😂😂😂😂😂ukweli na u u DJ wangu simkamati huyu miso hata robo
@Rkiller49
Tisha sana 🔥🔥💪
@aureusnchimbi7243
Umejipata mdau😁jitaftie pisi yako moja utulie sasa
@mustafachihepo5343
Mtwara tuna vibaji mnoo!!
@ronaldissack3338
We misso umepigaje hapo😂😂😂💥💥💥💥💥
@henryabisalami4646
Uwe unashoot na video zenye quality na wale wazee wa kazi halafu unaupload utatengeneza zaidi ya viewers, Usiwaache wale jamaa ukishirikiana nao utakuwa DJ wa tofauti,
Пікірлер: 86