SIMBA 4-1 YANGA: Hivi ndivyo Simba ilivyoichapa Yanga magoli 4-1 katika mchezo wa nusu fainali Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC) uliochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Wafungaji wa magoli ya Simba ni Gerson Fraga, Clatous Chama, Luis Miquissone na Mzamiru Yassin. Haya hapa magoli yote - Highlights 12/07/2020.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Негізгі бет Angalia Simba ilivyoitungua Yanga 4-1 nusu fainali ya ASFC
No video
Пікірлер: 396