I love u angelbernard umenifundisha mengi according to ur lifestory umenigusa,just like i was only God knows naamini nami nitapita hata katika haya..thank u luv for ur a live testimony nakupenda dada angelbernard be blessed
@rhodasamwel2485
3 жыл бұрын
Nafasi ambayo huja kaa huwezi jua gharama yake 💪,washindwe kabisa kwa jina la Yesu, niliumia sana kwa kweli niliposikia hii habari asante dada angel kwa kunipa jibu
@themgizi
3 жыл бұрын
You are blessed Angel Bernard ...Kuna kukua..Avoiding unnecessary battles..Mungu awatunze sana
@doriszephania3503
3 жыл бұрын
Watu wa Mungu, tuombeane kama alivyosema Dada Angel ! Mjue tuko Vitani! Badala ya kutabiriana mabaya, Tuombeane! Mungu akubariki Angel_ Tunafuta hayo maneno uliyonenewa ya kuachana kwa Damu ya Yesu Kristo
@itikamlagalila1911
3 жыл бұрын
Amen amen amen
@maryannemwangi168
3 жыл бұрын
Amen
@gracembise906
3 жыл бұрын
Nakupendaga sana Angel... Bwana Yesu akutunze mpenz... Mzeeeeeke pamoja mpendwa wangu...Watu wamuone Kristo ndani yenu
@adammunna2486
Жыл бұрын
😮9 7:22
@revshadrackmasanja4118
3 жыл бұрын
God bless you sister Nakupenda nimeflahia umekuwa mwazi hakika utafanikiwe zaidi na zaidi maana afichaye zambi zake hatofanikiwe ila MTU mkubwa kama wewe umekuwa mmwazi that is wonderful& Amazing.
@elicawilsonmasambwa3622
3 жыл бұрын
Asante mno Dada Angle mpk sasa sijaweka wala kupost popote picha na nmefunga ndoa now miez 3 but Roho Mtakatifu amekuwa akinizuia na sijui kwann na Mumewang amekuwa hanielewi nmekuwa nkimjibu jisikii ndani kufanya hvyo ikifika wakati nitafanya hvyo tu mpk last Sunday nlitaka nipost Roho wa Bwana alinizuia kwa kuniletea ugonjwa nmeumwa wiki nzima now sina tena nashkr mnoo 🙏na nakupenda zaidi💖💖😘
@TheWorshipIntimacy_Joshua.O.R.
4 жыл бұрын
MUNGU ATUSAMEHE Watoto wa madhabahuni... Be blessed dada Angel
@mariabeatus4209
Жыл бұрын
Mungu awatunze sana ... yupo sahihi sana anachoongea kuhusu ndoa & kukua
@julliethbenjamin6828
3 жыл бұрын
She is full of wisdom bless u angel
@neemamaganga9774
Жыл бұрын
Amina mtumishi. Mungu akubariki na familia yako. Kitu nilichojifunza ni vizuri kuweka maisha yako private
@hassanmburia8825
3 жыл бұрын
Dada Angel Mungu azidi kuku bariki from 254
@sifamado3383
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana dada uwe mushindi kazamwendo katika ndowa yako ilikuwa imeisha tushituwa dada nakupenda sana🙏🙏
@redemptaanored1696
3 жыл бұрын
Minister Angel Benard Mungu akutunze💞
@faithntukamazina8480
3 жыл бұрын
Wow! Hongera sana Angel. Mungu akubariki sana.
@gracemakali7117
4 жыл бұрын
May God protect you guys
@amitielukogo.2508
3 жыл бұрын
Washindwe kabisa kuachika kwenye ndowa siyo vizuri. Mungu akujengeye.
@jenifaamosi7454
3 жыл бұрын
Nafasi ambayo hujakaa uwezi jua garama yake i take it. Mungu awapigiganie zaid dd Angel
@itikamlagalila1911
3 жыл бұрын
In Jesus Name
@marthaochieng1340
3 жыл бұрын
Lovely lady right here
@marthaanton6967
3 жыл бұрын
Angel nakupenda sn mdg wangu
@shukranjulius5910
3 жыл бұрын
Barikiwa sana my love sister Mungu akutangulie kwenye kila kitu
@aureliamapunda6568
3 жыл бұрын
We lov you angel
@BeatriceMapinda
3 жыл бұрын
Mungu amemtengeneza binti huyu hakika
@faithjoshua4520
3 жыл бұрын
Dhahabu lazima ipite kwenye moto my dear Angel.... na sasa utashinda zaidi...
@saraphinaenos1559
3 жыл бұрын
Nimeipenda sanaa kwakweli huo ni shetani jmni
@teddymwageni1763
3 жыл бұрын
Hizo ni baraka utaishi na kudumu katika ndoa yako dada
@ruthkyando9878
3 жыл бұрын
kweli kabisa mapenzi siyo kwenye mitandao
@dorismkongwe4140
Жыл бұрын
Enjo unapepo la ukahaba jiulize mwanamke mmoja unaxss nawanaumewote wanne duuu
@wannaproducts
Жыл бұрын
Kwahiyo watu waliacha kumuombea Angel na ndoa yake maskini wakatabiri na hatimaye utabiri wao umetimia. Haleluya
@elizabethbulabo8562
3 жыл бұрын
Barikiwa Sana mumy
@nusrathmohamedy6253
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana dada Angel
@rebeccasefyuko7621
3 жыл бұрын
napenda nyimbo zako
@ziporahernest2017
3 жыл бұрын
Be blessed dada angel.. Mungu awatunze.. nakupenda aisee
@floraritha1454
3 жыл бұрын
Kweli dada Angel, Mungu akuonekanie katika ndoa yako. Na akuinue zaidi katika utumishi wako. Naomba nisaidie namba ya dada Angel ninatamani kuongea. nae
@alexlutego7040
3 жыл бұрын
Sikujua huyu dada ni mnyenyekevu hivyo Mungu ambariki
@aggysameer1322
3 жыл бұрын
Ameen nakupenda sana
@wannaproducts
Жыл бұрын
Kwahiyo nani shetani? Nani ameshindwa? Mungu atusaidie kwakweli.
@frankjuliethcyprian3115
3 жыл бұрын
Nimekuelewa zaidi Dada angel naomba nipigie mstar kuwa jamani watu wa Mungu unaposikia jambo baya kuhusu mtu yeyote awe mtumishi au laa OMBA KWA MUNGU SI KUTANGAZA HATA USIVYOKUWA NA UHAKIKA NAVYO,NA UHAKIKA UTAUPATA WAPI? KWA ROHO MTAKATIFU NDIPO UTAPATA.
@evankya1955
Жыл бұрын
two year later....
@jandpelectronics363
3 жыл бұрын
NAKUELEWA SANA ANGEL SASA, HONGERA SANA
@GladysMakene
Жыл бұрын
Sasa mbona kaolewa tenaaaa na hizo ushidweeeeee
@nicholausmwakalobo484
4 жыл бұрын
mi naelewa dada Angel
@pstjjrwiza2109
3 жыл бұрын
BWANA YESU awatunze na kufunika ndoa yenu mtumishi wa MUNGU Angel.huyo ni adui tuuu hana lolote.
@maryannemwangi168
3 жыл бұрын
Lazima upitie Kwa Moto ukiwamaarufu umeleza waziwazi nakuelewa vizuri wanandoa wote naelewa vizuri silazimi muwe wote mtandaoni mamayangu yuko Facebook na Baba yangu hayuko wanandoa pendanani sirini na mtandaoni kunawatu ambao hawapendanani
@mariej6962
2 жыл бұрын
Mbona havai pete tena?
@maryannemwangi168
3 жыл бұрын
Tukosiku za mwisho tuombeani kunaushetani kweli uwe uko ndoa au uko ndoa mdogo mkubwa mtoto Mzee badala ya kumtabiria mabaya
@priscardaniel2740
3 жыл бұрын
Unajitambua kweli watu tunakua
@emmylema5911
Жыл бұрын
Leo anasemaje?
@estherndosi8100
Жыл бұрын
Yaani nimejikuta naangalia tena baada ya kuona clouds...
@alexandernyambo7739
9 ай бұрын
SASA HAPA SHETANI NI NANI JAMAANI?? TAYARI UMESHAFUNGA NDOA HUKO MAREKANI... NA SASA SIO SIRI TENA, ANGEL HUJAOKOKA BHANA, USITAKE KUWA MWONGO
@teddymwageni1763
3 жыл бұрын
Tuombeane kheri jamani, tusikate tamaaa katika maisha maana mapito ni mengi
@orestakomba3833
3 жыл бұрын
Hakika dada mambo ya kuposti nimagumu sana hongera dada kwa kujitambua dad
@lightnesbenedict3983
3 жыл бұрын
Bwana yesa akubariki... Nataman kupata mafundisho ya dada Angle Siko kwenye mitandao ya kijamii kama inst wala fecbook sijui nitapataje mafundisho yako my ssta
@maryannemwangi168
3 жыл бұрын
Natukuwa uwe single au married mdogo mkubwa Mzee au kijani sote tunakuwa
@misstrinity6174
3 жыл бұрын
We kaka usitukere plzz..yes yes yeah yeah ndo unajifunza au unaboa kwa kweli khaaaa..muache ajielezee 😏
@magrethjohn8576
3 жыл бұрын
Angel nakupenda lakini kwani unaongeaje??
@gracembise906
3 жыл бұрын
Yupo Sweden 😂😂😂😂
@elzabethcharles7969
3 жыл бұрын
Wamaongeaga kikenya hahaaaaa
@emmiesulee4620
3 жыл бұрын
Huwa Yuko ivo jmn
@lightnesbenedict3983
3 жыл бұрын
Nataman kupata mafundisho yako my sister... Bt siko kwa mitandao ya kijamii, kama inst na fecbook, sijui nitapataje hayo mafundisho
@abednegopaul2623
3 жыл бұрын
Yapo hapa KZitem mbona?? We andika jina lake hapa KZitem utaona mafundisho lukuki yenye kuinua viwango vya imani.
Пікірлер: 69