtume wamwenyezingu anaitwa nabii Suleiman bb yk ndio na bii daudi huyo nimtume jini mkubwa wao anaitwa ibilisi nijini aliemuasi mwenyezimugu
@deborajoseph8954
4 жыл бұрын
Naomba namba ya huyu mzee anapatikana wapi??
@rachelcharles5190
4 жыл бұрын
Story za huyu mzee zinatisha Sana kuangalia peke ako inahitaji moyo Mr facts hapo unapomhoji mkimaliza hupati shida usiku wakati wa kulala?😁
@edwinipila2930
4 жыл бұрын
Nashida nahuyo Mzee nampataje
@edwinipila2930
4 жыл бұрын
Nampataje
@edwinipila2930
4 жыл бұрын
Naomba namba zake
@bahatikatembo1258
4 жыл бұрын
Imagine jini mahaba
@jamilaally3172
4 жыл бұрын
Dah kwer
@nathankipchumba5224
3 жыл бұрын
Nataka kumuona Suleiman
@mahajk1950
4 жыл бұрын
Duu¡ Kama umesikia kuna jini mchoyo yuwala chips tujuane
@kwitondachristophe5618
3 жыл бұрын
Numéro ya watsapp Ili niweze kukuswali vizuri
@abassmchonjo6635
4 жыл бұрын
Atuelekeze.jinsi.yakumwitajini.wapesa
@abdulrahmanhassan9254
4 жыл бұрын
@Abass Mchonjo hapa KZitem andika Don shafinez utapata hayo unayo yahitaji
@deelissa2746
4 жыл бұрын
😂😂😂😂wewe umesahau mwenzio aliekuwa analawitia kisa pesa za jini
@nyamogafamily4262
4 жыл бұрын
@@deelissa2746 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Labda na yeye anataka Afukuliwe mtalo,,, Fanya kazi pumbavu ww
@demitrahawkins5457
4 жыл бұрын
Jesus Christ 🙄🙆
@mlasiferuzisuma9450
4 жыл бұрын
Majini yote ni mashetwani .yamemuas mungu hakuna mswalihina
@zuwainaalmusalami4291
4 жыл бұрын
Kaka naomb no
@ameame1990
4 жыл бұрын
Mbona hunijiibu mkuu ile iliopiita nikikuambia kiitu
Пікірлер: 143