Muheshimiwa Makonda! Nakufurahia sana! Bado namuomba Mungu akulinde na macho ya husda
@ashangonyani7989
8 ай бұрын
Mama Asante sana, Mungu akupe umri mrefu Kwa kumrejesha Makonda. Msamehe na kumkumbuka Tena katika ufalme wako, ALI HAPI na SABAYA. 🙏🙏
@nurumwenkale7278
8 ай бұрын
Hamna mkuu wa mkoa hapo huyo mama yupo upande wa wawekezaji si aseme tu na Hana mpango wa kusaidia wananch
@killingmleke1810
8 ай бұрын
Makonda mungu akuweke sana mimi nakuahidi mungu atakusimamia na endelea ktk hilo
@daudbulba9153
8 ай бұрын
Naposikia haya namkumbuka hayati magufuli aliko mungu amuraze pema makonda big up sana magufuli wa pili anakuja
@khadjamhozya
4 ай бұрын
anakuja arakini😭😭😭 arakini uhhhmmmmmm😭😭😭😭😭
@lucyjeremia1381
8 ай бұрын
Ni huzuni Sana Tanzania yangu 😢😢😢😢😢kila kona ni kilio dhuruma imetawala
@nishaabdula5015
7 ай бұрын
Yn ni haibu nchi ya hamani tunajulikana dunia nzima lkn ndan ya mchi akuna hamani imejaa zuruma tupu
@jacobmwashambwa4893
8 ай бұрын
Nakufuatilia sana Comrade Makonda najifunza mengi
@costantinochibago9768
8 ай бұрын
Tungepata watumishi japo 10 kama mh.p makonda kwenye taifa letu tungeishi kama wafalume Mungu akulinde sana maana hhhh
@mrsab303
8 ай бұрын
Makonda you reminded me Magufuli good job ❤❤❤❤
@selemanimchana3598
7 ай бұрын
He fight for the next election 2025, haya maisha bhana Mimi nimechill tu
@lilianeerica3318
7 ай бұрын
@@selemanimchana3598Akichaguliwa na akafanya hivi ndipo tutajua kwamba ni mzuri ama mbaya
@FatumaShaban-g7g
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@margarethpolepole7438
8 ай бұрын
Walipoona Magufuli amekufa amemdhulumu huyo Mkuu wa Mkoa
@Obasaniyo
8 ай бұрын
Mkuu wa mkoa hovyo kabisa. Anajifanya anahasira.
@asajileraphael1951
8 ай бұрын
Bado Kuna Mt anaitwa ALLY HAPPY apewe nafasi mchapa Kaz kweli naye, wakiunganishwa na huyu mwamba itakuwa
@josephineokama2200
8 ай бұрын
kwel kabisa yaani ni watu ninaowatamani jumlisha sabaya nchi ingekua mwake
@hopehealthcs3294
8 ай бұрын
Wow true
@aishaabrahaman9957
8 ай бұрын
Yulee yupo busy na ukulima abaki tuuuh uko uko
@MgangaDaud
7 ай бұрын
Anhaa! Kaka umemsahau LENGAI OLE SABAYA! Na yeye arudi serikalini
@abdulmelele7322
7 ай бұрын
Ally Hapi mwamba namkubali sana mrangi yule ni kichwa kwel kwel
@elinipendokarisha9570
8 ай бұрын
Mh. Makonda ni chuma cha pua....he is a man of the peple
@alexandersangi1724
8 ай бұрын
Mm nazani makonda baada ya mama ufate wewe kuwa Raisi.
@emmanuelkyandochali990
8 ай бұрын
Eti muogope mungu yaan limekaa Limama linawatetea wawekezaji linaumiza wananchi wake sa sijui linawaongoza wawekezaji au wananchi
@JophasJohn-oh8zu
7 ай бұрын
Si kapewa hela mbwa huyu mama
@AnethMushi-c3e
4 ай бұрын
Ana mgao wake Kwa wawekezaji
@HamadiMgaluka-ld7hv
8 ай бұрын
tunataka viongozi kama mh makonda. mama kamaitawapendeza mpeni kitengo Ally Happy nae ni mzuri kwenye kazi
@MarwaRange-m2e
8 ай бұрын
Fanya kazi baba makonda uko Safi unaweza ukawa kiongozi bora sana brother
@johnbernad3990
8 ай бұрын
Wizala ya ardhi inashida sana yaani imejaa zurma sana nyambafu sana hawa
@AlphonceJumanne
8 ай бұрын
Ama kweli makonda nimekukubali upo vizuri kaka piga kazi
@grayjordan3900
8 ай бұрын
Kwa nini wanateuliwa watu hovyo namna hii nivigezo gani wanatumia kuteua watu wa hovyo, mkuu wa mkoa anadiriki kutishia wanainchi kweli
@boniphacewambura1427
8 ай бұрын
Ndio maana mm huwa huwa sipend hizi nafasi za kutwuliwa maa hawana hofu na wananchi wao huwa wanahofu na aliyewateuwa
@AbdulmalikFedrick-ct7nb
8 ай бұрын
Mueshimiwa makonda Alha akulinde Na Kila adui CCM oyeeee
@ashangonyani7989
8 ай бұрын
ALI HAPI! ALI HAPI! ALI HAPI! Mama mkumbuke huyu kijana mzalendo na jasiri kama Makonda.
@denisyohana8104
7 ай бұрын
nimemmic sana ALI HAPI ,asant MAKONDA
@MaliusMaliuskagumisa
8 ай бұрын
Mkuu mkuu shikamoo uzidi kubarikiwa aseee kwanzia leo nimeamini mungu nimkubwa sana ivi ayayote unayaoteshwa mkuu????? Maana unaoji mpaka mtu anajikuta ametubu zambi bilakujuwa aseee
@laylayl5166
8 ай бұрын
Dunia simama nishuke wanawake muogopeni mungu nyie
@neemanziku5403
8 ай бұрын
Waandishi na wanahabar peleken hisia zetu kwa mama Samia kwamba Tunampenda sana Makonda tena apewe ulinzi mkal
@salimalaquimane3077
8 ай бұрын
Kwan sheria ai ruhusu wwe kua rais toka alivyo kufa JPM ckuwah kua na matumain 🎉
@AliFakiMati-m7n
8 ай бұрын
Wewe mwanamke huna haya hata kuzungumza uongo humuogopi mungu.
@lucaschipanga4466
8 ай бұрын
Makonda kaka ukovizuri mungu tuuu akuride honja zingine mariza hapo hapo tuone mfano
@issaabdallah7660
8 ай бұрын
Hawa watendaji mda mwingine huwa wanaichonganisha serikali na wananchi
@MariamWiliam-z8k
8 ай бұрын
Ilo limama linafika lishakula pesa limalaya likubwa ilo sura kama bundi
@emanuelgella8201
8 ай бұрын
Kunayo muda viongozi wanao wateuwa hawa wakuu wa mikoa na wilaya wanapsswa kijitathmini sana, hivi kwa jins mkuu wa mkoa alivyo anza kuongea kwa jazba na kwa mkwara utafikiri ni kweli jamaa hana haki, kumbe ni kujihami,, waweke watu sahihi jamani kwenye hizi nafasi za uamuzi
@laylayl5166
8 ай бұрын
Huyo mama mmmmhhh
@josephmaroa636
7 ай бұрын
Makonda wewe ni kivuli cha Mzee hayati John pombe Magufuli pale alipolala anatabasamu hongera kiongozi
@vincentauxerbius7554
2 ай бұрын
Roho ya magufuli bado inaendelea kuishi still😢😢
@banguha
8 ай бұрын
Uyu mama na miwani yake kama fundi maget ameanza kwa mbwembwe za umuogopi Mungu utadhan yeye anamuogopa muone gaun lake kama mwanafunz wa chekechea
@johnbernad3990
8 ай бұрын
Sikutemea kucheka usiku huu wa manane 😂😂😂😂
@emmanuelmayunga1518
8 ай бұрын
😂😂 na hilo tumbo Lake sasa
@fatumamilimo7336
8 ай бұрын
😂😂😂😂niacheee
@martinisadru9899
8 ай бұрын
@emmanuelmayunga1518 usimseme vibaya Kwa uumbwaji, maana hakuomba, Bali mseme Kwa mabaya aliyonayo kutoka moyoni mwake.
@seifkulwa3346
8 ай бұрын
Huyu mama hamna kitu!
@MtegekiKaijage
8 ай бұрын
Kwani shinyanga si kuna uchawi wanasubili nini kuroga hawa watu kuanzia muwekezaji, mkuu wa mkoa na afsa/kamishna wa ardhi
@denismnubi7001
8 ай бұрын
Nimepda hiii
@Obasaniyo
8 ай бұрын
Hahahahahaha😅😅😅
@chomasongidion6047
7 ай бұрын
Mefari tayari huyo mwwkezaji
@rivaldodeniss
4 ай бұрын
😂😂😂
@mms9158
7 ай бұрын
Mr makonda Alla akupe umuri uendelee hivohibo kuwasaidia wananchi ❤
@BahatiMohammed-s8f
8 ай бұрын
Nawapata vizuri nikiwa dar. Tanzania
@AbubacarAbdulAbdul
8 ай бұрын
Daah ... Allah lhe abençoe homem, você é credível 🙏 x Off Maguful X Moçambique uanguikuigueuenii nyie tungui endelea sana lâkini Moz pabovu🇲🇿
@madinajamada9180
7 ай бұрын
Dhuruma sio nzuri tuogope allah tutaulizwa siku ya mwisho
@thieryniyonkuru5023
8 ай бұрын
Da mama Mkuu wa mkao huyo, hajui mkono wake wa kulia wala wa kushoto.🙆😂🤷♂️
@MfiriFulgensi
8 ай бұрын
Kuweka matumbo hofisini tu na kutumbua tu pesa ndowanaotia serekalihasarana wananchi
@basumegheMbotwa
8 ай бұрын
Huyo mkuu anatumia jaziba hata mbele yako makonda je akuwa nawanyonge tu si kesi
@isaacmambwe6547
8 ай бұрын
Tanzania yangu shikamooooooo
@Ihsankeizer
7 ай бұрын
Maghufuli left a great legacy, he set the pace and I'm glad seeing this going on after his death. Initially I thought it was during the lifetime of president Maghufuli but seeing the poster of Mama Samia behind assured me that she's truly followed the footsteps of her predecessor. But please I wish Mama Samia too went round to directly listen to her people's problems like Maghufuli did. Thank you Tanzania and Tanzanians for your uzalendo and being true to your country. God bless Tanzania
@daudisaimon7466
8 ай бұрын
Huwezi miliki leseni bila kulipa watu fidia za maeneo husika
ki ukweli nakiona kile kilichomfanya Mzee Magufulina hata sasa Mama Samia kukuteua Jamani Weye unaweza Mungu akuweke kiongozi wetu maaana sio kwa busara hizo ulizonazo
@giftmusa6543
8 ай бұрын
Mie karatasi ya serikali sishiki wala sisomi sasa,mkuu wa wilaya ndio ataisoma😅
@neema-ee6qm
7 ай бұрын
😂😂😂😂s
@giftmusa6543
7 ай бұрын
@@neema-ee6qm hatari
@SayyidAhmadBaalawy
7 ай бұрын
Huyo Mama Muongo Hasemi Ukweli! Mweke Sawa
@MfiriFulgensi
8 ай бұрын
Acha uwongo mama karatas kazipata wapi
@AbdulJuma-i7e
3 ай бұрын
Baba pambana tupo pamoja mungu atakusimamia Mimi msukuma mweupe nuu tabu turio pamoja
@rosesilio9008
3 ай бұрын
Da ila hii nchi ni ngumu watu wanaonewa wanadhulumiwa hatari
@kissakayuni767
8 ай бұрын
Mhe. Makonda Mungu akubariki sana kutujali maskini .halafu anasema angalia mbele kwa wananchi sio kwangu.
@Muuzambuzi
8 ай бұрын
Makonda oeeeeeee big up sana.
@SaidHassan-wz1px
8 ай бұрын
MAKONDA ANAFAA KUA WAZIRI MKUU
@billgussy6099
8 ай бұрын
dhuluma zime jaa sana hii nchi
@gabrielbagonambona
4 ай бұрын
Makondaaa ni magufili wa pili 😢😢😢 mama azid kukuinua babaaaa
@adieldennis1316
7 ай бұрын
This man Makonda seem to be a good person,he speak well ,he communicate with common mwananchi with a lot of humility,To my opinion he has great future,but on the other hand am wondering how come there's rumours that he was involved on assassination attempt of Tundu Lisu.?
@shijamakoye6544
8 ай бұрын
Ccm itang'olewa madarakani na wateuliwa wake yani ccm inateua wawakilishi wenye nia ovu na chama sasa mfano huyo mkuu wa mkoa na huyo kamishina hawajawahi kufika kwenye eneo na wala hawalijui harafu wanakomaa kumtetea muwekezaji kwa maana hiyo tayari walishapewa hongo
@MfiriFulgensi
8 ай бұрын
Chama cha mapinduzi tunaomba huu utatuzi anaufanya makonda uendelee maana tatizo kati ta w
@ماجكموزجوني
8 ай бұрын
People fighting for the land. Land is listening to them whilst takes all the weight of human being when they walk and stand on it. BUT, when Land hit back and swallow human being, everyone is crying and forgot what they have done to the land before.
Пікірлер: 503