Roho ya kulola inakaa juu yake jamani injili hii lzm kuokoka Mungu akupe maisha marefu Baba Amina ubarikiwe
@RashidLukindo-yl2yl
6 ай бұрын
NY, Mungu awabariki Kwa kuturushia matangazo! Lakini wakati mwingine mnarusha vibaya, picha hazionekani, unakuta unafuatilia mahubir ambayo yalipita unakua kipande kizima hakionyeshi! TAFADHALI tuonyesheni vizur, tunamfuatilia sana huyu baba! Lakin sio wewe tu , hata MAGEMBE TV, nao wanatatizo ya mitambo, ushauri wangu jitahidini kuturushia vizur! Mungu awatie nguvu! Amina
@SamweliMaliyamungu
11 күн бұрын
Hakika MUNg
@geofreyngolua9553
6 ай бұрын
Aliluyaaa Bwana yesu Asifiwe sana Man of God
@PotamiaSoka
5 ай бұрын
Asante Sana mtumishi wa Mungu Mambo yote yatapita lkn neno litasimama pale pale
@LameckGrey
Ай бұрын
Ubarikiwe pastor magembe
@rahabnkya8276
6 ай бұрын
Mzee magembe nimefurahi kukusikia leo. Mzee lazaro nk miaka ya miamba. Naipenda INJILI ya hawa watu. AMEEN
@MaryLyimo-y9z
6 ай бұрын
Ubarikiwe baba mtumishi wa Mungu
@smartmwakipesile3842
6 ай бұрын
Amina baba Mungu akubariki sana,Ee,Mungu unikumbuke na mimi nihubiri injili ya kweli na moto, mpaka mwisho, Mungu unisaidie, Mtumishi uishi miaka mingi baba nasi tuendelee kuiskia hekima ya Mungu ndani yako
@PeterMatonange
6 ай бұрын
Tupo pamoja mchungaji..God bless you more... Niombee na mimi niweze kuitikisa dunia katika kizazi changu,
@DanielMwasenga-bx7bd
6 ай бұрын
Hongera sana baba naipenda sana injili hii
@jasperjackson8871
6 ай бұрын
Sema baba mchungaji na nimeipenda injilii iliyojaaa jeuri ya kiungu kwa kiwango cha juu sanaaa. Injili n motooooo❤️🔥🔥🔥🔥
@SheyoZumba
6 ай бұрын
Hakika namuona mungu barikiwa mchungaji mangembe
@godwinkaunda9516
6 ай бұрын
Bravo man of God my the Almighty God Bless you
@elishamumba4304
6 ай бұрын
Hii injili sijaisikia mda mrefu sana injili ya kweli Mungu akubariki baba
@rahelhango9236
6 ай бұрын
Chuma Cha BWANA YESU 🔥🔥🔥
@JastFinancial02
20 күн бұрын
Balikiwa sana mtumishi wa Bwana, Mungu aongeze viwango zaidi na zaidi na mitambo aiboreshe
@user-godfreyRobert
6 ай бұрын
Ubarikiwe baba🎉🎉
@marcosearnest3617
4 ай бұрын
Asante Sana ijili mwoto niko Kenya 🇰🇪 nme barikiwa Sana
@rahabnkya8276
6 ай бұрын
Àaaamen, maliza Baba wachawi wote jiji hili. BARIKIWA MTUMISHI wa Mungu Mchj DR. Moses magembe
@elinaikerichardkisanga9193
5 ай бұрын
Asante Yesu kwa Roho ya ujasiri aliyo mvuvia mtumishi Mzee Magembe❤ 1:10:43
@JohnMalengua-jh6ps
6 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi kwa injili isiyo gushiwa
@EllieSammy-tf4gx
6 ай бұрын
Yesu akutie nguvu mtumishi wa Mungu aliye hai. Endelea kusema kweli wamebakia wachache wasemao kweli. God bless you.
@janemuthui6130
6 ай бұрын
I give God all the glory Toboa Yote mtumishi Mungu wa kweli anjlikane Na aheshimiwe. ❤ Your ministering, be blessed in Jesus name
@JosephSarone
Ай бұрын
Hongera baba
@jasonplayz4394
Ай бұрын
Niko USA 🇺🇸 lakini kwahejili hii inanikubusha uwepo wazamani kweli asate saba baba kwahuwamusho huuu❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@AminielMbise-cl3fq
6 ай бұрын
Hii ndio injili ya kweli. Mungu bado ana watu wake kila eneo we have to worship God in spirit and truth. Not in any other way. God bless you brother Moses Magembe An glory unti God
@KanankiraNassary-iv3uw
3 ай бұрын
Naomba ROHO yako mara dufu niliota unaniombea napokea upako wa MUNGU kwa JINA la YESU ameeeeen
@RajiTarie-d5c
16 күн бұрын
Hii Kali sana,,, balikiwa sana
@BeatriceSangito-gi1ld
6 ай бұрын
Hakika hiki ni chombo cha Yesu kama alivyo sema kwenye Ezekiel amejisazia hakika hiki ni chuma cha Yesu
@ChapChap-z2s
2 ай бұрын
Barikiwa Sanaa Baba , klb songwe pia
@PrivaAgust
6 ай бұрын
Uyu Mnjilist ni akiba ya Mungu kwa kizazi hiki.❤.
@EbeliNjeje-qw3qf
5 ай бұрын
Barikiwa baba Tunakukumbuka kyela
@Celestineshikuku-i4x
6 ай бұрын
This is my spiritual father indeed. Wonderful preaching
@eliphaznkurunziza7405
6 ай бұрын
Mungu nakushukuru sana maana umefanya nikutane na chombo chako Baba askofu Magembe Burundi mimi na familia yangu tunakupenda Endelea baba
@Nazareth8119
6 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi kwa injili yako ya kweli.
@SAIMONMAGULU
6 ай бұрын
Mungu akubariki baba unaisema kweli ya mungu ilivyo we love you
@jimmymwashambwa7364
3 ай бұрын
Na Mimi nimepokea baraka tosha za Yesu Toka mkutano wa Arusha amina
@cesariamuacigarro1796
2 күн бұрын
Louvado seja Deus, pela vida do pastor Magembe
@ProsperMbena
5 ай бұрын
Kwanza ninapopata chakula Cha Roho kupitia Bomba Safi Magembe napata afya sana
Waoooooh i like this kind of Preaching! God bless you Man of God
@alexkamba5264
6 ай бұрын
Asante kutuachia wazee kama hwa
@eunicelukanda1828
6 ай бұрын
Ndiyo, Yesu kristo yu hai milele
@selinaKome
6 ай бұрын
Baba mungu akubariki naazidikukutumia
@ev.samsonrweongachannel658
5 ай бұрын
Upoko wa Mungu ukawe juu yake na Mungu ampe afya njema azidikuitenda kazi yake watu waokolewe
@NEEMAJames-ns4ds
6 ай бұрын
BARIKIWA mtumishi. TANGA PIA TUNAHITAJI INJILI HIYO
@ev.samsonrweongachannel658
5 ай бұрын
Mzee yupo sawa kabisa
@jeremialaizer9978
5 ай бұрын
Injili hii n🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@bensonmoris463
6 ай бұрын
nimekubali
@barakasikuomba7920
6 ай бұрын
Great servant of God
@EliaSaimon
6 ай бұрын
Amina mtumishi wa mungu nimebarikiwa sana
@ChedyMlwale-kx9ms
5 ай бұрын
Barikiwa mch kwa injiri ya kweli
@gracemachongwe431
6 ай бұрын
Aminaaaaaaaa, Aminaaaaaaaa, Aminaaaaaaaa
@PastorlevisIsambechohassan
5 ай бұрын
Baba,Mungu wangu akubariki
@OinothMunga
6 ай бұрын
Amina mtumishi wa Mungu
@ArcoiriscelestialTv
3 ай бұрын
Amina
@RashidLukindo-yl2yl
6 ай бұрын
Magembe ni Jembe la Injili, binafsi amenikomaza kupitia Injili yake nimemwona Yesu!!
@prospermallya3092
6 ай бұрын
Siwaletei mafuta na chumvi bali Yesu,,pokea kwa jina la Yesu...hakika huyu ni mwamba wa kale
@jimmymwashambwa7364
3 ай бұрын
Yesu njooo
@tlotwe.01.
6 ай бұрын
Hiki ni Chuma Cha YESU KRISTO Hakika! Kwa pumzi Hii Hakika YESU Yu Hai Ndani Ya Baba Mch. Maghembe.....Utukufu Kwa Kwa YESU KRISTO.
@lekinyaurey5772
5 ай бұрын
Mungu mbariki mtumishi wako mpemaisha marefu
@odethamlyuka2552
6 ай бұрын
Amen mtu wa Mungu 1)mjue Mungu anayetaka kuabudiwa
@JoshuaSanka
6 ай бұрын
Hii ndiyo isiyo chakachuliwa, watu wa vyombo jitahidi kuseti vyombo vizuri nimemsikia Baba akilalamikia vyombo
@sadiqmchungaji8944
Ай бұрын
Amina baba
@GoodluckMwanda
29 күн бұрын
Ameen amen sema baba
@mariamndwilo1104
6 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Jehova
@MartinSule
2 ай бұрын
Amen..
@estafuraha
Ай бұрын
Ameeen sana
@EmanuelKyombo
6 ай бұрын
Balikiwa baba magembe
@daikatorika9364
2 ай бұрын
Amen
@JohnJoel-ro7lc
6 ай бұрын
Ilove this
@GlesiMakaye
6 ай бұрын
Hakika Mungu amekutia nguvu uinuliwe Mchungaji Magembe
@apostlejacksonkalinga5191
6 ай бұрын
Asante sana MCH
@KyongoKyongo-rr8lm
6 ай бұрын
Tuna barikiwa sana Baba
@AfwilileNisaidie
6 ай бұрын
Hakika mungu mwema barikiwa mchungaji
@laizermsagalla
5 ай бұрын
Magembe yuko makini sana naYesu kumuhubiri
@ayubumollel3647
5 ай бұрын
❤❤❤
@HelenaSoka-l1h
6 ай бұрын
Umenikumbusha mbari baba mwatondo enzi za kurora naye akiwasha Moto Kama ww umenibariki sana
@vicentmsabila-fl6uj
6 ай бұрын
Chapa injili mtumishi wa Mungu aliye hai Dunia imjue Mungu wa kweli
@janemuthui6130
6 ай бұрын
I would like to know how I can attend one of your meetings I am in Kenya, Nakuru Jane Muthui
@BONIPHACEJOHN-kb1zb
6 ай бұрын
Pastor natamani sana kufanya kazi na wewe, injili hiyo ndiyo injili sasa ya Yesu kristo sio siasa na vichekesho
@NENO-CHAKULA
6 ай бұрын
Wakati ni sasa Ndugu!! Tunaweza
@Paulstanley-b2g
5 ай бұрын
Amina mtumishi wa bwana
@DavidMalimbegu-dq8tp
6 ай бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki sana mtumishi wa Mungu umejitoa kuhubili injili isiyo goshiwa, mi binafsi nikukubari sana hiyo ndiyo injili iliyo iva Amina
@johnsebastian-bx6qn
6 ай бұрын
Amina baba Yesu atukuzwe
@godfreykawibesele8545
5 ай бұрын
Natamani huyu mzee nipokee kijiti chake
@ev.samsonrweongachannel658
5 ай бұрын
Sikiliza neno ukitumia vitu inje ya Neno yaani yesu aunatofauti na mtu anaye tumia irisi
@jimmymwashambwa7364
3 ай бұрын
Injili iliyonyoooka ndiyo hii ninayo iamini na kuipenda sana
@martinakyoo148
6 ай бұрын
Kumekuchavkumepambazuka Kilombero ,Tanzania Kwa Yesu sasa
@CalorineMushi
6 ай бұрын
Aisee mchungaji nafurahi nimeipenda iyoo ya kupiga shetani was arusha
@frolafelix
6 ай бұрын
jina la Yesu libarikiwe kwa chombo chake
@mchungajimpigauzitv5703
6 ай бұрын
Balikiwa Sana mtumishi wabwana habali Njema ndiyo hiyo
@geofreyngolua9553
6 ай бұрын
Imen Imen
@perpetuamuna1633
6 ай бұрын
Aminaaaaa....
@rahelkimario1497
5 ай бұрын
Amen baba.
@Nolaskoshayo
5 ай бұрын
Haleluya
@FortunateAkaro
27 күн бұрын
Baba kuja Moshi vjijini lete hiyo injili jamaniiii!!!
Пікірлер: 163