Hii ni sehemu ya Misa Takatifu ya Jubilei ya Fedha ya Upadre ya Pd.Deus-Dedit B. Byabato Paroko wa Parokia ya Mt.Aloisi na Mhudumu wa Kiroho (Chaplain) Kwenye Hospitali ya Maria Mtakatifu(St.Mary`s Medical Center), Galesburg.
Mahubiri haya yametolewa naye Pd.Faustine Kamugisha
Paroko wa Parokia ya Mt.Yohane Maria Muzeeyi Minziro Jimbo Katoliki la Bukoba,Misa hii ilifanyika katika viwanja vya parokia ya Kilimilire Jimbo Katoliki la Bukoba.
Негізгі бет "ASIYEPOTEZA HAOKOTI"
Пікірлер: 49