Mimi Mwenyewe Ambwene Namkubali Sana sanaaa hata kuna kipindi Niko Pregnant Mwaka mpya wa kumaliza 2010 na kuongia 2011 Kwenye Mkesha wa Calzmatic Emaus Pale Ubungo Aiseee alikuwa akipanda Madhabahuni Kuimba Mwanangu aka wa anafurahi Sana Tumboni anarukaruka Anacheza Tumboni mpaka nafeel furaha ndani ya moyo wangu,Na Huyu Mtoto ni Baraka Sana kwangu na ana hofu ya Mungu Sana Sana 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@StanMbega
8 ай бұрын
Amina,ubarikiwe
@ngoshamsabato1747
8 ай бұрын
KUTOKA USA 🇺🇸 AMBWENE MWASONGWE 🎉NAKUKUBALI SANA KAKA HUDUMA YAKO IENDELEE🙌🏿🙌🏿
@namelockmaasailady8002
8 ай бұрын
Vido vidox you are the best presenter,unajua Sana unachokifanya,unajua halafu unajua tena💪💪💪💪
@SelemanMuhamed-ir5zl
8 ай бұрын
Abwene the best . Najisikia Furaha kumuona Abwene akizidi kumtumikia Mungu. Mungu akuzidishe zaidi na zaidi
@juliusmartin1839
8 ай бұрын
Majaribu ni Mtaji...wow! Ulinifariji sana kwenye uvuli wa mauti. Wonderful.
@jessicamwasandube944
8 ай бұрын
Safi sana Ambwene, Mungu akuinue zaidi,napenda sana nyimbo zako
@EmmmaTembo
8 ай бұрын
Kwa mala ya kwanza nilimufahamu kwenye nyimbo ya Majaribu ni mtaji huyo wakati sikuwa nauwezo hata wakujilisha wala kulipa kwa wakati kodi ya chumba kimoja ambacho nilikuwa nakodi nilikuwa katika maisha Magumu sana.nanyimbo ile ilikuwa pendwa kwangu na leo nina kila kitu nilichokuwa na omba Mungu wakati yule.Kiukweli toka moyoni na furahi sana kila ninapo muona huyu baba.asante Ayo tv Tunafatilia vipindi vyenu tukiwa Zambia
@atudave1076
7 ай бұрын
Host yuko vizuri sana sana ! Mungu akubariki
@boscoafikile4737
8 ай бұрын
Mungu akubariki na aendelee kukuinua, umekuwa mfanzo wa kuigwa.
@user-ks7zc6kd7u
8 ай бұрын
Ambwene nyimbo zako zinainua imani ni pamoja na mimi ubarikiwe sana
@andreakulisha5144
8 ай бұрын
Ambwene Mtumishi wa Mungu, tunakupenda sana
@deborahjustinerwambogo8490
8 ай бұрын
Hajawahi kuchuja,Wala kuwa na skendo mbovu. Yaani miongoni mwa waimbaji wa injili wasiochuja❤ chukua maua yako kaka. Kyala akubhonekele
@gracewankara8004
8 ай бұрын
Ombi langu wimbo wangu Bora wakati wotee❤❤
@christinamwangoc4779
8 ай бұрын
Namshukur MUNGU kwa ajili yako, nakuheshim sana.
@giztony2009
8 ай бұрын
One of the best interview ever!
@user-ik6ib7ox3f
8 ай бұрын
Am always blessed with this man o God❤❤
@gladnessshola2718
8 ай бұрын
Waooooooooow Mtumishi wa Mungu, Ambwene anajibu maswali Kwa hekima sana.
@irakozeshakiru1131
6 ай бұрын
Yani wewe ninabi wangu nyimbozako zinanitunza zinanifaliji sana ubalikiwe sana ❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮
@NeemaJulius-qo2xz
8 ай бұрын
Mungu akutunze
@priscillahmushi4475
8 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu,Mungu akuinue zaidi nyimbo zako zinavusha wengi
@gilbatvienja7204
4 ай бұрын
Tuliko toka ni mbali in the best kwangu mungu ni mwaema
@tusiimerwihura634
8 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu,wewe ni kioo changu,najifunza vingi kupitia wewe una unyenyekevu katika wokovu na Mungu anawapenda watu kama wewe,nakuombea ufanikiwe huku duniani ila mwisho wa siku uje uione mbingu,uketi pamoja na Baba Mungu,ufurahie matunda ya unyenyekevu wako kwa Mungu
@NkundwaMwasenga
14 күн бұрын
Kiongozi hakika nakuelewa sana na ninamuona MUNGU kupitia nyimbo zako
@MoajGraphics
8 ай бұрын
Ambwene amekuwa baraka kwa kila mtu. Mungu azidi kumtunza
@user-xd2xx4ks1g
8 ай бұрын
Tumekubalika ❤
@faudhiasalum7279
8 ай бұрын
Awesome 🎉Ambwene 🔥🔥
@matridasambali6432
8 ай бұрын
Duh hongera sana bwana umejituma inavotakiwa
@petroprenge8716
7 ай бұрын
Vido nimependa sana mpangilio wa maswali yako, nice interview!
@patrickwilondja759
4 ай бұрын
Wimbo huu kweli unatiaka moyo na kuzidi kumwomba Mungu anipe nguvu ya kuvumilia mitiani ya misuli ya imani
@NdituTV
8 ай бұрын
The best interview, ambwene vs vido
@adelinachengula8519
8 ай бұрын
God bless you
@atudave1076
7 ай бұрын
Ambwene! Majibu ya hekima sana sana.👏🏽👏🏽👏🏽
@eaglemaris327
8 ай бұрын
Best interview
@mropeamadeus54
8 ай бұрын
Ameuliza vizuri amejibu vizuri 🙏
@maryowen7490
8 ай бұрын
ila wakaka wa kinyakyusa huwa wazuuuri sana aisee....MUNGU azidi kukubariki Mtumishi wa MUNGU Ambwene
@user-so4es4fx3n
8 ай бұрын
Nimejifunza mengi sana kutoka mtumishi pia vido umeuliza maswali mazuri na amejibu vizuri,mbarikiwe sana
@user-xu3io9ej7y
8 ай бұрын
Nimebalikiwa leo
@AmaniEzekiel-fl6cl
8 ай бұрын
I love this man of god
@winnerjudith2007
8 ай бұрын
spelling ya god sio sawa it is God or GOD
@charlesyohanaa
7 ай бұрын
Hakika MUNGU azidi kukuinua zaidi mm MWENYEWE nakubari sana,,, napia alubm ya misuli ya imani
@ceciliapatrick8217
8 ай бұрын
Vidox binafc nakupa maua yako unajua kumuhoji mtu vzur huna hofo unaujacr na umepangilia maswali yako 🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺❤️
@jessicamwasandube944
8 ай бұрын
Good interview vido🎉
@EvelinaDitram-xi9co
3 ай бұрын
Wao vz
@niyiesther6571
5 ай бұрын
Ameeeen sisi hatushindani
@SyliviaJohn-io5sz
8 ай бұрын
Be blessed always Ambwene
@eliamtani2840
8 ай бұрын
yaani hapo Ayo Tv, mtangazaji anaejua kufanya interviews vizuri ni mmoja tu ukimtoa Millard mwenyewe, na si mwingine ni VIDO VIDOX, VIDO VIDENGA. One of the Best Interview 2023. 🙌🙌🙌🙌
@winnerjudith2007
8 ай бұрын
je na yule alie mhoji Kikeke
@eliamtani2840
8 ай бұрын
@@winnerjudith2007 ngoja tumpe mda na yeye tumuone kama ata maintain au atakuja kazingua. But he's good too.
@spensiozakato600
8 ай бұрын
Mungu azidi kukuinua sana na akutunze.
@user-ld4fh9zl7w
4 ай бұрын
Aksante Sana
@fridamgalla6033
8 ай бұрын
Upo vizr sana Ambwene unanibariki
@user-bz8de6sj9z
7 ай бұрын
Blessings ❤🎉
@maribaisack2097
8 ай бұрын
Bonge Moja la interview
@niyiesther6571
5 ай бұрын
Ameeen..myimbo za mafumzo
@selemanisalum7283
3 ай бұрын
Nyimbo za huyu mwamba sijawai kuzichoka yaani nyimbo zake huwa nazisikiliza kila siku
@user-kc3nl6sg8r
8 ай бұрын
MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU
@mlokozijofta8295
8 ай бұрын
Nilijua nyimbo za Ambwene nikiwa mdogo uwa zinakitu na ukikijua unafika mbali
@sijaonalujinama
8 ай бұрын
Nice one
@naghemsuya5218
8 ай бұрын
Ayo na kampan yko Mungu awatunze kwakwel mna vpindi vzr sana
@daudpius130
8 ай бұрын
Namkubali sana ambwwne
@eaglemaris327
8 ай бұрын
Maswali ya kikubwa sana
@andrewmagwila1602
8 ай бұрын
Man of God Unabariki wengi kwa huduma yako Mungu akutunze kwa utukufu wake
@foodbasiccourt2028
4 ай бұрын
Unawaumini waisilum kwa maelfu.wapagani.kweli ukifungua kanisa utawaacha hao
@moriskalegeleshusha2619
8 ай бұрын
Boaz Danken cjamsikia kaka
@juliusmartin1839
8 ай бұрын
Dhambi, tunajikwaa sote, katika nia kwa kuwaza, kunena n.k
@NdealetsaNkashuma-pv7xe
8 ай бұрын
Kaishia la 7 WAKATI NIMESOMA NAE CHUO TIA MBEYA ALINITANGULIA DARASA MOJA?
@stevenmnzavajoseph
8 ай бұрын
Alikuja kusoma QT baadae, akaenda chuo kusoma certificate, Diploma na Bachelor ya uhasibu. Amesema kila kitu hapo.
@George-jz3jg
8 ай бұрын
Asante Ambwene mwasongwe Kwa historia Yako iliyo nzuri na njema sana hasa kuichagua njia iliyosahihi ya kuipitia kwenda mbinguni TAG ni njia sahihi ya kumpeleka mtu mbinguni Asante nipo kwenye mapito lakini MUNGU anisaidie na kunitoa kwenye pito
@michaelramadhan9466
8 ай бұрын
VIGEZO VYA MTU KWENDA MBINGUNI ANATAKIWA KUPITIA TAG?😂
@JBB875
8 ай бұрын
Hahaha dah umenichekesha TAG ni njia ya kwenda mbinguni😂😂😂😂😂😂😂😂😂, njia ya kwenda mbinguni ni YESU tu sio TAG my friend
@elizabethmpangala5950
8 ай бұрын
Yesu ni njia sahihi ya kwenda mbiguni sio TAG wala taasisi yoyote
@daudmtega9429
8 ай бұрын
Matendo Yako na iman Yako ndio vitakavyo kupeleka mbinguni,dhehebu ni uongo tu.....
@farajaMezza-qn4be
20 күн бұрын
Pole sana mpendwa unaweza kuwa TAG na kuzimu ukawa Kuni, NJIA NI YESU TU
Пікірлер: 74