Any one in 2024,in love with this song from kingdom of Africa 🇰🇪
@ombaraopiyo8443
24 күн бұрын
At only 5 yrs I was a total orphan, I have never healed... Nikiskia watu wanasema mambo ya mama nalia tu 😭😭😭😭😭😭😭
@dolphineogonyo5209
19 күн бұрын
Hugs🫂
@winstonlamar3687
13 күн бұрын
Pole sana bro
@salomemuimi5156
11 күн бұрын
Hugs 🫂🫂
@nkunjaSilas-o7v
11 күн бұрын
Pole bro
@nkunjaSilas-o7v
11 күн бұрын
Haki I love my mum is everything to me
@lizziegallizzie-lt3tn
2 ай бұрын
Mama haeshimiwe kabisa hata kama ni Gen-z ,apewe heshima yake
@AgnesNthambi-j9f
5 ай бұрын
Mimi kama mkenya nyimbo zako zanibariki sanaaaaa mungu azidi kukutumia hivyo ukifahamu kuna taji mwishowe
@فريدهده
2 жыл бұрын
Ouuuuuuhhh 💃💃💃👩❤️💋👩🤰🤰🤰🌹 uuuuuwiiiii wololo mama 💃💃💃💃💃💃👏🏻👏🏻👏🏻 yayeeeee💃💃💃💃💃 i wish mugeelewa vile huwa nafeel nikisikiza huu wimbo yawa aliabiwa mama sukuma nikazaliwa 🤰🤰🤰🌹🌹🌹🌹💃💃💃💃💃🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 may God blles you bro for this song 💃💃💃💃💃💃👩❤️💋👩👩❤️💋👩👩❤️💋👩
@winfrednafamba3041
3 жыл бұрын
Kweli mama nikipenzi cha mungu,kama unampenda mama plz likes zenu
@agnesjeptum7020
3 ай бұрын
Aminaah Aminaah Aminaah 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@consolatemunyao5566
4 жыл бұрын
Jamani mama ni waheshima hata kama kiwete,wagapi wananiunga mko,nionye na likes😚😚😚
@marymichael3980
4 жыл бұрын
Ke sa
@tesskalekye3749
3 жыл бұрын
I just like the songs. Sure you are the anoint..
@silviamwende4131
3 жыл бұрын
Mwanamke aheshimiwe ata kama ni mtoto mdogo kama unakubali gonga like
@sharonnanjala6968
3 жыл бұрын
Kabisa eshima ata kwa mtoto mdogo bora awe wa kike...shukran
@VictoriaBeautysalon-tm1jw
Жыл бұрын
Nakupenda mama yangu❤❤❤❤❤
@adnesadnes8268
Жыл бұрын
❤
@melvinachieng8212
Жыл бұрын
@@sharonnanjala6968❤❤. C
@kipkuruidismas5446
Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤
@tedyjuma1988
2 жыл бұрын
Nikweli hapo umetisha hakuna kama mama😋😋😍😍👸👸👸
@babug4062
2 жыл бұрын
Aliyenizaaa mimi ni mama,♥️♥️♥️ Nampenda sana mamangu ♥️
@pelusiemanueli6926
5 жыл бұрын
Mama ni mama tu. Jamani nyimbo nzuli San km. Umeikubari gonga like twende saw
@christinanguna9589
5 жыл бұрын
Mungu akubarki kijana.mama ni mama tu hana mfano.
@pelusiemanueli6926
5 жыл бұрын
@@christinanguna9589 umeona ee
@ismailbaruan1962
5 жыл бұрын
Kweli hapa umetisha hatariiii
@felisterandrew1419
4 жыл бұрын
Wimbo huu unanibariki saana
@gerrardmansoory824
4 жыл бұрын
Nakupenda sana huo wimbo
@Starlighttz538
5 жыл бұрын
Mama mama mama mama ni kipenzi cha Mungu,hakika video nzur saana,yani hii itapigwa kila sehemu,kama hii haitavuma bas uhame nch Annoint,Kama una kubaliana na Mimi gonga like
@شيخهالزويد-ط8ز
5 жыл бұрын
Ee kweli kabisa
@mlokolekaokoka8962
5 жыл бұрын
Lakini naona wameikubar jamani inaenda tuombee Mungu hii ipate view ambao wata mtia nguvu saana ANNOINT .
@johallutta734
5 жыл бұрын
Jaman mamangu mungu akulaze mahari pema kipenzi changu ubarikiwe pia hesau
@shabanihassani4776
5 жыл бұрын
Malaya
@shabanihassani4776
5 жыл бұрын
malaya
@zaitunikassim6959
3 жыл бұрын
Ii nyimbo ni nzuri jaman 😭😭😭ubarikiwe kaka 🙏🙏🙏
@NjikuModesta
6 ай бұрын
Nimerudi kuisikiliza hii nyimbo 2024 🙏🙏
@AishaZediy-x8l
2 ай бұрын
Ukisikiliza nyimbo hiyo unapata faraja,🙏🙏
@NjikuModesta
2 ай бұрын
@@AishaZediy-x8l kabisa yaan
@Lydia-d8k
7 ай бұрын
I love to be a single mum😢😢😊but one day mungu atanionekania 😢
@brendanekesa571
2 жыл бұрын
Annoit amani God bless you so much,ninapo sikia wimbo huu nakunbuka mbali sana
@roseauma5709
3 жыл бұрын
Wangapi tuko hapa kukumbuka siku ya leo?. Happy women's day😍😍❤❤🔥🔥🔥
@jescajoseph8662
3 жыл бұрын
Jesca Joseph
@lillianwanjala9063
3 жыл бұрын
Hi wimbo unamafunzo
@amosynyarosa5077
3 жыл бұрын
Heko mama
@brendarotich4122
7 ай бұрын
Today again
@SmilingAutoRace-gf5nj
6 ай бұрын
Mama ni mama Tu ni ukweli wimbo nzuri like
@estherchebet5487
3 жыл бұрын
Nakupenda sanaaa mum 😢😢😢😢💞💞💞💞💞💯🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙇🙇
@JackieMussa
28 күн бұрын
Hua hua namis sana mama angu nikisikiliza huu wimbo
@lawrenciamsilu7930
5 жыл бұрын
Ubarikiwe nami kama mama nimefurahi nilisukuma 6 ahsante Mungu wangu
@jimsonmissana7996
4 жыл бұрын
Ongela
@fauziarashid1675
4 жыл бұрын
Wow aliambiwa mama sukuma akazaliwa kanumba,diamond ,Kenyatta ,Obama nd my mom alisukuma nikazaliwa 😘💖am so proud of u my mom .....am just in love wth tjoa song ......its so amazing wow 😍😍😍😍💜💕💚💚
@mlokolekaokoka8962
3 жыл бұрын
Yaani mama ni mamaa
@mildredwekesa3357
3 жыл бұрын
Kwa ma mum,nakupa huu ujumbe uliobora kwangu.barikiwa bro
@MOSEMOGOI-qp1yd
Жыл бұрын
Mama aheshimiwe ata hawe na kiungo namna Gani.💙💕💙💕 Be blessed all mothers wherever they all.Tunawapenda Mmwaaaaaaahhhh💟💟✅💟💟✅🙏🙏💟
@Lydia-d8k
7 ай бұрын
❤
@sheilakorir7377
6 ай бұрын
G.
@Janeannehawour
4 ай бұрын
Woooow,wamama hoyeeeeee❤❤❤❤🫄🫄🫄🤱💃💃💃💃ubarikiwe sana kaka hii Wimbo n tamu muno
@gloryasak8277
5 жыл бұрын
Hongera sana brother Mungu azidi kusimamia kipaji chako
@mlokolekaokoka8962
3 жыл бұрын
Mambo ni firee
@neemajapheth8086
5 жыл бұрын
Tutawakumbuka wa mama wa marafiki zetu, mashangazi zetu. Mungu awapumzishe kwaamani🙏🙏🙏
@mlokolekaokoka8962
5 жыл бұрын
Mungu awe faraja kabisa jamani jitie nguvu Mungu yupo kwaajili yako
@mlokolekaokoka8962
3 жыл бұрын
Kabisaa emenena Emeen
@faustineatieno5826
11 ай бұрын
From TikTok😳🤌kumbe ulitolewa kitambo jamani, I love this song🥰
@rhodachangala6670
2 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏🎧🎤🎤 ni zaidi ya kipaji unarikiwe sana
@apostlekatsandemusicofficial
Жыл бұрын
🏇🏇🏇🏇🤸🤸🤸🕺🕺🕺 you deserve sir international song tempest cleric
@mlokolekaokoka8962
5 жыл бұрын
Jamani jamani jamani nimechelewa saaana Leo ,,Hapa Annoint umejibu maombi ya mashabiki wako kutuletea video nzuri kabisa yenye viwango,kama nawewe umefurah kuona video kali na audio Kali gonga like
@aminasaleh7875
5 жыл бұрын
Kwa kweli imenifurahisha na kuniliza
@faithfaith4782
5 жыл бұрын
Congratulations annoint God bless you 🙏💖👊👋👍💞👌 penzi nzuri lipo kwa mama mmmmmmmmcha 😘 mummy's 😂💖
@stanleykigomboa2260
5 жыл бұрын
Asante sana kwa video hii nzuri.
@dennismokua86
5 жыл бұрын
So so sweet
@atufigwegeislaeli8526
4 жыл бұрын
Jamani kaka mbon nyimbo nzulisan dah ubalikiwe popote ulipo
@joycekasakisya7755
5 жыл бұрын
Niliambiwa Joyce sukuma,nikamzaa Witness! Ahsante Mungu kwa kunipa heshima ya kuitwa Mama. Wimbo mzuri sn, ubarikiwe mtumishi wa Mungu 🙏🙏
@jesicaogombe6819
3 жыл бұрын
Hatamimi by the grace of God najua ntaambiwa nisukume
@timotheosumba1427
3 жыл бұрын
00
@elenpaoulo3401
3 жыл бұрын
Woooooow jmn hongera san me py ntaman kuitwa mama lakn mungu bhd hajaruhusu
@SheilaIsichi-o2u
Жыл бұрын
Napenda nyimbo zako sana
@PrinceNamegabe
9 күн бұрын
Napenda nyimbo zako Sana zina nibariki sana Mungu aku zidishiye kipaji
@hildafelix2707
2 жыл бұрын
Ahxant kwa Wimbo mzur hakika mam ndo kila kitu dunian nakupenda xan mama angu❤❤❤
@mlokolekaokoka8962
4 жыл бұрын
Nasubiri kwa ham lak 5 hebu naomba kwa heshima ya mama jamani wimbo ufike levo Ambayo sio kawaida ili wajue mama ni no 1 duniani,,,
@morgansiwanzi1791
3 жыл бұрын
I will continue watching this song until the end of my life mama sukuma wimbo mzuri sana barikiwa namungu pa wimbo huu
@morgansiwanzi1791
3 жыл бұрын
Namimi
@ErickOmondi-ti5zn
5 ай бұрын
Ni Wimbo wenye kuhuzunika
@MitchelleNaliaka
5 ай бұрын
Ilove my mumu ❤
@jeremiabarani5626
5 жыл бұрын
Tamuuu sana aliambiwa mama sukuma akazaliwa Annoit
@patrickmbarugwa536
5 жыл бұрын
Wimbo mzuri
@innocentdaniel5573
4 жыл бұрын
Gud xong
@jacklinebonge1773
Жыл бұрын
Napenda sana hakuna kama mama yaani sisndio tuko
@rostarkilembe2130
2 жыл бұрын
ongera sana mkaka wewe mungu akuzidishie kipaji
@mathewandililemwandenuka4692
5 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana, Endelea Kubarikiwa Mtumishi wa Mungu🙏🏾🙏🏾
@balakagidion1286
4 жыл бұрын
Annoint ongoza Taifa liabadilika Mungu kakupa kitu
@chitalusoke7655
3 жыл бұрын
Asante umekgusa et
@amosynyarosa5077
3 жыл бұрын
Tuombee huko uliko
@gloriarobert6582
4 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana, wa mama wote barikiweni na ujumbe huu.
@lukaslaizer3052
2 жыл бұрын
Kbsaaa my dear shikamooon
@emdjopngo8fcwhvoiveiliemaz617
5 жыл бұрын
Ayiii my mom ameniacha mdogo sasa ivi na mim naitwa mama, nimejikuta naliya, RIP mom ntazidi kukuombeya kwa mungu
@mlokolekaokoka8962
5 жыл бұрын
Mama jamani ni kila kitu tujipe moyo jamani Mungu yupo,,Na wanawake wote tunao waona hao ni mama zetu,,
@EstherJoseph-yl8px
3 ай бұрын
I feel for you 😢... husife moyo wewe ni shujaa 🎉🎉❤
@Banjoro254
2 жыл бұрын
Safi👍👍
@GhatiMakuri-kp5vw
4 ай бұрын
Hongera sana bro ujumbe mzito❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🌹🌹🌹🌹🌹
@rusimagese3612
3 жыл бұрын
Hongera sana kaka angu kwa ujumbe mzuri km huu kuielimisha jamiii yetu Amina 🙏🙏🙏🙏🙏
@christineokunjo6243
5 жыл бұрын
Huu wimbo nimeusikiza mara kadhaa, unaleta raha kidogo huzuni yani kazi safi kwa kweli
@mlokolekaokoka8962
3 жыл бұрын
Yaniii wee hauchoshi
@abdulfatahjuma5355
5 жыл бұрын
safi sana ,mimi mislamu lakin muungu akuongoze baba
@dikixonideonidaxi9804
4 жыл бұрын
Nani kama mama
@mlokolekaokoka8962
3 жыл бұрын
Dua yako Mungu ameiskia
@ntilo84
6 ай бұрын
Aksante Sana ndungu kwa nyimbo.ubalikiwe sana
@sofiamaligana2516
2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mungu ainue kipaji chako ufikie ndoto zako
@lizlizzie1141
2 жыл бұрын
Never knew about this song until I heard my 3year old son sing 'hakuna mrembo km mama😛' I am blessed 🙏
@barotvonlineofficialramaba4334
5 жыл бұрын
Kazi nzuri sana mtumishi wa mungu mungu akuongoze sana uzidi kutuhudumia vyema tunabarikiwa sana sana barikiwa nawe pia
@mlokolekaokoka8962
3 жыл бұрын
Yani wimbo mtam mpka leoo
@fatumadjumbe2551
5 жыл бұрын
Annoint una endelea kugusa moyo wangu yaani ume nibariki baraka isio kua na kifani. Barikiwa na bwana mtumishi
@nelsonmajura3964
4 жыл бұрын
Kweli jamaa yangu
@mlokolekaokoka8962
3 жыл бұрын
Haunishindi Mimi
@mapenzimbelechi3037
3 жыл бұрын
45tghhh b bbh u
@PaskalinaDaniel-dx8rp
3 ай бұрын
Nakupenda sana mama na nitazid kukuombea Kwa mungu akupe maisha marefu. Japo Bado sijaitw mama wimbo umenivutia sana na namwomba mungu na me niitwe mama
@lawmaina78
2 жыл бұрын
Dah asante, namkumbuka sana marehemu mama yangu, kwa kweli yaani tu
Mama ni mtu wa maana katika maisha yangu. Nakuheshimu sana mama🙏
@MerryLoko
11 ай бұрын
Mama ni mtu muhimu sana katika maisha yangu I love my mumy💚💚💚💚💚💚🧡💛
@maman8401
4 жыл бұрын
Nimelia mimi jamani nasikia uchungu nimemzika Mama yangu kipenzi Trh 27 /3/2020 ntamkumbuka kwenye Maeneo mengi Mama yangu.
@rozijumanne1213
4 жыл бұрын
pole sana Mungu akutie nguvu
@subirambao5762
4 жыл бұрын
Pole sana mpendwa
@bettymlaki9669
4 жыл бұрын
Pole Mungu akuponye moyo, uwe mama kama yeye ili umuenzi
@tubunileopmsyaliha3502
4 жыл бұрын
Vr sor
@aminamhanga732
4 жыл бұрын
Pole sn
@michaelmwarimo552
3 жыл бұрын
Amani Hii uliweza, all the way from Kenya, Mwahali Mwarimo. Congratulations Broo.
@sherylotieno-o4d
Жыл бұрын
Kweli kabisa hakuna kama mama nakupenda sana maaam ❤❤❤❤❤❤
@ChikondiHasan-pg5pm
5 ай бұрын
Mwanamke ahegimwe ATA kaka in mtoto mdogo kama unakima❤❤❤❤
@ElissaButoyi
7 ай бұрын
Mungu akubariki sana🙏🙏👍👍❤️
@godfreybenedictor9958
4 жыл бұрын
Huu wimbo naupenda sana, hakika upendo wa mama kwa mtoto haupimiki 💪💪💪
@GraceMachi-fn3ci
7 ай бұрын
Wow inspiration words ❤❤ happy international women's day to all women's
@theresianakatare1889
2 жыл бұрын
Napenda sana huu wimbo balikiwa sana
@margarethpolepole7438
3 жыл бұрын
Kwa kweli hakuna kama mama mwimbo wako mzuri sana
@mercycriss2284
5 жыл бұрын
Mama apewe heshima yake 😘😘😘😘strong one hadi machozi inajitoa tu ukisikiza 😢😢😢
@mlokolekaokoka8962
3 жыл бұрын
Kabisa
@atuganilechapakazi1042
5 жыл бұрын
Wimbo mzuri huu,Mungu akuinue zaidi
@lucysamsonmoza3964
5 жыл бұрын
Wimbo umenibariki mnoo mama nisamehe pale ninapokosea
@florakawau5615
5 жыл бұрын
Amen
@niceerasto3102
3 жыл бұрын
Mungu anatosha
@jamilairakoze6600
3 жыл бұрын
Pole sana dear
@rosekwelichamtumavidohho8942
3 жыл бұрын
Asante Sana kaka mungu akubari mwimbo mzuri Sana😘😍🙏
@pinchymadolah537
3 жыл бұрын
Mamy long life ilove you nisamehe mahali nilikukoseA nimehibiriwa
@JustinSafari-yh9hp
3 ай бұрын
Mama ulazwe mahali pema peponi,umefanya kazi kubwa. Nitakusifia daima
@marylucas6439
3 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana hongera kaka
@annslifestyle
5 жыл бұрын
What a beautiful song nimesikiriza huu wimbo since Yesterday mama no one like u ..and all mothers in the world 😍😍😍😍😍😍😍💋💋💋💋💋💋💋💋 More love from Kenya 🇰🇪🌹
@maureenundisa6537
5 жыл бұрын
Very nice one
@karuhangastephen9950
4 жыл бұрын
Nice
@annettemugendi2121
4 жыл бұрын
Good song
@Lamo254
4 жыл бұрын
Indeed waaa
@yusuphvideoplayermasatu3782
4 жыл бұрын
Sweet song
@ambakisyemwakinunu2002
5 жыл бұрын
Kazi nzuri sana barikiwa Mtumishi wa mungu
@mlokolekaokoka8962
3 жыл бұрын
Wewe
@chantalmulasi5663
5 жыл бұрын
Kwasiku nina sikiliza wimbo huo mara 100 Fantastic song 😍😍😍😍😍
@mlokolekaokoka8962
3 жыл бұрын
Hauchoshi
@mackkikoti8307
2 жыл бұрын
Tu pamoja sana nimkupenda bule,kuna mafunzo mengi
@HellenEliaickor-ed5lg
Жыл бұрын
I love you Mamy so much because of you today I am here
@bahatibahaty6549
5 жыл бұрын
Just landed here after kuiona Kwa status ya mtu
@mlokolekaokoka8962
3 жыл бұрын
Hahahahahahahahaha
@ismaelmastaki7769
5 жыл бұрын
From South Africa 🇿🇦🇿🇦🇿🇦 #MAMA SUKUMA# Annoint ubararikiwe namungu akuongezeye baraka na kipaji chako ,Amen amen amen
@mlokolekaokoka8962
5 жыл бұрын
MUNGU AKUZE KIPAJI CHAKE KIKUBWA SANAA SANA..
@mlokolekaokoka8962
5 жыл бұрын
Mama sukumaaa weee sio mchezo Leba ni motoo
@gideonkasereka1957
2 жыл бұрын
So coool....🌹i love this song
@samwelmachaka936
3 жыл бұрын
Wimbo unaujumbe sana hongera sana
@christinemalinaojustine9134
2 жыл бұрын
Mungu akuongezeye nguvu zaidi Kaka, umenidariki sana, alfu tuzidikuyaichi île ambayo tunaimba amen
@everlynecheredi4062
5 жыл бұрын
Aliambiwa mama sukuma mimi eva nikazaliwa! Love u mama
@mlokolekaokoka8962
3 жыл бұрын
Tuko pamoja twapenda mama zetu
@mercelinenasimiyu4700
2 жыл бұрын
Congratulations 🎊 bro hakuna mtu kama mama❤❤❤ mama ni mama to so annoint essau amani jikaze sana kumutumikia mumgu aliye kupa sauti nzuri ya kuimba.Tumeona mabadiliko kwa vijana waliyo potoshwa na dunia wamerejea kwa bwana sasa hiyo ni jambo kubwa sana annoint mutumishi wa mungu mm wako mercy from uae 🇦🇪
@irenereginald1006
5 жыл бұрын
Hakika wimbo umenibariki sana hakuna mrembo kama mama waoooo.....!!! Love u
@winfridajohn9626
4 жыл бұрын
Kila nikiutazama wimbo huuu nalia kama chinz pumzk mama baba kwa A man wazazi wangu Nilitaman nione japo sula zenu ila sikupahatika mama mama mama mama mama mama mama mama mama pumzk kwa aman mpenz wangu Mimi namjukuu wako tunakuombea mama mama
@hilarytowett6738
2 жыл бұрын
Asante sana shikilia .nyimbo zako zote ziko na mafundisho bro
@Isharamwasi
5 ай бұрын
❤❤❤❤ maman vidéo nzuri sana maman mungu akulinde
@elijahfaith5534
5 жыл бұрын
Ubarikiwe kaka Annoint imetulia sana🔥🔥🔥
@nakshibintimrembo8430
3 жыл бұрын
Huu ni ukweli mtupu wa akina mama duniani.Wimbo huu ni baraka sana.Nashukuru walijikaza na wakatuzaa!
@pamascoppy4324
3 жыл бұрын
Hii nyimbo Kila cku mupyaaa
@lydiamaroa954
4 жыл бұрын
I watch this song and cry. I can't stop crying!
@jannetnadiah7783
3 жыл бұрын
Same here😭😭😭
@sarahnshimirimana2239
3 жыл бұрын
Thats so Nice
@dyphinemomanyi1501
3 жыл бұрын
Why am crying this much jamani when the song is so sweet!!😭😭
@martinnaman5803
3 жыл бұрын
ó
@GladysAtieno-jl8sj
11 ай бұрын
God bless you brother Kwa iyo wimbo imeniguza apewe heshima💓💓💓💓💓💕💕💕🎉🎉🎉🙏🙏
@brendabosire9515
10 ай бұрын
Mama feel happy wherever you are nakutambua you are my shujaaaa 👏👏👏👏
Пікірлер: 2,3 М.