Amen AMEN,MUNGU WA MBINGU NA NCHI AENDEREE KUKUTUMIA SANA KUKUTUKUZA KWA JINA LAKE YESU
@goodluckmakundi1685
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana dada na kukutia nguvu,yeye hatakupungukia wala hatakuacha,NA HUU NDIO UJASIRI TULIO NAO KWAKE,SONGA MBELE
@omuyaalphonce4387
Жыл бұрын
Amen kweli Mungu anatenda... alafu mama amenenepa si kama vile akitaka pombe yake wakati wa maombi....
@oscarshikuku9869
2 ай бұрын
Alikuwa msumbuvu sana
@joycekaganga6924
7 күн бұрын
Nice message natural beauty ka baby face ❤ tangu utoto be blessed
@user-zu6by3xq9e
Жыл бұрын
Amen dada Jeniffer barikiwa sana wewe u wa baraka kwangu
@arleneilunga9202
Жыл бұрын
Bibi esta kanenepa ivi?🤔🤣 nimefurahi sana kuwaona tena nyinyi wote mpaka leo mungali hayi my favorites love you from congo 🇨🇩🇨🇩
@MARYNAGUJustin
4 ай бұрын
Haya ndy mambo yangu god bless u llove u jenifa
@milkamugomo218
Жыл бұрын
Kwanza Pole sana dada Jennifer kwa kumpoteza mwenzi wako na asante kwa wimbo mzuri Bahati mama Esther mko vizuri
@sophiabanana2309
Жыл бұрын
Amefiwa lini mwaka gani sijasikia janani😭😭😭
@mkingasana400
Жыл бұрын
Daah namwona apo malkia wa dunia wa gospel aka Dada bahati bukuku mm hip hop sana lakini nyimbo zake zote nko nazo.
@upendo1020
Жыл бұрын
Napenda Sana mnavopendana na Bahati Bukuku, nawapenda Sana
@janetmtenzi9239
Жыл бұрын
Amen Bwana amenivusha Nga,mbo mshukuru Mungu pamoja nami
@rhinakiza
Жыл бұрын
Nawe penda buree 😄😄 this is lesson. Asante kwa massage kubwa hii
@estershilla9576
Жыл бұрын
Ujumbe mzuri kweli kabisa haka katabia kameshik kas
@alphamasinjisa8140
Жыл бұрын
Barikiwa Sana madame Jennifer in short umeimba!!Nakupenda sana
@joycetweve6618
Жыл бұрын
Mungu akiruhusu jaribu.Ibilisi naye hujihuzurisha.cha msingi ni kumpuuza kwa haraka,na kutokufungua mlango kwa wakala wake. Amen
@doriszephania3503
Жыл бұрын
Ujembe konkiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Unafiki ndio unaoendelea makanisani MUNGU atusaidie
@AmijomaAmijoma
4 ай бұрын
Waooo mpendwa classmate wangu kisutu Girls.Ulikuwa unatuimbia darasani na kweli Mungu amekutunukia kipaji cha uimbaji mpendwa. Hongera sana na endelea kumtukuza Mungu.
@ladyfarajadanda8575
Жыл бұрын
Ameni dada yangu uwa unanibania Sana nyimbo zako zinaniponya Sana Mungu akutunze
@GRACENyanda-cn3pg
4 ай бұрын
Wimbo mzuri sana Mungu akubariki ❤🎉
@EuphrasieBahatiBurundi
10 ай бұрын
Amen amen God bless you my mother 👩🙏❤🙌❤❤❤
@a.j.m9740
Жыл бұрын
Mabest kama best mnapendana sana Bahati Bukuku na Jenipher
@neemamtangi368
Жыл бұрын
Kabisa ameen nakupenda sana daa wangu
@jenishungu9079
Жыл бұрын
Ubalikiwe sana nyimbo nzuri sana inafaliji mungu akubaliki sana
@erickmutungi8792
Жыл бұрын
Mama wimbo una ujumbe mahususi kabisa...kwa nyakati tulizonazo.....nimebarikiwa
@kabwefrancine99
Жыл бұрын
Ahuja wai kosea kwa nyimbo zako maman 🙏🙏🙏
@danielmwenga3480
Жыл бұрын
Amen fanya kazi my dada Mungu akuinuwe zaidi 💥💥💥🙏
@marymwapiya1274
Жыл бұрын
Amen ubarikiwe sana Mama 🙏 ila mimi natamani tu Mama mngeachana na hayo mapambo siku ya mwisho kazi yenu isiwe bure kwa sababu tu ya mapambo ,nimesikiliz ushuhuda nyingi za watumishi wa Mungu wanasema wamewakuta wanawake wengi waliomtumikia Mungu vizuri kabisa wapo kuzimu wanateseka kwa sababu tu ya mapambo,natamani umuulize Mungu kuhusu hili siku ya mwisho usiende motoni kwa sababu tu ya mapambo. wanasema lisemwalo lipo na pia kitu kikisemwa na watu zaidi ya watatu kitu hicho ni kweli 🙏🙏
@happyalbert5089
Жыл бұрын
Barikiwa sana, injili lazima ihubiriwe kwa namna yeyote
@sanchezrose1560
Жыл бұрын
Amen kubwa natumai wangesoma hii comments waneelewa zaidi 😢
@amanisaa1426
Жыл бұрын
Mary mwapiya@ mi pia nilitaka kuwaambia hivi nikaona umesema tyr kwa kweli wanawake tuwache mapambo yatatupeleka jehanamu kazi yetu itakuwa ni bure juu hukumu itakuwa sawa na Ile ya makahaba itakuwa ni hasara kwa kweli😭😭😭😭 moyo unaniuma Sana nkifikiria juu ya hili.
@amanisaa1426
Жыл бұрын
Sikilizeni shuhuda za kweli za makatazo ya mapambo kwa (PROMOVER TV)
@gosbertmuta5421
Жыл бұрын
Iwe kwa hila iwe kwa hujuma injili lazima ihubiriwe ndo maana Paul akasema anayaona yote km mavi, Sasa waspojoamba Nani atanunua cd na flash kiufupi NI biashara hakuna mwenda mbngun
@reubenlucumay1929
Жыл бұрын
Wimbo mzuri Sana imebeba maneno mazuri mmejipa sawasawa Mungu awaongeze ujuzi wa kueneza injili ya Mungu Ahsante Sana Jennifer kurudi katika ubora wako
@naomimark5346
Жыл бұрын
Hongera sana Kwa kuirudia kazi Yako ya uimbaji🙏🙏
@paschlpius2985
Жыл бұрын
Ameen mungu azidi kukupa pumzi dada yangu
@raymondbahati7626
Жыл бұрын
Vizuri Jenifer,bibi Esther na bukuku na wengine wamefanya pia vizuri. From Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@edwardazinga4369
Жыл бұрын
Waaaaooo nivizuri kushukuru,maana bwana amenivusha,gd song
@yesuyarishuye3380
Жыл бұрын
Tunakupenda sana kuanzia kwa mavazi .from Australia unapendwa😍😍😍
@davidnyirabakunzi8805
Жыл бұрын
Amen. Hongeleni Mzakazi wa Mwenyezi Mungu. Wimbo zako zna mafundisho sana tena sana.
@MARYNAGUJustin
3 ай бұрын
Mama yangu wee huzeeki kwakuwa uko ndani ya yesu
@annastaziakalula1475
3 ай бұрын
Mungu akuinue zaidi dada Jenifer Mgendi
@bahatimbilinyi7871
4 ай бұрын
Mungu akubariki Kwa nyimbo zuri🙏🙏
@jacksonjohn5686
Жыл бұрын
Mungu pekee ndiye anayefanya maishani mwetu barikiwa samtumishi
@user-ip2xl9iy2h
Ай бұрын
Bonjour Madame cemoi Dédé kasongo bonne journée merci beaucoup pour votre Shanson
@amenaameeena3317
Жыл бұрын
Wimbo mzuri mungu akubariki pia hongera kuvaa vizuri dada
@officialjemimahowiti
Жыл бұрын
You are agift to the kingdom 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@nesielias9493
Жыл бұрын
Mmhh kweli Mungu anawabadilisha watu huyo mama aliyevaa gauni la madoa meusi alikuwa amechoka ila saizi amenawili sana
@elladushimimana1551
Жыл бұрын
Asante sana mama yangu, nyimbo zako ni baraka kwangu, mungu aendeleye ku kubariki sana.
@nabi925
Жыл бұрын
Bahati bukuku una maneno mzito🤣🤣
@rebeccamukonyi3489
Жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏 nyimbo zako ni za mafunzo mungu asidi kuinua huduma yako.
@tumainitumanini8276
Жыл бұрын
Amen amen,,nami naamini kupitia huu wimbo ata nivusha kiwango kigne amen
@veronicawichoka2421
Жыл бұрын
Watu Kama hao no wengi mama songa mbele Kama mungu Alisha toa kibali hakuna wa kuzuia
@ujumbekwawaulimwengu
Жыл бұрын
Amen 🙏 amen 🙏 ubalikiwe sana Jennifer , malikia wa waimbaji nakupenda sana nyimbo zako zina faliji sana yani mimi sito kusahau wewe ndie mwimbaji wa kwanza tanzania kila mwimbaje ana fuata wewe usi simamishe kalama yako endelea kumtumikia mungu yani na kupenda sana yani sana 🙏💕💯 I love you so much Jennifer You are my sister watching from America 🇺🇸
@machiyamayunga7816
Жыл бұрын
Ī
@BONGOINMOTION
Жыл бұрын
Nakubali saana kazi za Jeniffe na wenzako wote
@annelwabi5549
Жыл бұрын
Mungu akuinue san
@annelwabi5549
Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu san
@annelwabi5549
Жыл бұрын
Nime pendA wimbaji wak
@TeresiaNyangalima-gf5yo
Жыл бұрын
Waoooo jenifaa mungu akutunze mtumishi wa mungu
@PASTEURGENEROSEKABAKA
11 ай бұрын
Aleluya
@solangerechol6881
Жыл бұрын
Emen and emen mama uzidi kuinuliwa
@agathaatuganile1993
Жыл бұрын
Dada Jen barikiwa sana, songa mbele na Yesu. Praise God who never judged us as man does.
@neema4894
Жыл бұрын
Safi sana amen amen
@user-xm5rw2xu9u
9 ай бұрын
Mungu akutie nguvu dada naitwa debora
@rizikishemsaga7937
Жыл бұрын
Nyimbo nizuri sanaaaa imenibariki nakuombea sana mm mwinjilisti Riziki wa kkkt dayosisi ya mashariki nakuombea kwa Mungu akununue zaidi ya hapo
@allianceabweshauri7437
Жыл бұрын
Mbarikiwe Sanaa 🙌🙌 nyimbo imenigusa Sanaa nawapenda toka Congo 🇨🇩🇨🇩🙏
@aderanderwa7623
3 ай бұрын
Hayo ndio mambo ya wapendwa wanafiki kweli YESU KRISTO atusaidie
@ismaelmusafiri9768
Жыл бұрын
Hakika mungu ana tenda kwa wakati, Nina penda nyimbo hii ,mungu akubariki Jennifer, ni Musafiri Uganda
@scolasimiyu171
Жыл бұрын
Kazi nzuri mummy Nikifanikiwa shukuru MUNGU pamoja nami Binadamu jameni tuache wivu wivu Barikiwa mummy kwa funzo nzuri Kutoka Kenya nikiwa saudi Arabia
@wemasangasanga757
5 ай бұрын
Umependeza dad Jenifa umevaa mavazi ya heshima kwenye nyimbo zako🎉🎉❤❤
@Jadeen1
Жыл бұрын
Amen🙏 Bwana amenivusha.🤲 Zidi kubarikiwa . Tujifunze kufurahia mafanikio ya wengine
@rizikilaunda961
Жыл бұрын
Amen 🙏🏾 amen! Nikweli binadamu tu wanafiki Mungu atuhurumiye anatulinda badolishe Mungu wa mbinguni akuinuwe zaidi Mutu mishi naakutiye nguvu tele Amen 🙏🏾!!!
@GODisable7573
Жыл бұрын
Mume wangu amefariki ghafla mwezi wa nne mwaka huu nilimtegemea kiuchumi. Video hii imenikumbusha nimeyopitia. MUNGU azidi kukuinua Mtumishi wa MUNGU 🙏🏾
@nurumasoud4170
Жыл бұрын
Polee
@ibizmediatechnology
9 ай бұрын
Nyimbo zako zinanifariji sana
@edithmushy1010
Жыл бұрын
Pole na hongera kwa kusonga mbele dada. Bb esta ni mama yako kabisa? Nampenda ktk muvi moja zaman alikua anaongea kirombo nikafurah kweli. Au sio yy.
@meed3208
Жыл бұрын
Umeimba vizur mpaka yaan hata sisemi nikisema nitaacha vingine ngoja niseme maneno machache ubarikiwe sana.
@maryjames7438
7 ай бұрын
Ubarikiwe sana mama nyimbo zako zinanibariki sana napenda sana pia uvaaji wako
@terrietrizah5175
Жыл бұрын
I just love this woman,,her voice 🥰🥰🥰🥰👌 barikiwa sana mama,nakupenda 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️
@AdrienSibomana-vg1uc
Жыл бұрын
Balikiasana mamudogo nagupendasana
@victoriamaige2862
Жыл бұрын
Mh Jennifer hongera sn kwa kuinuka sijui sn ktk hili la kupendeza mnaotuambia mnafanya vzr kutuambia but Adam na hawa wapokosea bustanini turudi huko ndiyo uasilia hawakupewa nguo walipewa ngozi ya mnyama niwaulize kwann mnavaa nguo vueni ht hizo hatukupewa na Mungu tulipewa ngozi .mnavaa viatu kwann msiangalie tu Heleni za Jennifer nywele nguo huo ni unafiki.acheni kutuvuruga km mnaenda mbinguni mnarudia nn?kila mtu Ana roho wake anayeshuhudia pamoja na roho zetu ndani yako unajiremba ili nini Nia zao huwezi kuzileta iwe Nia ya kila muamini songa mbele Jennifer .siku roho akishuhudia utaacha km ulivyoacha dhambi hawakuwepo ah msitusumbue namungu wenu wa kuangalia mwili siyo roho tena
@Happydaisy1
Жыл бұрын
😂😂😂😂ila mama angu bahati amejua kunichekesha 😂😂😂 Ila wimbo umejaa ujumbe kweli kabsa Yesu atusaidie zama hizi
@nestorygilbert6170
Жыл бұрын
Ubarikiwe mama lakn mama hayo mapambo mwilini uliyo Weka kwenye hekalu la Mungu vitakukosesha Mbingu kabsa usipo tubu na kuacha au Piga magoti muulize Mungu Adhabu ya mapambo mwilini Iko isaya3:16- mtii Mungu hakukosea kukuumba hujatobobolewa au na nywele za Malkia wa Giza Yezeberi Amen 🙏
@silviamwende7210
Жыл бұрын
Wana wa Israeli waliambiwa wajipambe wapendeze sana 🤦sikumbuki verse gani na si aty natetea hapana only God can judge yy amejipamba Alafu mwingine ana tattoo,wivu,kiburi,chuki tofauti iko wapi??
@nestorygilbert6170
Жыл бұрын
@@silviamwende7210 hapana ndugu soma isaya3:16-,mwanamke waliyejipamba Yezeberi 2wafl9:30-37, vitu vya uzuri yalikuwa mapambo kutoka 33:1-6,yere4:30-31,1petr3:3-5,1timo2:9-11 yapo mengi yanayo zuia mapambo mwilini ni kuvaa Mali za Malkia wa kuzimu Yezeberi Mungu hataki hekalu lake ulivalishe sanamu kutoka 32:1-6, unamkosoa Mungu kuwa alikukosea bible Iko wazi torati14:1 Mungu alisema Kila alicho kiumba ni chema mhubiri 3:14 HAITOSHI Mungu amewafunulia watumishi wengi ili kuwa onya watu shuhuda nyingi fatilia PROMOVER TV, shuhuda za kweli Tv, Hata suluale Kwa wana wake HAITOSHI ametaja baadhi ya waimbaji walioshidwa kufika Mbinguni sababu ya mapambo eg:Chibalonza , osinachi nk je,mnataka Mungu aseme nanyi mara ngapi ili muelewe
@silviamwende7210
Жыл бұрын
@@nestorygilbert6170 Ina maana wewe ni mchungaji?
@silviamwende7210
Жыл бұрын
@@nestorygilbert6170 we are sinners tofauti ni we sins different 😌
@faithtimamu9832
Жыл бұрын
Hongera mama jenfa mugend na mama Bahati bukuku mungu amutie nguvu katika safari yambingun
@nuruanafisoo4220
Жыл бұрын
Bibi esta we ni shida du jaman mnanifurahisha saan,, wimbo una ujumbe mzito
@marthasolomon1359
Жыл бұрын
Amen amen! Safi sana. Na wataabishaji washindwe!
@siniremeraanicet7851
Жыл бұрын
Barikiwa sana dada iyo nikweli Mungu akuongezee mafuta
@styleszamishonoyakisasa6333
Жыл бұрын
Yaani huu wimbo nmeupenda saana kila wakati nausikiliza hongera sana dada jenifa
@adelinamalema6766
Жыл бұрын
Amen my sister be blessed mumy
@miriamndunda4459
Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi 👏 kazi ya shetani lk baraka za wateule lazima xitimie
@richardyohanasanga7017
5 ай бұрын
Mungu wangu; Nifundishe kunyamaza ! Mbona huyu dada yupo kawaida sana.
@Rich-wo
4 ай бұрын
Wht do u mean pls
@samuelkimomo2336
Жыл бұрын
Yes jenipher nii hatali
@mosesdalmasamenmaygodyou5335
Жыл бұрын
Wimbo mzuri. Ubarikiwe dada
@tinajoe5487
Жыл бұрын
Pole Sana Dada Jennifer,Bibi Ester Umependeza sana.
@maryjohn5134
Жыл бұрын
Umependeza sana jaman mama Mungu akubariki sana kwa uimbaji wako mzur
@enizemwayingatv5196
Жыл бұрын
Pole sana dada jeni Hakika wewe ndoo mwimbaji pekee umeduma kwenye ndoa yako
@monicamelita8011
Жыл бұрын
Dada hongera xn . Mungu akupandishe viwango vya juu
@VioletBusaala
4 ай бұрын
Waau. Unapendasa mama Mungu akupe ufunuo mwingene
@shomariking389
Жыл бұрын
Amen kweli mungu ndiye mvushaji wetu kwa kila jambo
@user-hw9jw1sb5u
Жыл бұрын
Ameen mungu mkubwa very nice
@pendobaharia5598
Жыл бұрын
Mama mkwe kanenepa 😍😃
@NahimanaAlbinally
2 ай бұрын
Mungu aluminum ju jenifaa
@naomipieter4627
Жыл бұрын
Jaman jaman kufiwa mume kubaya nyie . kweli mnafariji kibinadamu mume anauma ujane .huu Mimi mumewangu amenitoka January mwaka Jana ila naona kama leo .. Mungu nimwema atusimamie kwakweli ujane huu umri huu.😭
@ShedieMalc-ij1hp
Жыл бұрын
Yan huyo Bibi anaesema pole ni jiran yangu anakaa kibaha mailimoj Yuko peace Hatar Ila anafurahisha😅😅😅
@jacquelineasumani7175
Жыл бұрын
Ongezeka dada Mungu akupandishe zaidi na zaidi.
@heriethinnocent3283
Жыл бұрын
Mungu akubariki sanaaaaa my lovely mama Bwana amenivusha nghambo
@CharlesNgambia
Жыл бұрын
Asante sana Dada Jenifer, wimbo mzur sana Mungu azidi kukutia nguvu,,Hao ndio Binadamu kweli,,Eeè Mungu tusaidie tuvuke ng'ambo
@user-st6ve9ce5k
Жыл бұрын
M❤mungu akutie nguvu wew ni jeshi kama Debora
@yesuyarishuye3380
Жыл бұрын
I was waiting for this song.dada Jennifer
@AgnesNyivaTV
Жыл бұрын
Iko sawa,nice Tena smart
@mamapraise9382
Жыл бұрын
Mungu aendelee kukutia nguvu na kukupa neema dadangu Jennifer unapoendelea kumtumikia Mungu.
@samwelmwandoboka7533
Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wimbo mzuri MUNGU azidi kukutumia zaidi na zaidi
Пікірлер: 335