Nimesikiliza na kuona video zako nyingi KZitem,Nakuombea Mungu akulinde,na akuongeze maarifa na mafanikio,ili uendelee kuitetea nchi yetu,uendelee kutututea,na tujiendelee kujipatia hekima nyingi kutoka kwenye mafundisho yako. Niko Mwanza,ila siku nikija Dar,nitakumbelea kanisani kwako nikusikilize mubashara! Mungu akupe uzima na ukuzidishie mafanikio na afya njema ili tuendelee kuvuna hekima hii uliyojaliwa na Mungu.
@anafikamugisha8834
9 ай бұрын
Nikitoa la moyoni Gwajima NAKUPENDA Sana Mtumishi wa Yesu na huwa nakuelewa sanaaaa Barikiwa sana una mafumbo ambayo nayapenda kulikoni uhalisia wa unacho maanisha..unafundisha watu wazima..
@ArinaitweFatuma
4 ай бұрын
Mungu wangu nipe matunda Saudi Arabia Amen 🙌 🙏
@BrghtnessMagnuss
6 ай бұрын
Ameni baba mchungaji nimeelewa somo vizuri ANAE NIROGA atarogwa mwenyew kwa jina la YESU KRISTO ALIYE HAI 🙏🙏
Ameni Amen 🙌🙌🙌🙌🙌🙏🥰 emungu nisaidie nisipaniki nitoke kwenye mtego
@lowassaloitore4774
8 ай бұрын
Nimebarikiwa na hili NENO, Ubarikiwe Mtumishi Wa Kristo Yesu.
@andrinisrael9289
9 ай бұрын
Baba Gwajima umetumwa kwangu huu ujumbe ni wangu kabisa
@JuliethPaul-ld3ng
6 ай бұрын
Amen Baba yangu original I love you Dady
@yakoboshauri
8 ай бұрын
Barikiwa mtumishi wamungu
@ArinaitweFatuma
4 ай бұрын
😮😮😮 kutoka Saudi Arabia mungu nisaidie nifungulie mirango na watoto wangu wasijisikie ukiwa na upweke wasiwe na moyo wa hasira mungu wafunike damu ya yesu
@Immanulsaimon2517
Ай бұрын
Mungu akupE maish Mrefu baba 2:51
@shamsibaye
2 ай бұрын
Vizuri mtumishi
@EmmanuelJabil
5 ай бұрын
Ameen ,,uishi milele, mtumishi jasusi la mbinguni
@zachariasumisumi4907
6 ай бұрын
Amina BABA
@KisetiClément-e8h
2 ай бұрын
Niko congo drc ongezewa kipaji baba
@festosaulo6506
8 ай бұрын
Hakika Mungu amekupa mafunuo makubwa ya kutuondoa gizani Mtumishi. Barikiwa sana.
@festinamwakipale3919
9 ай бұрын
Naomba Mungu amuongezee nguvu askofu gwajima.zaidi na zaidi wajitokeze wakina gwajima wengine wengiwengi.maana wakiwa 10.kama hawa.tanzania.imetoboa.kazana baba shetan kwA sasa.anarukaruka.endelea.kumminya gwajima.uzunguke.tena.Tanzania
@davislumato5585
8 ай бұрын
Mungu akutunze Mch kwa manufaa ya Dunia nzima
@MariamLewis-t4x
5 ай бұрын
Mungu nipe kutokuchoka😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
@MirriamMeshach-j2c
Ай бұрын
Hallelujah
@MichaelMunga-c5v
11 сағат бұрын
Ameen
@elizabethmuli5911
7 ай бұрын
Kama ville pastor Ezekiel wa new life church Mombasa Kenya,ulinyamaza Mungu akamtetea.
@anafikamugisha8834
9 ай бұрын
Huu uwanja ni Mzuri Sana,imeandikwa,sio uwanja wa hofu sitautumia kupigana na adui yangu.
@jafarchuan8537
5 ай бұрын
Nakukubali sana ngwajima😊
@EmmanuelMalugu
4 ай бұрын
Barikiwa sana baba askofu
@efelikabage-cn1fo
9 ай бұрын
Mtumishi baba mwenye masomo yenye mafunuo sana
@LovenessLucas-jx2xz
9 ай бұрын
Yesu nisaidie
@beautymalongoza7398
9 ай бұрын
Ujumbe mzuri sanaaa asante mchungaji.
@GroriminaVenancempua-fe1xi
6 ай бұрын
Nimemuomba Mungu baba yoshi miaka 120 ukiwa na nguvu ya kuhubiri injiri wewe na mimi tu majasuzi ya mbinguni haleruuuuuuuuuyaaaaaa
@BensonLuvanda
5 ай бұрын
Ubarkiwe baba
@AjamaJames
8 ай бұрын
Amina kubwa baba asikofu
@ElihurumaThomas-kz8nq
9 ай бұрын
HUYU NI MTUMISHI WA MUNGU ALIYE HAI
@victorialubwaza1583
9 ай бұрын
Amen Baba Askofu
@yaminijerome2054
9 ай бұрын
Mungu akulinde na kukupgania
@user-mi5sh9wv3p
6 ай бұрын
Asante mchungaji
@rithersospeterkati3355
8 ай бұрын
Amen Amen baba.
@shaenykavenuke6509
8 ай бұрын
Amina
@ArinaitweFatuma
4 ай бұрын
❤❤❤🎉
@andreasjohn7090
9 ай бұрын
Original message
@essaukapufi424
5 ай бұрын
Kweli Baba!
@user-rd7yi1jo8k
9 ай бұрын
mmh wonderful
@gracenyangusi6230
9 ай бұрын
Haleluya Baba 🔥 🔥 🔥
@jumakimu2329
23 күн бұрын
Mchungaji mm ninakukubali mno
@YeseYusuph-ut2pf
9 ай бұрын
❤❤❤ good news
@user-my7fj6wn7y
2 ай бұрын
Ujumbe umelenga penyewe
@MalaikaHome-b6r
3 күн бұрын
Mwambaaaaaaaaaaaa jasusi la mbinguni
@shapeyourmood2358
8 ай бұрын
😅😅😅😅 Mtumishi hapo kwenye kutega ndege hapo😅😅😅😅😅 ubarikiwe sana. Umetukumbusha mbali sana.
@powerofknowledge194
7 ай бұрын
Ukikuta mtu anamsema hovyo huyu mwamba basi juwa unaongea na jini aliyevaa umbo la binadamu,,,, maana mtu wa kawaida hawezi nena hila kwa Gwajima boy
Пікірлер: 67