Safi sana mzee nimekukubali sana unaongea vizuri sana
@melchiadgodwine9192
4 жыл бұрын
Huyu mzee ni lulu anaizungumza historia ya Kigoma vizuri sana kwa kujiamini sana Big-up
@zahirgunnar1644
3 жыл бұрын
you prolly dont give a shit but if you are stoned like me during the covid times then you can watch pretty much all of the new movies and series on InstaFlixxer. Have been watching with my gf for the last couple of days :)
@abdallahnuhu5925
3 жыл бұрын
Wabembe piga keleleeeeeeee KGM mojaaaaa
@jumakaswelele3143
4 жыл бұрын
Mzee kataja mpaka home KABEBA to ILAGALA. Duh kumbe hadikwetu kuna Historia ya mkowa wetu wa KG toka enzi za warabu love sana KABEBA. home sweet home. kama nawe niwa kipandeicho like za kutosha ila mm sio m bembe wala mgoma mi TONGWE BOY. au mtongwe from kabeba.
@nicegama2738
4 жыл бұрын
Naomba namba ya huyo mzee tafadhar
@benedictflorence2870
3 жыл бұрын
Nahitaji no za uyo mzee ndgu yangu
@cbegram6161
2 жыл бұрын
Nenda huko kabeba🤣🤣🤣
@salumkatula4824
Жыл бұрын
Watu wakabeba MNAMJUA MZEE NGUVU YA MAMBA
@bosslilyg4390
4 жыл бұрын
Watu wa Kigoma (lwama) (muhila) tujuane hapa 😄👌👌 najivunia kuwa muha wa kigoma.👌
@myself4128
3 жыл бұрын
Unajivunia uchawi?
@kilogreekachananawatuwasio4054
Жыл бұрын
Vizuri sana dar 24 🙏 nilipenda mkipata nafasi mwende simbawanga muhurizie kuusu jina lake na mji wake✊🇹🇿🇬🇷
Ndugu yangu king kama kwel unamjua huyo mzee tafadhar naomba msaada wako ndugu yangu nimpate huyo anaweza akanisaidia tatzo langu
@SimbaM2kufu
4 жыл бұрын
Nice Gama unataka kumuuwa nani?
@nicegama2738
4 жыл бұрын
Cyo kuuwa hapa nataka nimtumie ki2 nimpate maana ametoroka na pesa yangu nyingi sana
@nicegama2738
4 жыл бұрын
Naomba nisaidie kumpata huyo mzee kama kwel unamjua ndugu yangu king
@ferezaisaack9836
4 жыл бұрын
Tunataka kujua mzee ambros nikabila gani ndani yahayo makabila
@lawrencephotographyandsafa5955
4 жыл бұрын
Huyu mzee Ni Muha (umuha )
@uwimanauwimana7303
4 жыл бұрын
Fereza Isaack ukitaka habari kamili. watafute wamanyema wa kimbembe na mgoma muha hawezi kukupa uhasiliya ya stor kamili huwa wanaficha kutowa uwazi 🤣🤣 kwa kuwa va wamekuja badaye manyema wamesha tanda kigoma nzima ,
@uwimanauwimana7303
4 жыл бұрын
Lawrence photography and Safari mbembe na mgoma ndio mwenye asili ya kigoma wingine walikuja nyuma kabisa. wala muha sio mwenye asili yake kigoma wa bembe. walipita wanasbaratika muha akabaki hapo hapo kigoma hakutoka 😂
@johndevi2153
Жыл бұрын
@@uwimanauwimana7303 unajua maana ya muha wewe ? Maana ya muha ni wa hapa hapa yaani kigoma wamanyema,wabembe wamekuja baadae Karne ya 16
@kilungahamis1270
Жыл бұрын
@john devi sio kweli, hata historia anayotoa huyu mzee bado anasema kabisa kigoma ilianzishwa na makabila ya Kanda ya ziwa, kabila la waha hawana utamaduni wa kuishi kanda ya ziwa. Waha wanaishi milimani ni wakulima. Wabembe, watongwe, wagoma na wafipa ndio wavuvi. Wakati mzungu alivyowaona waha huko milimani akashtuka, akajiuliza hawa wawapi tena, ndipo warundi wakajibu. Turibaha wakimaanisha sisi ni wahapa hapa. Mzungu akawaita Waha, hakujua jina la kabila lao. Waha limetambulika kuwa kabila baada ya Mzungu kukosea kutamka neno aliloambiwa. Neno muha lilitokana na utambulisho. Baada ya kuulizwa niye wawapi tena. Ndio wakajibu turibaha kwamba ni hapa hapa na haijawahi kutokea wahapahapa likawa kabila, inamana kwamba jina kamili la kabila la waha lilifichwa.
@nsiamassawe3075
4 жыл бұрын
Yaani nimecheka sina mbavu, kweli Kigoma mwisho Wa reli uzito Wa binadam kilo moja!
@kyataonline5262
5 ай бұрын
dah ! hiyo treni ya maajabu mzee anazingua kweli yaani anashindikiza na kicheko flani hivi !
@pesamingi275
2 жыл бұрын
Huyu presenter sauti yake nzuri kuskiza na yua juwa kufanya interview
@noorumounir9386
4 жыл бұрын
2020 naenjoy kusikia home alafuu wee mwandishi mbona unasauty kama milirad ayo
@arnoldrukwembe4146
3 жыл бұрын
Nooru haujui miradi ndyo baba yao kwahyo bila kumuiga milad hawawezi
@franciskipara5312
4 жыл бұрын
Mzee na sisi watu wa gungu tujuze maana yake
@jmm1840
4 жыл бұрын
Sauti ya Haroun inafafa na Milad Ayo
@jumamataro4870
2 жыл бұрын
Vzr
@huku-sweden
4 жыл бұрын
Piga Radi.. dadadeki.. Chezea mwisho wa reli
@ylosvijevana6815
3 жыл бұрын
Team Davister mata tujuane
@mchungwajunior4548
3 жыл бұрын
Pa 1 sana
@ismailkenge7085
2 жыл бұрын
Oyooo wajukuu wa ramadhani mabuga msikiti wa rabuu piga kelele
@jestinabenedict4620
3 жыл бұрын
NDIO MAANA BABA REVO ANAJIAMINI SANA 🤣🤣🙈 MTEJA TO
@cbegram6161
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 wapi baba levo?
@josemourinho8781
4 жыл бұрын
Dar24 tunaomba nambazake huyo shekhe
@victorkivuyo6126
8 ай бұрын
NI NOMA
@sanjafarmmachinerystractor4205
4 жыл бұрын
Eeeeeeeh mmm!!
@sanjafarmmachinerystractor4205
4 жыл бұрын
Sawa
@loverboybongo..t6206
Жыл бұрын
Naombaa Nambaa ya huyo Mzee please 🙏
@salmaamilkani8170
2 жыл бұрын
Naomba namba zake nashida nae naumwa miaka 7
@nicegama2738
4 жыл бұрын
Tunaomba namba zake huyo mzee tafadhar
@luzigakapande6921
2 жыл бұрын
Kigoma ni jina la kibantu yaani. Malugomela ni miiba ambayo huota kwenye majaruba (igomera)
@user-su4cb4mr9l
11 ай бұрын
❤
@myself4128
3 жыл бұрын
Mji wowote wenye ushirikina na uchawi na waganga wengi Basi uwa Hakuna Maendeleo
@ombenimshahara2838
3 жыл бұрын
Hakuna unachokijua nanikosa kuzungumza usichokijua kuhusu kigomaa
@josemourinho8781
4 жыл бұрын
Tupate nambazake huyo shekhe
@salha6596
Жыл бұрын
Sio mganga jamani katoa elimu tu😂
@YussufSaid-ok4pu
10 ай бұрын
Ujiji
@kyataonline5262
5 ай бұрын
kwa hiyo kabla ya hao Kagoma na Kajiji wakazi wa hapo mji wao haukuwa na jina !!!
Kaka nazani huyo mzee unamjua je naweza kupata namba yake, 0773178836 nitumie
@benedictflorence2870
3 жыл бұрын
Jaman mm naumwa naomba no za uyo mzee
@ombenimshahara2838
3 жыл бұрын
Asie ijua kigoma amuuuulize mzazi wakeee
@SuhaiyyuAyoub-zt9sf
Жыл бұрын
mh
@arnoldrukwembe4146
3 жыл бұрын
Hyo saut mbona ya milard au copy
@hellenjohnson640
3 жыл бұрын
Nataka kuolewa kigoma ila daaa shikamoo kigoma
@mr_misifa
3 жыл бұрын
Njoo mm nikuoe
@ombenimshahara2838
3 жыл бұрын
Pole saaana iyo ndio kigomaaa
@hddhdhhddhdhdh1692
Жыл бұрын
histolia nikubwasana
@wahidashabaz5982
4 жыл бұрын
Kwakweli ndio maaana tunapashwa kuka karibu na wazee kujifunza mengi ila utandawazi wa simu umetuteka akili
@Pedeshee01
Жыл бұрын
Twende kigoma huko kazulamimba
@kiemenasensei2541
4 жыл бұрын
Nyumbani
@alimeshaki7931
3 жыл бұрын
Watongwe tupoo. Kapalamsenga.
@davidmeyasa8232
2 ай бұрын
Gungu
@husseinjumaikunji622
3 жыл бұрын
Kigoma moja hiyo mtu anapimwa uzito anakutwa na kilo moja da
@abdulnuruhassan8611
Жыл бұрын
Kigima ndio nyumbani
@uwimanauwimana7303
4 жыл бұрын
umenikumbusha mbali kamchape akija kuondo vitu usiku. silali. hasa huko tongwe ndo bala kulikuwa vituko vingi enzi hizo wakimba hizo nyimbo zao na tetemeka sana. huwa nawalezeya wanangu nikiwa. sweden 🤣🤣🤣
@happyernest3201
2 жыл бұрын
GOO INTERVIEW. Shida tu mtangazaji anaforce kuongea kama Millard Ayo which is bad.
@fintanmkesha1077
3 жыл бұрын
Hakika nimepata shule ya ukwel mbali na hzi karatasi
@khalfanmohamedmwamnyanyi9782
4 жыл бұрын
Kigoma mwisho.wa Reli
@championtv255
2 жыл бұрын
Iseeeeeeeee wamanyema wa ujiji tujuane kwa like.mm wa jihadi wewe he?
@mwantummakoa4253
2 жыл бұрын
Tupo
@hakizimananuriat8898
2 жыл бұрын
Naomb numéro yauyo mze kKa
@benedictflorence2870
2 жыл бұрын
Weka no zake mbna uwek we mtangzaj gn???
@chidsufiani1133
4 жыл бұрын
Anae mjuwa huyu mzee naomba ani tafute kupitia fb uta kuta namba zangu uta nipigia uta nielekeza
@SimbaM2kufu
4 жыл бұрын
Jirani yangu
@nicegama2738
4 жыл бұрын
Naomba unielekekeze anapatkana sehemu gan nashida sana ndugu yangu nimedhurumiwa pesa nying sana
@SimbaM2kufu
4 жыл бұрын
Nice Gama unataka kumuuwa nani? 🤣🤣🤣
@majutorajabu7509
4 жыл бұрын
@@nicegama2738 huyo mzee anakaa mtaa wa vunjamoyo Ujiji mtaa wa kina Matola Kama unataka namba zake utazipata
@nicegama2738
4 жыл бұрын
Naomba namba zake huyu mzee tafadhar Rajabu nisaidie kwa hilo
@benjaminshadrack5472
2 жыл бұрын
Nisaidieni namba zake
@user-po8hz7xw9j
2 жыл бұрын
Naomba namba za Huyo mzee 🙏
@ireneimbuhira7759
2 жыл бұрын
Hi uli pata unipe pia please
@margarethpolepole7438
Жыл бұрын
Kwa kigoma ni kiboko
@jayjay4313
2 жыл бұрын
Na mchizi una sauti ya zege mpaka speaker za simu zinapata tabu, simu zima linavibrate lo. Kula mayai mabichi ulegeze kidogo mkuu, pesa za simu hatuna. Do🤣🤣🤣🤣🤣
@nantaembanusurupia5674
2 жыл бұрын
Halafu mwili mduchuuu😆😆😆
@mpondamedia2416
2 жыл бұрын
😂😂😂
@jayjay4313
2 жыл бұрын
@@nantaembanusurupia5674 Ni shida. 🤣
@hamisabeid1109
3 жыл бұрын
Kilo moja dah noma sana
@stellamuleba109
2 жыл бұрын
Kama zipo mbona watu wanatapeliwa
@ayoubissa977
3 жыл бұрын
kigoma vs tanga .nanizaidi 😳😳
@benedictflorence2870
2 жыл бұрын
Hapo sasa 😂😂😂
@uwimanauwimana7303
4 жыл бұрын
nimekumbuka mbali maji ya rutale asubuhi. kwenda kuteka maji asubuhi mapema bado haya jachafuliwa na watu kufuwa nguo ni likuwa mzee umenikumbusha mbali tunachuma ma embe enzi hizo 🤣🤣
@wivinemwamini9110
3 жыл бұрын
Sasa wachawi hamutakufaka munachokambule
@georgeopama9379
2 жыл бұрын
Mimi naitwa gef naomba nambari mueke kwa you tube au WhatsApp
@majutorajabu7509
2 жыл бұрын
Yupo Kigoma ujiji mtaa wa vunjamoyo ukifika uliza kwa mzee Ambros utampata
@majutorajabu7509
2 жыл бұрын
Habari za kazi
@abraarimages1269
2 жыл бұрын
Hasbunallah!! tizama nguvu za kishirikina.... kzitem.info/news/bejne/2IiLsqKven2graQ
@ireneimbuhira7759
2 жыл бұрын
Hi tupe number ya mzee pls
@Pedeshee01
Жыл бұрын
Mimi nataka zako
@wazirihassan9397
3 жыл бұрын
Jamani mm natafuta utajiri kwanae juwa anitafute kupitia namba 0710020018
@highthemetv7857
Жыл бұрын
Nitafute nikusaidie lakin andaa pesa pia
@doreenpaulrugwaguza8307
4 жыл бұрын
Sauti ya mtangazaji kama mirad ayo
@amrikagobe1540
4 жыл бұрын
Anamuiga
@johansenrauben6166
4 жыл бұрын
Nawezaje kupata namba ya cm ya huyo mzee
@majutorajabu7509
4 жыл бұрын
Mtafute kijana wake anaitwa Abdalha Juma Ambross ni mtumishi wa halmashauri ya mji Kigoma Ujiji
@user-po8hz7xw9j
2 жыл бұрын
Naomba namba za Huyo mzee 🙏
@ireneimbuhira7759
2 жыл бұрын
Hi pia mimi na taka pls
@salha6596
Жыл бұрын
Nipe ela ya soda nitakufikisha mpaka nyumbani kwake😂😂
Пікірлер: 145