Mungu aliwaumba wanadamu wakiwa wa kipekee. Miongoni mwa viumbe vingine vyote, hao tu ndio waliumbwa kwa mfano wa wake. Wako na uwezo wa kumjua na kunena na Muumba wao. Ili kuwapa vyakula, Mungu alipanda bustani upande wa mashariki wa Edeni. Kila mti unaotamanika kwa macho na kuliwa ulikuwa katika bustani lile. Katikati Edeni, palikuwa na mti miwili isiyo ya kawaida. Wa kwanza ulikuwa mti wa uzima, na wapili mti wa ujuzi wa wema na mabaya . Bwana Mungu akamwagiza Adamu kula matunda ya kila mti walakini mti wa ujuzi wa wema na mabaya hakupaswa kula matunda yake.
Негізгі бет Anguko la Wanadamu katika Dhambi- Mwanzo 1-3: Genesis 1-3
Пікірлер