Hii n Ta'asubi ktk dini ya Allahu sub-haanaw-wataala Tuache haya mambo ndugu zangu tutakuna juta na hakuna kitakachokusaidia Kwan kuruan na maneno ya Allahu Jallah wa 'Alaa kwa nn tunacheka na hakuna mazingatio nayo uko n kumdharau Allah na kuletea kibri Na yoyote mwenye kumdharau Allah motoni ataingia Na kibri n sifa ya Allah na yyte mwenye kujifisha sifa hyo motoni ataingia Hatoiyona pepo mwenye kujivika sifa ya Kibri..! Yaani mfano mdogo baba ako anakubia fulan njoo nifanyie jambo fulan alafu we unaiga alivosema na mnacheka na kundi lako patatokea nn hapo....? Alafu rudisha picha hyo kwa Allah s.w
@azizaabdi1265
5 жыл бұрын
Masha'Allah
@zulfasuleiman2943
7 жыл бұрын
ma shaa Allah Allah akupe umr mrefu babu ytu
@chachamrimi6128
7 жыл бұрын
mulungu aiongoze kayii kondoa
@mashallahoman6355
6 жыл бұрын
Allah akujaliyekhatima njema akuruzukuhshahda
@mamujally3814
7 жыл бұрын
TAKBEEER (ALLAHU AKBAR)
@mohdhassan9943
7 жыл бұрын
tunaambiwa na Allah inaposomwa qur an tunyamze na tuisikilizee ili tupate kurehemewa sasa hawa hupiga kelele km msanii aliye juu ya stejii inalillah wainaaillah rajiunna.
@abduabdul4538
7 жыл бұрын
naam swadakta
@alhabibyahyabinkibwana9430
5 жыл бұрын
Allahu akbar
@rashidhussein7614
5 жыл бұрын
Alhamdlllh allaha amjalie mzee wangu MZEE HAMIDU mwisho mwema allahumma aaamn
@kadijahkadijah2799
7 жыл бұрын
mashallah
@aishashabani4406
7 жыл бұрын
Allah akupe kila lenye kheri shekhe wetu
@abuuhuzayl6549
6 жыл бұрын
Aisha shabani Haujitambui
@princeomar3492
7 жыл бұрын
Nyie mnaosema wanapiga kelele wanao itikia kwan hapo wanataj jina la Allahaaaa au wasema twaibu mashaallah neno gani la kihuni hapo wamesema pumbavu nyeee hamjui din ufuasi tu umewaja ndo maan Allah amesema kunawatakao jifanya waisilamu kumbe makafiri ss hapo wamekosea wapi waitikiaji bc nendeninanyi tuwaone chefuuuu
@hasnaa8868
5 жыл бұрын
ndo hp ss
@bakariathuman4239
5 жыл бұрын
Prince Omar ixhaaalaaa mungu amjalie mzee wetu mzee hamidu.
@SHAHAMATV
3 жыл бұрын
Raha sana mashaa allah
@rehemamsuya2263
4 жыл бұрын
Mashallah baba Allah akutunze,hadi raha mzee anasoma mpk nasisimka
@mrsuccess5057
4 жыл бұрын
Mzee hamiduu kutoka haubii kondoa daah
@khamisthabit7554
4 жыл бұрын
Bar
@kkddkdldk9626
7 жыл бұрын
ma sha Allah tabaraka Allah
@learnquranonline5938
7 жыл бұрын
salam. respect ye shaikh. MaSaAllah
@jidalddl8787
8 жыл бұрын
masha Allaah mulungu iongoze kondoahitu kwadini
@ibrahimumruke1702
8 жыл бұрын
ni kweri aiseee mashaallah
@sadamtembo9969
7 жыл бұрын
safisanamunguakubaliki
@fatumayusuph7154
7 жыл бұрын
mashaallah tabaraka llah
@mudiiddi4370
5 жыл бұрын
Masha Allah kondoatunajivunia
@shufaaa.4766
7 жыл бұрын
mashaalahh mashallah Allah ikhalk
@khadijahmwaku587
6 жыл бұрын
Allah akibar
@ahmedsoudathman5088
5 жыл бұрын
Maashalah tabarakalah kondoa.... Iko juu
@jamilagg8858
5 жыл бұрын
Mashalla😍
@zainaayubu3465
6 жыл бұрын
masha Allah
@cassimshearer7916
3 жыл бұрын
Genius
@mashakashabani2022
4 жыл бұрын
Mashaallah safi kondoa ziddy allyyh
@abubakarimwasumilwe7293
7 жыл бұрын
Kweli mtihan Allah atuongoze kwenye haki. Qur 'an ni maneno ya Mungu yasio nashaka. lmekua ni kaida ya wasomaji na wanaiskiriza kuto ipa heshma yake, kwanza msomaji hana Mazingatio, pia wanao iskiliza wanaipigia makelele ya ushabiki. km vile msanii wa mziki akiwa stejini kwa mayowe... Chonde Waislam dini hii Haitaji ushabiki.....
Abubakari Mwasumilwe Unachosema n kweli alafu ana fikra na kinachosomwa alafu wanafanya istizai na kauli za Allah Ukiwaambia watu wa bida'a wanalalamika mpaka kucha...?
@abuuhuzayl6549
6 жыл бұрын
Abubakari Mwasumilwe Alafu wanacheka na masikin njaa cjui maana wanatumia quruan kwa kujipatia kipato kama ivo WALLAH NAAPA KWA KAULI YA MTUME YA KWAMBA QUR'AN N HOJA JUU YAKO na yoyote mwenye kifanyia istah-zai QUR'AN jahannam ataingia...! As-habur-Rasuulullah swallallahu alayh wasallam walikuwa wanapata taabu sana na kushughulishwa mno pindi wanaposikia aya za ALLAH wanajua kuwa wanapokea majukum kutoka kwa Allah na hawana budi kuyatekeleza tofaut na sisi tunacheka na kufurah bila kujua kuwa tuna jukum zito mbele ya Allahu Azza wa Jallah...? Ewe Allah tuongoze waja wako..!
@mudyshav6867
4 жыл бұрын
Iko haja krdi ksoma
@farsancade8507
7 жыл бұрын
Masha Allah mungu ambariki.
@aishah3186
7 жыл бұрын
Mashallah
@jumatagalile4410
6 жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah
@mussaseif8626
7 жыл бұрын
Allaahum ma baarik lanaa bilquraan .
@ramahaji9342
3 жыл бұрын
Mzee hamidu
@saumuseif9189
3 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah
@ramadhanikimangare4049
7 жыл бұрын
Mashaallah
@alhabibyahyabinkibwana9430
5 жыл бұрын
Maashaallah mzee anabalaa wallah
@AminaAmina-xz9bt
3 жыл бұрын
MashaAllah akupe leny kher shekh wetu
@amirimziray7418
7 жыл бұрын
unawezaje kutokwa na machozi wakati hujui maana ya kinachosomwa
@najibfatma5476
6 жыл бұрын
Tusome ili tujue maana
@mustaphjmwambere4605
5 жыл бұрын
Sasa unatakiwa unyamaze kukaa kmy ili tupate kurehemiwa kupitia Quran ndg yng kulko hvyo
@mbwanakp9445
7 жыл бұрын
Mashaalah
@aishashabani4406
7 жыл бұрын
maa sha allah
@jafarikazikulima
6 жыл бұрын
maashallah
@tajibetese5567
4 жыл бұрын
Mware mwanza laki navine kay jamani rahaa mungu amoongoze
@ayshaommy8700
8 жыл бұрын
masha allh😍
@arafaarafa3437
7 жыл бұрын
mashaallah
@madinalast4595
7 жыл бұрын
MASJID MTORO ONLINE TV uzushi huu
@swimmermoddy2071
7 жыл бұрын
mashaAllah
@khaliliramadhani9591
5 жыл бұрын
mashallah
@fakhimwinyi4521
7 жыл бұрын
mungu yupo
@saidmohammed9010
5 жыл бұрын
maxhaa alaa
@mariamhadija7236
7 жыл бұрын
MASHALLAH
@jaafarmkatta1336
7 жыл бұрын
Zinashabikiwa hata aya zinazotakiwa kutokwa machozi!
@tezuratezura8452
5 жыл бұрын
hapo wasikizi wahuni pumbavu acheni ujingawenu kaenikimya pumbavu
@khadijahmwaku587
6 жыл бұрын
naombeni mwenye nayo 0692946408
@abuukhansai9049
4 жыл бұрын
Upuunz mtupu mnaidhihaki qur an mmche Allah ndo mana gani kuyazomea maneno ya Allah أتستهزئون بكتاب الله هداكم الله قدكفرتم بعد إيمانكم اتقوا الله يا أعوام الناس
Пікірлер: 85