Natamani 2025 ugombee urais naamini utawajali wenye Maisha ya chini kama mpendwa wetu Magufuli alitupa moyo tufanye kazi kwa bidii uku akitusupport
@anithafesto3010
3 жыл бұрын
Asante bb kwel akna ajuae kesho yake mngu akubalik unafaa kuwa kiongoz
@stevenrichard189
3 жыл бұрын
Naiwe ivoo kwa jina la Yesu
@rachelmikey5493
Жыл бұрын
Mi nlisha s jisemea nataman awe rais
@rachelmikey5493
Жыл бұрын
Namuombea MUNGU amuwezeshe
@SaraMboya
Жыл бұрын
Watu wenye shuhuda wanayajua maisha hata wakiwa viongozi watawajali wanaowaongoza
@ngwanamabande8036
3 жыл бұрын
Gwajima wewe kwa sasa hauongei na kanisa unaongea na nchi yetu we love you.! 25 gombea urais , wewe ni Musa wetu usikasilike ukamtenda Mungu zambi
@conceptananjala2067
3 жыл бұрын
Hii maisha ninayoishi sio sehemu ya maisha yangu Mimi naenda kwenye kusudi langu barikiwa the servant of God amen
@kbdmsafi_tz8094
3 жыл бұрын
Umenipa Nguvu Baba Naiona Kesho Bora Sana
@denisrukangula7086
3 жыл бұрын
Wote tunaokusikiliza Mungu alikuwa ashakuwa asha panda haya kakwo. Kwa ajiri yetu.. ndani mwako...... Mungu alituona
@magangamalale9939
3 жыл бұрын
Wewendio unastaili mana unatia moyosana asante gwajima 👏🏾👏🏾👏🏾
@lucykristensen7145
3 жыл бұрын
Ukimsikiliza Askofu Gwajima hautakata tamaa katika maisha. Utapsmbana mpaka upate mafanikio kwenye maisha. Isijalishe magumu unayoyapitia. Kwa kweli wewe umebarikiwa na Mwenyezi Mungu. Ni wachache wenye roho kama wewe. Mungu azidi kukubariki.
@jonasyohana3258
3 жыл бұрын
Amen
@kadunawewe7248
3 жыл бұрын
Hapa nilipo sio mahali pangu.mungu.anaenda kunipa mahali pangu Ameen
@rosemaryblessed9682
3 жыл бұрын
People come from nothing to something Gwajima may God continue to bless you Encouraging words🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@neemayusuph5323
3 жыл бұрын
From zero to hiro
@AmosRioba-y9t
Жыл бұрын
Askofu Gwajima nakupenda sana umenifundisha neno la Mungu.Rioba.
@pendaelnm6623
3 жыл бұрын
The same story to me nilisha beba mkaa wenye Moto kichwani . Sitazisahau hizo siku . Leo kila mtu aliyefanikiwa watu wanamwita majina mabaya bila kujua historia ya mtu . Mungu akubariki Sana Bishop Gwajima
@ericmtalemwa3573
3 жыл бұрын
My brighter tomorrow is around.
@ratohabi6459
3 жыл бұрын
Kwa kweli Mungu akubariki sana young brother. Bwana Mungu wetu Jesus Christ anapenda sana wanaozungumzia mapito yao bila aibu.
@sheckycobb5240
3 жыл бұрын
Amen...Nimewahi pita kwenye hayo na bado nasonga mbele,naamini ipo siku nitafika
@baltazalbusanya8851
3 жыл бұрын
Askofu nimeipenda hii story naitaji mwendelezo wake
Hiyo nimeipenda Askofu. Ninapata nguvu mpya kwa neno la Ushuhuda wako baba.
@juliusmakongoro4726
3 жыл бұрын
AAA gwajima umenikosha bwana kumbe fani nimoja
@kusigwamakoye1300
3 жыл бұрын
Amen sana Askofu Gwajima nimependa sana inatia moyo iyo story.
@kelemakelema3705
3 жыл бұрын
Amen bishop unanifurahisha kweli leo
@josephsimiyu5211
3 жыл бұрын
Amina barikiwa mtumishi kweli
@rv.anicetomari9166
3 жыл бұрын
Amen Mungu akubariki mtumishi kwakunitia nguvu maana najiona nikiwa mshindi kupitia Mungu
@MumQueen
3 жыл бұрын
No situation is parmanent. Glory to Jesus
@antoinekatembo8520
3 жыл бұрын
Very true my dear...!
@sarahananaabdallah6725
3 жыл бұрын
Amen
@hbdina
3 жыл бұрын
Love Askofu Gwajima ❤️❤️❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿 May God our Jehovah bless you in Jesus name Amen
@kelvinmulengo8555
3 жыл бұрын
Powerful message man of God am following you papa preache to the world am Kelvin watching you from Lusaka Zambia
@itiamekimbui722
3 жыл бұрын
Namshukuru mungu kwa kukufahamu baba nimejifunza mengi na nimepata ufahamu mkubwa maishani mwangu (shalom)
@segolinetingo2916
2 жыл бұрын
Namkubali sana gwajima ..c km wengine mafuta ya upako ..nakupenda sana kuna sehemu unatakiwa kuwa
@herrysedward3591
3 жыл бұрын
Asante askofu nimeipenda hii fanya kazi kwa bidii utapasua kuliko pokea gari kwa upako wa maji na mafuta
@tumainimwanyonga4195
3 жыл бұрын
Umenifurahisha inapendeza Mtumishi
@gracenyangusi6230
3 жыл бұрын
Mmh maisha ni safari ndefu sana. Ni neema ya Mungu tuu.
@mrslucasndoka2920
3 жыл бұрын
Amen, Asante baba kwa shuhuda nimejifunza kitu kikubwa sana ubarikiwe sana🙏🙏🙏
@daudipaulo-jb5us
Жыл бұрын
Amina baba na endelea nimepokea kitu hapa leo ujumbe mzuri sana
@tumainimwanyonga4195
3 жыл бұрын
Mungu Mwema atatutoa mbali hongera unatia moyo kila wakati viwango vingine vipo tena Glory to God ubarikiwe safi sana
@elizabethganai9520
3 жыл бұрын
Amina naiona kesho yangu
@richardnyitambe9603
3 жыл бұрын
Gwajima you good mungu awe pamoja nawe Sana
@wanguwangu34
5 ай бұрын
Shuhuda zako zinatia faraja sana, ubarikiwe sana.
@geraldlaurent6750
Жыл бұрын
Hiyo kazi nimefanya mtumishi Mungu akubarik sana
@joycemuhoja4729
3 жыл бұрын
Amina Mtumishi umetoka mbali nimejifunza
@hiland255fundi5
2 жыл бұрын
Very interested sir Gwajima tutakuwa kama ww ngoja na sisi tukaze Mungu anatuona
@alphajara1170
3 жыл бұрын
Amen najua Mungu ako upande wangu
@emmanuelinkilijiwakapalata3516
3 жыл бұрын
Amina mtumishi wa Mungu Nimeipenda sana hiyo story nimejifunza kitu kikubwa sana naamini mafanikio hua yapo tu kwa yule aliye na juhudi ya kazi na si mvivu.
@francisbeda8346
Жыл бұрын
Mungu azidi kukuinua, umenikumbusha
@julietknight6270
3 жыл бұрын
You are an encouragement Sir! Remain blessed. I thank GOD for you.
@jamesojode7758
3 жыл бұрын
That message is encouraging.
@denisrukangula7086
3 жыл бұрын
Kuchoma mkaa ni moja kati kazi ambazo zimetengenezwa na Mungu ili kuwapatia watu kipatoooo.... Ivo hii kazi kwanza ni nzuri na yenye kipato kizuri... Japo watu waweza kuiiona ni kazi ya kimaskin. Lkn ukingalia mkaa unatumiwa na kila aina ya watuu... Maskini na Tajiri
@magrethnimemsikiakatan496
3 жыл бұрын
Nimejifunza kitu hapo
@sheckycobb5240
3 жыл бұрын
Tatizo ni ngumu Sana hiyo kazi.mama yangu amewahi kuchoma mkaa...hua hata sipendi kumbuka anihadithie Mara mbili
@bibianajangandu1727
2 жыл бұрын
Amen baba ubarikiwe
@kisalaTV
3 жыл бұрын
Hapo kwenye uvivu umeongea kweli hata umuombee vip sawasawa na bule🤝
@mengicacoconut8144
3 жыл бұрын
Leo nimeipendaa na nimejifunzaa mnoo
@filimonsima6317
3 жыл бұрын
Umefaa kuwepo hapo ulipo mungu akubariki anibariki na mm pia nipate njia yangu ya kutokea
@johnallen680
3 жыл бұрын
I believe in Jesus and everything is possible
@pst.johnmesa1621
3 жыл бұрын
Glory to God
@marcfreuryahishakiye5723
2 жыл бұрын
Naipenda saana askofu
@masterkeymwakalanje5728
2 жыл бұрын
Nimekubali pastor
@amosimwampamba-ne7in
5 ай бұрын
mungu ni mwema kwangu
@meladluvanda8765
3 жыл бұрын
Barikiwa sanah askofuu na xjui ww unaedislike this video unafikiria nini..!?
@ashuraabasi1744
3 жыл бұрын
Umeniongezea Iman gwajima
@athumanisaid2044
3 жыл бұрын
Askofu Gwajima MUNGU AKUBALIKI SANA SANAA
@elizabethganai9520
3 жыл бұрын
Aminaaaa.Mungu akaushe bahari nipite
@nelsonbreidon6600
3 жыл бұрын
Amen. Mtumishi. Nimembalikiwa naneno vzr amen
@fridamhapa1437
3 жыл бұрын
Asante rais ujaye
@emanuellyimo8993
3 жыл бұрын
Barikiwa Mtumishi
@emmysanga9763
3 жыл бұрын
Amina 🙏🙏🙏hakiki mimi ni waviwango vya juuu
@happykisite3990
3 жыл бұрын
Amina Baba barikiwa
@majaliwaelias1981
3 жыл бұрын
Gwajima alipekecha moto kweli B.C
@ivanedwardtz
Жыл бұрын
Amina Bishop
@elizabethmwandu6937
3 жыл бұрын
Amina ,amina mtumishi wa Mungu hakika nimekuelewa sana Mungu aendelee kukutunza.🙏
@edojoseph4273
3 жыл бұрын
Viva gwajima Mungu akuzidishie zaid na zaid
@kabulamhembe1024
3 жыл бұрын
Umenibariki sana mpendwa wangu!!!gwaji boy
@ev.dorcasrehoboth8690
3 жыл бұрын
Nitimize kiu kilicho dani yangu. Powerful.
@RaphaelFaustin-h5q
8 ай бұрын
Baba umenigusa Sana njia ni moja
@kiangemohamed6126
3 жыл бұрын
This is courageous Pastor. Amen
@elibarikimollel7149
3 жыл бұрын
Askofu hongera sana, una haki ya kufanikiwa ingawa uliharibu mazingira
@margarethpolepole7438
3 жыл бұрын
Hongera sana gwajima kwa mahubiri yako
@pastorlameckchahoa7876
3 жыл бұрын
AMEN Baba yangu Nakuombea sana kila wakati MUNGU AKUTUNZE Sana AKUPE Afya Njema Kila Wakati Utuhudumie Wanao tunao Kupenda sana💌💖
@sarahlupy7668
3 жыл бұрын
Amen
@selinakitogele5239
3 жыл бұрын
Akika mungu ananjia zake kamwe uwezi ata kumuotea tunashukulu kwakutup moyo ubarikiwe sana
@graceraphael3046
3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu aendelee kukutunza na kukupa afya njema mtumishi wa Mungu
@osgentertainmentdancers8924
3 жыл бұрын
Ujumbe mzuri sana bishop
@franklinkessy586
3 жыл бұрын
Sikuwahi kujua kama Gwajima ni Genius
@pastorhenrymashiku4178
3 жыл бұрын
Barikiwa bishop; huo ni ushuuda mzuri na funga kazi
@anordjoseph2091
3 жыл бұрын
Mtumishi wa mungu unafundisha vizuri sana
@kazizaidi1695
3 жыл бұрын
Askofu nimejifunza kituleo.. Mungu nimwema
@veronicajohn3109
3 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu, nakuamunia endelea kutuinjilisha
@erickcharles6834
3 жыл бұрын
Ujumbe mzuri sana
@jellysathanasjellys2681
3 жыл бұрын
Barikiwe na bwana
@twahamdoe5730
3 жыл бұрын
Uwe raisi wetu Bishop
@susananicolaus9189
3 жыл бұрын
Gwajima saiv tunakufatilia Sana wewe si kiongoz tu wakanisa bali ni wa nchi nzima
@kasililamecksatano7302
3 жыл бұрын
Nakukubali baba mchungaji
@jamesmasome359
3 жыл бұрын
Sawa kabisa 👏👏👏
@rukambap8846
3 жыл бұрын
I like so much your testimony
@nyororotherock5567
3 жыл бұрын
Ubarikiwe Bishop
@jovanymwendapole-kz7rn
Жыл бұрын
Mwendapole
@patrickKitambo
3 жыл бұрын
such inspirational, see you at the top
@GIFTEMANUEL
Жыл бұрын
Hallelujah!!!
@yudaaraphati9673
3 жыл бұрын
Mungu azidi kukuinuwa 🙏
@shadrackjaphali8036
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@godfreychristian7196
3 жыл бұрын
amen Mungu akubariki sana
@plumbingtanzaniaplumber7570
3 жыл бұрын
Duh kweli kaka niliwambia watu ktk kchma mkaa kaz kuzma wanasema kukata kumbe n wasiohenya
@gracenyangusi6230
3 жыл бұрын
Mmh hii ni kali mno. Ingawa hata mimi niliuza vitumbua na vimande kwa mama ntilie.
Пікірлер: 285