usimuhukumu mtu ww haujajua bado umetenda mangap kwa mungu yalo mema
@nassirmohamed8492
Жыл бұрын
@@sajidusinani4509 dufu sio baya shida ni hao vijana
@husnajohn7466
6 жыл бұрын
Qaswida nyingi za wa bongo ni kiswahili , sababu wakina mama wengi walichelewa kujifunza dini hivyo hivi sasa ndio wameamka na kujitambua nakuitambua thamani ya dini, siwezi hukumu kwa nini wamechanganyika na wanaume , km nilivyosema wengine ndio wameamka ivi sasa hivyo mengine yakuwaelekeza tu sio wengine huku kujifanya kulaani wakati we hapo ulipo pengine hata sheria za udhu hujui
@zulfasalim9572
4 жыл бұрын
Hahahahahahah udhu hauna sheria kwenye udhu ni sunna na faradhi. ama kama mtu hajui huo udhu ndo dini imemkataa asikemee munkar. jamaa tuacheni ushabiki na dini. hata Mm ni mtu wa twarika ya alawiya lakini sidhani kama hao mabingwa wa twarika kina Imam Ally Bin Mohammad Bin Husein habshy kama walieka twarika katika misingi hii. heri tu wawachane na kumtaja MUNGU na MTUMI na hizo dufu waziweke kando waiite taarabu.
@saadsalum3253
6 жыл бұрын
hiyo ni ngoma km ya dimond tofaut yenu mnamtaja mungu na mtume tu hamuoni km mnaupotosha uislam wenyewe nahao wazazi wenye watoto nao wanao mzg
@omarysalehe8155
6 жыл бұрын
saad salum v
@AsdDsa-kl4iw
4 жыл бұрын
Ss maulid ama taarabu vp mbona urembo kibao mavazi balaa alafu mnasifu Allah Subhannaallah
@musafiahlalbayt9978
4 жыл бұрын
Audhubillah minasgaytwan rajim bismillah rahman rahim. Music ngoma Ni haram saut ya iblis at a uki Imba kwa carabu ukala capati kama warabu haram yabakiya haram
@bayaanhumud4328
4 жыл бұрын
Inna lilahi wainna ilayhi rajiuun hiyo sio sahihi hatta kidogo
@naimaazizi5887
2 жыл бұрын
mashallah kwa dada nadhifa ila watu bado wanajivunia urudi bukoba jamani maan uliacha pengo bora tuu ulirudi bukoba
Hongera sana ustadhat wangu mungu akulinde na mabaya yote ya walimwengu uko vizuri huwa na kukubali sana
@philipfrankmakutsa9663
5 жыл бұрын
Allah Allahu ashukuriwe ...mama unamtaja unamtukuza Allah wallahi atakulipa kwa utajo wako kwake nyie mnaokashifu anzeni na kina mond na kiba halafu mje na huyu ....
@neemafatu7885
4 жыл бұрын
Yaani huoni ubaya wake hata kwa kuangalia tu dah!
@neemafatu7885
4 жыл бұрын
Huyo mond si inajulikana kuwa ni mashetani tu.sasa hawa si wananasibisha na ibada hiyo. wanaume ,wanawake,nani karuhusu hivyo.?
mungu akuzidishie mwalm wag wa madaras Ttawba kipind hicho
@husseinchiaseeds2653
4 жыл бұрын
Aache kuimba miziki Allah hajayaruhusu haya
@abubakarayubu8938
6 жыл бұрын
Mijimama inajitikisatuuu hukuikouchi
@nadiaanadiaa2051
6 жыл бұрын
Cjaipenda kbsaa mnatuharibiaa dini yetu
@KarengaHussein
3 жыл бұрын
Dini ni ya MUNGU sio ya baba yako
@athumaninchula2020
3 жыл бұрын
Hapo n ukumbini wakinamama wamejiachiia wapiga dufu n vijanawake was Madras a na n vjana wadogo tu kashfa zote za nn kwan hamuwaon waliopotea?
@HusnaSalum-p1q
Ай бұрын
Unakuta anayekosoa hata swala tano hana anaye tajwa ni Mungu lakini wanakuambia ni kama kaimba daimond
@aziziyusufu8592
4 жыл бұрын
Innallillah wainailaih rajiuun hiyo picha hapo ukiitazana unanuona huyo Dada akiwa amevaa hali yuko uchi,tena yuko kwenye hadhara tukufu kama hiyo hivi mahala kama hapo masheikh wa kuyakataza hayo huwa hawapo
@jumahamad4419
3 жыл бұрын
mashallah sauti kinanda ......
@ummusamira3518
6 жыл бұрын
Innalilahi wainnailaihi rajiuni yarabi mola wetu usitughafilishe ktk dunia hakika ya adhabu zako nikali saana hatuziwezi sikuhizi siwanawake siwanaume wanaimba nyimbo Na music Na kuzivalisha shungi wakaziita kasida innalilahi wainnailaihi rajiuni Shekh yussuf abdi Wa kenya anasoma nasheed nzuri bila ya music nakila ukiisikiliza basi unaona kama ndio siku ya mwanzo kuisikia Na inamafunzo makubwa saaana mpaka moyo unashtuka tujirekebisheni
@allyelabad7370
6 жыл бұрын
Ummu Samira ....inaruhusiwa bana. Kam hairuhusiw una ushahid gan
@fatinarajabu3043
6 жыл бұрын
Subhanallah Astaghafirullah 😧😧
@saidiyahya6460
2 жыл бұрын
kasida nzur nimeipenda
@zaitunikweka979
5 жыл бұрын
Mna mponda uyu na nyie zambi zenu amzioni Bora uyu anaimba nyie mwazini alafu mna mponda
@neemafatu7885
4 жыл бұрын
Kwani nani mkamilifu ktk binaadamu? Kama ni hivyo basi hakuna haja ya kupeana mawaidha au nasaha kwa sababu hata mashekhe wanadhambi,lkn wanahusia watu tuache dhambi.SEMA TU TUNAPENDA SANA HAYA MAMBO YA PUMBAO YASIYO NA FAIDA yoyote.
@zaitunikweka979
5 жыл бұрын
Kakosea wapi mmesahau kuna mwanamke alipiga dufu mbele ya mtume swallahu aleih wasalam?
@sabrinaadinani3749
5 жыл бұрын
Shangazi yangu zaida mungu hakulinde nakila balaha😍😍
@gambigambi7254
5 жыл бұрын
Sabrina Adinani unamfaham? Ninamtafuta mno nipelele chochote kwa madrasa yake
@HusnaSalum-p1q
Ай бұрын
Mashaallah mashaallah 🎉
@Zubaiba
2 ай бұрын
Mashaallah mashaallah
@zaidiakagambo6100
Жыл бұрын
Mashaallah
@shamiraomary3060
7 жыл бұрын
innalillah wa inna ilaih raajiun....huu sio uislam tuliofundishwa na mtume(s.w.a) tuandae majib ya kwenda kujib kwa Allah(s.w)
@gwaluvideo6427
6 жыл бұрын
co vzur kuwaalaan wnzenu n jmb l kumrekebixha2 na anaelewa jiulz unmmb mngp unamfnyia Allah n mbn hjkupg lana iwj ww utoe hukm umekuw hakim ww mpk umhukm mwnzio
@husnajohn7466
6 жыл бұрын
Sasa kama we mjuzi ndio utoke hadharani ukawafundishe sio kulaani huku social media huo ni unaaa
@sarahsemwanza2031
5 жыл бұрын
wewe mbona umemkosoa mtandaon ndomtume katufundisha ivo mkosoaji no Allah
@salmasalimu2463
5 жыл бұрын
Shamira Omary. ALLAH ndo muukumu sio ww yote muachie ALLAH
@fatoomfatoom5590
5 жыл бұрын
Hakuna mkamilifu acha kuhukumu wenzio km unaona dhambi ww mbona upo you tube kuna kitabu kimekwambia ujiunge you tube na km kipo tuonyeshe mana you tube zinapostiwa kila kitu kuna vengine havina maadili mbona waviangalia (mkamilifu ALLAH)
@bxgdhydydh6505
5 жыл бұрын
Astaghfirullah
@wahidashabaz5982
4 жыл бұрын
Mama unaeimba nakupenda kwa kitunza icho kituo ila kosa na huzuni ni kwanini wametometokea hao wanawake wanachezesha miliiyao na wapo uchi?ushauri mnapotak kufanya jambo la kiimani basi jatibuni kuweka mazingira ya kiimani sio tu kuoneysha yasio na maana
@sandaljodi2700
7 жыл бұрын
jadaadu maraatu kuuaura aijuzu dada sati ya mwanake niuke wacheni kupoteza tu dini yetu hairuhusu hivno mnavno fanya haram
@husnajohn7466
6 жыл бұрын
sand Aljodi ,sasa km in uchi na wale wanaoimba bongo fleva nao ni nini, acheni kuhukumu
@rahmamavura406
7 жыл бұрын
mashaallah.ila sijui dufu ziliingia barid.uchezaji sijaupenda.turudii kunepa kizaman jaman
@andallaathman3856
3 жыл бұрын
Hya watanzania makosa mmezidi kila kitu mitandaoni na kukusanyika na wanaume mnaona mnapata thawabu kumbe mnazoa zambi tuu mungu awaongoze inshaa llah
@hassanshelukindo2501
Жыл бұрын
Maashaallah
@muzneahmad4041
5 жыл бұрын
mashallah allah akuongoze katika kheri wafikisha ujumbe vyema
@athmanihaji7771
4 жыл бұрын
Innaalillahi Wainnaailaihi Raajiuun
@yassindeffu88
5 жыл бұрын
Shekh huyu mama wawapi ?
@husseinchiaseeds2653
4 жыл бұрын
Unataka kumnusuru
@kidotiali9414
6 жыл бұрын
Niwapi huku jamani
@bintsalimalbimany287
3 жыл бұрын
🙄🙄🙄🙄🙄🙄😭
@jaliabahati39
5 жыл бұрын
Mnao mponda mmechunguza dhambzenu?
@meena-ol6fo
5 жыл бұрын
Wajinga tena hawaijui dini na utakutahata juzzu amma hawajamali
@husseinchiaseeds2653
4 жыл бұрын
Kua na dhambi Kuna kufanya umsapot mwenzio atende dhambi mbona mnazidi kua wajinga
@rahmamuhammed6734
7 жыл бұрын
Ndugu ktk imani hivi kweli ndio uisilam. tulivyofundishwa na Mtumewetu. mohammadi swalallahu aleyhi wassalama.mnachanganyuka wake kwa waume pamoja sauti ya mwanamke iko juu mbele za wanaume. Astaghfirullah. wamama. tusomeni. dini tuacheni kuimba .
@fatmakhamis1018
7 жыл бұрын
mwanamke na dufu lili kua moja na litengenezawa kwa kitambaa na alipigia kwa kidole kimojaa laki tumetoa uzushi ndani ya uislam hii hali ya huyu mama aliipata eapi?
@rashidsaid7012
6 жыл бұрын
kinachoshangaza watu mnakosoa kaswida ila waislam wanaoimba bongo fleva mnawasifia tena sana na mnaacha kuswali
@omarimzuzuri4762
6 жыл бұрын
Fatma Khamis ,Kasome kwanza ukhty halaf utakuja mitandaoni kukosoa
@husnajohn7466
6 жыл бұрын
We fatma kama umesoma dini haswa tupe dalili ya unachokiharamisha maana hii hukumu itaku hukumu na wewe pia kua ulijua lakini hukutaka kuwajuza wengine, mtume kasema uzuri wa muislamu ni kuijua dini kisha akawajuza na wengine je ulishafanya hivyo?????
@sadathbadru333
7 жыл бұрын
mashaallah kwa sauti uko vzl
@bellbell9294
5 жыл бұрын
Shukraan bi Dada kwa kazi nzur uliyo ifanya Allah akulipe majazo mema amiin jazaka Allahu kher
@saidsaid9463
6 жыл бұрын
Mashaallah dada mungu awape kila lakheri
@mishybintsalimsalafiyyun6018
7 жыл бұрын
ALLAH TUSAMEHE MADHAMBI YETU KWA KWELI MTUME ALIWAONA WENGI MOTONI TUNUSURU YARABBY
@ukhtyzainab7254
6 жыл бұрын
Amiin
@realpopray96
6 жыл бұрын
Amiin
@husnajohn7466
6 жыл бұрын
Mmoja wapi wewe japokuwa bado uko hai
@fatmazena9328
5 жыл бұрын
mashaallah
@babyazizayoutube8906
7 жыл бұрын
subhanaallah!!!
@hakimoumouri4088
5 жыл бұрын
baby aziza you tube Machallah
@SUBU-SCRIBE
Жыл бұрын
Mashallah ujumbe madhubuti
@nabilamaashaallahmaashaall6977
6 жыл бұрын
Sasa lkn mbona mmechanganyika nawanaume ilikuwa muwe wanawake pekeenuu
@mishybintsalimsalafiyyun6018
7 жыл бұрын
INNA LILAH WA INNA ILLAH RAJIUN
@jamilashabani8580
2 жыл бұрын
Maa shaaa Allah❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Allahu allahu allahu Allah
@khadijazuberi8553
6 жыл бұрын
naiomba whatsap 0743539032
@ahmedyoung7300
7 жыл бұрын
mm baadhi ya maneno mbon siyaelew iyo lugha gani ipo ndan yake
@medshaa3704
7 жыл бұрын
jamani naombeni mniambie ni Chou gani hicho jina lake
@bayaanhumud4328
4 жыл бұрын
subhanallah hilo ni beni
@rahmaalkalbani2922
5 жыл бұрын
Maxhaallah your saund sey thaankxgod
@zuhuramerisho3010
3 жыл бұрын
Maashallah
@iddymchekwa170
3 жыл бұрын
Masha Allah
@ramadhanisadiki4712
5 жыл бұрын
mashaallah mamaangu unakonga nyoyo
@yusuphpazi635
4 жыл бұрын
Maashaallah
@ramadhaninurrumtungi4474
5 жыл бұрын
Yupo vizuri zaidia
@Raya-em8wz
4 жыл бұрын
Mashallah
@mohammadahmed1646
4 жыл бұрын
Mashaalh
@zulfasalim9572
4 жыл бұрын
doooooh tarabu hyo jamaa. Mm ni mtu wa twariqa lakini hapa sasa mwatutukanisha jamaa. wanawake wacheza kama kwenye taarabu. aaaaaaa haram hyo
@rahmaalkalbani2922
5 жыл бұрын
Maxhaa llah alla kareem !!!!
@saadamrisho5396
6 жыл бұрын
gwalu video ni kweli kabisa
@suleimanmakame8055
6 жыл бұрын
Kidoti Ali hujambo?
@sssaminasaidaaamashaalah3291
4 жыл бұрын
Mashaallah
@monday1278
7 жыл бұрын
mashallah..
@philipfrankmakutsa9663
5 жыл бұрын
Hajawaita hao waje kucheza yeye amekaa na watoto wake wananema tu hapo tatizo labda wanalo wanaofanya huo ni mziki wa kucheza lakini mashallah ujumbe mzuri saanaa.....
@myqueen4397
6 жыл бұрын
mtihani tarabu si tarabu.... mhhh
@ukhtyzainab7254
5 жыл бұрын
Hahaha
@abdallahhamad298
7 жыл бұрын
Inna lillahi wainna ilayhi rrajiu'n
@sitiali319
5 жыл бұрын
ingekua wanawake pekeyao ni sawa na sio kurushwa mitandaoni
@sitiali319
5 жыл бұрын
ingekua wanawake pekeyao ni sawa na sio kurushwa mitandaoni
@zawadiosman9527
7 жыл бұрын
maashaallah
@rajabuselemani3586
6 жыл бұрын
Allah hawabariki afu waislamu wengine siwaelewi hivi na bongo freva huwa mnazikanusha acheni mbwembwe acheni atajwe mwenyezi mungu na mtume wake
@nassorosalehhazard2450
6 жыл бұрын
Rajabu Selemani asante make wananikera sana ukiwakuta kwenye vigodoro uwatoi lakini apa wanajifanya kukoment
@sajidusinani4509
5 жыл бұрын
kweli kabsa
@jamilakhalifa2692
6 жыл бұрын
mabrock😗😗✌
@Cris-Kai
7 жыл бұрын
🙌🙌🙌
@امينهامينه-ع6ه
6 жыл бұрын
kama tarabu wanavochexa hawo watu wazima
@bxrkeshorts738
7 жыл бұрын
.Mashaalla 🙌🙌 nice
@jidalddl8787
7 жыл бұрын
mashaAllaah
@aminaomary908
5 жыл бұрын
Masange kondoa huko
@ramadhaninurrumtungi4474
5 жыл бұрын
Wanasema husiukum mtu anaeukumu ni mmoja tu allah
@zumbeshauri8114
5 жыл бұрын
nashaangaa watu wengine kumsifu mtume unakuite msiba jamani?
@zumbeshauri8114
6 жыл бұрын
mungu akupe maisha mema acha walibeze lakini unamtaja mungu na mengine mazuri waya fanya
@jaliabahati39
5 жыл бұрын
Mashallah Mama wambadara Nazifa ukovizuri
@nnbb8402
5 жыл бұрын
Mashaallah Allah barik fih
@fatuminafarah2524
7 жыл бұрын
mashallah
@ahdahmed8383
5 жыл бұрын
Mashallah
@azzaalmaamry76
5 жыл бұрын
Maa shaa Allah
@shabanisaidi8827
5 жыл бұрын
Mashaalh
@marizianasumba7110
7 жыл бұрын
Ma shaa Allah
@hamawamitego8576
7 жыл бұрын
Masha Allah
@faudhiatwaha1479
7 жыл бұрын
mama mkwe asante
@amalali2652
8 жыл бұрын
na watoto pia mashaallah wamejitahidi kucheza
@marymabubakary1561
5 жыл бұрын
maashaallah mdada
@nazminnazmin7210
7 жыл бұрын
manxhallah
@medshaa3704
7 жыл бұрын
mashaallah
@bahatiyusufu9270
7 жыл бұрын
nice voice mummy!
@omanmusicomanmusic2620
6 жыл бұрын
Sio kweli haya si mafundisho ya mtume (s.w)hio ni haram
@jozeebonge3341
7 жыл бұрын
maashaaaalllaah
@sabribalaway6061
7 жыл бұрын
jamani anasoma vizur lakini nashanga wengine wako mabega wazi
@aassmmasd5017
7 жыл бұрын
manshall
@fatmakhamis1018
7 жыл бұрын
jamani iko siku tutaenda ya jutia haya kupiga mayowe hivi haujawa ucha mungu nakila kaka mwenye kuona hii alete istighifar
@popokulika3068
8 жыл бұрын
nice one mashallah
@fatumayusuph7154
7 жыл бұрын
mashaallah
@fatmakhamis1018
7 жыл бұрын
mtume muhammad s.a.w. alipo hama makka kwenda madina alipokewa kwa dufu na kaswida inayo itwa twalaa lbadru alainaaa na alipiga mwana mke na alisoma mwanamke la dufu lilikua moja na liliambiwa kitambaa na alipiga kwa kutumia kidolu kimoja tuuu
Пікірлер: 143