Ndiomana Mimi mambo yamkopo siyataki bora ninyweuji wachuvi nachukuchuku
@antoinea.katembo5326
5 жыл бұрын
Doris Mamf ahahahahahah financial management ndo shida ndugu yangu! Mimi naishi marekani na maisha yetu kwa asilimia kubwa ni kukopa ndo maisha!
@sautiyahamasaonlinetv6139
5 жыл бұрын
acha uoga
@idrisaallysalum9447
5 жыл бұрын
Huyu hayupo sawa, yeye kazi yake ni kuuza na sio KUKASHIFU WATU eti "kukopa harusi kulipa matanga"!
@africanhappyadventure6951
5 жыл бұрын
Haka ka mama kana maneno ya Ajabu ambayo hata mengine hayahusiani na Kazi yake.Katumwa kupiga mnada apige apige aende zakee..
@saidimhina4632
5 жыл бұрын
Acha ushamba uzaa usiwakatishe watu tamaa
@davidmajiwa9283
4 жыл бұрын
Hahaaa
@jeromendetaulwa3466
5 жыл бұрын
Hawa madalali wana roho mbaya maneno ya kashfa ya nini we mama fanya mnada acha kejeli eti kukopa harusi kulipa matanga!!
@eliazarinyakiema1969
5 жыл бұрын
Wapi Dr Shika
@puregamers4215
5 жыл бұрын
900 itapendeza
@boniphacerobert9533
5 жыл бұрын
Wote mnaombeza mkopaji na kumuona mjinga nyie ndo mataila,kwann niseme hvo mkopaji alichukua mkopo wapesa kwa nia njema ya kukuza biashara yake na alifanya hivo ila kwa bahati mbaya soko likawa baya Leo mnamuona mjinga.Jamaa sio mjinga mjinga ni ww na akili zako za kimama
@magrethjohn8576
5 жыл бұрын
Boniphace Robert,hivi ukisema akili zako km mmama unamaanisha nini? Mpendwa.
@tedymwandara5480
5 жыл бұрын
Kwa kifupi kukopa c kitu kibaya cha msingi ni kurudisha mkopo wa watu kwa taratibu zilowekwa, nawewe unaesema akili za kimama kwa taarifa yako Sisi wamama tuko vizuri kwenye kukopa na kurudisha bila shida yoyote, sisi ni waaminifu nenda kwenye mabenki waulize walipaji wazuri wa madeni yao.
@fitinankalango850
5 жыл бұрын
Kweli kaka uko sahihi
@shammahlupon7945
5 жыл бұрын
mama kazi yako ni kuuza sio vijembe,
@zakstv7368
5 жыл бұрын
nikimuona tu huyu mama najua kuna mtu analia😁
@leonardmrope9528
5 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀
@ahmadAhmad-zw4ol
5 жыл бұрын
Zakia Othuman 🤣🤣🤣🤣🤣
@zakstv7368
5 жыл бұрын
@@ahmadAhmad-zw4ol hatari@Ahmad mambo ya mikopo sitakagi kusikia
@kasaramaisa6226
3 жыл бұрын
Nimecheka kamanda
@goodluckmasige5276
5 жыл бұрын
Huyu mama nikimuonaga tu naogopa kukopa
@lipalikahamisi2506
5 жыл бұрын
Hahahaha nooma saana
@farhafarhan4393
5 жыл бұрын
🤣🤣😂
@teamfocusfunny966
5 жыл бұрын
Yaani mwenye gari akisikia #Akisikia njoo utajirike Huku inakera kichizi😂😂😂
@kassimulugajo6512
5 жыл бұрын
ndio maana uislamu unakataza mikopo ya riba
@ZainabZainab-tv9ir
5 жыл бұрын
Naam kbs asaiyositama jmn
@bwanautam95
5 жыл бұрын
Hakika
@epafraraphael-rr4dn
5 ай бұрын
Kama dini inakataza kwanini unakopa
@Nicholaskiwale
4 ай бұрын
Dada vp ist naweza kuipata kwa bei gani kesho nije kuchukuwa
@sazafsuma7542
5 жыл бұрын
Mbn doctor shika umemshinda
@mohamedbinfadhil1396
5 жыл бұрын
We mama unafurahia watu kufilisiwa una siku yako na ww sijui kama hamdaiwi TRA nyie... Tutaanza kuwafatilia soon
@khamisrubea5083
5 жыл бұрын
Naona uyo mama kama kafurahi wakati yy kazi yake ni kupiga mnada mbona anamkashifu mwenzake
@williamkipondamali1936
5 жыл бұрын
Kashfa sio nzuri Dada hata nyie mnaishi kwa udalali tu... Tumia lugha nzuri kwakuwa hata mimi nategemea nikope ndio nije ninunue......
@thabitdaudi9815
5 жыл бұрын
kakope uone balaa zito
@AminaJuma-r4y
3 ай бұрын
Wewe unauza magari na kudanganya eti kakopa benk
@Chayna255
5 жыл бұрын
Namuona Class mate wangu WHSS Tumpe ngusa behind Umetisha sana dada mtumishi 🤗🤗🤗
@kinthermedia
10 ай бұрын
Wazo mwaka gani ndgu
@abuuazhar3738
5 жыл бұрын
Mwaka huu lazima na Mimi nimiliki IST, eboooooo...nimechoka na mwendokasi
@missraskinaraskinamfinanga1709
5 жыл бұрын
Prof. Kimaro A.M 😂😂😂😂😂
@shushan1113
5 жыл бұрын
Amen
@reyham1722
5 жыл бұрын
Njoo nkuhongeee
@sindanimatumbai3950
5 жыл бұрын
Hahahahaaa
@subiradalabu6616
5 жыл бұрын
😹😹😹😹
@NADUAonlineTV
3 жыл бұрын
SAWA
@elibarikikivuyo5946
2 жыл бұрын
Imagine magari 50 alafu kashindwa kulipa mkopo?? Me apana this buness mind
@khadijakhadija6212
5 жыл бұрын
Kitambi mama umeshib hela 😂😂😂
@johnsonjusto9564
5 жыл бұрын
kukopaga kusikie ila niwakopaji wachache wanaowezaga kurudisha mkopo ila pole naakaribie kwenye historia yakufilisiwa kma wngne
@AmisiChilungu
12 күн бұрын
Kukopa ni laana
@kassimulugajo6512
5 жыл бұрын
900 itapendeza 😀😀😀😀😀😀😀😀😀
@SalumuAyubu-j3j
7 ай бұрын
Mwaka Gani au zishauzwa tayali
@saidsongoro9097
5 жыл бұрын
Dada kata rasta. Kama unataka kuwa rasta achana na hiyo kazi unayofanya ya kuhuza vitu vya watu
Nikimuona uyu mama Kama namuona Dr shika vile. Lakini Nissan itapendeza.
@lugo3952
5 жыл бұрын
benk sio watu acha kabsa
@kudraayoub2170
5 жыл бұрын
Mungu aku ongeze
@MtuSafi
5 жыл бұрын
Dr shika anakuja kaipata hyo
@getitdoneright1938
4 жыл бұрын
Our president and his administration are working so hard to fight against corruption and some of you are working hard to reverse all the hard work done by current administration.
@allymohamed1410
5 жыл бұрын
Dr shika njoo huku kuna mnada
@namanga9786
3 жыл бұрын
Nataka garii za fiaat
@majaliwamsigwa3974
4 жыл бұрын
Wanao faidika na hiyo mikopo ni wachache,hata za kwako huwa zina kweda
@reyham1722
5 жыл бұрын
Uwiiiiiiii Murano/alphard
@sebastiansabe9618
5 жыл бұрын
Shida IST zilikwisha alibiwa jina na mkuu wa mkoa huo kuwa ni gari za kuongwa. Kikubwa niwasihi tu wanaume mkawanunulie tu michepuko gari hizi.
@msafirlaizer2368
5 жыл бұрын
Sebastian Sabe .. Daaah!! BigMan Pambana. Mimi n kijana wa miaka 25 ninamiliki IST na sijaongwa man nmehustle. We unapush nn??
@danforddaud5784
5 жыл бұрын
Dr shika ajitokeze hapo
@getitdoneright1938
4 жыл бұрын
Fake auctions mart, the sales and deals are already made behind closed doors and now you are coming out to announce the date to close the deals. Corruption all over the place and now headed towards private sector. It’s so sad. Un fair trade.
@BARAKAMzinga
4 ай бұрын
Du!
@eliasmarwa9189
5 жыл бұрын
Nyie ni wezi sana na mnaonea sana wadaiwa sana
@tedymwandara5480
5 жыл бұрын
Mama kazi yako ya kupiga mnada huwezi fananisha na watu wanao risk pesa kwa kukopa kwenye mabenki ili wafanye biashara, acha kuwakashifu wakopaji benki zipo kuwezesha watu financially na utambue ulimwengu wa biashara una mambo mengi, wewe piga mnada upate commission yako waache watu wakope c wakati wote watapata hasara, km wewe ulivyomwamini mzee wa mia 900 ingependeza zaidi ukakwama ndivyo biashara zilivyo.
@waukweelinikkon6555
5 жыл бұрын
Wakinamama watajirike na yonoh au mnawashawishi wafanye utapeli waje kununua Hizo gari,Dr shika upo wapi,kuna mali Huku njoo wakupepee tena aisee
@subiradalabu6616
5 жыл бұрын
waukweeli nikkon 🙈🙈🙈😁😁😁
@jumamkwanda8031
5 жыл бұрын
Ama kweli kukopa Harusi kulipa Matanga
@mahrooqsuleiman7216
5 жыл бұрын
Mh watafilisiwa wote matajiri bora nibaki na umasikini wangu
@husseinkarim6745
5 жыл бұрын
Ongea ulichotumwa sio unajipendekeza au siasa.
@josephatlabia2375
5 жыл бұрын
du! kumbe ist ni za kimama-mama!
@magejuliani5293
5 жыл бұрын
Mkopo wa benki usikie tu
@minjamiraji7603
5 жыл бұрын
Mage Juliani kweli kabisa
@zumamarande3242
5 жыл бұрын
Mia 900 itapendeza
@hadijahmwajombe9588
5 жыл бұрын
mama upo makini na kazi yako😆😀😀😀😆😆
@patrinussanga3081
2 жыл бұрын
Naombeni namba zenu
@pambelameck2233
5 жыл бұрын
Ikitokea tena .mnada wa magali niambie
@testmyphone1305
5 жыл бұрын
Kimataifa inamaana kama mtu anadai uko marekani akija kwenu mnaweza msaidia apate pesa zake
@zainabuahmed5910
5 жыл бұрын
Hiyu mama ametisha,anastahili kuwa mkurugenzi mtendaji wa kampuni
@aishaabdallah4255
3 жыл бұрын
Yanakuwa kuanzia shingp?
@aristidestibaijuka3428
5 жыл бұрын
Aje atajirike wakati mnawafirisi .Tusiwe na roho mbaya
@slaviaoscar1641
5 жыл бұрын
aliikopa ilikuasiri sasa mhuuu achaniwe masikini tu
@koneboy5635
3 жыл бұрын
Shingapi moja
@mkambalukas9233
5 жыл бұрын
Dr shika kapata taari???
@kaaakwakutuliaa5179
4 жыл бұрын
kwann wasifungue web site waka weka bidha tuka nunua online kama befoward
@officialkamdudu
5 жыл бұрын
900 itapendeza zaidi...
@lasteckmmary9741
5 жыл бұрын
We, mama mi binafsi tuu sikupendaagi, kwa hiyo kazi yako unayofanyaaga, ya kuwadhalilisha watu
@noelmalewo2845
5 жыл бұрын
kidumu chama tawala
@khadijakhadija6212
5 жыл бұрын
Pole jmn
@hilalimligo6408
5 жыл бұрын
Tupeni Namba za simu wengi tunaweza kuhitaji lakini tupo mikoani
@alfredymalata269
5 жыл бұрын
Zilikuwa za uber izi duh!
@simoncharles3633
5 жыл бұрын
Anavyochekelea kama mazuri vile.
@issaissa8572
5 жыл бұрын
Aisee hawa watu wa benki ni wapumbavu sana sasa maana yake ni nini jamaani mikopo ya benki zenye riba hakika hazinufaishi watu bali inawafilisi watu huko si kutajirika huko ni kujifilisi
@Youth-for-Jesus
5 жыл бұрын
Nitakuwepo bila kukosa
@mechanicaldesignbrain
5 жыл бұрын
".....itapendeza"
@salmaothuman4799
5 жыл бұрын
Hahahahaha ngoja nije
@TeamKRX
5 жыл бұрын
Majali yatazidi duu wengine minaa si mpaka watu wawe na mapeni au watanunulia na macho
@moringelangas7276
5 жыл бұрын
Atanunua nani IST Wakati viongozi wanasema ni za kuhongwa?
@hussenomary3520
5 жыл бұрын
First
@ladsonmshana9920
5 жыл бұрын
Wewe mama unafura maana unauza tu hata mungu humuogopi
@epafraraphael-rr4dn
5 ай бұрын
sasa unataka aogope nini wakati ulikopa mwenyewe
@epafraraphael-rr4dn
5 ай бұрын
sasa unataka aogope nini wakati ulikopa mwenyewe
@lululala266
5 жыл бұрын
Bado yapo? Au yameisha?
@elanomushi209
5 жыл бұрын
kama m4 no d nzima. naitaj ase
@augustinolyimo8709
5 жыл бұрын
HIZI GARI SI NDIO ZILOKUA ZINAPIGA KAZI NA UBA DARESALAM/
@alexchungu9505
5 жыл бұрын
Nitakuja kununua, si bahari beach?
@saidymtenda9777
5 жыл бұрын
Iyo Ist milioni mbili napata jaman
@queengee988
5 жыл бұрын
mil 2😳😳😳😳😳kumbe😳😳😳😳hat mim nawez kununua😂😂😂
@othmanrwabibi1384
5 жыл бұрын
Pikipiki hupati
@thadeusjosephkimario7417
5 жыл бұрын
Mkopo hapana
@danielyusuph4070
5 жыл бұрын
Tunaomba mawasiliano yenu.
@dintazdintaz7311
5 жыл бұрын
Lita 5 from dar to kigoma is it possible??
@ruthleonard2958
5 жыл бұрын
Hahahahaha
@mwanahamisahmada5151
5 жыл бұрын
Akomeee
@alicealen3495
5 жыл бұрын
Mwanahamis Ahmada we dada unaonekana una wivu, naona hata mtaani kwako umenunia majirani wenye maendeleo hata kwenye ukoo wenu kuna watu hupatani nao sbb wana maendeleo pole sana hiyo ni devil spirit
@jahabdallah1829
5 жыл бұрын
Daaaaa makufuli oyeeeee kiboko yahani awo mafisadi wameacha mpaka magari wanayakimbia dada bei ngani na mimi niko mbari nataka niko hapa south Africa,,tn nomber ninayo nisharipasana ushuru hapo mbongo nitumie bei naitaji moja m south Africa jah
Jah Abdallah unajidanganya rafiki, tafakari. jamaa katengeneza pesa zaidi ya gharama za hizo gari sasa arudishe pesa bank ili aanze upya? nibora bank ichukue magari yao then yeye atafute utaratibu wabiashara ya ndoto zake. watu wanaishi kwa akili rafiki
@alicealen3495
5 жыл бұрын
Jah Abdallah leo hautelewa ila ipo siku utaelewa. watu tunaishi kwa akili
Пікірлер: 133