Mash Allah mna upendo hadi raha Allah amidumishie upendo huohuo pamoja na furaha daima mpiganie kilichobora😘
@byaombembella5585
Жыл бұрын
twataka kujisajili pia huku maana Wana Yanga tupo wengi Kenya🇰🇪🇰🇪
@abellyleonard1551
Жыл бұрын
saf sqna💚
@byaombembella5585
Жыл бұрын
🔰🔰🔰
@siaramadhan4707
Жыл бұрын
Mmetisha saba bro👏👏👏
@barakaemmanuel6545
Жыл бұрын
Jisajili kupitia Yanga SC App.
@mwitaboniface5282
Жыл бұрын
Pia mm npo ally kamwe vp lakn
@fabiananney
Жыл бұрын
You are the best one president good job 💪💪💪💪
@robertdominiko2667
Жыл бұрын
Nimependa kufanya kazi kwa furaha
@zakariajeanlucandre2408
Жыл бұрын
Hongera Ali kamwe naomba hiyo simu yako ya mwanzo Basi🤣🤣
@rashidamohamed9927
Жыл бұрын
Mm ni yangaa yanga yetuuu piga kelele Kwa RAIS 💯💚💚💚💛💛💛tukovizurii mtani ujipange mwenyenzi munguu akutie nguvu kwakira jambo yanga ooooyeeeeee💚💛💛💛💛💚🙏🙏💪💪💪💪💪
@amanafi1288
Жыл бұрын
Somo kubwa kwenu Vijana juu ya uwajibikaji uliotukuka... Kamwe unastahili Doggo.. Congratulations
@obedi84
Жыл бұрын
Naipenda yanga sana kuicha siwezi
@ecostats51
Жыл бұрын
Hii ndiyo faida ya taasisi yoyote ile kuwa na rundo la wafanyakazi vijana ambao damu inachemka, ubongo uko active wakati wote,utani kidogo ( kwasababu wote rika lao liko sawa). Hii inaathiri hata utendaji kazi wao katika namna chanya. Ndio maana katika kila kitengo, this team performs well. Ila katika kitengo mmekitendea haki kwa kuajiri vijana,basi ni sekta ya habari na mawasiliano. For sure, wako vizuri sana. Anyway, Glory Young Africans ✊✊
@mwelimazozo9691
Жыл бұрын
Nimefurahi sanaa kuona rais wetu kampa zawadi ally kamwe
@maestrokiss7245
Жыл бұрын
Ebwana eeeeh! Hongera sana Ally
@abuuayoubayoub9260
Жыл бұрын
Priva leo umenyonga kanzu smart sana
@dorothyshee777
Жыл бұрын
Hongera sana Ali Kindly nifikisheni 500 subscribers
@luganomwaisumo1938
Жыл бұрын
Kwa kweli lazima tufike huko
@hashimlowela294
Жыл бұрын
Huyu balaa alikua anapga picha bila kumuonesha kambole😄😄
@francepaul7711
Жыл бұрын
Nimecheka kwa sautii wwee jamaaaa😅😅😅
@elizabethjustine9915
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂 ww jamaa
@tintin0019
Жыл бұрын
UKIWA SI MTANZANIA NA UNAIPENDA YANGA NA UNATAKA KUJI SAJILI KAMA MWANA CHAMA TUNA FANYA VIPI
@AliAli-or2uz
Жыл бұрын
Safi Sana kwa suali laki. Mimi ni mtz lakini sioo tz baada ya kuboresha siwezi kujisajilii
@jr_mkumbojr
Жыл бұрын
Here we're
@claudiayohana6576
Жыл бұрын
Aaaah nimecheka sanaa😂😂😂
@MohammedAli-rh5si
Жыл бұрын
Timu kubwa hufanya vitu vikubwa💛💛💚💚🔥🔥🔥🏆
@drbenonline9338
Жыл бұрын
Nafikir google pixel 7 pro ni nzuri zaidi
@neemamasawe8929
Жыл бұрын
Dah ila watu wanatoka mbali 🤜💪
@jumakapesa2940
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 Yanga bhana Raha sana
@alicenice1711
Жыл бұрын
Yanga ni raha tup tuu jamani
@juliusmhessa2378
Жыл бұрын
Yanga forever
@MrTop-wj7no
Жыл бұрын
Huyo ni Tausi ma .,.🤣🤣
@saimonjmai801
Жыл бұрын
Saf Sana 💛💛💛💪
@rukiakyaka1827
Жыл бұрын
Sanaaaa kwauwezo wa Allah tutasonga mbele
@jannathasnani3548
Жыл бұрын
Aamiin InshaAllah
@chacha-255
Жыл бұрын
Yanga tv muwe mnaweka summary kwenye description please, sio mnajaza tu hashtags
@matherinemichael8642
Жыл бұрын
Kongole Kwa raisi heris washabiki tunakuelewa sanaaa
@latifabande9519
Жыл бұрын
daima mbele
@sundayndokeji6103
Жыл бұрын
Hawa vijana wanapata Raha San jangwani huenda wanajilaum walikuwaga wap Toka mwanzo yanga Raha Sana yanga tamu
@petarnjoole7859
Жыл бұрын
daima mbele nyuma mwiko
@uthmanmaluja7005
Жыл бұрын
Safi Sanaa rais kwa mapenzi yako makubwa kwa vijana wako..
@nicckjmtv9817
Жыл бұрын
Dah mnachekesha sana
@mnasaeules6857
Жыл бұрын
Kazi nzuri sana
@amanafi1288
Жыл бұрын
Nimegundua hiyo sauti imerekodiwa katika hali ya full HD daaa..
@emanuelmiyonjo4484
Жыл бұрын
Yanga daima mbele nyum mwiko
@rajabukimosa3377
Жыл бұрын
Naomba direction ukishalipa kwenye App unafanyaje kupata kadi??
@adam-saffi211
Жыл бұрын
iPhone 14 has been in the market since last year. Is this an executive president? Where is the CEO?
@Yu-jr9uf
Жыл бұрын
and this is january!!! dont forget
@greatthinker370
Жыл бұрын
Yanga raha😂😂😂
@uncertgosbertuncertgosbert8362
Жыл бұрын
Kwa hatua hz anazizichukua rais wetu na cabinet nzima na msemaji mwenye akili nyingi mmmmmmmmh madunduka watakesha kwa waganga
@francepaul7711
Жыл бұрын
TEAM KUBWAAA🙌 UPENDO MWINGII💛💚 KAZI NZURII👏 MALENGO MAKUBWAA✊️
@haulatabdalla1988
Жыл бұрын
Jamani kwanza Assalam alaykum pili nawapongeza woote tatu napenda nimuombee dua enginer Heris Said Mungu amzidishie Imani zaidi ya hiyo aliyonayo na amjaalie iwenichanzo cha kuingia peponi yeye na wazazi wake na sisi tukiwa nyuma yake 🤲🤲👌😂
@mrajjasissa5909
Жыл бұрын
Viongozi n wafanya kaz wa yanga mola akubarikini mue n maisha maref naomba mfike ata sku 1 pemba mtupe moyo n sis huk visiwan
@kaskoboychawa620
Жыл бұрын
Leteni simu ya ally huku kigoma
@IsmailMatle-xz2ho
4 ай бұрын
Ninataka KUJISAJILI mimi nipeni njia niko mkoa wa arusha wilaya ya karatu pia yanga mbele nyuma mwiko hongereni sana Mwenyenzi🙏 mungu awatangulieni INSHAALLA
@lambobusololo671
Жыл бұрын
Daima mbele Nyuma mwiko
@Wanchokejulius
Жыл бұрын
Hongera sana kwako semaji💚💛
@majormajomjohn3775
Жыл бұрын
Asante President Hersi said ,kwa kuendelea kutupa Rahaaaa
@himidmohammed4001
Жыл бұрын
Hamil .Muhammed.Hemed
@mohdyussah825
4 ай бұрын
Give me website please I’m from UAE 🇦🇪
@rosetumaini3219
Жыл бұрын
Hahaaaa,ety kiswahili Cha rombo💚💚💚 Yanga inanipa Raha Hadi nasahau baadhi ya changamoto za kimaisha Rais tunaomba pia muangalie namna ya kuboresha kikosi tupate 3points kama kawaida yetu lakini magoli bado maana huku mtaani tunashambuliwa balaa na madund..
@minazsaid2470
Жыл бұрын
Nipo hapa tayari
@saimonijonas4356
Жыл бұрын
Sio kiongozi wakuongoza mambo ya burudani unakuwa mkavu kama ulizaliwa kwa kisirani..Huyu ndio rahisi wa burudani..
@barikilangoy4737
Жыл бұрын
Ukipewa na ww penda kutoa na ww naomba unigawie na hyo ya zamani
@veradeus8852
Жыл бұрын
😂😂😂ila Ali🙌🙌🙌
@Ambagaye
Жыл бұрын
Hersi ni mtu mwenye akili sana. Panueni wigo wa kupata wanachama kutoka nje ya nchi; wapo wengi sana.
@munamuna4621
Жыл бұрын
Ally mie mwazo mie nilimkataa maan alikuja alipoonza saana sahii kama kachachuka
@farajamtalemwa9336
Жыл бұрын
Brain still active engineer Hersi Said
@masanzatv210
Жыл бұрын
Hiyo ya kwanza alikuwa anatunzia lain saiz man ndo umepata simu
@husseinsaidiiqra7676
Жыл бұрын
Jamani sisi tunafanyaje kujiunga tuko marekani
@safarimashingasafarimashinga
Жыл бұрын
Hahaha ila jaman yanga tamu
@sumngonyan6794
Жыл бұрын
Injinia iyo sifa adi kinywaji kweny kikombe cha yanga makolo watakonda
@meshackkibaho7204
Жыл бұрын
Yaan hapo priva ukipiga hatua tu ya kumiliki macho matatu bas hiyo ya jicho moja naiomba🤔
@عبداللهالعازمي-ع3ش
Жыл бұрын
Mashaallah
@hadijamohammedy5232
Жыл бұрын
💚💛💚💛✊✊ ally anajua kuongea uyu
@issahkibona5886
Жыл бұрын
Idara hii iko 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Safi presidaaaa
@hellensilvanus4866
Жыл бұрын
Yanga rahaaa
@christinajoseph1366
4 ай бұрын
Na mimi ninunulie ata ile Tecno tu. Enginer Hers
@azimaramjali7063
Жыл бұрын
Pamoja sanaaaa!!
@eliasmwita390
Жыл бұрын
💚💚💛💛
@erickndunguru1824
Жыл бұрын
Wasengee wanadharauuuuuu
@farajamtalemwa9336
Жыл бұрын
Very funny guys 😂😂😂
@emanuelmiyonjo4484
Жыл бұрын
Yanga daima mbele nyum mwiko
@msangya60manyanki27
Жыл бұрын
kujisajili kidigital kunagoma aisee unapofikia sehemu ya mwaka wa kuzaliwa utascraw mpk ukome.
@kirupyseleman582
Жыл бұрын
vip
@salvatorymtunga5906
Жыл бұрын
Tutasabsribe sana kama wana YANGA.
@maikokapelo5508
Жыл бұрын
Kweri.yanga.tamuuuuuuu.wape.saramu
@saidmbilingwa4876
Жыл бұрын
Kazi nzuri sana
@athumaninyituki7011
Жыл бұрын
Hongera sana
@dennismusiba4836
Жыл бұрын
Nice
@assumanesilvaadamosilvaada2554
Жыл бұрын
Yanga SC oeeee
@mariamsuku7021
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 ally kamwe
@veelmng7746
Жыл бұрын
Rais watu tuliyo inje ya nchi tunashindwa kujisajiri kupitia apps tunaomba fanyia kazi. Malipo tunaweza kulipia mitandao ya kimataifa inayofanya kazi Tanzania. Mashabiki wapo wengi sana nje ya nchi has USA
@aleycekibaho9645
Жыл бұрын
Hahahaahhaha🤣🤣🤣🤣🤣👏👏👏👏💚
@mustaphamwitejr3405
Жыл бұрын
Tuko pamoja wananchiiiiiii
@esembebilewane6245
Жыл бұрын
Yanga ni kubwa
@gabrielgodfrey9508
Жыл бұрын
Na wana nchi ambao tupo UK 🇬🇧 but tumesajili kupitia group za mtaaani kwetu toka mwaka jana mnatusaidiaje?
@idanysedrc1200
Жыл бұрын
Yanga tuko moto sana🔥🔥🔥
@hajimushi8421
Жыл бұрын
Kwanini kujisajili kidijitali inagoma haimalizi hatua ikifika kwenye picha tu inagoma .haifiki mpaka kwenye kukatwa ada? Ebu uongozi fanyieni kazi hili kwa haraka.
@ntanilanjema04
Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@kelvinmunishi4755
Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@farajamtalemwa9336
Жыл бұрын
Ally Kamwe amecheeeeeeeka
@imanueliharry1279
Жыл бұрын
🔥🔥😂😂
@robertdominiko2667
Жыл бұрын
Kazi rais
@lumistarboy8499
Жыл бұрын
Tanga bado
@femidayahaya4882
Жыл бұрын
Congrats to my Brother Ally Kamwe. Wananchiiiiii Rais wetu very Humble.
@dianajeremiah1547
Жыл бұрын
Ongera san ali 👏👏
@obedi84
Жыл бұрын
💚💚💚💚
@ndinadyodaniel4491
Жыл бұрын
Mm yanga dam asannte sana enginier helsee kwa kuwa unaprnda ss vijana wako ni kweli.ww ni uongozi wa ukweli
@msd1563
Жыл бұрын
Naomba ongezen usilias wakat mnaandaa habari, vicheko na matan viwe kwa kiasi, sorry kama nimekosea
@sylvestercameo6263
Жыл бұрын
Tofautisha Kati ya mahojiano rasmi (formal interview) na maongezi yasiyo rasmi (informal conversation).
@violethtingo7703
Жыл бұрын
@@sylvestercameo6263 kongolee👏
@ndinadyodaniel4491
Жыл бұрын
Ada za wanachama rais wetu regulations ni ngumu tunaomba app ya yanga
Пікірлер: 133