Pito la watakatifu wamisri hawapiti kamweeeee me🔥🔥🔥
@glorykapenja9473
2 ай бұрын
Bwana ashughulike na hao watu kwa jina la Yesu
@user-br8rg4lb1d
2 ай бұрын
Umeongea vizuri sana,tusiwalaumu sana wanasiasa kanisa limeshindwa kutoa blueprint.
@RoseMayige-gn9qb
2 ай бұрын
Barikiwa Mtumishi wa Mungu.
@GunduaTV-et4nb
2 ай бұрын
Mathayo 6:33 Bali utafuteni kwanza ufalme WAKE, na haki YAKE; na hayo yote mtazidishiwa” Kaka fungu hilo haliongelei ufalme huu wa Dunia Yan kuwa na cheo na mamlaka katika siasa. Soma tena anasema bali utafuteni kwanza ufalme WAKE (ufalme wake Mungu siyo ufalme wetu Sisi) hapo mbele anasema na Haki YAKE. haki ya Mungu apa ni mepenzi yake na stahiki zake kutoka mwa mwanadamu. Muktadha wa Haya hii Unatutaka tuutafute ukuu, uweza, nguvu mamlaka. Mungu
@GabrielMwakasege-sx9wv
2 ай бұрын
Mtumishi upo vizuri
@user-jl5un4wf3u
2 ай бұрын
Yesu aliachakanisa lakiristo ila hakuacha majengo majengoyalijengwanamitume kiristo niyesumwenyewe kanisa niyesumwenyewe ataludikuchukuakanisalake atachukuawatuwake. hachukuimajengo yakuabudia.wenyekudai mwiliwakondiyo ukiristoumondaniyake.
@PastorYohana
2 ай бұрын
❤❤ iyo..be blessed
@user-ev2xf1tv3w
2 ай бұрын
Yaan mtumishi wa mungu unaongea vitu vikubwa na vyakupaswa kuzingatiwa hasa viongoz ote wa siasa na dini cha ajab comet ni chache daa inaniuma sana
@Wamisangi
2 ай бұрын
Mamlaka ya Mbinguni ikusaidie ujue kutofautisha wapi ni watumishi wa kweli na wapi ni manabii wa uongo.
@user-os3tg5bo6v
2 ай бұрын
Ufalme(utawala) umiliki nakufanyia kufanyiwa kazi,Mt 6:33,Rum 14:17,siyo maana ya ke, Rum 3:23--,Rum 13:1--; utaokoka ulitumikie kusudi la Mungu ,2kor 5:16---; si vinginevyo.Amen
@majaliwaphilipo8277
2 ай бұрын
Umeeleweka
@coolsinare8824
2 ай бұрын
ni kweli nimekuwa na shida upande huo..kuwa inakuwaje Tanzania iko hivi na huku tuna watumishi wa Mungu?????lakini sasa wanawezaje wakati mara nyingi hata huko kwenye watumishi kuna migawanyiko sana
@charleskuyeko1660
2 ай бұрын
Mtumishi hapo unakosea. Yesu alisema TAFUTENI KWWANZA UFALME WAKE, NA HAKI YAKE..........Hapo hakumaanisha tutafute ufalme wa dunia hii bali alimaanisha Ufalme wake wa milele kwa maana kwamba tuishi maisha matakatifu ili tuurithi uzima wa milele na siyo utawala wa nchi hii. Hatukatazwi kutawala duniani hapa lakini Yesu hakuja kwa ajili hiyo. Alikuja ili tuwe na uzima kisha tuwe nao tele. Huo ndiyo Ufalme wake.
@victorkisenha5933
Ай бұрын
Kwanini wanataka awepo mgombea mmoja? Kanuni inasemaji, au katba inasemaje?
@DonatusNyamizi
2 ай бұрын
Mbarikiwa mwingine kainuka
@zariadunia6328
2 ай бұрын
Halafu tunawazoom tu mlivyo bisy😅😅😅😅😅😅
@MiriamAbdallah
2 ай бұрын
Washenzi, wakazi wa KIA leo ni wakimbizi kwenye nchi yao huku yanajinadi 🚮
@user-wk3wo9hv3c
2 ай бұрын
Kwanini Gwajima!? Hata kuwa pale yeye hakupita kwa uhalali! Nadhani hata wewe mtumishi unajua ni jinsi gani uchaguzi ule ulifanyika. Yeye kama mtumishi hakustahili kukubali hiyo nafasi. HAPANA hatafaa
@MiriamAbdallah
2 ай бұрын
Hivi ndugu yangu kwenye moyo wa gwajima Kuna utumishi wa MUNGU kweli?
@rweumbizalugaimukamu4905
2 ай бұрын
Hata maji hamna
@MiriamAbdallah
2 ай бұрын
Na KIA wskazi wa kule wameshakuwa wa kimbizi
@1961nungwi
2 ай бұрын
Mama Mitano tena! 🎉❤
@MiriamAbdallah
2 ай бұрын
Na wale wakimbizi kule KIA vpi
@GabrielMwakasege-sx9wv
2 ай бұрын
Mitano minini
@zariadunia6328
2 ай бұрын
Yesu mwenyewe hakuwa mkristo sasa itakuwaje wala hakuacha kanisa na hakusali kanisani mnachekrsha😅😅😅😅😅
@mozesamizi931
2 ай бұрын
Unachekesha sana yesu angekuaje mkristo wakati yeye ndio kristo?
@GabrielMwakasege-sx9wv
2 ай бұрын
Unasema akua mkristo alikua dinigan
@mozesamizi931
2 ай бұрын
@@GabrielMwakasege-sx9wv atakueje mkristo wakati yeye ndo kristo?,hapo wala hapahitaji PhD
@user-fk4st8qj2k
2 ай бұрын
Mtumishi mwenye matatizo ya akili
@dionismutayoba3542
2 ай бұрын
Ukishindwa kumuelewa wewe ndo utakuwa na matatizo ya akili
@1961nungwi
2 ай бұрын
Mbona China, Japan, Korea hawana dini lakini wamefanikiwa?
@dianamutachuba1369
2 ай бұрын
Kiukweli kimwili wamefanikiwa Ila katika roho ni sifuri hamna mafanikio
@MiriamAbdallah
2 ай бұрын
Unajuaje wee ni MUNGU, je hao walioko na dini wanawatendea wananchi yanayostahili, leo angalia wanachofanyiwa ndugu zetu wa KIA
Пікірлер: 37