Baba Askofu umewasema watanzania asilimia 90% ambao walipenda kuyaongea hayo mbele za watu, lakini wewe umenena kila kitu kwa uwazi na Mungu akubariki sana, sana tena Sana. Hatuwezi kukubali ili wamshushe chini Magufuli halafu wao wapae juu kwa lengo la kuendeleza yao.!
@neemayangpigahaohaojamsjam1174
3 жыл бұрын
Mungu akuongezeee uwaz uendelee kuwaeleza ukweli watu wanafiki
@rwandaafrika6173
3 жыл бұрын
Nimefurai sana Na baba Askofu kwakweli Tuache kujipendekeza hahahah handi Raha kwakweli hivi kweli Ndugai na wezake wapeipata hilo
@Worldunite
Жыл бұрын
Nimekukubali
@evapendo85
3 жыл бұрын
Umeongea ukweli baba mungu akuzidishie
@alanusrespicius1796
3 жыл бұрын
Leo nimetambua kwa nini Mungu alimchukua JPM mapema. Alitaka kuonesha kua Tanzania kuna hazina ya kutosha ya wazalendo. Mungu tujalie na umlinde Rais wetu mama Samia Suruhu Hassan
@mosesmkoma6882
3 жыл бұрын
Na kawaida ya mnafiki anataka awe rafiki wa kila mtu kwa kumfitini mwingine
@joezeno8
3 жыл бұрын
👌🏿😂😂😂 kweeeeliiii
@jozeeamos1160
3 жыл бұрын
Yaani Askofu umetufurahisha saana watanzania na Mungu akubariki sana
@francismigongwa4146
3 жыл бұрын
Baba askofu umenena KWELI RIP MH JPM MWENDO UMEUMALIZA IMANI UMEILINDA
@hamismmsangi4515
3 жыл бұрын
Chandra
@adelambilinyi3625
3 жыл бұрын
Waambie hao baba unafik ni mbaya sana
@husseinymhini9424
3 жыл бұрын
Umeongea kweli askofu wanasiasa ni wanafiki Sana!
@officiallupo4367
3 жыл бұрын
napigia mstari
@modestanyaulingo5355
3 жыл бұрын
Kweri kabisa baba wambie ukweri wamezidi tunawaangaria tu tunawasubiri 2025
@athumanimhanga2053
3 жыл бұрын
saaaaanaaaaaa hata mm nawaona sijui niwataje
@elizabethnestory9704
3 жыл бұрын
@@athumanimhanga2053 nikweli kabisa
@bahatisanga8664
3 жыл бұрын
Tanzania kwanza mengine badaye rip jpm
@michaelluoga5131
3 жыл бұрын
Haya makongamano yakifanyika mara kwa mara hakika hakuna mtu atakaekuja kutukugawa
@hamisikaisi461
3 жыл бұрын
Kabisaaa
@beaugosseadam6831
3 жыл бұрын
Kutokumheshimu na kuacha kumzihaki JPM vitatugawa tena sana. Kumheshimu na kumheshimisha vianzie kwa huu Rais aliepo madarakani. Bila hivyo aisee!!!!
@MiaTheLathini
3 жыл бұрын
Samahani kwa usumbufu kzitem.info/news/bejne/u5quyYaGfZSHfJg 👆Tafadhali naomba unisaidie kubariki Safari yangu ya Sanaa Kwa kunipa maoni yako juu ya wimbo wangu huo mpya UbArikiwe Thanks
@catherineamos7087
3 жыл бұрын
Umenifurahisha sana Asikofu kweli ww ni Mtumishi wa Mungu
@johnsangida5158
3 жыл бұрын
Be blessed servant of God i agree with that servant of God
@moriskalegeleshusha2619
Жыл бұрын
Uko vzr askofu
@zakamorash9210
3 жыл бұрын
Asalamu Alaikumu Askofu. Kauli yako Ina nguvu ya mungu Hao Wanafki Washindwe.
@juliethhouseofdesigns147
3 жыл бұрын
Jamani askofu wa kanisa gani? Shikamoo baba askofu Mungu akulinde Mama yetu Samia mpendwa umesikia, tunaomba usijewasahau wanasiasa ukawateua kwenye hata nafasi ya ukilanja.👏👏👏👏👏👏
@samsonjoseph670
3 жыл бұрын
Asante sana mzee,umenena!..
@زيتونتنزانيا
3 жыл бұрын
Wape bababaaaaaaa👏👏👏👏👏👏
@khatibumwalimu591
3 жыл бұрын
Shekh jongo asante sana sana asiyeelewa haelewi tena mpaka aonfoke duniani
@telaamtauta2227
3 жыл бұрын
Kabsaa
@victormlokozi5103
3 жыл бұрын
Kweli wanajipendekeza kabisa
@yhasintakalenyula970
3 жыл бұрын
Asante kwa kuwapa vidonge vyao.
@elizabethnestory9704
3 жыл бұрын
Safi sana
@sheryphamwenevalley6124
3 жыл бұрын
umejua kuwanyoosha, akili zao wizi tu, wanasiasa malaya malaya washindwe kwa jina la yetu, RIP JPM 💔 daima kila la heri mama Samia💖#kaziiendelee
@amockkalinga1520
3 жыл бұрын
Umesema ukweli baba ubarikiwe sana
@hamisim.likulile5087
3 жыл бұрын
Sheikh has critical thinking GOD BLESS U
@tumainimnzava320
3 жыл бұрын
Haya maneno yataendelea kuishi. Tanzania ni moja
@sammycharomwalili6728
3 жыл бұрын
Viogozi wa dini muhimu. wanatupa moyo na wanapo shirikiana mungu hubariki.nafurahia umoja
@StephenKarori-i5n
2 ай бұрын
Asante Sana asko konk hiiii imeenda sanaaa,umbe mzuri sna by Yasinta walyuba
@vailethliduke5165
3 жыл бұрын
Fact kwakweli Mungu akujalie maisha marefu.yenye Barak a Tele baba askofu
@marygregory7566
3 жыл бұрын
Wewe ni mtumishi wa Mungu wa kweli.
@justinendizeye714
3 жыл бұрын
Ndiyo uwo uzalendo Big up askof 🙏🙏👍👍
@barakamwakapoma2702
3 жыл бұрын
Safi Sana baba askofu kweli una upako wa Mungu
@mshamurashidi4124
3 жыл бұрын
Sema kweli baba wanasiasa ni wanafikhi
@robertsamsonmasanja9097
3 жыл бұрын
Congatrationn baba asikofu wanataja kujinufaisha kisiasa kupitia hayati raise wetu
@charlestogolai1407
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana wewe nimsema kweli
@calolinamwandali3599
3 жыл бұрын
Ofcourse your right
@msetikebwasi1469
3 жыл бұрын
Kiakili ukiangalia sana hiyo kauli utagundua kwamba inamaanisha kuwa endapo mama ataunga mkono mtu wa aina hiyo na kumpa cheo inamaana anaunga mkono wanafiki hao .
Wamenifurahisha kwajuzingatia Afya zawatu wanaotumia mc kwakubadilisha cover ile
@senyagwadickson9084
Жыл бұрын
Safi sana askofu waoe ukweli wao hayo machawa
@amoskalinga4146
3 жыл бұрын
Saaafi sana wstanzania ndicho tunahitaji, Sikh zote tukihubiri kwa majukwaa mbalimbali. By; makamu wa Askofu mkuu, wa makaniss ya Sinai mission's International, Edward Amosi Kalinga, wa makani
@badenbensoni7516
3 жыл бұрын
Msema kweli ni mpenzi wa mungu
@dorahy1579
3 жыл бұрын
Askofu umenifurahisha sana sana. Washenzi sana hawa wana siasa wa Tanzania. Wajinga kweli kweli. Cheo ni dhamana. Ni kazi ya muda mfupi sana. Wanataka kuanza kuiba. Walizoea kuiba kujaza mapesa wasiyokuwa na maana kwenye majumba yao. Wao pia watakufa washenzi, mapumba. Yaani nimekupenda sana endelea kuwapasha
@justinendizeye714
3 жыл бұрын
Safi sana, a routa continua 👏👏👏
@annejacobilkiuyoni2971
3 жыл бұрын
Duh asante sana mtumishi wa Mungu uko vzr sana.Nimekuelewa
@telaamtauta2227
3 жыл бұрын
Shukrani sana sheikh sahihi kabisaa
@benardsenguji8254
3 жыл бұрын
Tulijali Taifa letu.Vizur sana Shehe Jongo
@muhezadc4413
3 жыл бұрын
Tunakuombea Rais wetu samia Mungu akusimamie! katika maamuzi
@stevensteve7519
3 жыл бұрын
Ndiyoooooo waambie wanafiki Sana. Aibu imewapata shame on them.
@medicalamon908
Жыл бұрын
Sure Tanzania Hatuna viongozi wanaosimamia HAKI ni WANAFIKI sana.
@tumainimnzava320
3 жыл бұрын
Safi kumbe konki umeyaona hayo? Ubarikiwe
@pendosospeter2418
3 жыл бұрын
Ubarikiwe saana mtumishi
@amirlehao8945
3 жыл бұрын
Ujumbe umefika kwa hawa wanafiki
@johnmlay4759
3 жыл бұрын
Kabisa
@annamkude9039
3 жыл бұрын
Kazi ya kiongozi wa dini kusema ukweli wewe unaesema anajipendekeza omba toba na mungu akusamehe
@annamkude9039
3 жыл бұрын
Nimelipenda kongamano la leo na nimejifunza kitu maana mungu alituagiza kazi moja tuupendo madhehebu yote pamoja mungu awabariki
@MiaTheLathini
3 жыл бұрын
Samahani kwa usumbufu kzitem.info/news/bejne/u5quyYaGfZSHfJg 👆Tafadhali naomba unisaidie kubariki Safari yangu ya Sanaa Kwa kunipa maoni yako juu ya wimbo wangu huo mpya UbArikiwe Thanks
@godfreymlula1038
Жыл бұрын
shehe safi sana
@chachajaphetth3404
3 жыл бұрын
ubarikiwe baba mtumishi zimefika
@aishaalbalushaishabalush8291
3 жыл бұрын
Masha allah 👏👏👏👏
@tonnyford5782
Жыл бұрын
Yan umeongea ukwel mtupu mungu akuongezee umri mkubwa zaid
@mercypeter162
3 жыл бұрын
Hakika maneno ya askofu KONGKI ametusemea wananchi wa hali ya chini ambo tusinge pata nafasi milele kusema hayo mbele ya wahusika. Wanasiasa wanatugawa . wamelewa posho na mishahara. Baba Askofu MUNGU akutunzee na kukuongezea ulinzi mara dufuuu.💪💪💪💪
@tagdymagdy7301
3 жыл бұрын
Mama Anawaona Lakini Ametulia Tu
@babusbabu3699
Жыл бұрын
mungu alituleteaa magufuli alipendwaa mnoo na alimpomchukuaa akatuonyesha kati ya waliokuwaa wanampendaa kuna waliokuwa wanamchukiaa wanafikiiiii kbsaaaaaa
@richardhosea8827
Жыл бұрын
Allhamdulah Askofu
@marthaanton6967
3 жыл бұрын
Mungu akubariki sn umeongea vizr mno
@nishasalim2880
3 жыл бұрын
Askofu konki oyeee! 🇹🇿🙏🏾👏💪
@avitusmichael5
3 жыл бұрын
Oyeee
@joezeno8
3 жыл бұрын
Oyeee
@ev.eliezangiruketv8902
Жыл бұрын
BABA ASKOFU NIMEPENDA SANA UMESEMA UKWELI KABISA KAMA NENO LA MUNGU LINALOTUONGOZA KUSEMA KWELI.
@ezekielkandonga9238
3 жыл бұрын
Wawe wanapewa makavu,baadhi ya wanasiasa wanafiki Sana,Wamepata Elimu lakini hawajaelimika,Mungu atupe uhai tutakutana nao hukohuko juuu.
@marcokanyama4533
3 жыл бұрын
Mh.Rais hilo vibe liangalie Sana Msipo wadhibiti kumkejeli Magufuli nikutengeneza Bom wakiendelea Litalipuka
@florakapesa923
3 жыл бұрын
Kumbe wengi tuona nilifikili mie tu ndio nawaona wanafiki
Bishop Konki baba nimekukibali umetusemea baba tumekuwa nyuma wapentekoste Sana Ila kuna hazina CPCT
@elizabethfaustine3114
3 жыл бұрын
Spika Ndugai na January Makamba nadhani mumeckia nyie wanafiki wakubwa
@Itarusii
3 жыл бұрын
Tena ni unafiki kabisa!
@fraviansweetberty8819
3 жыл бұрын
Ubarikiwe baba Askofu
@burnmotto1876
3 жыл бұрын
Asanteeee Sana baba askofu konkiiiiiiiiiiiiii
@johariiddy5150
3 жыл бұрын
Kweli kabisa wanafiki hao chaja ya kobe aichagui betri
@nda.mboarasamulinda.mboara370
3 жыл бұрын
Ok askf wa mungu
@OFFTRACKTV
3 жыл бұрын
Waambie baba maana hao ni wapumbafu sana naomba wamuache rais wangu magufuli apumzike kwa amani
@nelsonmbai885
3 жыл бұрын
Wapeleke unafk wao mbli n sis
@mabeleleheven1467
3 жыл бұрын
Kweli baba askofu wewe ni mtumishi wa kweli na mungu hapendi unafiki
@kunyaobelela4062
Жыл бұрын
Tumeshawaona ni wanafiki sana, sisi hatuna pa kusemea bora umelisema wazi wamesikia
@alhaddajmohammed4768
3 жыл бұрын
Tatizo la baadhi ya waTz ni wanafiki sana (wanyama na kupuliza) mama waangalie sana hawa wasikuchanganye. Kila Kiongozi mnamuona hafai, mlikuwa mnamfurahia Kikwete ameingia Magufuli mkawa mnapiga kelele oooh.. "vyuma vimekaza..."! Ameingia.mama anarekebisha mambo mnaanza kupiga kelele na akiondoka mama mtajifanya kumsifia mama !
@KaskasTHEfinderCLIP
3 жыл бұрын
Sheria za gharama za vibali vya ujenzi ziangalieni kwa makini,wizi mtu umejaa,watu wanakandamizwa
@mussaelisha3733
Жыл бұрын
Kumbe Tanganyika Ina watu wazuri tu vibaraka Ni wachache mwisho wao na Mali zao
@abdulrahmanpaskalina7627
3 жыл бұрын
Wengine kabla hata Hayati Rais JPM hajazikwa wakaanza kwa jazba kuipangia Serikali cha kufanya looh🤔😥
@KaskasTHEfinderCLIP
3 жыл бұрын
Vibali vya ujenzi ,imekuwa ni wizi,mtu anajenga chumba kimoja analipishwa gharama sawa na anayejenga nyumba ya familia
@francismigongwa4146
3 жыл бұрын
BABA ASKOFU UMENENA MANENO YALIYO KUNTU RIP MH JPM MWENDO UMEUMALIZA IMANI UMEILINDA
@frankjohn8706
3 жыл бұрын
Hadi viongozi wa dini mbalimbali huonekana wakijipendekeza kwa viongozi mbalimbali wa kisiasa ,kiasi kwamba hatakama Mungu amempa kiongozi wa dini Neno la kumuonya kiongozi hamuonyo Bali anampa maneno laini laini hata Kama kaona wazi uovu hausemi,
@angelavayinga914
3 жыл бұрын
Kumbe umeona hilo baba eeehe ahsante sana kwa kuwa mkweli
@mercypeter162
3 жыл бұрын
Nimependa hiyo. Kongki MUNGU wa mbinguni amzidishie ulinziii.
@KADALAtv255
3 жыл бұрын
Na wanajilendekeza sana hata hivyo walifanya hivyo hivyo kwa MAGUFULI LEO WAMEMGEUKA na Mama Samia watafanya hivyo hivyo muache kutuchanganya.
@yusuphaman3449
3 жыл бұрын
Bomu ilo askofu
@godymbanyi1878
3 жыл бұрын
Konki, Konki, Konki Master 🔥
@hassanmpwepwe3826
3 жыл бұрын
Ukweli kabisa ndugu askofu r.i.p jemedar we2 jpm
@telaamtauta2227
3 жыл бұрын
Sahihi kabisaa askofu konk
@abdulrahmanpaskalina7627
3 жыл бұрын
Ndiyooo kujipendekeza tena ni ushamba na fikra fupi, tabia mbaya sana!!!
@emmanuelmauki2938
3 жыл бұрын
wanafki Wapo Tena Wengi Sana Mmoja Yule Wa Kusini Sijui Nani Na_y___
@bjzee1981
3 жыл бұрын
Huyu askofu ni wa wapi jamani. Ana moyo wa chuma.
@joezeno8
3 жыл бұрын
Kweli
@kimaroamon9008
3 жыл бұрын
Asikofu umekosea hapoulipo wapowana siasa kubuka kuna mungu na kanisa halitakiwi kuwana unafiki naamini tayari kunaunafiki hapo polesana asikofu kwakushangilia unafiki
@salomewandya7257
3 жыл бұрын
Kweli kabisaaa
@mao9622
3 жыл бұрын
Konki Konki Konki fire 🔥🔥
@mr.paulminja7894
3 жыл бұрын
Alichoongea shoo na konki ni vitu viwili tofauti, angalia muitikio wa watu... Hapo.... Wazalendo wataelewa
Пікірлер: 222