Ambwene Obadia Mwasongwe, nimekuita majina yako yote matatu - Mungu akubariki sana kwa kutubariki na tungo zinazotusogeza Karibu na naye kiasi hiki. Stay blessed 🙏🏽
@labanimwanuke2310
2 жыл бұрын
Mtumish wa Mungu nakuheshimu sana, hakika umesimama Kwenye kusud ambalo Mungu amekuitia. Dah am learning a lot from you. Utukufu Kwa Mungu aliyekuamin akakuchagua. Nakuombea utukufu wa mwisho uwe mkuu kuliko wa Kwanza. Na hatima yako ikawe njema na ya baraka Kwa Mungu na Kwa wanadamu.
@marthadaudi8931
2 жыл бұрын
Barikiwaaaaa sanaaaa Kaka ambwene
@jordanjulius7856
Жыл бұрын
amina mtumishi
@joycellah
2 жыл бұрын
Huu sio wimbo ni maombi kamili. I think kwa muda haya yatakua maombi yangu! Yanajitosheleza kabisa!! There’s a work I long for God to do in me
@zawadierasto5826
2 жыл бұрын
Hakika
@jonasijunga1568
2 жыл бұрын
Dah! Huu wimbo umenigusa sana aise, MUNGU azidi kukuongoza mtumishi Ambwene 🙏
@linakillianm8064
2 жыл бұрын
Unifundishe kuomba, nifundishe kupenda, nifundishe kiasi! Imani ya matendo na moyo wa toba ❤ huu mwimbo ni Ibada. Mbarikiwe sana Jack Walter na mume wako mpendwa, Bwana azidi kuwatumia. Amina.
@micahnathaniel6942
2 жыл бұрын
Hatimaye 3 years of waiting is over .... A blessed one
@praiseandworship6293
2 жыл бұрын
Whoever reading this, God knows what you are facing through, He heard your cry, He is going to deliver you. Just trust in him. Amen
@pendonnko3217
2 жыл бұрын
Amen
@rehemakilibwa714
2 жыл бұрын
Amen
@agathathomas2861
2 жыл бұрын
Amen
@bahatiaamani9320
2 жыл бұрын
Amen 🙏
@fridatony5610
2 жыл бұрын
Ameen
@kisayobeatrice2016
2 жыл бұрын
Huu wimbo ni maombi, Huu wimbo ni unyenyekevu mbele za MUNGU, huu wimbo ni ibada kamili 🥺💖 ...... nisaidie kula chakula nje ya njaa yangu, nisaidie nisiseme gizani yale ambayo nimeshindwa kusema hadharani ❤️❤️❤️❤️😭😭
@jacksonsilvery5963
2 жыл бұрын
uzuri wa kuimba ukiwa mtu wa neno..msomsji
@GoFaMEDIA
2 жыл бұрын
To anyone reading this, May the Lord be your solid rock. May He be your refreshing fountain. May the Lord be with you always. May you rise and shine in Jesus Mighty Name. Amen.
@levinaanatory907
2 жыл бұрын
Ameeen
@agathathomas2861
2 жыл бұрын
Amen
@emmanuelsylvester4701
2 жыл бұрын
Amen I receive 🙏
@Pendezabylydia
11 ай бұрын
Amen 🙏
@amosmarko3658
2 жыл бұрын
Mwimbaji usiyefuata mitindo ya dunia, hakika Mungu yuko naa wewe katika huduma yako
@navongelysrlynsozsye8494
2 жыл бұрын
Endelea kupita kwangu ee Bwana sistahili#nistahilishe Bwana Yesu. #nifundishe Imani na matendo #nipe moyo wa toba.
@aidaheliezer4216
2 жыл бұрын
I've been listening to this song all day long on, repeat...umekuwa ombi langu .Ubarikiwe Mtumishu🙏🙌
@edinaatuganile4287
Жыл бұрын
Ppl😅
@nidamwinyi5100
2 жыл бұрын
Hili ni ombi langu nifundishe kuomba nifundishe kunena nifundishe kiasi nifundishe imani ya matendo nipe moyo wa toba. Barikiwa sana mtumishi
@rebecasamwel6185
2 жыл бұрын
Kakaetu wa hekima.be blessed nisaidie nisiende kule nisikoweza kwenda mchana nisiende usiku neno lako linikataze...amen amen Mungu wetu akutunze
@vytahchummie4909
2 жыл бұрын
This song is a blessing....ni maombi yetu wengi sana tunataman Roho wa Mungu atufundishe mengi sanaa ..... ubarikiwe sana kwa kuimba our prayer points...Mungu aendelee kukutumia na kukupeleka viwango vya juu zaidi
@bukelebengelela
2 жыл бұрын
Hili ni Ombi jema lililoletwa kwa njia ya wimbo. Ubarikiwe ambwene
@eclivechizoza1886
2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu nyimbo yako inagusa sana moyo wangu nimehangaika kwa mda mwingi hata jamii kuna kipindi nilihisi inanicheka namshuku mungu alinipa moyo wa ujasiri na kushinda walionidharau leo hii wanaheshimu heshima na utukufu kwako mungu😭😭😭😭😭🙏ni neema sikustahili kabisa
@gynae8407
2 жыл бұрын
Hii nyimbo nimeirudia Mara 7 haishi uhondo uuwiii!!! Yesu ni mzuri haki
@dainesstungaraza6309
Жыл бұрын
Sana tuu
@mariaregnald2823
2 жыл бұрын
Yale nisiyoweza kuseme adhani nisiseme gizani. Mungu akubariki kaka abwene
@davidkisalimwala9458
2 жыл бұрын
Ambwene Nyimbo zako zimekuwa za baraka sana kwangu yaani my main playlist ni nyimbo zako. 1. Majaribu 2. Upendo wa Kweli 3. Ombi langu and Now 4. Nifundishe Kuomba ~ i have been listening to this those song i cant just get enough of it , umenibariki sana my brother. God bless you brother.
@ireneassey753
2 жыл бұрын
Ambwene my father nyimbo zako zinanibark san mungu akupe hitaj la moyo wako Amen
@sevelinacharles8163
2 жыл бұрын
Nifundishe kuomba Yesu. Nipe Imani ya Matendo. Nipe Kiasi Bwana
@g.gwemela5159
2 жыл бұрын
WIMBO HUU UNAPUMZI YA MUNGU WA MBINGU NA NCHI BE BLESSED BROTHER!
@roseasimwe827
2 жыл бұрын
Hongera sana kwakutoa wimbo mzuri
@sososool9177
2 жыл бұрын
Sichoki kuskiliza unanibariki san
@irismaa3483
2 жыл бұрын
This is my prayer Lord! Nifundishe kuomba siku zote.
@winifridakibona5936
2 жыл бұрын
Bwana Yesu azidi kukupaka mafuta mabichi brother. You are blessed. Tulipaswa kuja Mara kwa Mara kuuchungulia huu wimbo Kama upo. Finally here we are. 🙏🙏🙏🙏
@tusamoses3154
2 жыл бұрын
Be blessed my brother.🙏....Nazitaka nguvu ulizonazo wewe Yesu. Ninataka kushinda.💪 Uwezaye kunituliza wakati wa huzuni, neno lako linisaidie niweze kubagua chakula cha kuupa moyo wangu. Nisaidie pale nisipoweza kwenda mchana, nisiende pia usiku. Nikanyage pale waoga hawawezi. Nioneshe jeuri kwa shetani. Ninataka kushinda.
@theresiamaila9400
2 жыл бұрын
Be bessed man of God,namshukuru Mungu kwa ajili yako.toka albamu ya kwanza hadi sasa kila nyimbo unayotoa inanikuta kwenye mapito na kupitia nyimbo hiyo navuka jaribu salama.aisee maneno yangu hayatoshi ila Mungu anajua kwa nini kakupa karama ya kuganga myoyo ya watu kupitia nyimbo zako.utukufu hata utukufu.amina.
@joshuajoshua7651
2 жыл бұрын
Kaka unajua kabisa tunazielewa kazi zako! Ubarikiwe sana. Like zetu za kutosha kwa Ambwene pls
@nuruphilemon2310
2 жыл бұрын
Uwezae kunituliza wakati wa shida na matatizo 😭I'm blessed Kaka Ambwene Mungu akubariki sana. Sipati maneno mazur ya kuahkur Ila huduma yako Mungu aizidishe Mara elfu kupitia huduma yako Imani yangu inakua kila siku. Ubarikiwe mtumishi
@neemaandrew6593
2 жыл бұрын
Wimbo huu umefanyika baraka kwangu aisee,sichoki kusikilizaa,,,nami nakusaluti,nakuimbia wimbooooo ewe Yesu,jina lako Mesaya,,,barikiwa kaka Ambwene
@tinahabel6092
2 жыл бұрын
MWENYEZI MUNGU na azidi kukubaliki . Wimbo mzuri sana👏👏👏
@rachelmaula6871
2 жыл бұрын
Ambwene ukiimbaa namuona mungu uyuu apaa unaimbaji wa tofauti sana nyimbo zakoo nila pekee sana
This song is so powerful.....huu wimbo ni maombi kamili mbele za Mungu muumba wa mbingu na nchi.....nifundishe kuomba Yesu nitembee kwa Imani siku zangu zote hapa Duniani.Amen
@hellenrichard187
2 жыл бұрын
Mungu akubariki kaka Mungu nifundishe kuomba pia nifundishe kunena nifundishe kiasi nifundishe imani zaidi Mungu nipe moyo wa toba siku zote maishani mwangu
@felicianamhema9411
2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtu wa Mungu. nyimbo zako zinanibariki sana. uendelee kutumika kwaajili ya Kazi ya Mungu.
@festasamuel6110
2 жыл бұрын
🙏🏽🙏🏽 NIFUNDISHE KUOMBA BABA🙏🏽🔥 BLESSED VOICE THAT HEALS THE BROCKEN SOULS🔥🔥🔥 MUNGU AIBALIKI KAZI YAKO NA KUKUTIA NGUVU...
@monicastephen8796
2 жыл бұрын
Listening from Ethiopia. You sang my prayer points. Be blessed man of God.
@jacklinemathias4542
2 жыл бұрын
Nipe moyo wa toba..moyo wangu umeguswa,umefarijika umepata nuru mpya baada ya kusikia wimbo..::.nifundishe kias Bwana wangu
@malaikam2562
2 жыл бұрын
Wimbo huu daaa nakuta nalia nyimbo zako huwa ninanigusa sana🙌😭
@abiyamashaka5716
2 жыл бұрын
honest from my heart you are annointed brother AMBWENE
@priscajonas1978
2 жыл бұрын
Nimebarikiwa mno na huu mungu hili ombi langu nigundishe kuomba nipe moyo watoba
@mamatriplej1350
2 жыл бұрын
Kaka Ambwene mi nasema Asante....Mungu umtumikiaye azidi kukupandisha kutoka utukufu Hadi utukufu. Mashairi ya wimbo huu yanatupa tafakari ya pekee...Mungu akubariki Kaka.
@pendosaniely9878
2 жыл бұрын
Asante Ambwene kwa wimbo wa baraka. Mungu akuinue, akupe haja ya moyo wako kwa mapenzi yake.
@sleepydj.
2 жыл бұрын
You're songs always heal my broken soul . Mungu aendelee kubariki na kukupa nguvu kwenye huduma yako. Be blessed 🙂
@dainesstungaraza6309
Жыл бұрын
Amen
@marthakagembe8428
2 жыл бұрын
Maneno yangu matendo yangu tabia yangu zifanane na hisia zako...nifundishe kuomba nifundishe kunena nifundishe imani ya matendo..nipe moyo wa tobaa..👏👏kaka Abwene Yesu akutunze sana Ubarikiwe na kuinuliwa zaid
@vickymahanga7734
2 жыл бұрын
barikiwa Sana nyimbo hii imegusa maisha yngu ujumbe mzur
@patriciagodfrey8691
2 жыл бұрын
Be blessed brother🙌
@wandedalushi2984
2 жыл бұрын
Haya ni maombi kamili Amen napokea kufundishwa
@MMUNGAHOSEA
2 жыл бұрын
Aise Tusipo sema Mbinguni tutaulizwa tu. Mtumishi Abwene Mungu Wa Mbingu na Inchi hakubaliki sna Maana Na Jiisi Kubalikiwa Kupitia Wimbo Huu
@Owokohlinh254
2 жыл бұрын
Amen! Amen!... Nifundishe Kuomba Roho, ni siko weza kwenda Mchana nisaidie nisiende usiku. 🙏
@linahjailos358
2 жыл бұрын
Mungu akubariki sanaa mtumishi wa Mungu.....nikiimba nyimbo zako naona uwepo wa Mungu hakikaa.....
@lucianahaule9495
2 жыл бұрын
Ur blessed alot brother, ashukuriwe Mungu kwa kukuumba kwa ajili yetu hakika nafsi nying zinaongoka kwa kupitia nyimbo zako🙏🙏🙏🙏
@bestinajames4210
2 жыл бұрын
Mungu akubalika Sana mtumishi nyimbo zako zinanibariki Sana
@rehematukai6084
2 жыл бұрын
Kila nikisikiliza natamani kuliaaaa 😭😭😭😭😭😭 ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
@winnerjoseph3073
2 жыл бұрын
Nifundishe kuomba, nifundishe kunena, nifundishe kiasi, nifundishe imani ya matendo...... Unipe moyo wa toba. Nami nakusaluti.... Nakuimbia wimbo. Ninapaza sauti..! Barikiwa Mtumishi.
@annearon1079
2 жыл бұрын
Huu wimbo nilikua nausubiri jamani nikiusikia kwenye harus ya abwene kwa kias kidogo hatimaye leo huu apa Glory to God.🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@boydlyandokela5762
2 жыл бұрын
Sisi huku Lusaka,zambia🇿🇲 we are saying may the God who started the good work in you, push you through till the end!,You are such a blessing to us and to this generation Mr Ambwene...#AsanteUbarikiwe🙌🙌😍❤
@stephaniaamiry8294
2 жыл бұрын
Nimebarikiwa nyimbo nzuri
@marthadaudi8931
2 жыл бұрын
Mungu akuinue utukufu Hadi utukufu uuuuuuuuuuuuuu barikiwaaaaa
@queenelizabeth5062
2 жыл бұрын
Nimelia machozi ya furaha as i sing this beautiful song..may Almighty God protect you sir..
@hellenmwanzivi4869
Жыл бұрын
Ee Mungu! Nipe moyo wa toba. Asante Ambwane kwa kuwa wa baraka. Nairobi Kenya twakupenda
@taturaphael8087
2 жыл бұрын
Ombi langu Nifundishe kuomba.....ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu kila nikiusikiliza huu wimbo nasikia kububujika moyoni , Mungu azidi kukutumia Mtumishi 🙏
@deborahgrabriel5953
2 жыл бұрын
Mungu naomba unipe moyo wa toba.Mimi si mkamilifu baba.Muda wote natamani moyo wangu uimbe wimbo huu.Mungu akubariki na kwa viwango vya juu zaidi akuinue mpakwa mafuta wa Bwana kaka Abwene.
@harriethbarnabas4767
2 жыл бұрын
3good years of waiting is finally over God bless you man of God 🙌🏻🙏🏻
@masembomusicforbeginners
2 жыл бұрын
Wimbo wenye sifa nyingi za Mungu. Mungu aendelee kukutumia kwa viwango vya juu Sana kaka.
@furahamtui5456
Жыл бұрын
This song is very powerful. Yesu tunaomba tufundishe kukujua wewe na kutenda yale yakupendezayo wewe
@farajamambo715
2 жыл бұрын
Bwana akuinue zaidi huu wimbo umenisogeza hatua kubwa Sana
@asteriarngweshemi3783
2 жыл бұрын
Mungu akubariki mpenzdwa ktk Kazi ya Bwana hii utendayo🙏🙏
@fefenailsandmakeup1353
2 жыл бұрын
All in all nikitembea nitembee na wewe Yesu...wewe hukai katkat maana wewe ni alpha na omega yaan mwanzo na mwisho🚶♀️🚶♀️
@victorianoah7368
2 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki mtumishi hii nyimbo inifungue na mim
@eliabusimon625
2 жыл бұрын
Moyo wa Toba ....Mungu akubariki Sana brother
@renatuskamala3048
2 жыл бұрын
Nifundishe kuombaa🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥 miaka 13 ya Moto wa UAMSHO
@elikammedia242
2 жыл бұрын
🙏🙏 Mungu nifundishe kuomba, be blessed brother Ambwene
@luciakimambo7085
2 жыл бұрын
Wimbo una ujumbe mzuri sana sijawahi kuona ninakuombea kwa Mungu wa mbinguni azidi kukutumia wewe pamoja na familia yako kwa viwango vya juu zaidi ili sisi sote tumfahamu Mungu zaidi. Mungu wa mbinguni akubariki wewe pamoja na uzao wako wote.
@christabellahorest6333
2 жыл бұрын
🙌🙌🙌🙌kila nikiskia huu wimbo naiskia saut ya mbubujiko wa kuomba ndani yng.Ubarkiwe mtumishi wa Mungu
@sharonjumba4648
Жыл бұрын
Wow! Wow! Wow! You've just put in words my hearts desire and more. Baraka tele mtumishi.
@luismalole
2 жыл бұрын
Mungu azidi kukutumia brother Ambwene
@wilfredshoghosho0017
2 жыл бұрын
Bro may God bless you so much. Nyimbo zako hunibariki, hunifunza hunielimisha wacha karama Yako izidi kuwa kubwa zaidi
@christinezayumba6993
2 жыл бұрын
Amen kubwaa
@Angie_Malaika
2 жыл бұрын
Amen and Amen..Nifundishe kuomba,nifundishe moyo wa toba,nifundishe kunena yote mema..Nifundishe Mungu wa rehema 🙏🙏🙏
@epiphaniaanselim2625
2 жыл бұрын
Amen Amen... Nifundishe kuomba, nifundishe kunena, nifundishe kiasi, nifundishe imani ya matendo, nipe moyo wa toba🙏🙏. Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu...
@patrickwilondja759
2 жыл бұрын
Kweli Mungu akuzidishie mara dufu mtumishi kwa uduma nzuri
@gabriellyadam9415
2 жыл бұрын
sio tu wimbo.ni maombi mazito mno yanaamsha hisia za ndani za kububujika zaidi..powerfull song.
@victoriambise190
Жыл бұрын
Nakushukuru Mungu kwaajili ya mtumishi wako..ahsante Jehovah...Kaka Ambwene ninabarikiwa mno
@japhari2117
2 жыл бұрын
3 years huuu wimbo Tuanusubili Ubarikiwe sana Kaka wa Taifa
@highnessshao5413
2 жыл бұрын
I cant get enough of this song..its humbly composed and potrays deepest heart desires of a growing Christian..it is itself a pure truest prayer, a living meditation,it also helps us in evaluating our ways of living and helps us to realize where do we need more of God's grace,,Glory Glory Glory to the Almighty God
@doricengavatula3361
2 жыл бұрын
Amen
@marthayaledi444
Жыл бұрын
Fact 100/"
@milambojunior7772
2 жыл бұрын
Hongera sana kaka kwahatua uliyofikia Mtumishi kazizako nakufatilia sana Mungu Akubariki
@yustinalegembo901
2 жыл бұрын
Ahsante kwa ujumbe mzuri mno, Nifundishe Imani ya matendo Yesu
@milkajm4762
2 жыл бұрын
This is my prayer! Mungu nisaidie!😭
@restangimba3852
2 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni azidi kukutumia Mtumish wake Mr Ambwene,,, huduma yako inanibarki tangu nlipoanza kusikiliza nyimbo zako 2014
@shimwelagodbless5561
2 жыл бұрын
Sijui ni namna gani unaandika nyimbo zako, ila yote katika yote Mungu apewe sifa sana kwaajili yako! Mungu akubariki sana sana sana!
@marykyusa8212
2 жыл бұрын
Kule nskoweza kwenda mchana nizuie nisiende usku🙏🙏.Mungu akulinde bro nmekuelewa.
@marygregory7566
2 жыл бұрын
Namshukuru Mungu kwa ajili yako ...nasema asante kwa mimi kuzaliwa nyakati hizi ambazo watumishi wanaomwimbia Mungu kama wewe wapo.
@ambelen1745
2 жыл бұрын
On repeat since🎧...God bless you mtumishi 🙏
@ambeleamanzi5592
2 жыл бұрын
Wajina mambo vp
@nuruanafisoo4220
2 жыл бұрын
Nahisi nguv za Mungu kwa kiwango cha juu ubarikiwe kaka
@aminabakari8423
2 жыл бұрын
Amina kubwaa, nifundishe kuomba Bwana.
@roseasimwe827
11 ай бұрын
Nifundishe kuomba kunena,kiasi Imani ya matendo na moyo wa Toba ee Mungu wangu
@justinenjeje8847
2 жыл бұрын
Best of the best ...stay blessed huduma izidi kukua
@tupulikemahenge9259
2 жыл бұрын
Nifundishe komba,kiasi,Imani nipe moyo wa toba.Barikiwe Mtumishi wa Bwana.
@hellenmattaba9961
2 жыл бұрын
Sijwahi acha kusikiliza nyimbo zako zinanibariki sana mungu akutunze sana ambwene wetu
@barakaprotas2017
2 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na nyimbo zako kaka mungu akubariki kwa mahubiri haya mazuri kupitia nyimbo big up brother
@gracekundo602
2 жыл бұрын
Imani isioyumba ,imani iliokweli ,imani itendayo makuu hakika Kupitia uimbaji huu tunapata nguvu ya kusimama na kristo 🙏barikiwa mtumishi
@lembrissakita6749
2 жыл бұрын
Wimbo huu unagusa maisha kwa namna ya kipekee sana. Songa mbele mtumishi wa Kristo Yesu @Ambene Mwasongwe
Пікірлер: 614