Huyu bwana arudushwe kazini atasadia mamboo kuzidi kumwacha uraiyani ni hatari sana wezetu markani huwatia kwenye kazini maalumu
@user-fz1ph3cn4s
4 ай бұрын
Pole saba afabde. Huyu ni muelimishaji mzuri sana. Apewe platform nyingi zaidi.
@daimofrancisco-fn1mg
4 ай бұрын
Elimu nzuri sana ni muhimu ukapewa kipindi cha kuelimisha hata katika TV ya taifa ....
@gombeeernest4473
5 ай бұрын
Pole sana Afande, Maisha sio mstari mnyoofu, huwa yana makonakona mengi! Nimejifunza vingi kupitia historia yako Afande
@kassimmuktarymurji4242
4 ай бұрын
Mapito yako ni noma,jeshi la police likuajiri upya ,ww ni super man,wizara husika ww ni dhahabu
@akhtarmohammed6233
4 ай бұрын
Ebwana huyu jamaa amepangilia vizuri sana hadith yake. Wafikishiwe Netflix watengeneze movie based on true story.
@rafiaahmad168
3 ай бұрын
Yan kaeleweka vizuri sana💯💯💯
@user-dy5fn6qj1q
4 ай бұрын
Kufukuza askari kazi sio sawa kuwe na greza lao la kifungo chakijeshi wakimaliza warudushwe kazini mpaka wazeeke huko huko jeshini kuwatupa uraiyani ni shida inaongeza
@francisgituti2494
5 ай бұрын
Big lesson to young generation
@ramadhanimtetu3656
5 ай бұрын
Sawa Mbengo tv tunashukuru kwa taarifa nzuri ila neno Askari usiandike Askali
@ahmed-shakirmwamba4992
4 ай бұрын
Naona hawa jamaa hawana Editor msomi, sio tu wameandika Askali hata huyu msoma habari anatamka Askali au hawa ndio wale wakimbizi.
@user-lt1bi5nr1x
4 ай бұрын
Waandishi watangazaji wa mtaani hamna kitu apo
@user-lt1bi5nr1x
4 ай бұрын
Afande ulikula vya kharam kama kawaida yenu. Waelimishe na maaskari wenzio. Mwishowenu hua mbaya sana. Pole lakini
@mkudesimba9518
4 ай бұрын
@@ahmed-shakirmwamba4992😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😊😢😢😢
@mkudesimba9518
4 ай бұрын
Mbona
@user-ek3rm1gz4b
3 ай бұрын
Pole Ally kowapi kashinde kiwalani shule
@ErickMkasas
3 ай бұрын
Uko vizuri kaka ambali. Nimepata somo.
@mansoursaid8
3 ай бұрын
Duhh aisee Mr. AMBALI
@kisinza6077
4 ай бұрын
Mwandishi unababaisha sana maswali hayabebi maana kubwa unarudiarudia sana maswali. Kama huwezi kujipangilia siyo mbaya ukaandika maswali.
@chikujuma18
5 ай бұрын
Masikin pole lakin tamaa mbaya turidhike na tunachokipata
@adammbuba7230
5 ай бұрын
Pole sana afande
@ambokileasheengai1140
5 ай бұрын
Dah Hatari sana
@user-rf7ni6tr2o
4 ай бұрын
Badooo WApoo wengi dizaini Kamaaa ya uyuu mpakaa sasaa kwenyee jeshi raaaa porisii tunawajua wotee Kama anavosemaa serekari ipoo rikizoo
@angonzamujunangoma8775
3 ай бұрын
Haya maisha haya,pole sana bro
@user-md7ug5dd9r
4 ай бұрын
Elimu nzuri .
@johnkalubea8555
5 ай бұрын
Pole sana kaka mkubwa
@yusuphmwangalamwene-zs9ee
4 ай бұрын
Amani kwako ndugu🎉
@ahmadifataha6677
4 ай бұрын
Huyu kwanza ana kauhongo flani umeenda Ccp moshi mwaka 1990 na hapo una umri wa miaka 49 ina maana polisi ulikuchukua ukiwa na 15 kwa hiyo jeshi linatumikisha watoto kweli ngada aijatoka kichwani
@Heismasai
4 ай бұрын
Huyu inawezekana umri wake ni 52 au 53 nadhani kazi Alianza na 18 huko ila umri atakua alipunguza kwaajili ya mambo ya kikazi😂😂😂
@albertinamichael6123
4 ай бұрын
Wasambazaji wakubwa ni vigogo wakubwa Sasa itakuwa je.
@aliaden5512
5 ай бұрын
Sura ngumu ya polisi
@adammbuba7230
5 ай бұрын
Mungu akufungulie milango ya mafanikio
@user-iw5hu3mc7l
5 ай бұрын
Wahalifu wengi wanashirikiana na ma 5:06 skari
@aziza9093
4 ай бұрын
Tamaa bay
@ebrahimosman5477
4 ай бұрын
Pole sana afande🤲
@user-uq6hn4vf3i
4 ай бұрын
Mungu amxaidie😊
@nashonkibayayu3776
4 ай бұрын
Pole sans! Unapaswa kumpa Yesu maisha Yako Sasa! Yuko tayari kukusamehe.
@abdifaraji2883
4 ай бұрын
Usilete udini hapa, kwani Yesu kama kweli yuhai, basi kwanini anaachia mambo mabaya yaendelee kufanyika dun?!
@warideadnanadnan9447
5 ай бұрын
Askari sio askali
@yusuphmwangalamwene-zs9ee
4 ай бұрын
Amani kwako ndugu
@user-vg2uc3hw1v
5 ай бұрын
Mungu akufanyie wepesi
@josefchacha4457
4 ай бұрын
Afande Ambali anasema uongo, kasema anatimiza miaka 49 mwaka huu 2024? Hivyo alizaliwa mwaka 1975? Alijiunga chuo cha Police mwaka 1990 akiwa na miaka 15?? Aliajiriwa kama Police mwaka 1991 akiwa na miaka 16?? Mbengo TV muulize alisoma Secondary gani akaishia form three? Alianza lini Shule ya Msingi? Shule gani??
@user-bq2zn1wy1q
4 ай бұрын
Huyu ana 55 huko.
@mrambadiana9678
3 ай бұрын
Itakua anataka kuoa anazuga apate kigoli 😂
@upendoeliya9329
3 ай бұрын
Kiukweli Eneo la miaka kadanganya huyu yuko 55+
@treasurerussel3422
24 күн бұрын
Wanaajili darasa la saba pia kwa vitengo mfano bigla wale wapuliza buruji ni kawaida alafu form four ni siku hizi
@user-ds3oi3tt8u
3 ай бұрын
Ajila bila Elimu husababisha tamaa na hata watu wanaopenda rushwa ni wale Ambao hawajasoma na limbukeni kama huyu
@allymoshi2053
3 ай бұрын
Elimu sio ishu ndugu tatizo watu wengi wanakuwa na tamaa na hawaridhiki na wakipatacho wala hawataki kufanya biashara halali
@msafirimfilinge8222
5 ай бұрын
Duu pole sana!😢😢😢😢😢😢😢😢
@petermgonja8547
5 ай бұрын
Kwa Nini asioneshe sehemu moja aliofanya tukio na thamani yake alipe
@user-is4xx1nz8k
4 ай бұрын
Pole ambali
@gemmamwajombe3169
4 ай бұрын
Umelipwa na Mungu mwenywe
@user-zi1gp6dc2q
4 ай бұрын
Kaka mzuri ulijiingiza kwenye mambo ya ushetan pole brother lkn kwakuwa ujitambua nakuacha mrudie mungu kaka ndo kila kitu usijekuishia pabaya
@ashachitemo7816
5 ай бұрын
Kweli maisha hayana kanuni dunia rangi rangire
@kolosii4351
4 ай бұрын
Kuachishwa kazi bila malipo yoyote ndio kwanza anakuwa jambazi sugu.
@user-rk7vt2km2b
4 ай бұрын
Jifunze kumuachia MTU Muda wakujieeza , usimkatishe katishe mtu
@user-ds3oi3tt8u
3 ай бұрын
Na bado Anatumia Hawezi kuacha huyo mpaka Abadili na damu maana damu yake ishakua chafu
@avitusmichael5
5 ай бұрын
Nimependa namna kamanda anavyoelezea, amenyooka sana
@user-lt1bi5nr1x
4 ай бұрын
Umejifunza kitu agement wangu ila pole sana
@gemmamwajombe3169
4 ай бұрын
Kweli tamaa ni mbaya o
@saimondede6044
4 ай бұрын
Pole
@stn4873
3 ай бұрын
Hadi leo watu wa namna hii wapo majeshini humo.
@TinahFrank
4 ай бұрын
Bina damu embu tusaidiee maana maisha ay😢😢😢
@mussamtalika243
4 ай бұрын
Palikuwa na disco la nguvu miaka hyo mi nilikuwa meneja pale
@mussamtalika243
4 ай бұрын
Nakukumbuka miaka ile ulikuwa unakuja msasan pale ccm
@user-lt1bi5nr1x
4 ай бұрын
Vya kharam mwishowake hua mbaya waelimishe na maafande wenzio wasiburuze watu iyo ni kazi tu
@mubaonemubaone3249
3 ай бұрын
Arudishwe Kazin Akabidhiwe kitengo hicho Cha madawa amesha jifunza mengi Japo nusu mshahara Apewe MWANDISHI MTAG MAMA SAMIA HIYO STORY
@tinnahagustinolyelu4247
5 ай бұрын
Hiro ndio tatizo la mwanadamu kutoridhika na anachopata sasa ona kesho yako imeharibika pole
@agapemajoya3234
5 ай бұрын
Duh
@omegaanyitike3263
3 ай бұрын
Wapo wengi sanaa hao
@user-sj3il5hr8h
4 ай бұрын
Wengine wamejifunza kupitia hiyo njia
@user-ou8sp5bb7n
5 ай бұрын
Kiswahili chenu kibovu, jirekebisheni
@baghabaghaingwengwe1750
4 ай бұрын
Mbona humuulizi mke yaani yule waliozaa naye wakati anatumia madawa alimtafuta?
@aziza9093
4 ай бұрын
Kweli tamaa nibay
@kadijahajali3918
4 ай бұрын
😢
@user-uq6hn4vf3i
4 ай бұрын
Keri kabix
@user-uq6hn4vf3i
4 ай бұрын
Mungu akurinde
@mwaka43
5 ай бұрын
Pole sana Mkuu!!! nimeifuatilia Story yako kwa umakini mkubwa.....Umeeleza mambo mengi sana muhimu
@eppiemodest
4 ай бұрын
Kumbe polisi ndiyo wanatuangamiza. Na bado wanawalinda. Huyu anayeongea hakustahili hata awe huru. Ilikuwa awe gereza la askari. Hivi serikali inasikia hivi bado huyu polisi hawajamhoji awataje hao vigogo. Kwa kweli nitazidi kushangaa sana kama itaishia hivihivi
@mwaka43
3 ай бұрын
@@eppiemodest Alishatumikia adhabu Gerezani na adhabu ya Uteja na sasa anatumikia Jamii kupitia Uelishaji kama anavyosema
@shamisalmahruqi1527
4 ай бұрын
Sio askali . Ni askari
@AllyYomba
3 ай бұрын
Fikiria kabla ya kuamua
@issakisalu9237
4 ай бұрын
umetoa code
@user-uq6hn4vf3i
4 ай бұрын
Waomba muvi
@mussamtalika243
4 ай бұрын
Panaitwa sis club
@bahatimahone4922
3 ай бұрын
Mwandishi ulisomea kweli hii kazi?
@richzebest2029
4 ай бұрын
Anaonekana kama bado anavuta sigara ama bangi
@stn4873
3 ай бұрын
Kuacha moja kwa moja ni ngumu kwahyo anatoa arosto kwa style hiyo.
@happinessmosala2217
4 ай бұрын
Kuna watu wako jela miaka mingi kwa makosa madogo sasa huyu jambazi yuko nje anafanya kazi 😏😏
@mwaka43
3 ай бұрын
Alishatumikia Adhabu ya Kifungo
@saidalghafri3111
3 ай бұрын
Pole kaka naweza kunipatia phone no yako please
@user-jx7ot4ru7l
4 ай бұрын
Anaonesha sura yake ya kijambqzi
@user-lt1bi5nr1x
4 ай бұрын
Alishaacha
@ezekieljacob5795
4 ай бұрын
😂😂sura yake mbona ni handsome tu kabisa yaani hapo ni kama naibu waziri vile.
@msafirisaimoni9561
3 ай бұрын
Naona Yuko kwenye kitengo cha DCEA hongera nyingi kwake pia madawa siyo poa kabisa
@MrKhatibu
4 ай бұрын
Angefanya jambo jema kama angewataja majambazi waliobakia ndani ya jeshi la police.
@namangabruno-xh3kp
4 ай бұрын
kha kha kha ......
@upendoeliya9329
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂 kweli kabisa
@AnthonyVitalis-iy5su
4 ай бұрын
Kila mtu uvuna alichokipata
@user-vx7xu5rz7x
3 ай бұрын
kila kitu sawa sema kwenye hesabu za miaka sijaelewa dakika ya 2:00 anasema ana umri wa miaka 49 ina maana kazaliwa 1975 ,halafu anasema kaajiriwa mwaka 1991 ina maana alikuwa na umri wa miaka 16. je jeshi wanaajiri wenye umri chini ya miaka 18
@stn4873
3 ай бұрын
Hakuna linaloshindikana. Usikariri.
@jaybrown9338
4 ай бұрын
Mnampa pole ya nini Jambazi sugu mnamtetea😢
@amossmabangotz2032
4 ай бұрын
Weeeckuma kweli
@jaybrown9338
4 ай бұрын
@@amossmabangotz2032 unafilwa na maafande Acha usenge
Пікірлер: 118