But bado haujasema kwanini sio penalty maana kugusa mpira hakufanyi faulo kufa kama kulikuwa na contact brother jibu contact ilikuwepo au haikuwepo? Kama ilikuwepo kwanini sio use of excessive force inayopelekea kuwa penalty? Unazunguka tu probably kwa kuwa unajua ukweli kwamba unaendeshwa na hisia zako
@MuhsinJuma-wo2bg
3 сағат бұрын
Bado amja sema yani mpeka mseme mwaka huu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@MalulaMgasa
Сағат бұрын
Mbona hiyo nayo wewe ulisema ni penalte sasa leo kwa vile ni Simba wewe una nongwa na Simba utaumia sana mwaka huu.
Пікірлер: 6