Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC,Ally Kamwe ameeleza Maandalizi yao kuelekea Mchezo dhidi ya Rhino Rangers wa Hatua ya 32 Bora ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports,Utakaochezwa Kesho Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Pia amesema Muda si Mrefu Wananchi wataona Thamani ya Mshambuliaji wao Mpya Kennedy Musonda.
Ameongeza Kusema Kiungo wao Mpya Mudathir Yahya amekuwa na Impact kuliko Mchezaji yeyote aliyesajiliwa Dirisha Dogo
Негізгі бет Спорт ALLY KAMWE USO KWA USO NA BARAKA MPENJA/SOON WANANCHI WATAONA THAMANI YA KENNEDY MUSONDA/MUDATHIR...
Пікірлер: 52