Wimbo mzuri hasa kwa wanna ndoa.pendaneni sana msiachane
@mamuukz
3 жыл бұрын
Mwasongwe nyipo nzuri inabariki Wana ndoa🙏🙏🙏🙏🙏
@erickrichard934
6 жыл бұрын
Pongez ziende kwa wote mliofunga ndoa Mungu awabariki sana muendelee kupendana siku zote za maisha yenu ili mzidi kubarikiwa .Amina
@joyjilien5432
4 жыл бұрын
Ahsante sana ndugu
@pendondossy2158
4 жыл бұрын
erick richard Amend
@amelialewis7887
4 жыл бұрын
Amen umarikiwe pia
@eudoanthony1463
3 жыл бұрын
Amen
@raphaelalfred9087
10 жыл бұрын
Mtumishi Bwana Yesu apewe sifa. Wimbo wako wa NDOA umeweza kuirudisha ndoa yangu ktk mahali salama ilikuwa imeyumba sana.Sijui hata nisemeje ila namsukuru MUNGU nawe pia nikushukuru kwani maneno yaliyopo kwenye wimbo huo yameturudisha pamoja mimi na mke wangu.AMEN
@ajunadeodatus9378
5 жыл бұрын
Ubarikiwe kaka napenda sana nyimbo zako zinanibarika sana 30/ 11/2019
@anethmlingi967
4 жыл бұрын
Mungu aendelee kuwapigania
@peterissa7992
3 жыл бұрын
Ameen..mbarikiwe sana
@janembwilo1751
6 жыл бұрын
No one like Ambwene lakin mungu anawaona ambao nyimbo zake saiv awapigi nyimbo nzuri kama hizi kaka angu mungu akupe subira akuzidishie pale ulipotoa akuzidishie amen.
@michaelmajaliwa8316
6 жыл бұрын
Jane Mbwilo inspirational song
@glorynassar4330
5 жыл бұрын
Huu wimbo utakuwa special siku dada yangu tunda akiamua kufunga ndoa Mungu amjalie mume wa maisha yake nakupenda dada yangu tunda
@SamwelShao
9 күн бұрын
Ameshampata?
@martinchambai5460
5 жыл бұрын
Kama wanandoa watausikiliza wimbo huu na bado ndoa yao ikakosa upendo na amani itakuwa bahati mbaya sana
@michaelshigara7793
9 жыл бұрын
Yaani wimbo huu wa ndoa umenibariki sana kwanamna ya ajabu, Pendo langu limezidi kukua kwa my wife. Asante Ambwene, Barikiwa sana, songa mbele mtumishi.
@haidarymwakisyala2460
5 жыл бұрын
Michael Shigara
@surahmunga2316
5 жыл бұрын
Nzuri nyimbo imenipa faraja mm na familia yangu mke wangu mpendwa surah na mtoto wangu mpendwa cailyn nawapenda xan
@esterkapinga1336
5 жыл бұрын
Mungu nipe mume nasalikila siku jaman mungu nione nikiona iv naumia sanaa
@SamwelShao
9 күн бұрын
Umepata si ndio
@BahatiNeema-l7g
11 ай бұрын
Amen 🙏🙌 Amen 🙏
@edwardmpanda5252
5 жыл бұрын
No comment am crying namkumbuka Rafiki angu rip chris
@angelmkumbo1699
4 жыл бұрын
Edward Mpanda 😢😢Rest in Peace Long umeniachaa nalia kila siku hasa nikisikiaaa hizii nyimbooo... Mlio kwenye ndoa pendanenii sana umuhimu wa mtu huonekanaa ambapo mtu hutoekaaa🤲🤲💔
@julianakibonde547
6 жыл бұрын
Barikiwa Sana Kaka Wimbo umenigusa Sana namshukuru Mungu ukimtegemea hakuangushi
@happyness2827
6 жыл бұрын
naitwa happy ness William eee mungu Wang naomba unipatie mume mwema asante mungu natumain ombi lang walisikia
@dicksonmatulile1523
5 жыл бұрын
Amina mungu wawote iko siku
@atubeka9317
4 жыл бұрын
Safi
@estamathew5167
3 жыл бұрын
Amen
@DaudiMlay-ux4gg
3 ай бұрын
Amen ubarikiwe
@barakaerick1915
6 жыл бұрын
Kila siku lazima niisikilize hii nyimbo namuomba mungu wangu anipe mke bora kila nikilala naomba eeeh mungu wangu naomba sikia kilio changu
@angelinagirai3476
5 жыл бұрын
Baraka Erick wew mwema kama wew so mwema mungu hawezi kukupa mke mwema jichunguze kwanza wew
@deborahkabelege9363
4 жыл бұрын
Am here
@rosedaniel1981
4 жыл бұрын
Baraka Eric niko hapa kama ww ni mwema 😅
@jeannettelilianequeen4161
4 жыл бұрын
Amen nyimbo ina yeya gonga like kama bado una sikia ngoma iyi 2020🇺🇸😘
@ferrybaizo8733
5 жыл бұрын
Hakuna hata siku 1 ninayochoka kusikiliza.... Mungu akuzidishie Afya njema na family 😘
@sihadavid4211
6 жыл бұрын
Maneno mazito,mazitoooo ya wimbo huu,yamejitosheleza,Mungu akubariki kaka
@catherinekayamba5304
3 жыл бұрын
Amen ,umenibariki sana,barikiwa mtumishi
@marcykivuyo9666
4 жыл бұрын
Ee Mungu naomba unipe mume mwema uliekusudia wewe!!! Maana nakutegemea we Mungu wangu😁!!!
@rahimamkumbo3238
3 жыл бұрын
Ujumbe huu kweli umekuwa nuru kwangu ubarikiwe sana mtumishi
@desderathalyamuya8856
5 жыл бұрын
Anayesikiliza kama mm 2019 na maneno yapo mapya kabisa kwake apite hapa tujuane
@japhetmajaliwa9870
4 жыл бұрын
Desderatha Lyamuya ndio
@sophiamanga2648
4 жыл бұрын
Mungu akuhimalishe zaidi na zaidi kwani unafanya vizur sanaaaa
@apolinondomba928
6 жыл бұрын
mungu kweli atisha,hongera ambwene sauti ya kuimba umejaaliwa,maisha marefu ujaaliwe
@anethmlingi967
4 жыл бұрын
Hii nyimbo inanielimisha Sana nakuomba mungu anipe mume Bora nami siku yangu niisikilize kanisani nikiwa kwenye vazi takatifu
@sussanreuben8200
9 жыл бұрын
kweli wimbo umegusa maisha yangu nimejikuta nalia machozi ofisini baada ya kuusikia wimbo huu.asante mtumishi wa mungu,uzidi kutumiwa kuokoa wengine.
@hospthospital6944
6 жыл бұрын
Barikiwa kaka Mungu akuzidishe imani nakutufundisha kwa njia ya nyimbo
@dicksonmatulile1523
5 жыл бұрын
Akika
@rosarosa4298
4 жыл бұрын
Nipenda sana mafunzo kwenye nyimbo zako mungu akuinue zaidi nimebarikiwa
@richardjesca7814
5 жыл бұрын
Ipo siku na mimi mungu atanibariki nipate mume mwema
@merymwamita545
5 жыл бұрын
bongo mov
@SamwelShao
9 күн бұрын
Umepata si ndio
@sarahhosea4931
6 жыл бұрын
I cant stop listening to this song... just as how I love yatima's song.
@huseinjuma1923
5 жыл бұрын
Never
@lovenessmganga5619
5 жыл бұрын
Tusaidie Bwana tuishi maisha mema na Mme wangu mtarajiwa..
@judithnassary7209
5 жыл бұрын
Mungu anijibu itaji langu la kupata Mme mwema
@paulojoseph3723
4 жыл бұрын
Ukimwamin nae atakujibu kwawakat wake
@mercimantendo1830
5 жыл бұрын
Kwa kweli kaka nyimbo zako uwa zinanigusa Sana ubarikiwe katika uimbaji Mungu akuzidishiye kipaji hicho
@magrethlyoba3229
7 жыл бұрын
asante sana mtumishi kwa ujumbe wako mzuri na wenye mafunzo,, barikiwa Sana👏👏
@eddahwangila1325
8 жыл бұрын
The message of this song is very strong ,God bless you brother.
@larrybala5980
6 жыл бұрын
Mfano mzuri. Nyimbo nzuri safi sanaaaaaaaa
@shokumagazini6371
6 жыл бұрын
Mimi niko inje ya africa lakini napenda sana uhimbaji wako,mungu azidi kukubariki.
@gloryjane4147
5 жыл бұрын
Siku zote naamin Mungu hutenda njia pasipo na njia. Kikubwa Imani sku atatenda na kwangu pia .
@rosemsonde91
9 жыл бұрын
wimbo mzuri mnoo..barikiwa sana siku ya ndoa yangu ntakuarika uje uniimbie huu wimbo
@leilabhanji7543
9 жыл бұрын
wimbo mzuri sana una mafundisho kwa wanandoa jmn. mie nimelia
@skisterfidelis9616
4 жыл бұрын
2020 nipo hapa from Dodoma Tanzania
@fatumasandali5668
9 жыл бұрын
nyimbo ya ndoa naipenda sana nataman niwe amini mungu ajalie ufike ktk hrsi yangu na ninalia sana
@castorykikoti3096
3 жыл бұрын
Kutoka 2015 hadi leo hii 2121 bado nyimbo inanibariki na sichoki kuisikiliza...🔥
@peterissa7992
3 жыл бұрын
Ameen mungu anipe mme mwema kuptia huu wimbo#imjessicajackson
@josephinemwambe3385
6 жыл бұрын
Barikiwa saaana ndugu Ambweni.. I love your songs
@twesigerichard2078
9 жыл бұрын
Love ur songs Ambwene be blessed
@HassaNAli-sc6wx
5 жыл бұрын
Wimbo mzulisana nimeupenda sana unaujumbe mzulisana mungu akubaliki kaka
@rhimarhima4785
5 жыл бұрын
Kweli Mungu humpa mtu amtakaye barikiwa sana
@diclareastrivini5514
6 жыл бұрын
naitwa diclerea naupenda sana huu wimbo mungu nisaidie nipate mume mwema ubarikiwe mtumishi wa mungu
@devidydevidy2301
4 жыл бұрын
Daah mwasongwe Mungu akubaliki
@pendondossy2158
4 жыл бұрын
Wimbo unafundisha kupendana kwa kweli na co kwa kitu kesho akiwa hana ndoa itavunjika inabidi kumpenda Mungu kwanza
@irenetumaini2008
8 жыл бұрын
Wow! May God bless you abundantly ambwene
@jumasifa3452
Жыл бұрын
Mungu akubali sana kwa wimbo huu wandoa
@hodaviermwakatumbula6656
10 жыл бұрын
Am blessed wth your musics..keep up brother.may god strengthen you
@agnesfidele
5 жыл бұрын
Woooow👌👌👌👌. Nimebarikiwa sana
@vicentezekiel374
4 жыл бұрын
Nakubali sanaKaka Mkubwa Ambwene
@fredrickfrank8513
7 жыл бұрын
Thanx god for bringing this guy gud song gud voice bless him forever
@estherphilemon4907
4 жыл бұрын
Ndoa lazima zidumu kwa wimbo huu sio kwa kutugusa huko
@evegebo
5 жыл бұрын
Wow nice song. Watching from Canada
@noelasilayo1057
4 жыл бұрын
2o2o still have here
@richardchriss2308
4 жыл бұрын
Amina, 2020 wimbo huu una ujumbe mzito, utaendelea kuishi na kuhuisha ndoa za watu wengi,
@rhinaregina5806
6 жыл бұрын
Amen amazing song God bless you brother, this is massage enough who will understand
@azeymussa79
6 жыл бұрын
if God with us who can against us I loveJesus
@angledevota8676
5 жыл бұрын
Nataman na mm siku moja nifunge ndoa Mungu anisaidie
@paulnambusi3758
4 жыл бұрын
One of my inspirational songs when I'm down. Asante sana Ambwene.
@patricktshibangu4380
6 жыл бұрын
All yor songs are blessing me I like itt toot much my God blesse you
@boscosalapion686
5 жыл бұрын
Patrick Tshibangu fantastic song
@kamishkamish6716
Жыл бұрын
Amen San mutumshi wa mungu
@lightnesswilving3535
4 жыл бұрын
Mungu naomba unipe mume mwema, toka kwako.
@rhinaregina5806
6 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Kaka kazi suri sana 💞
@shidapande5377
4 жыл бұрын
kiukweli mtumishi unanifaliji sana,;; balikiwa sana
@kemilembekamugisha4765
4 жыл бұрын
Ubarikiwe Abwene
@faustamdonyela2519
4 жыл бұрын
MUNGU akubaliki kaka 🙋♂️
@juliethgitetas6326
6 жыл бұрын
Wimbo una ujumbe mzuri saana,Mungu akubariki MT AMBWENE.
@georgekamwelwe9597
8 жыл бұрын
wimbo mzuri umenigusa sana Ambwene I love my wife so much 3 yrs now in marriage
@evamwakasyuka9037
6 жыл бұрын
mauwa
@oredibonk592
4 жыл бұрын
Watch in 2020 be blessed
@getrudapeter2216
5 жыл бұрын
asante kaka mungu atupe uvumilivu na ndoa zenye amani
@sakeenanadaly559
4 жыл бұрын
Naupenda wimbo huu
@sarasalum4554
5 жыл бұрын
I like this song!
@kathrinarosa1522
9 жыл бұрын
Jamani wimbo mzuri natamani ningekuwa ni mm
@dicksonkunambi8615
5 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi
@zuiyajohn8997
7 жыл бұрын
naupenda saana wimbo WA Misuli ya Imani, ubarkiwe Sana kaka.
@مريمزنجبار-ب8و
7 жыл бұрын
Zuiya John
@edwinndundulu7348
6 жыл бұрын
Kumbe nd'o maana wazee hupendana saana!!! Wanazirudia enzi za ujana!!! Nautarajia wakati huo kwa shauku kubwa!!!
@maltinamlowe1132
6 жыл бұрын
barikiwa sana nami naomba mungu anipe mpenzi mwema ili tuheshimiane
@priscajulius422
4 жыл бұрын
Baba barikiwa sana🙏🙏🙏
@roseshemkai2513
9 жыл бұрын
Ambwene your a good singer
@jewenyemzunguksiku30shaban46
5 жыл бұрын
Nyimbo nzur San mungunijalie ndotozang zitimie
@frankgk8187
8 жыл бұрын
Huwa nazipenda sana nyimbo za huyu mtumishi Abwene..
@petromtimbuka2937
8 жыл бұрын
Mm na muombea ambwene azidi kbarkiwa pia nawaombéa taifa zma kwaujumla mzd kbarkiw na nyimbo Za ambwene mwisho nawa takia uskv mwema Asnte sana ambwene
@edakiwelu6152
6 жыл бұрын
Wimbo mzr sana hongera kaka Ambwene
@lisutundu999
5 жыл бұрын
mungu akubariki sana azidi kukuongoza katikakazi yako amina
@juniorwayned3597
6 жыл бұрын
Mung akulinde kwa nyimbo nzuri za dini🙏🙏
@ednajohn1894
5 жыл бұрын
wimbo mzuri sana mungu akubaliki
@marthahozza7068
5 жыл бұрын
Am n lov with this song🙏🙏
@joramabel8961
7 жыл бұрын
be blessed my bro,,,,,kiukwel unanigusa sana na kazi zako
@reginadismas7083
6 жыл бұрын
I like this song
@minuandrew4901
8 жыл бұрын
Ambwene, Mungu akubariki, abariki na kazi yako ya uinjilishaji kwa njia ya uimbaji
@hellenedwin762
6 жыл бұрын
nice
@meshacklyiwema8673
5 жыл бұрын
Mungu abark kaz zako
@beatricelucas9809
5 жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu
@reginalionjo6531
4 жыл бұрын
Nafurahiya ujumbe nimzuri Sana
@hazardharunihr8225
5 жыл бұрын
Ndoa ndoa ndoa ndoa jamani😭😭😭😭😭🏃🏃🏃🏃🏃
@rachaeldavid4396
5 жыл бұрын
ee mungu nami nipe mume mwema ulie mkusudia wew
@barcelonagirl2329
6 жыл бұрын
Huuu wimbo uwe mfano kwenu pia maana mmeshafunga ndoa
@Lovelymaria0
8 жыл бұрын
WOW, nice song, i love it
@frankalkado6218
8 жыл бұрын
yaaani acheni tuu uyu baba aimbe naipennda sanaa nyimbo ya ndoa
Пікірлер: 293