Mimi wimbo wa (Yeye katika siku zake alimtolea MUNGU ibada) unanifanya kila siku nipate nguvu mpya ya kutenda kwaajili ya Bwana... Barikiwa sana
@wilsonmwimi2392
Жыл бұрын
Yaaaani Hiyo kazi nisoo nanisoo Tena Mungu ampe Neeema zaidi asee
@Duma700
Жыл бұрын
Jina la huo wimbo unaitwaje hua natafuta jina lake lakn nakosa
@Farajamwakalinga
Жыл бұрын
Labda nikutumie Whatsapp.. maana ninao tu kwenye simu.. ila KZitem sijajua unapatikana kwa kina gani
@peninakirita7614
Жыл бұрын
Kutoka Kenya napenda nyimbo za Ambwene Sana,mungu akubariki.
@gracesanga6489
6 ай бұрын
nyimbo zako kiujumla ni mafundisho toshakwenye maisha yangu,ulio nitoa sehem moja kwenda nyingine nguvu ya msamaha barikiwa sana
@agnesskandonga8752
11 ай бұрын
barikiwa sana kaka, hakuna wimbo wako nimewahi kuusikia nisijengwe, nisitamani kuusikia hadi mwisho, una mafuta ya tofauti sana, Bwana na akuinue
@Lusekelo98
Жыл бұрын
Huduma yako BWANA MUNGU azidi kuiongoza kila siku. Huduma ya uimbaji wenu inatugusa sana, pia imekuwa kama sehemu ya maombi pindi tusipoweza kuomba chochote kwa BWANA MUNGU. Mara nyingi maombi yaliyo katika nyimbo hizi yamekuwa ndiyo maombi yetu na sehemu ya kuanzia uombaji pindi mioyo yetu inapoumia na kushindwa kuomba. Mtumishi iombee zaidi huduma yako, tunabarikiwa nayo.
@donzaky6775
Жыл бұрын
Hakika hata sisi hapa Congo DR 🇨🇩 tunaipenda sana nyimbo zako Ambwene, ni miongoni mwa nyimbo ninayoyapenda sana kusikia kwenye Playlist yangu. #Mungu akubariki sana
@josephpartson6053
Жыл бұрын
All ze best mkuu wangu...hudumu Milele na hekima yako
@Cinetronix
Жыл бұрын
Daah kaka nataman ata uwe na mafundisho bhas niwe nakusklza maan hapo umeongea kdg tu but much blessed
@TusaKiblaga-vp9jg
3 ай бұрын
Amen mtumishi Ubarikiwe
@onesmartcars525
Жыл бұрын
Ameen sema host anakatiza sana story nzuri,,,atulie tupate madini
@esterkilinda
Жыл бұрын
Kaka Ambwene Mwasongwe Mungu akulinde huduma yako ni njema
@msafirisaimoni9561
Жыл бұрын
Moja kati ya vitu vibaya katika familia au sema na umaskini nao unachangia kutembea katika gari familia moja n hatari sna
@drmirambo1300
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana mwalimu,
@bahatijeanclaude3905
Жыл бұрын
Napenda nyimbo zako Kaka barikiwa na Mungu♥️🌹
@AkiliKaskileacunga-id4bj
Жыл бұрын
Mungu hakubariki mwalimu
@elizabethmgina945
Жыл бұрын
Nabarikiwa sana na nyimbo zake
@EzekiaMichael-jn5np
Жыл бұрын
Nakuelewa sana kaka Mungu akubariki sana kakaangu Ambwene na uendelee kuishi maisha marefu
@evelyneibrahim7397
Жыл бұрын
Amina barikiwa. Nimeelewa upendo wa Agape.
@gee_gm
Жыл бұрын
Ee MUNGU nijaalie upendo wa agape! 🤲🙏 Nisaidie nilipe mema kwa mabaya daima! Amen.
@neemajulius8017
Жыл бұрын
Safiii mtumishi!nmependa sana majibu yako ya upendo,Mungu nisaidie yule anaenifnyia ubaya nilimlipe mema ili abaki akihangaika na roho yake mbaya🙏
@rehemamzumbwe1816
Жыл бұрын
Nabarikiwa sana na nyimbo za kaka Ambwene be blessed more na Mungu akutumie Kwa viwango vya juu zaidi
@mbembelatv
Жыл бұрын
This man is My favorite 🙌
@hadasafesto6111
Жыл бұрын
Amen. Kweli kabisa Mwl. MUNGU azidi kukubariki sana
@IssaBass7
Жыл бұрын
Appreciate San kaka❤
@linahsenyagwa2316
Жыл бұрын
Ubarikiwe Bro
@davidngailo7966
Жыл бұрын
Mungu akubariki
@mamamchngai
Жыл бұрын
Misuli ya imani ni wimbo na video *iliyotujenga sana kiimani* Kumbe ni true story @mch Ngai fuatilia hii
@sawasawaJoel
10 ай бұрын
Mimi ni mu Congo lakini ninatamani hâta Siku moja ni mu one ambwene kwani nyimbo anazo imba zina ni gusa sana n'a Ku nipa wakovu kabisa
@PrinciAlbert
Жыл бұрын
Natosheka na haya majibu kabisa 👐🏻👐🏻👐🏻👌🏼👌🏼👌🏼
@GodsonLaizer-fx8by
Жыл бұрын
Ambwene huyu Kila nikimsikiza hakuwahi kuniacha salama, na natamani sana nimshuhudie kuhusu albam yake ya misuli ya Imani , ni kweli ameeleza mambo ambayo Huwa najilazimisha kufanya na mwisho Mungu amenitokea kwa miujiza mikubwa tu, ambwene alipo oa alikuwa honeymoon ktk hoteli ya giraffe pale mbezi na nilitamani sana kusema naye nimweleze ila nilipoenda nikmkuta km ansema jambo na mke wake nikaondoka ,nilienda tena ila kwa kuwa nilikuwa kazini nikaogopa baada ya boss wangu kunipa kazi upande mwingine ila hakika natamani sana nisaidieni no yake mwenye nayo
@estermnunke9485
Жыл бұрын
aisee umeongea point tupu
@danielmwami
Жыл бұрын
Iko kweli sana 🙏
@elvismalonga7427
Жыл бұрын
Tafazali tunachuga nyimbo zegine ???
@jamesfanuel4595
Жыл бұрын
Amen..
@kissamahiki7895
Жыл бұрын
❤❤❤❤🎉
@YANGAHIGHLTS3073
Жыл бұрын
Ameen
@mosessimkoko9364
Жыл бұрын
Interview yenye mafunzo kuelimisha kuburudisha
@amosijohn987
Жыл бұрын
Ni msaada wa Mungu kumtumia alicho andaa kukitumia hivyo UTUKUFUKWA MUNGU KUTUPA KINACHO STAHILI
Пікірлер: 43