Viongozi wa Simba hawana ela ya kumsajili feisal hamsemi ukweli mmemshindwa chama leo mtaweza kwa fei
@SalvatoryMtunga
3 ай бұрын
Anayesajiri sasa ni magori, try again na mo, mangungu hana uwezo wa kusajiri.sasa mangungu anahujumu vipi kwenye usajiri huo? .
@SalvatoryMtunga
3 ай бұрын
Kipre hakumaliza mkataba bali alivunja mkataba na ndiyo maana waarabu waliwalipa azam zaidi ya shs milioni 500.
@castormosses33
3 ай бұрын
Point tup
@jimmymnuano7165
3 ай бұрын
Kaka yangu shika hii mimi mbona hizo 5 nimeziota,mbona zinarudi tena kaa ukijua hilo tabu lele iko palepale
@MohamedKinega-jt4vi
2 ай бұрын
Kwa huo usemi wako kuhusu akili inataka mwili hautaki nakuunga mkono na pia namnukuu bondia wetu Rashid Matumla, wakati akiwa bado yuko ulingo alipoanza kupigwa pigwa, alihojiwa na kusema anaitaji kustaafu maana kila akipanda ulingoni anapigwa na kusema akili inataka ila mwili hautaki ni maneno ya Matumla na ndio anayosema Ally Bonge kwa Saidoo
@PhilipoNjalika
3 ай бұрын
Huyu mtu anayetuhujumu ni mangungu
@komboarts7110
3 ай бұрын
Tukitoa wote wazawa nani atabaki
@neemamwijage
3 ай бұрын
Mickson hayumo
@neemamwijage
3 ай бұрын
Huyo kama ni mgumu kutoka tunamuomba Mungu ajitoe mwenyewe
@iddgombellah6750
3 ай бұрын
Na yeye anamuomba .mungu asitoke
@kolosii4351
3 ай бұрын
Nyie mtapata dhambi kwa kuhisi wachezaji wenu vibaya.
Пікірлер: 13