Askofu Mkuu wa jimbo Kuu la Mbeya,Mhashamu Gervas Nyaisonga akionekana alivyoingia kuongoza adhimisho la ibada ya Misa Takatifu katika Sherehe ya Maria Mkingiwa Dhambi ya asili iliyoambatana na nadhiri za Daima kwa Watawa watatu wa shirika la Maria Malkia wa mitume wa Mbeya iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Kiaskofu la Mtakatifu Anthony wa Padua Parokia ya Mbeya mjini
Негізгі бет Askofu Mkuu alivyoingia na wimbo huu...
Пікірлер: 1